Ukweli ni kwamba Waisraeli halisi ambao ni Waebrania ni watu weusi

Ukweli ni kwamba Waisraeli halisi ambao ni Waebrania ni watu weusi

JAPO leo umeendika kitu chenye Ukweli na chenye kuelimisha Wana Jamii Forums tukisema Yesu sio Mzungu kuwa watu Wanaona Tunawatukana la kushangaza wanaoumia ni Weusi Wemzetu..

Mzungu ajawai Ata kuwa Mtume yoyote kwenye Dunia Wala Dada Zao sio Malaika wala MARIA sio yule Mzungu Watu wameaminishwa Ujinga Usio na Ukweli mzungu kafiri tangu na tangu!!!!

Mungu Fundi Awezi kufanana na mijitu kama hiii Mizungu Yani USHOGA!!! wao kukwiba mali na rasilimali za Watu !!! kuuwa watu Ovyo!!

Wanamachuki kwa mtu Mweusi uyu angefanana na Mungu kweli Sisi Wamatumbi Tusingekuwepo ktk Dunia mweusi acha Ujinga imetosha kuwa Minga Amka sasa !!!

Ona Watu WEUSI wenye Majina Makubwa wengi Wameuwawa kimafia LUTHER king Malcolm X Bob marley Michael Jackson kama sio kujisalimisha kuiga Uzungu Wangeshamuua Zamani,, mijitu yenye Chuki kama hiii Vip Ifanane na Mungu!!!!

au na Mtume wa Mungu au na Malaika wa Mungu. Mtu mweusi Wewe ndio mwenye kufanana na WATUKUFU Muimu Mwafrika apendi Vita Atujawai Vamia nchi yoyote popote ktk dunia !!!

Mungu ametubariki zama kwa Zama Wazungu Wanatuonea WIVU ndio Mana Wazungu wamekuja Afrika kutualibia Tamaduni zetu na kutuibia rasilimali Zetu!!!!!!

, mwarabu ajawai kuwa na shida na mtu mweusi hii ni Propaganda za Wazungu.

Mtu MWEUSI Alikombolewa na
Kusaminiwa na UISLAM Miaka Mingi Uko Nyuma !!

Mwarabu Ana Shida na mweusi kwa Zaid ya Uwongo na propaganda

lkn mzungu ndio Tatizo. Vile Anachuki kubwa na mtu Mweusi!! Ukweli Siku zote Unakuweka huru,,,

Wangekuwa wao ndio miungu Mmatumbi Wewe Usingeumbwa. Kabisa. Mungu Fundi..
Kama ni ujinga ni huu uliouandika!!
 
Israel ni taifa lenye usiri na utata mkubwa,kutoka kwenye kuanzishwa kwake,watu waliolikaa zamani na wanaolikalia kwa sasa.Historia inatuambia kuwa taifa la Israel lilianzishwa mwaka 1948,lakini si kweli,taifa la Israel lilianzishwa na Mungu mwenyewe kabla ya hapo.

Kudai kuwa taifa la Israel lilianzishwa mwaka 1948 ni utapeli wa famia ya Rothschild kuudanganya uma wa wanadamu, ili kuzidi kupotosha dhana nzima ya uwepo Waebrania ambao ndio wenyeji halali wa taifa la Israel.Ukweli ni kwamba Waisraeli halisi ambao ni Waebrania ni watu weusi na hata Yesu mwenyewe alikuwa mweusi.

Kwa nini nasema Bwana Yesu alikuwa mweusi.Kwanza naomba nikuhakikishie kuwa wanaoitwa Waisraeli ni actually Waebrania.

Soma Mwanzo 39:13-14,17
Inasema,
Mwanzo 39:13-14;17
13 Ikawa alipoona ya kwamba amemwachilia nguo yake mkononi mwake, naye amekimbia nje,
14 akawaita watu wa nyumbani mwake, akasema nao, akinena, Angalieni, ametuletea mtu Mwebrania atufanyie dhihaka. Ameingia kwangu, ili alale nami, nikalia kwa sauti kuu.
17 Naye akamwambia kama maneno hayo, akisema, Yule mtumwa Mwebrania uliyemleta kwetu, aliingia kwangu anidhihaki.

Sasa maandiko haya yana maana gani,yana maana kuwa kwa kuwa Yusufu alikuwa mtoto wa Yakobo ambaye aliitwa pia Israel,na watoto wa Yakobo kumi na wawili ndio walioletelea taifa la Israel pamoja na Yusufu,basi Waisraeli wa kweli ni Waebrania.Lakini kufuatana na maandiko Mfalme Sulemani na Ayubu ambao ni Waisraeli na hiyo Waebrania, walikuwa weusi!

Angalia Mfalme Sulemani anavyosema katika Wimbo Ulio Bora.

Wimbo Ulio Bora 1:5-6
5 Mimi ni mweusi-mweusi, lakini ninao uzuri, Enyi binti za Yerusalemu, Mfano wa hema za Kedari, Kama mapazia yake Sulemani.
6 Msinichunguze kwa kuwa ni mweusi-mweusi, Kwa sababu jua limeniunguza. Wana wa mamangu walinikasirikia, Waliniweka niwe mlinzi wa mashamba ya mizabibu; Bali shamba langu mwenyewe sikulilinda.

Lakini Ayubu naye ambaye alikuwa Mwebrania alikuwa mweusi!Soma hapa chini.

Ayubu 30:30
30 Ngozi yangu ni nyeusi, nayo yanitoka, Na mifupa yangu imeteketea kwa hari.

Summary ni nini hapa.Ni hivii,kama Ayubu na Mfalme Sulemani walikuwa weusi,na walikuwa Waebrania,it follows that Jesus Christ because he was Hebrew and an Israel was also black.Nadhani hiyo ipo wazi.

