Ukweli ni kwamba Waisraeli halisi ambao ni Waebrania ni watu weusi

Ukweli ni kwamba Waisraeli halisi ambao ni Waebrania ni watu weusi

JAPO leo umeendika kitu chenye Ukweli na chenye kuelimisha Wana Jamii Forums tukisema Yesu sio Mzungu kuwa watu Wanaona Tunawatukana la kushangaza wanaoumia ni Weusi Wemzetu..

Mzungu ajawai Ata kuwa Mtume yoyote kwenye Dunia Wala DADA Zao sio Maraika wala MARIA sio yule Mzungu Watu wameaminishwa Ujinga Usio na Ukweli mzungu kafiri tangu na tangu!!!!

Mungu Fundi Awezi kufanana na mijitu kama hiii Mizungu Yani USHOGA!!! wao kukwiba mali na rasilimali za Watu !!! kuuwa watu Ovyo!!

WANAMACHuKI kwa mtu Mweusi uyu angefanana na Mungu kweli Sisi Wamatumbi Tusingekuwepo ktk Dunia mweusi acha Ujinga imetosha kuwa Minga Amka sasa !!!

Ona Watu WEUSI wenye Majina Makubwa wengi Wameuwawa kimafia LUTHER king Malcolm X Bob marley Michael Jackson kama sio kujisalimisha kuiga Uzungu Wangeshamuua Zamani,, mijitu yenye Chuki kama hiii Vip Ifanane na Mungu!!!!

au na Mtume wa Mungu au na Malaika wa Mungu. Mtu mweusi Wewe ndio mwenye kufanana na WATUKUFU Muimu Mwafrika apendi Vita Atujawai Vamia nchi yoyote popote ktk dunia !!!

Mungu ametubariki zama kwa Zama Wazungu Wanatuonea WIVU ndio Mana Wazungu wamekuja Afrika kutualibia Tamaduni zetu ma kutuibia rasilimali Zetu!!!!!!

, mwarabu ajawai kuwa na shida na mtu mweusi hii ni Propaganda za Wazungu. Mtu MWEUSI ALIKOMBOLEWA NA Kusaminiwa na UISLAM MIAKA MINGI UKO NYUMA Mwarabu ammtazani mweusi kwa Chuki lkn mzungu ndio Tatizo.
Hakuna mtu mbaya kama mwarabu na kama hujui alichowafanyia waafrika wakati wa biashara yao haramu ya utumwa afadhali unyamaze tu.

Wewe unamsujudia kisa alikudanganya ufuate utamaduni wake na kukudanganya kwamba ndio dini na wewe kwa akili ndogo ukakubali kuingizwa chaka. Bure kabisa.
 
Unaona ulivyomjinga. Unataka historia ya Israel ukiwa gongo la mboto kenge kweli. Mpuuz mmoja unaejifqnya kujua usichokijua unafikiri huku ni kundi la wajinga wenzio sio. Unajua Jerusalem japo ulikuwa mji wa Israel lakin umetawaliwa kwa nyakati tofauti tofauti na mataifa tofauti na jews walichananganya damu mapema sana na mataifa mengine. Ndio maana kuna jews black, waarabu,waajemi, wazungu, nk. Eti kwamba ukienda kanisa la mashariki Yesu alikuwa black hatukatai ila ukweli jamaa walichanganya damu mapema so wako rangi tofauti tofauti tangu mwanzo. Na sio jews tu eneo lote la northen afrika lilikuwa la waafrika design ya Ethiopian. Sasa wewe chagua mwl wa kukufundisha acha kusoma na kwenda maeneo tofauti kupata elimu kwa kina
Usiniwekee maneno mdomoni,sijasema sijawahi kutembelea Israel.Infact nimeshatembelea probaly many times than you if you have.,Ila the people are so evil, that I would not like to go there again ever.Yes, the sights are there,but to a spiritual person,there is nothing spiritual about them After all God is omnipresent,so you do not have to go to Israel.Infact because of the internet,one can carryout research by visiting worldwide archives without even visiting any sight.
 
Usiniwekee maneno mdomoni,sijasema sijawahi kutembelea Israel.Infact nimeshatembelea probaly many times than you if you have.,Ila the people are so evil, that I would not like to go there again ever.Yes, the sights are there,but to a spiritual person,there is nothing spiritual about them After all God is omnipresent,so you do not have to go to Israel.Infact because of the internet,one can carryout research by visiting worldwide archives without even visiting any sight.
Huhitaji kuongea kiingereza kiingi chief. Nachosema fanya Tahiti upya. Mi mwanzon nilikuwa kama wewe lakin unachotakiwa kujua dunian kote kuna watu ni mashetan. So hakuna kipya walichonacho wayahud zaid ya binadam wengine. Ila hilo haliondoi ukweli kuwa pale wapo jews original na fake na around majiran wapo jews wa kutosha.
 
