Brig General Carlitos Way
JF-Expert Member
- Apr 27, 2009
- 1,601
- 3,658
Toka nipo primary Lukuvi Lukuvi wacha akae nje nchi yenu ina watu karibu milioni 60 bado mnababaika na lukuv hana mawazo mbadala zaidi ya kuitakia Zanzibar mabaya iendelee kukaliwa kijeshi ni TanganyikaKwa nini Samia hakutaka kuwa wazi tu kuwahusu hao jamaa na kuamua kutudanganya eti watapewa kazi maalum ilihali sivyo?!
Ukweli humweka mtu huru na kwalo Samia ingetosha alipowateua wengine na kuwaacha kina Lukuvi na wenzake angekaa kimya na kuendelea na hamsini zake.
Hilo la Lukuvi na Kabudi kufanya kazi maalum ni uongo wa mchana kweupe!
Ukweli ni kwamba Lukuvi na Kabudi walifutwa kazi ya uwaziri na si vinginevyo.
HahaU
Unawapenda?
[emoji3064][emoji15][emoji3064][emoji15]Umefikia wapi na Umoja Party?
Umesharudi toka Kigali ulipoenda kufungua ofisi ndogo ya umoja party?
Sasa wazalendo uchwara kama Jiwe, Budi au Bishiri wanafaida gani?Nchi inatafunwa wazalendo hawatakiwi
Hapo ni sawa na kuambiwa USITHUBUTU KUGOMBEALukuvi hagombei uspika msimsimgizie 😀😀😀😀😀
Watu waliojiaminisha kuwa na madaraka kudanganywa ni rahisi sana. Kuna uzi humu uliwataka wale wote ambao walikuwa ama mawaziri, makatibu wakuu, wakurugenzi na nyadhifa zingine walitakiwa wajiuzulu nafasi hizo kuonesha kutoridhika na utawala ulipo lakini walishupaza shingo wakakimbilia asali feki na kikundi kilichopo sasa kimekusudia kuwapoteza moja kwa moja .na wao ni wajinga, yaani SSH aliwa zuga eti atawapa 'kazi nyingine' na wao wakamwamini na kuingia cha kike, nyuma ya pazia dhamira ya ya mama ilikuwa ni kuwang'oa madarakani ma- 'pro magufuli', adi sasa wanaweza wasiamini masikio yao lakini ndiyo imetoka hiyoo
Principal desk officers. Unataka kijiua majukumu ya desk office Serikalini?Ni muda mrefu sijawasikia hawa Waheshimiwa. Je wako wapi na wana wadhifa gani?.
Mama anaupiga mwingiNi muda mrefu sijawasikia hawa Waheshimiwa. Je wako wapi na wana wadhifa gani?.