Historia pia inatuambia kuwa wakazi wa kwanza wa Israel waliitwa Waebrania,ambao walihusisha makabila yaliyoundwa na watoto kumi na mbili wa Yakobo kama ifuatavyo:Yuda, Reubeni,Gadi,Asheri, Naftali,Manase, Simeoni, Lawi Isakari,Zabuloni,Yusufu na wa mwisho, Benyamini.Hata hivyo jambo la kushangaza ni kuwa ushahidi wa uwepo wa makabila haya leo haupo,ni kama wamepotelea hewani tu.Makabila hayo eti yanaitwa "makabila kumi na mbili ya Israel yaliyopotea."Lakini "a people," watu, hawawezi kupotea tu,lazima kuwepo na mpango mahususi wa kufuta historia yao.

Jambo la kujiuliza ni nani alifanya mpango huo na kwa maslahi gani.Ikumbukwe kwamba kufanya kitu kama hicho kunahitaji juhudi ngingi ,kubwa na za makusudi kabisa.

Israel ni taifa ambalo liliumbwa na Mungu,kwa makusudi ya Mungu ya kumkomboa mwanadamu kupitia kwa Yesu Kristo.Sasa siku zote Shetani anapinga mipango yote ya Mungu,ambayo kwa ujumla wake inamlenga Mwanadamu.

Waebrania wakiwa msingi ambao Mungu tayari alishauweka kwa ajili ya mkakati huo,Shetani alikuwa na chuki sana nao,kwa hiyo aliwatesa kwa njia nyingi(angalia Ufunuo 2:9),akiamini kuwa kwa kufanya hivyo hatimaye Mungu atashindwa kutekeleza mpango wake,he failed miserably,na leo mwanadamu amekombolewa, akimuamini Kristo ambaye ni Mwebrania,anaurithi Ufalme wa Mungu.

Katika Kitabu cha Ufunuo wa Yohana,tunaona wale ambao walishiriki mpango huo muovu kabisa wa kupoteza makabila kumi na mbili ya Waebrania.Bwana Yesu aliwaita Sinagogi la Shetani katika Ufunuo 2:9-10 na Ufunuo 3:9.

Ufunuo wa Yohana 2:9-10
9 Naijua dhiki yako na umaskini wako, (lakini u tajiri) najua na matukano ya hao wasemao ya kuwa ni Wayahudi, nao sio, bali ni sinagogi la Shetani.
10 Usiogope mambo yatakayokupata; tazama, huyo Ibilisi atawatupa baadhi yenu gerezani ili mjaribiwe, nanyi mtakuwa na dhiki siku kumi. Uwe mwaminifu hata kufa, nami nitakupa taji ya uzima.

Ukiangalia kwa umakini maandiko hayo ,unaona kwamba wapo Wairael wasio wa kweli ambao Bwana Yesu anawaita Sinagogi la Shetani.Hawa walishirikiana na Ibilisi kuwaletea Waebrania ambao ndio Waisraeli wa kweli,mateso ambayo tunayaona katika Ufunuo 2:9-10

Lakini, je Shetani atashinda?Hapana,atashindwa kama ambavyo nimeshatangulia kusema.Soma Ufunuo 3:9 chini.Sinagogi la Shetani litakuja kusujudu mbele ya Waebrania ambao ndio Waisraeli wa kweli .

Ufunuo wa Yohana 3:9
9 Tazama, nakupa walio wa sinagogi la Shetani, wasemao kwamba ni Wayahudi, nao sio, bali wasema uongo. Tazama, nitawafanya waje kusujudu mbele ya miguu yako, na kujua ya kuwa nimekupenda.

Na mwisho wa Shetani ambaye alifanya uovu na hila zote hizi ni nini,ni kutupwa kwenye ziwa la moto liwakalo moto wa kiberiti.

Ufunuo wa Yohana 20:10
10 Na yule Ibilisi, mwenye kuwadanganya, akatupwa katika ziwa la moto na kiberiti, alimo yule mnyama na yule nabii wa uongo. Nao watateswa mchana na usiku hata milele na milele.

Naomba usikilize clip ifuatayo kwa taarifa zaidi.


View: https://youtu.be/DTy15somdgo?si=Arg5y6x5GUDZ42gY

NB:SITEGEMEI KABISA MTU MWEUSI KUPINGA HII MADA

Kama upo Dodoma naukom a sana uwahi harała sana kwenye Hospitali ya Milembe ukapate tiba kabla hali haijawahi mbaya zaidi.
 
Shida yenu ni kwamba ile kasumba ya utumwa bado ipo nanyi ya kujiona kwamba bado nyie ni wapagazi wa mabwana wenu wa kiarabu na hii kasumba inaonekana kamwe haiwezi kwisha.

Mnawaona waarabu kama miungu watu waliowaletea hiyo mnayoita dini wakati ni utamaduni wao tu wanaueneza kwa kisingizio feki cha dini.

Unajifanya kutokujua kwamba watumwa wanaume wote walihasiwa na mabwana zao wa kiarabu kabla ya kupandishwa kwenye mangalawa kusafirishwa kupelekwa utumwani uarabuni na mataifa mengine ya Asia wakitokea Bagamoyo na Zanzibar.

Kwa mantiki hiyo ndio maana leo hii huwezi kupata uzao wa hao watumwa huko kwa sababu ya kuhasiwa kwao kabla ya kusafirishwa lakini bado leo watu mko tayari kuwatetea hao waarabu kisa tu eti walikuletea dini utafikiri wenyewe ndio waliowaletea Mungu huku. Bure kabisa you niggers.

Tuanze apo ulipo ishia kujibu Baada ya kumuasi Babu yako Akampeleka wapi!!???

History hiii ililenga kupiga Tafu Ukristo Tanzania!!!!! Ajabu UISLAM Aukuyumba na Bado Watu Waliujua Ukweli Zaid na Zaid!!!

Dini hiiii ni ya mungu Binadam Awezi kuizuiya Iishashindikana leo Uslamu Tanzania kwengineko ndio inakuwa Zaid ipo misikiti apa Dar siwezi kuitaja lkn kila Ijumaa lazima Usikie Kike au kiume Anaingia Uslamu Mmoja au wawili kila IJUMAA

na Akuna chochote mtu Anapewa Zaidi ya uwongo Wawa Ongo!!!!