Israel ni taifa lenye usiri na utata mkubwa,kutoka kwenye kuanzishwa kwake,watu waliolikaa zamani na wanaolikalia kwa sasa.Historia inatuambia kuwa taifa la Israel lilianzishwa mwaka 1948,lakini si kweli,taifa la Israel lilianzishwa na Mungu mwenyewe kabla ya hapo.

Kudai kuwa taifa la Israel lilianzishwa mwaka 1948 ni utapeli wa famia ya Rothschild kuudanganya uma wa wanadamu, ili kuzidi kupotosha dhana nzima ya uwepo Waebrania ambao ndio wenyeji halali wa taifa la Israel.Ukweli ni kwamba Waisraeli halisi ambao ni Waebrania ni watu weusi na hata Yesu mwenyewe alikuwa mweusi.

Kwa nini nasema Bwana Yesu alikuwa mweusi.Kwanza naomba nikuhakikishie kuwa wanaoitwa Waisraeli ni actually Waebrania.

Soma Mwanzo 39:13-14,17
Inasema,
Mwanzo 39:13-14;17
13 Ikawa alipoona ya kwamba amemwachilia nguo yake mkononi mwake, naye amekimbia nje,
14 akawaita watu wa nyumbani mwake, akasema nao, akinena, Angalieni, ametuletea mtu Mwebrania atufanyie dhihaka. Ameingia kwangu, ili alale nami, nikalia kwa sauti kuu.
17 Naye akamwambia kama maneno hayo, akisema, Yule mtumwa Mwebrania uliyemleta kwetu, aliingia kwangu anidhihaki.

Sasa maandiko haya yana maana gani,yana maana kuwa kwa kuwa Yusufu alikuwa mtoto wa Yakobo ambaye aliitwa pia Israel,na watoto wa Yakobo kumi na wawili ndio walioletelea taifa la Israel pamoja na Yusufu,basi Waisraeli wa kweli ni Waebrania.Lakini kufuatana na maandiko Mfalme Sulemani na Ayubu ambao ni Waisraeli na hiyo Waebrania, walikuwa weusi!

Angalia Mfalme Sulemani anavyosema katika Wimbo Ulio Bora.

Wimbo Ulio Bora 1:5-6
5 Mimi ni mweusi-mweusi, lakini ninao uzuri, Enyi binti za Yerusalemu, Mfano wa hema za Kedari, Kama mapazia yake Sulemani.
6 Msinichunguze kwa kuwa ni mweusi-mweusi, Kwa sababu jua limeniunguza. Wana wa mamangu walinikasirikia, Waliniweka niwe mlinzi wa mashamba ya mizabibu; Bali shamba langu mwenyewe sikulilinda.

Lakini Ayubu naye ambaye alikuwa Mwebrania alikuwa mweusi!Soma hapa chini.

Ayubu 30:30
30 Ngozi yangu ni nyeusi, nayo yanitoka, Na mifupa yangu imeteketea kwa hari.

Summary ni nini hapa.Ni hivii,kama Ayubu na Mfalme Sulemani walikuwa weusi,na walikuwa Waebrania,it follows that Jesus Christ because he was Hebrew and an Israel was also black.Nadhani hiyo ipo wazi.

Historia pia inatuambia kuwa wakazi wa kwanza wa Israel waliitwa Waebrania,ambao walihusisha makabila yaliyoundwa na watoto kumi na mbili wa Yakobo kama ifuatavyo:Yuda, Reubeni,Gadi,Asheri, Naftali,Manase, Simeoni, Lawi Isakari,Zabuloni,Yusufu na wa mwisho, Benyamini.Hata hivyo jambo la kushangaza ni kuwa ushahidi wa uwepo wa makabila haya leo haupo,ni kama wamepotelea hewani tu.Makabila hayo eti yanaitwa "makabila kumi na mbili ya Israel yaliyopotea."Lakini "a people," watu, hawawezi kupotea tu,lazima kuwepo na mpango mahususi wa kufuta historia yao.

Jambo la kujiuliza ni nani alifanya mpango huo na kwa maslahi gani.Ikumbukwe kwamba kufanya kitu kama hicho kunahitaji juhudi ngingi ,kubwa na za makusudi kabisa.

