Ukweli ni kwamba sina hisia naye na wala sio aina ya mwanamke nimpendae kimuonekano lakini...

Ukweli ni kwamba sina hisia naye na wala sio aina ya mwanamke nimpendae kimuonekano lakini...

Huyo safi sana piga mashine vizuri acha visingizio..huyo anataka shooshoo jaribu na 69 mzee utanishukuru baadae
 
Jaribu pia matumizi ya hilo dole kwenye profile pic yangu sugua kwelikweli "in magufuli voice"
 
Mkuu,Kwa Mtazamo wangu,Kama shida yako ni kuoa na kuanzisha familia meaning watoto hata huyo OA.Kama lengo lako ni kutafuta soulmate wako mnayeshibana basi MY FRIEND ulizingua na umezingua.Ushauri wangu kama shida ni hiyo effect ya masturbation ambayo ndio inayomsumbua huyo binti basi ni kukaa na kuzungumza maan huyo hakuwa anasuguliwa na ME,it either alikuwa anasagana na KE wenzake au self PLEASURE.So cha muhimu ni kujua Kama unaweza kupata aliye BORA zaidi yake ama LA.

Maana Unapotafuta BIKRA wakati wewe ni Mzoefu hayo ndio unayokutana nayo.All in All Kama unaweza sogeza muda kidogo ila Mpate muda wa Kuweka Chemistry yenu SAWA basi Take time and see her as a woman,a mother and a friend.Mkiweza kujenga Hayo Ndio ya Msingi.Great SEX Utaipata POPOTE ila RESPECT,LOVE and FRIENDSHIP Haipatikani KIrahisi na ndicho TUNACHOHITAJI KWENYE NDOA.
Mkuu Nashukuru sana kwa ushauriwako mzuri na wenyekujenga..

Kitu pekee ninachokipambania ni kupata utulivu wa nafsi nikiwa na familia ninayoipenda.Tatizo ni Hisia na huyu zimekata kabisa licha ya kujitahidi kujizuia lakini nimeshindwa.Miezi mitano sasa sijawahi furahia uwepo wake😥
 
Sikutegemea ushauri kama huu kutoka kwako, kitu gani kinakusumbua au kilikusumbua?
Mapenz hakuna sikuhizi Kaka,yaan watu wanachaguachagua mno.....ndo maana nashauri afanye atakalo ili kulinda amani ya moyo wake kwanza
 
Ndugu yangu ungemuacha tu na bikra yake manake from the beginning ulishajua she is not ur type, ila tatizo la wanaume hata akiona humfai atataka akulale kwanza ndo afanye maamuzi, umemkosea sana sana. But usijilazimishe kumuoa kisa umemtoa bikra it will get worse humo ndoani mana mwanaume hukaa na kutulia alipopenda sio alipopendwa na mkipenda mmependa na msipopenda hamjapenda sio kama sisi wanawake, ukijilazimisha huyo dada hakuna rangi ataacha ona humo ndani. Na kingine sio kama hizo relationship ndo zimemfanya awe hivyo, hicho anachopitia ni athari ya mustabation hajataka tu kukwambia ukweli, it seems ana fanya mustabation kiasi kwamba amepoteza hisia na mwanaume.
hakika
 
Back
Top Bottom