Dini ipo kwenye moyo Uwezi kutumia Uwongo Ukadumu milele ata hiii History itafutwa tu kwakua ni ya Uwongo lilenga kumtukuza Mzungu na Kumbebesha zigo Mwarabu !!!!

lkn Kizazi kipya kinataka kujua Ukweli mbona Babu yangu yupo Kwa Wazungu na kwanini UN pia ilishutumu Mzungu na Sio Mwarabu ????

nenda Google Andika Siku ya kupinga utumwa Dunian fungua yoyote itakupa mwangaza Kuusu Biashara ya Utumwa fungua Habari yoyote ata Vatican news Soma kilicho Andikwa kama Utaona Mwarabu katajwa umo ????

Waliotajwa ni WAZUNGU japo mala chache Chache kwa kuficha ficha lkn Ukisoma utaelewa kwanini Babu yangu Alichukuliwa Sababu ni Mashamba!!!!

kutokana na maitaji makubwa ya rasilimali watu mwanzo Wazungu walikuwa Wanawatumia ( Waindi Wekundu )

kwenye Mashamba yao lkn Ikatokea Tatizo Wale Waindi Wekundu Walikuwa Wanakufa Sana Sababu ile Jamii ilijitenga na Dunia miaka mingi Sana ivyo Wakikutana na Wazungu Walikuwa Wanaumwa Adi Kifo !!!

Kwasababu iyo ya Mashamba yao Wakapata Akili ya kuchukua Waafrika Alaka Waliwakubari Zaid kwakuwa Walikuwa na nguvu !!!

Ivo Biashara ya Utumwa kumuusu Mweusi Ikashika kasi sana sasa mwarabu anamiliki Shamba wapi !!!

leo Nikisema UISLAM ulimpa Hadhi Mweusi Sababu ktk UISLAM Yupo Mweusi alikuwa SWAWABA muimu Sana Akiitwa Bilal Uyu ndio Mwasisi wa Adhqna Duniani mtu Mweusi

lkn ktk Alakati za UISLAM kujitafuta Waliwai kusaidiwa na Ethiopia Pale kulikuwa na Mfalme Mweusi tena Alikuwa Kristo

Ata ukipata kusoma history ya
MALCOLM X
Utagundua Alisema baada ya kuusoma UISLAM Akiwa Jela uko Marekani apo apo yeye MALCOLM X Alikuwa Msomi mkubwa wa Historia ya Dunia

Apo Sasa ndio Akaiva Vizuli na kufaam UISLAM ndio Dini pekee Duniani ilio muheshim mtu Mweusi !!!!

UISLAM umeweka Usawa wa langi pale Mtume Muhammad S.A.W. aliposema Akuna m'bora Miongoni mwenu kwasababu ya Langi yake Au kwa Sababu ya Kabila lake mtu m'bora kwa Mwenyezi Mungu ni Yule Mchamungu tu sio vinginevo!!!!


MALCOLM X kufikia apo Akelewa mbivu na mbichi Alakati ya kumtetea m tu Mweusi ilimvaaa pamoja na kuupinga Ukristo kwa watu WEUSI !!!?

hii 4 / 3 / 2025 mtu Mweusi m'bantu mwenzangu unanafasi Gani kwenye UKRISTO tuanzie MAPAPA wote WAZUNGU malaika Wote Wazungu heeee basi Je Watakatifu eti nao Wote Wazungu Yani M'bantu mwenzangu Ata Utakatifu Atumo !!!!

Wazungu watupu hiii niwazi Ni Dini ya Kibaguzi aiwezekani ikawa ya Mungu
Mungu Alieniumba na kunipenda awezi kujibagua kama Ivi !!!!

uyu Mzungu!!! tuwe Wakweli nani Anampenda Kristo zaid Walokole wetu utawakuta vituo vya Daladala Jua kali lkn Wanaeneza Injili

Basi ata Mwamposa Asiwe Mtakatifu kwanini mtu Anaijaza Kawe watu wanatoka adi mikoani kuja kwake kama ni Usafi Awa Watakatifu wa Kizungu Tunaaminije kweli ni Wasafi !!!!

Ukisoma history ya Mapapa wapo Walikuwa Adi walevi !!!

Kwa ushaidi huu nimeweka ikiwa wewe ni mkristo na bado umejawa na chuki kumuusu Mwarabu na apo apo Unampenda Mizungu nikupe pole tu.

Mana akili sio nzima.!!!! Pia niliwai Toa hoja kuusu USHODA na Wazungu mzungu ndio msambaza USHOGA KTK AFRICA NA KWENGINEKO Bado mzungu uyouyo ndio Mtakatifu kuliko mtu Mweusi!!!?

Utumws ni mzungu ubaguzi wa langi Ni Mzungu Ushoga ni Mzungu sio mweusi lkn Watakatifu wote WAZUNGU poleni tena na tens majilan !!!!!!

Niwape siri ukweli wote huu Mzungu atatetewa juilize wewe uyu Anaemtetea mzungu kwann japo kila kitu kipo Wazi kwasasa jibu awa ni Wachungaji Wanapigania Ugali wao kupitia jina la Yesu !!!

ndio atakazsnia Mwarabu ndio Afai tena Afai ni njaa yao ya kuwa pola pesa kupitia Sadaka mchungaji Awezi kukili Mwarabu ana Hatia ya Utumwa!!!.

Lazima ashikilie apo apo na Vijiwe vyao kusambaza huu uwongo waumini wao Wasiwakimbie!!!!!!!!!!

Kazi ipo. Dunia inafunguka yenyewe kila kitu kitakuwa wazi Sijui mtajifichia Wapi Wachungaji...
 
Israel ni taifa lenye usiri na utata mkubwa,kutoka kwenye kuanzishwa kwake,watu waliolikaa zamani na wanaolikalia kwa sasa.Historia inatuambia kuwa taifa la Israel lilianzishwa mwaka 1948,lakini si kweli,taifa la Israel lilianzishwa na Mungu mwenyewe kabla ya hapo.