Israel ni taifa ambalo liliumbwa na Mungu,kwa makusudi ya Mungu ya kumkomboa mwanadamu kupitia kwa Yesu Kristo.Sasa siku zote Shetani anapinga mipango yote ya Mungu,ambayo kwa ujumla wake inamlenga Mwanadamu.

Waebrania wakiwa msingi ambao Mungu tayari alishauweka kwa ajili ya mkakati huo,Shetani alikuwa na chuki sana nao,kwa hiyo aliwatesa kwa njia nyingi(angalia Ufunuo 2:9),akiamini kuwa kwa kufanya hivyo hatimaye Mungu atashindwa kutekeleza mpango wake,he failed miserably,na leo mwanadamu amekombolewa, akimuamini Kristo ambaye ni Mwebrania,anaurithi Ufalme wa Mungu.

Katika Kitabu cha Ufunuo wa Yohana,tunaona wale ambao walishiriki mpango huo muovu kabisa wa kupoteza makabila kumi na mbili ya Waebrania.Bwana Yesu aliwaita Sinagogi la Shetani katika Ufunuo 2:9-10 na Ufunuo 3:9.

Ufunuo wa Yohana 2:9-10
9 Naijua dhiki yako na umaskini wako, (lakini u tajiri) najua na matukano ya hao wasemao ya kuwa ni Wayahudi, nao sio, bali ni sinagogi la Shetani.
10 Usiogope mambo yatakayokupata; tazama, huyo Ibilisi atawatupa baadhi yenu gerezani ili mjaribiwe, nanyi mtakuwa na dhiki siku kumi. Uwe mwaminifu hata kufa, nami nitakupa taji ya uzima.

Ukiangalia kwa umakini maandiko hayo ,unaona kwamba wapo Wairael wasio wa kweli ambao Bwana Yesu anawaita Sinagogi la Shetani.Hawa walishirikiana na Ibilisi kuwaletea Waebrania ambao ndio Waisraeli wa kweli,mateso ambayo tunayaona katika Ufunuo 2:9-10

Lakini, je Shetani atashinda?Hapana,atashindwa kama ambavyo nimeshatangulia kusema.Soma Ufunuo 3:9 chini.Sinagogi la Shetani litakuja kusujudu mbele ya Waebrania ambao ndio Waisraeli wa kweli .

Ufunuo wa Yohana 3:9
9 Tazama, nakupa walio wa sinagogi la Shetani, wasemao kwamba ni Wayahudi, nao sio, bali wasema uongo. Tazama, nitawafanya waje kusujudu mbele ya miguu yako, na kujua ya kuwa nimekupenda.

Na mwisho wa Shetani ambaye alifanya uovu na hila zote hizi ni nini,ni kutupwa kwenye ziwa la moto liwakalo moto wa kiberiti.

Ufunuo wa Yohana 20:10
10 Na yule Ibilisi, mwenye kuwadanganya, akatupwa katika ziwa la moto na kiberiti, alimo yule mnyama na yule nabii wa uongo. Nao watateswa mchana na usiku hata milele na milele.

Naomba usikilize clip ifuatayo kwa taarifa zaidi.


View: https://youtu.be/DTy15somdgo?si=Arg5y6x5GUDZ42gY

NB:SITEGEMEI KABISA MTU MWEUSI KUPINGA HII MADA

Kwenye kitabu cha mathayo sura ya Kwanza Ayubu hayupo kwenye ukoo wa Yesu,

Mfalme Selemani, anasema ni mweusi mweusi maana jua limemuunguza kwa hiyo weusi haikuwa rangi yake ya asili aliyozaliwa nayo ila ilikuwa nyeusi kwa kuwa aliunguzwa na na jua na biblia imesema hilo wazi.

Kwa hiyo hiki ulichoandika ni hekaya tu na upotoshaji.
Shida yako wewe unachuki na Israel kwa hiyo upo tayari kutunga uwongo ilimradi tu nafsi yako ifurahi.
 
Usiniwekee maneno mdomoni,sijasema sijawahi kutembelea Israel.Infact nimeshatembelea probaly many times than you if you have.,Ila the people are so evil, that I would not like to go there again ever.Yes, the sights are there,but to a spiritual person,there is nothing spiritual about them After all God is omnipresent,so you do not have to go to Israel.Infact because of the internet,one can carryout research by visiting worldwide archives without even visiting any sight.
Ulishawah kusoma vitabu vya asyrians? Mi maisha yangu mengi yapo Middle east so ukiacha tu ndani ya Israel unaweza kuipata historia ya jews nje ya Israel hasa nchi zilizowazunguka kuliko ndani. Kuwa waovu au vingninevyo haiondoi ukweli kuwa hao ni waisrael na hata wakiwa watakatifu hawakufanyi wewe kuwa mtakatifu. Mbinguni utafika kwa jitihada zako mwenyewe na Mungu wako sio kwa yale yaliyopo nje yako.
 