Kudai kuwa taifa la Israel lilianzishwa mwaka 1948 ni utapeli wa famia ya Rothschild kuudanganya uma wa wanadamu, ili kuzidi kupotosha dhana nzima ya uwepo Waebrania ambao ndio wenyeji halali wa taifa la Israel.Ukweli ni kwamba Waisraeli halisi ambao ni Waebrania ni watu weusi na hata Yesu mwenyewe alikuwa mweusi.

Kwa nini nasema Bwana Yesu alikuwa mweusi.Kwanza naomba nikuhakikishie kuwa wanaoitwa Waisraeli ni actually Waebrania.

Soma Mwanzo 39:13-14,17
Inasema,
Mwanzo 39:13-14;17
13 Ikawa alipoona ya kwamba amemwachilia nguo yake mkononi mwake, naye amekimbia nje,
14 akawaita watu wa nyumbani mwake, akasema nao, akinena, Angalieni, ametuletea mtu Mwebrania atufanyie dhihaka. Ameingia kwangu, ili alale nami, nikalia kwa sauti kuu.
17 Naye akamwambia kama maneno hayo, akisema, Yule mtumwa Mwebrania uliyemleta kwetu, aliingia kwangu anidhihaki.

Sasa maandiko haya yana maana gani,yana maana kuwa kwa kuwa Yusufu alikuwa mtoto wa Yakobo ambaye aliitwa pia Israel,na watoto wa Yakobo kumi na wawili ndio walioletelea taifa la Israel pamoja na Yusufu,basi Waisraeli wa kweli ni Waebrania.Lakini kufuatana na maandiko Mfalme Sulemani na Ayubu ambao ni Waisraeli na hiyo Waebrania, walikuwa weusi!

Angalia Mfalme Sulemani anavyosema katika Wimbo Ulio Bora.

Wimbo Ulio Bora 1:5-6
5 Mimi ni mweusi-mweusi, lakini ninao uzuri, Enyi binti za Yerusalemu, Mfano wa hema za Kedari, Kama mapazia yake Sulemani.
6 Msinichunguze kwa kuwa ni mweusi-mweusi, Kwa sababu jua limeniunguza. Wana wa mamangu walinikasirikia, Waliniweka niwe mlinzi wa mashamba ya mizabibu; Bali shamba langu mwenyewe sikulilinda.

Lakini Ayubu naye ambaye alikuwa Mwebrania alikuwa mweusi!Soma hapa chini.

Ayubu 30:30
30 Ngozi yangu ni nyeusi, nayo yanitoka, Na mifupa yangu imeteketea kwa hari.

Summary ni nini hapa.Ni hivii,kama Ayubu na Mfalme Sulemani walikuwa weusi,na walikuwa Waebrania,it follows that Jesus Christ because he was Hebrew and an Israel was also black.Nadhani hiyo ipo wazi.

Historia pia inatuambia kuwa wakazi wa kwanza wa Israel waliitwa Waebrania,ambao walihusisha makabila yaliyoundwa na watoto kumi na mbili wa Yakobo kama ifuatavyo:Yuda, Reubeni,Gadi,Asheri, Naftali,Manase, Simeoni, Lawi Isakari,Zabuloni,Yusufu na wa mwisho, Benyamini.Hata hivyo jambo la kushangaza ni kuwa ushahidi wa uwepo wa makabila haya leo haupo,ni kama wamepotelea hewani tu.Makabila hayo eti yanaitwa "makabila kumi na mbili ya Israel yaliyopotea."Lakini "a people," watu, hawawezi kupotea tu,lazima kuwepo na mpango mahususi wa kufuta historia yao.

Jambo la kujiuliza ni nani alifanya mpango huo na kwa maslahi gani.Ikumbukwe kwamba kufanya kitu kama hicho kunahitaji juhudi ngingi ,kubwa na za makusudi kabisa.

Israel ni taifa ambalo liliumbwa na Mungu,kwa makusudi ya Mungu ya kumkomboa mwanadamu kupitia kwa Yesu Kristo.Sasa siku zote Shetani anapinga mipango yote ya Mungu,ambayo kwa ujumla wake inamlenga Mwanadamu.

Waebrania wakiwa msingi ambao Mungu tayari alishauweka kwa ajili ya mkakati huo,Shetani alikuwa na chuki sana nao,kwa hiyo aliwatesa kwa njia nyingi(angalia Ufunuo 2:9),akiamini kuwa kwa kufanya hivyo hatimaye Mungu atashindwa kutekeleza mpango wake,he failed miserably,na leo mwanadamu amekombolewa, akimuamini Kristo ambaye ni Mwebrania,anaurithi Ufalme wa Mungu.

Katika Kitabu cha Ufunuo wa Yohana,tunaona wale ambao walishiriki mpango huo muovu kabisa wa kupoteza makabila kumi na mbili ya Waebrania.Bwana Yesu aliwaita Sinagogi la Shetani katika Ufunuo 2:9-10 na Ufunuo 3:9.

Ufunuo wa Yohana 2:9-10
9 Naijua dhiki yako na umaskini wako, (lakini u tajiri) najua na matukano ya hao wasemao ya kuwa ni Wayahudi, nao sio, bali ni sinagogi la Shetani.
10 Usiogope mambo yatakayokupata; tazama, huyo Ibilisi atawatupa baadhi yenu gerezani ili mjaribiwe, nanyi mtakuwa na dhiki siku kumi. Uwe mwaminifu hata kufa, nami nitakupa taji ya uzima.

Ukiangalia kwa umakini maandiko hayo ,unaona kwamba wapo Wairael wasio wa kweli ambao Bwana Yesu anawaita Sinagogi la Shetani.Hawa walishirikiana na Ibilisi kuwaletea Waebrania ambao ndio Waisraeli wa kweli,mateso ambayo tunayaona katika Ufunuo 2:9-10

Lakini, je Shetani atashinda?Hapana,atashindwa kama ambavyo nimeshatangulia kusema.Soma Ufunuo 3:9 chini.Sinagogi la Shetani litakuja kusujudu mbele ya Waebrania ambao ndio Waisraeli wa kweli .

Ufunuo wa Yohana 3:9
9 Tazama, nakupa walio wa sinagogi la Shetani, wasemao kwamba ni Wayahudi, nao sio, bali wasema uongo. Tazama, nitawafanya waje kusujudu mbele ya miguu yako, na kujua ya kuwa nimekupenda.

Na mwisho wa Shetani ambaye alifanya uovu na hila zote hizi ni nini,ni kutupwa kwenye ziwa la moto liwakalo moto wa kiberiti.

Ufunuo wa Yohana 20:10
10 Na yule Ibilisi, mwenye kuwadanganya, akatupwa katika ziwa la moto na kiberiti, alimo yule mnyama na yule nabii wa uongo. Nao watateswa mchana na usiku hata milele na milele.

Naomba usikilize clip ifuatayo kwa taarifa zaidi.


View: https://youtu.be/DTy15somdgo?si=Arg5y6x5GUDZ42gY

NB:SITEGEMEI KABISA MTU MWEUSI KUPINGA HII MADA

Hii mbona ipo wazi.Waisrael unaowaona leo ni wazungu hawana uhusiano na waisrael kabisa.
Kwa taarifa yako Yesu ni black kabisa huyu wanayetuonyesha leo hafanani na Yesu hata kwa 2%.
 
Tuanze apo ulipo ishia kujibu Baada ya kumuasi Babu yako Akampeleka wapi!!???

History hiii ililenga kupiga Tafu Ukristo Tanzania!!!!! Ajabu UISLAM Aukuyumba na Bado Watu Waliujua Ukweli Zaid na Zaid!!!

Dini hiiii ni ya mungu Binadam Awezi kuizuiya Iishashindikana leo Uslamu Tanzania kwengineko ndio inakuwa Zaid ipo misikiti apa Dar siwezi kuitaja lkn kila Ijumaa lazima Usikie Kike au kiume Anaingia Uslamu Mmoja au wawili kila IJUMAA

na Akuna chochote mtu Anapewa Zaidi ya uwongo Wawa Ongo!!!!

Dini ipo kwenye moyo Uwezi kutumia Uwongo Ukadumu milele ata hiii History itafutwa tu kwakua ni ya Uwongo lilenga kumtukuza Mzungu na Kumbebesha zigo Mwarabu !!!!

lkn Kizazi kipya kinataka kujua Ukweli mbona Babu yangu yupo Kwa Wazungu na kwanini UN pia ilishutumu Mzungu na Sio Mwarabu ????

nenda Google Andika Siku ya kupinga utumwa Dunian fungua yoyote itakupa mwangaza Kuusu Biashara ya Utumwa fungua Habari yoyote ata Vatican news Soma kilicho Andikwa kama Utaona Mwarabu katajwa umo ????

Waliotajwa ni WAZUNGU japo mala chache Chache kwa kuficha ficha lkn Ukisoma utaelewa kwanini Babu yangu Alichukuliwa Sababu ni Mashamba!!!!

kutokana na maitaji makubwa ya rasilimali watu mwanzo Wazungu walikuwa Wanawatumia ( Waindi Wekundu )

kwenye Mashamba yao lkn Ikatokea Tatizo Wale Waindi Wekundu Walikuwa Wanakufa Sana Sababu ile Jamii ilijitenga na Dunia miaka mingi Sana ivyo Wakikutana na Wazungu Walikuwa Wanaumwa Adi Kifo !!!

Kwasababu iyo ya Mashamba yao Wakapata Akili ya kuchukua Waafrika Alaka Waliwakubari Zaid kwakuwa Walikuwa na nguvu !!!

Ivo Biashara ya Utumwa kumuusu Mweusi Ikashika kasi sana sasa mwarabu anamiliki Shamba wapi !!!

leo Nikisema UISLAM ulimpa Hadhi Mweusi Sababu ktk UISLAM Yupo Mweusi alikuwa SWAWABA muimu Sana Akiitwa Bilal Uyu ndio Mwasisi wa Adhqna Duniani mtu Mweusi

lkn ktk Alakati za UISLAM kujitafuta Waliwai kusaidiwa na Ethiopia Pale kulikuwa na Mfalme Mweusi tena Alikuwa Kristo

Ata ukipata kusoma history ya
MALCOLM X
Utagundua Alisema baada ya kuusoma UISLAM Akiwa Jela uko Marekani apo apo yeye MALCOLM X Alikuwa Msomi mkubwa wa Historia ya Dunia

Apo Sasa ndio Akaiva Vizuli na kufaam UISLAM ndio Dini pekee Duniani ilio muheshim mtu Mweusi !!!!

UISLAM umeweka Usawa wa langi pale Mtume Muhammad S.A.W. aliposema Akuna m'bora Miongoni mwenu kwasababu ya Langi yake Au kwa Sababu ya Kabila lake mtu m'bora kwa Mwenyezi Mungu ni Yule Mchamungu tu sio vinginevo!!!!


MALCOLM X kufikia apo Akelewa mbivu na mbichi Alakati ya kumtetea m tu Mweusi ilimvaaa pamoja na kuupinga Ukristo kwa watu WEUSI !!!?

hii 4 / 3 / 2025 mtu Mweusi m'bantu mwenzangu unanafasi Gani kwenye UKRISTO tuanzie MAPAPA wote WAZUNGU malaika Wote Wazungu heeee basi Je Watakatifu eti nao Wote Wazungu Yani M'bantu mwenzangu Ata Utakatifu Atumo !!!!