Israel ni taifa lenye usiri na utata mkubwa,kutoka kwenye kuanzishwa kwake,watu waliolikaa zamani na wanaolikalia kwa sasa.Historia inatuambia kuwa taifa la Israel lilianzishwa mwaka 1948,lakini si kweli,taifa la Israel lilianzishwa na Mungu mwenyewe kabla ya hapo.

Kudai kuwa taifa la Israel lilianzishwa mwaka 1948 ni utapeli wa famia ya Rothschild kuudanganya uma wa wanadamu, ili kuzidi kupotosha dhana nzima ya uwepo Waebrania ambao ndio wenyeji halali wa taifa la Israel.Ukweli ni kwamba Waisraeli halisi ambao ni Waebrania ni watu weusi na hata Yesu mwenyewe alikuwa mweusi.

Kwa nini nasema Bwana Yesu alikuwa mweusi.Kwanza naomba nikuhakikishie kuwa wanaoitwa Waisraeli ni actually Waebrania.

Soma Mwanzo 39:13-14,17
Inasema,
Mwanzo 39:13-14;17
13 Ikawa alipoona ya kwamba amemwachilia nguo yake mkononi mwake, naye amekimbia nje,
14 akawaita watu wa nyumbani mwake, akasema nao, akinena, Angalieni, ametuletea mtu Mwebrania atufanyie dhihaka. Ameingia kwangu, ili alale nami, nikalia kwa sauti kuu.
17 Naye akamwambia kama maneno hayo, akisema, Yule mtumwa Mwebrania uliyemleta kwetu, aliingia kwangu anidhihaki.

Sasa maandiko haya yana maana gani,yana maana kuwa kwa kuwa Yusufu alikuwa mtoto wa Yakobo ambaye aliitwa pia Israel,na watoto wa Yakobo kumi na wawili ndio walioletelea taifa la Israel pamoja na Yusufu,basi Waisraeli wa kweli ni Waebrania.Lakini kufuatana na maandiko Mfalme Sulemani na Ayubu ambao ni Waisraeli na hiyo Waebrania, walikuwa weusi!

Angalia Mfalme Sulemani anavyosema katika Wimbo Ulio Bora.

Wimbo Ulio Bora 1:5-6
5 Mimi ni mweusi-mweusi, lakini ninao uzuri, Enyi binti za Yerusalemu, Mfano wa hema za Kedari, Kama mapazia yake Sulemani.
6 Msinichunguze kwa kuwa ni mweusi-mweusi, Kwa sababu jua limeniunguza. Wana wa mamangu walinikasirikia, Waliniweka niwe mlinzi wa mashamba ya mizabibu; Bali shamba langu mwenyewe sikulilinda.

Lakini Ayubu naye ambaye alikuwa Mwebrania alikuwa mweusi!Soma hapa chini.

Ayubu 30:30
30 Ngozi yangu ni nyeusi, nayo yanitoka, Na mifupa yangu imeteketea kwa hari.

Summary ni nini hapa.Ni hivii,kama Ayubu na Mfalme Sulemani walikuwa weusi,na walikuwa Waebrania,it follows that Jesus Christ because he was Hebrew and an Israel was also black.Nadhani hiyo ipo wazi.

Historia pia inatuambia kuwa wakazi wa kwanza wa Israel waliitwa Waebrania,ambao walihusisha makabila yaliyoundwa na watoto kumi na mbili wa Yakobo kama ifuatavyo:Yuda, Reubeni,Gadi,Asheri, Naftali,Manase, Simeoni, Lawi Isakari,Zabuloni,Yusufu na wa mwisho, Benyamini.Hata hivyo jambo la kushangaza ni kuwa ushahidi wa uwepo wa makabila haya leo haupo,ni kama wamepotelea hewani tu.Makabila hayo eti yanaitwa "makabila kumi na mbili ya Israel yaliyopotea."Lakini "a people," watu, hawawezi kupotea tu,lazima kuwepo na mpango mahususi wa kufuta historia yao.

Jambo la kujiuliza ni nani alifanya mpango huo na kwa maslahi gani.Ikumbukwe kwamba kufanya kitu kama hicho kunahitaji juhudi ngingi ,kubwa na za makusudi kabisa.