Wazungu watupu hiii niwazi Ni Dini ya Kibaguzi aiwezekani ikawa ya Mungu
Mungu Alieniumba na kunipenda awezi kujibagua kama Ivi !!!!

uyu Mzungu!!! tuwe Wakweli nani Anampenda Kristo zaid Walokole wetu utawakuta vituo vya Daladala Jua kali lkn Wanaeneza Injili

Basi ata Mwamposa Asiwe Mtakatifu kwanini mtu Anaijaza Kawe watu wanatoka adi mikoani kuja kwake kama ni Usafi Awa Watakatifu wa Kizungu Tunaaminije kweli ni Wasafi !!!!

Ukisoma history ya Mapapa wapo Walikuwa Adi walevi !!!

Kwa ushaidi huu nimeweka ikiwa wewe ni mkristo na bado umejawa na chuki kumuusu Mwarabu na apo apo Unampenda Mizungu nikupe pole tu.

Mana akili sio nzima.!!!! Pia niliwai Toa hoja kuusu USHODA na Wazungu mzungu ndio msambaza USHOGA KTK AFRICA NA KWENGINEKO Bado mzungu uyouyo ndio Mtakatifu kuliko mtu Mweusi!!!?

Utumws ni mzungu ubaguzi wa langi Ni Mzungu Ushoga ni Mzungu sio mweusi lkn Watakatifu wote WAZUNGU poleni tena na tens majilan !!!!!!

Niwape siri ukweli wote huu Mzungu atatetewa juilize wewe uyu Anaemtetea mzungu kwann japo kila kitu kipo Wazi kwasasa jibu awa ni Wachungaji Wanapigania Ugali wao kupitia jina la Yesu !!!

ndio atakazsnia Mwarabu ndio Afai tena Afai ni njaa yao ya kuwa pola pesa kupitia Sadaka mchungaji Awezi kukili Mwarabu ana Hatia ya Utumwa!!!.

Lazima ashikilie apo apo na Vijiwe vyao kusambaza huu uwongo waumini wao Wasiwakimbie!!!!!!!!!!

Kazi ipo. Dunia inafunguka yenyewe kila kitu kitakuwa wazi Sijui mtajifichia Wapi Wachungaji...
Wahi hospitali ukapimwe akili yako!! Huwezi kuwasafisha waarabu na biashara ya utumwa!!
 
Tuanze apo ulipo ishia kujibu Baada ya kumuasi Babu yako Akampeleka wapi!!???

History hiii ililenga kupiga Tafu Ukristo Tanzania!!!!! Ajabu UISLAM Aukuyumba na Bado Watu Waliujua Ukweli Zaid na Zaid!!!

Dini hiiii ni ya mungu Binadam Awezi kuizuiya Iishashindikana leo Uslamu Tanzania kwengineko ndio inakuwa Zaid ipo misikiti apa Dar siwezi kuitaja lkn kila Ijumaa lazima Usikie Kike au kiume Anaingia Uslamu Mmoja au wawili kila IJUMAA

na Akuna chochote mtu Anapewa Zaidi ya uwongo Wawa Ongo!!!!

Dini ipo kwenye moyo Uwezi kutumia Uwongo Ukadumu milele ata hiii History itafutwa tu kwakua ni ya Uwongo lilenga kumtukuza Mzungu na Kumbebesha zigo Mwarabu !!!!

lkn Kizazi kipya kinataka kujua Ukweli mbona Babu yangu yupo Kwa Wazungu na kwanini UN pia ilishutumu Mzungu na Sio Mwarabu ????

nenda Google Andika Siku ya kupinga utumwa Dunian fungua yoyote itakupa mwangaza Kuusu Biashara ya Utumwa fungua Habari yoyote ata Vatican news Soma kilicho Andikwa kama Utaona Mwarabu katajwa umo ????

Waliotajwa ni WAZUNGU japo mala chache Chache kwa kuficha ficha lkn Ukisoma utaelewa kwanini Babu yangu Alichukuliwa Sababu ni Mashamba!!!!

kutokana na maitaji makubwa ya rasilimali watu mwanzo Wazungu walikuwa Wanawatumia ( Waindi Wekundu )

kwenye Mashamba yao lkn Ikatokea Tatizo Wale Waindi Wekundu Walikuwa Wanakufa Sana Sababu ile Jamii ilijitenga na Dunia miaka mingi Sana ivyo Wakikutana na Wazungu Walikuwa Wanaumwa Adi Kifo !!!

Kwasababu iyo ya Mashamba yao Wakapata Akili ya kuchukua Waafrika Alaka Waliwakubari Zaid kwakuwa Walikuwa na nguvu !!!

Ivo Biashara ya Utumwa kumuusu Mweusi Ikashika kasi sana sasa mwarabu anamiliki Shamba wapi !!!

leo Nikisema UISLAM ulimpa Hadhi Mweusi Sababu ktk UISLAM Yupo Mweusi alikuwa SWAWABA muimu Sana Akiitwa Bilal Uyu ndio Mwasisi wa Adhqna Duniani mtu Mweusi

lkn ktk Alakati za UISLAM kujitafuta Waliwai kusaidiwa na Ethiopia Pale kulikuwa na Mfalme Mweusi tena Alikuwa Kristo

Ata ukipata kusoma history ya
MALCOLM X
Utagundua Alisema baada ya kuusoma UISLAM Akiwa Jela uko Marekani apo apo yeye MALCOLM X Alikuwa Msomi mkubwa wa Historia ya Dunia

Apo Sasa ndio Akaiva Vizuli na kufaam UISLAM ndio Dini pekee Duniani ilio muheshim mtu Mweusi !!!!

UISLAM umeweka Usawa wa langi pale Mtume Muhammad S.A.W. aliposema Akuna m'bora Miongoni mwenu kwasababu ya Langi yake Au kwa Sababu ya Kabila lake mtu m'bora kwa Mwenyezi Mungu ni Yule Mchamungu tu sio vinginevo!!!!


MALCOLM X kufikia apo Akelewa mbivu na mbichi Alakati ya kumtetea m tu Mweusi ilimvaaa pamoja na kuupinga Ukristo kwa watu WEUSI !!!?

hii 4 / 3 / 2025 mtu Mweusi m'bantu mwenzangu unanafasi Gani kwenye UKRISTO tuanzie MAPAPA wote WAZUNGU malaika Wote Wazungu heeee basi Je Watakatifu eti nao Wote Wazungu Yani M'bantu mwenzangu Ata Utakatifu Atumo !!!!

Wazungu watupu hiii niwazi Ni Dini ya Kibaguzi aiwezekani ikawa ya Mungu
Mungu Alieniumba na kunipenda awezi kujibagua kama Ivi !!!!

uyu Mzungu!!! tuwe Wakweli nani Anampenda Kristo zaid Walokole wetu utawakuta vituo vya Daladala Jua kali lkn Wanaeneza Injili

Basi ata Mwamposa Asiwe Mtakatifu kwanini mtu Anaijaza Kawe watu wanatoka adi mikoani kuja kwake kama ni Usafi Awa Watakatifu wa Kizungu Tunaaminije kweli ni Wasafi !!!!

Ukisoma history ya Mapapa wapo Walikuwa Adi walevi !!!

Kwa ushaidi huu nimeweka ikiwa wewe ni mkristo na bado umejawa na chuki kumuusu Mwarabu na apo apo Unampenda Mizungu nikupe pole tu.

Mana akili sio nzima.!!!! Pia niliwai Toa hoja kuusu USHODA na Wazungu mzungu ndio msambaza USHOGA KTK AFRICA NA KWENGINEKO Bado mzungu uyouyo ndio Mtakatifu kuliko mtu Mweusi!!!?

Utumws ni mzungu ubaguzi wa langi Ni Mzungu Ushoga ni Mzungu sio mweusi lkn Watakatifu wote WAZUNGU poleni tena na tens majilan !!!!!!

Niwape siri ukweli wote huu Mzungu atatetewa juilize wewe uyu Anaemtetea mzungu kwann japo kila kitu kipo Wazi kwasasa jibu awa ni Wachungaji Wanapigania Ugali wao kupitia jina la Yesu !!!

ndio atakazsnia Mwarabu ndio Afai tena Afai ni njaa yao ya kuwa pola pesa kupitia Sadaka mchungaji Awezi kukili Mwarabu ana Hatia ya Utumwa!!!.

Lazima ashikilie apo apo na Vijiwe vyao kusambaza huu uwongo waumini wao Wasiwakimbie!!!!!!!!!!

Kazi ipo. Dunia inafunguka yenyewe kila kitu kitakuwa wazi Sijui mtajifichia Wapi Wachungaji...
Utter nonsense.
 
Israel ni taifa lenye usiri na utata mkubwa,kutoka kwenye kuanzishwa kwake,watu waliolikaa zamani na wanaolikalia kwa sasa.Historia inatuambia kuwa taifa la Israel lilianzishwa mwaka 1948,lakini si kweli,taifa la Israel lilianzishwa na Mungu mwenyewe kabla ya hapo.

Kudai kuwa taifa la Israel lilianzishwa mwaka 1948 ni utapeli wa famia ya Rothschild kuudanganya uma wa wanadamu, ili kuzidi kupotosha dhana nzima ya uwepo Waebrania ambao ndio wenyeji halali wa taifa la Israel.Ukweli ni kwamba Waisraeli halisi ambao ni Waebrania ni watu weusi na hata Yesu mwenyewe alikuwa mweusi.

Kwa nini nasema Bwana Yesu alikuwa mweusi.Kwanza naomba nikuhakikishie kuwa wanaoitwa Waisraeli ni actually Waebrania.

Soma Mwanzo 39:13-14,17
Inasema,
Mwanzo 39:13-14;17
13 Ikawa alipoona ya kwamba amemwachilia nguo yake mkononi mwake, naye amekimbia nje,
14 akawaita watu wa nyumbani mwake, akasema nao, akinena, Angalieni, ametuletea mtu Mwebrania atufanyie dhihaka. Ameingia kwangu, ili alale nami, nikalia kwa sauti kuu.
17 Naye akamwambia kama maneno hayo, akisema, Yule mtumwa Mwebrania uliyemleta kwetu, aliingia kwangu anidhihaki.

Sasa maandiko haya yana maana gani,yana maana kuwa kwa kuwa Yusufu alikuwa mtoto wa Yakobo ambaye aliitwa pia Israel,na watoto wa Yakobo kumi na wawili ndio walioletelea taifa la Israel pamoja na Yusufu,basi Waisraeli wa kweli ni Waebrania.Lakini kufuatana na maandiko Mfalme Sulemani na Ayubu ambao ni Waisraeli na hiyo Waebrania, walikuwa weusi!

Angalia Mfalme Sulemani anavyosema katika Wimbo Ulio Bora.

Wimbo Ulio Bora 1:5-6
5 Mimi ni mweusi-mweusi, lakini ninao uzuri, Enyi binti za Yerusalemu, Mfano wa hema za Kedari, Kama mapazia yake Sulemani.
6 Msinichunguze kwa kuwa ni mweusi-mweusi, Kwa sababu jua limeniunguza. Wana wa mamangu walinikasirikia, Waliniweka niwe mlinzi wa mashamba ya mizabibu; Bali shamba langu mwenyewe sikulilinda.

Lakini Ayubu naye ambaye alikuwa Mwebrania alikuwa mweusi!Soma hapa chini.

Ayubu 30:30
30 Ngozi yangu ni nyeusi, nayo yanitoka, Na mifupa yangu imeteketea kwa hari.

Summary ni nini hapa.Ni hivii,kama Ayubu na Mfalme Sulemani walikuwa weusi,na walikuwa Waebrania,it follows that Jesus Christ because he was Hebrew and an Israel was also black.Nadhani hiyo ipo wazi.

Historia pia inatuambia kuwa wakazi wa kwanza wa Israel waliitwa Waebrania,ambao walihusisha makabila yaliyoundwa na watoto kumi na mbili wa Yakobo kama ifuatavyo:Yuda, Reubeni,Gadi,Asheri, Naftali,Manase, Simeoni, Lawi Isakari,Zabuloni,Yusufu na wa mwisho, Benyamini.Hata hivyo jambo la kushangaza ni kuwa ushahidi wa uwepo wa makabila haya leo haupo,ni kama wamepotelea hewani tu.Makabila hayo eti yanaitwa "makabila kumi na mbili ya Israel yaliyopotea."Lakini "a people," watu, hawawezi kupotea tu,lazima kuwepo na mpango mahususi wa kufuta historia yao.

Jambo la kujiuliza ni nani alifanya mpango huo na kwa maslahi gani.Ikumbukwe kwamba kufanya kitu kama hicho kunahitaji juhudi ngingi ,kubwa na za makusudi kabisa.

Israel ni taifa ambalo liliumbwa na Mungu,kwa makusudi ya Mungu ya kumkomboa mwanadamu kupitia kwa Yesu Kristo.Sasa siku zote Shetani anapinga mipango yote ya Mungu,ambayo kwa ujumla wake inamlenga Mwanadamu.

Waebrania wakiwa msingi ambao Mungu tayari alishauweka kwa ajili ya mkakati huo,Shetani alikuwa na chuki sana nao,kwa hiyo aliwatesa kwa njia nyingi(angalia Ufunuo 2:9),akiamini kuwa kwa kufanya hivyo hatimaye Mungu atashindwa kutekeleza mpango wake,he failed miserably,na leo mwanadamu amekombolewa, akimuamini Kristo ambaye ni Mwebrania,anaurithi Ufalme wa Mungu.

Katika Kitabu cha Ufunuo wa Yohana,tunaona wale ambao walishiriki mpango huo muovu kabisa wa kupoteza makabila kumi na mbili ya Waebrania.Bwana Yesu aliwaita Sinagogi la Shetani katika Ufunuo 2:9-10 na Ufunuo 3:9.

Ufunuo wa Yohana 2:9-10
9 Naijua dhiki yako na umaskini wako, (lakini u tajiri) najua na matukano ya hao wasemao ya kuwa ni Wayahudi, nao sio, bali ni sinagogi la Shetani.
10 Usiogope mambo yatakayokupata; tazama, huyo Ibilisi atawatupa baadhi yenu gerezani ili mjaribiwe, nanyi mtakuwa na dhiki siku kumi. Uwe mwaminifu hata kufa, nami nitakupa taji ya uzima.

Ukiangalia kwa umakini maandiko hayo ,unaona kwamba wapo Wairael wasio wa kweli ambao Bwana Yesu anawaita Sinagogi la Shetani.Hawa walishirikiana na Ibilisi kuwaletea Waebrania ambao ndio Waisraeli wa kweli,mateso ambayo tunayaona katika Ufunuo 2:9-10

Lakini, je Shetani atashinda?Hapana,atashindwa kama ambavyo nimeshatangulia kusema.Soma Ufunuo 3:9 chini.Sinagogi la Shetani litakuja kusujudu mbele ya Waebrania ambao ndio Waisraeli wa kweli .

Ufunuo wa Yohana 3:9
9 Tazama, nakupa walio wa sinagogi la Shetani, wasemao kwamba ni Wayahudi, nao sio, bali wasema uongo. Tazama, nitawafanya waje kusujudu mbele ya miguu yako, na kujua ya kuwa nimekupenda.

Na mwisho wa Shetani ambaye alifanya uovu na hila zote hizi ni nini,ni kutupwa kwenye ziwa la moto liwakalo moto wa kiberiti.

Ufunuo wa Yohana 20:10
10 Na yule Ibilisi, mwenye kuwadanganya, akatupwa katika ziwa la moto na kiberiti, alimo yule mnyama na yule nabii wa uongo. Nao watateswa mchana na usiku hata milele na milele.

Naomba usikilize clip ifuatayo kwa taarifa zaidi.


View: https://youtu.be/DTy15somdgo?si=Arg5y6x5GUDZ42gY

NB:SITEGEMEI KABISA MTU MWEUSI KUPINGA HII MADA

Akipinga itakuwaje?
Nianze ni hapa.
Mwebrania alikuwa ni Ibrahim, sasa Ibrahim hakuwa mweusi, ametoka URU huko kwa asili siyo weusi wala siyo waarabu lakini ni weupe .
Njoo mpaka Daudi hakuaa mweusi,bali mmoja kati ya wake zake alikuwa mweusi,ndiye mamaye sereman.
Tukienda mbele kidogo, Musa alioa mwanamke mweusi kiasi miliamu akamteta kwa Harun, Mungu akampiga ukoma kwa kosa hilo.
Hivyo si kweli kwamba kizazi chote cha waebrania, wayahudi hadi Israel iwe ya zamani au ya sasa wote ni weusi, hapana.
Hao wamechanganya hata hivyo weusi wao siyo kama wa wakurya!
Baada ya yerusalem kupigwa nawarumi kizazi cha wayahudi waliokuwa wamerejea kutoka maeneo mbalimbali duniani walikimbia tena kwenda Asia, ulaya na hata Afirca maeneo ya Morocco, Libya, Ethiopia. Kutokana na kukaa miaka mingi wengine walio wanawake weusi wakazaa machotara, ambao ndo wanarudi Israel wakiwa weusi, na wanaitwa walowezi wengi wao.
Hiyo ndiyo asili ya weusi kuwepo katika waebrania, wayahudi hadi waisraeli. Lakini pia ujue hili kuna mwanamke aliolewa na Boaz huyo siyo mwebrania bali alikuwa ni mmoabu hao siyo weupe. Mwanamke huyo aliitwa Ruth, alikuwa mkamwana wa Naomi mke wa mwanaye ambaye alifia katika nchi ya moabu na mumewe naomi pia alifia huko, walikumbilia huko kuotokana na njaa kali katika nchi ya uyahudi. Huyo mwanamke Ruth ambaye hakuwa mweupe aliolewa na Boaz,ndiy bibi yake Daudi mfalme baba yake Seleman, nadhani sasa umepata picha ya weusi ulivyoingia kwa. Waebrania.
 
Back
Top Bottom