Israel ni taifa ambalo liliumbwa na Mungu,kwa makusudi ya Mungu ya kumkomboa mwanadamu kupitia kwa Yesu Kristo.Sasa siku zote Shetani anapinga mipango yote ya Mungu,ambayo kwa ujumla wake inamlenga Mwanadamu.

Waebrania wakiwa msingi ambao Mungu tayari alishauweka kwa ajili ya mkakati huo,Shetani alikuwa na chuki sana nao,kwa hiyo aliwatesa kwa njia nyingi(angalia Ufunuo 2:9),akiamini kuwa kwa kufanya hivyo hatimaye Mungu atashindwa kutekeleza mpango wake,he failed miserably,na leo mwanadamu amekombolewa, akimuamini Kristo ambaye ni Mwebrania,anaurithi Ufalme wa Mungu.

Katika Kitabu cha Ufunuo wa Yohana,tunaona wale ambao walishiriki mpango huo muovu kabisa wa kupoteza makabila kumi na mbili ya Waebrania.Bwana Yesu aliwaita Sinagogi la Shetani katika Ufunuo 2:9-10 na Ufunuo 3:9.

Ufunuo wa Yohana 2:9-10
9 Naijua dhiki yako na umaskini wako, (lakini u tajiri) najua na matukano ya hao wasemao ya kuwa ni Wayahudi, nao sio, bali ni sinagogi la Shetani.
10 Usiogope mambo yatakayokupata; tazama, huyo Ibilisi atawatupa baadhi yenu gerezani ili mjaribiwe, nanyi mtakuwa na dhiki siku kumi. Uwe mwaminifu hata kufa, nami nitakupa taji ya uzima.

Ukiangalia kwa umakini maandiko hayo ,unaona kwamba wapo Wairael wasio wa kweli ambao Bwana Yesu anawaita Sinagogi la Shetani.Hawa walishirikiana na Ibilisi kuwaletea Waebrania ambao ndio Waisraeli wa kweli,mateso ambayo tunayaona katika Ufunuo 2:9-10

Lakini, je Shetani atashinda?Hapana,atashindwa kama ambavyo nimeshatangulia kusema.Soma Ufunuo 3:9 chini.Sinagogi la Shetani litakuja kusujudu mbele ya Waebrania ambao ndio Waisraeli wa kweli .

Ufunuo wa Yohana 3:9
9 Tazama, nakupa walio wa sinagogi la Shetani, wasemao kwamba ni Wayahudi, nao sio, bali wasema uongo. Tazama, nitawafanya waje kusujudu mbele ya miguu yako, na kujua ya kuwa nimekupenda.

Na mwisho wa Shetani ambaye alifanya uovu na hila zote hizi ni nini,ni kutupwa kwenye ziwa la moto liwakalo moto wa kiberiti.

Ufunuo wa Yohana 20:10
10 Na yule Ibilisi, mwenye kuwadanganya, akatupwa katika ziwa la moto na kiberiti, alimo yule mnyama na yule nabii wa uongo. Nao watateswa mchana na usiku hata milele na milele.

Naomba usikilize clip ifuatayo kwa taarifa zaidi.


View: https://youtu.be/DTy15somdgo?si=Arg5y6x5GUDZ42gY

NB:SITEGEMEI KABISA MTU MWEUSI KUPINGA HII MADA

Naongezea;
Ukienda Ngorongoro wanasema Dr.Lous Leakey na Merry leakey 1959 (Wazungu)Wakigundua Kuwa Mwanadamu wa Kwanza Aliishi Olduvai gorge Arusha.

Tangu Mwaka 1959 Hadi leo hajatokea Mtu yeyote kupinga Chapisho hilo!
Pia Inasemekana Ehud Barak alikuja Arusha Kutalii,Alipikuwa anahojiws akasema amekuja Kuona Sehemu Takatifu ambayo binafamubwa Kwamza Aliishi!
Nyie Watanzania Mnakuja Kwetu Israel kuhuji,Sisi tunakuja hapa Kuona binafamubwa Kwanza alipoishi.
na Inasemekana Huko Okduvau gorge Ukiingia ndani Kule chini Kuna Wingu/Mbingu yake, ni kama dunia Nyingine,

Pia **** Sehemu moja tuu ya Kuingilia na Kutokea
kwa Kweli ni mambo Mengi ya Kujifunza huko!’sasa aje Mtu apinge kwa hoja na refferences kuwa Binadsmubwa Kwanza hakuishi Hapa Tanzania(Olduvai gorge)
 
Wakiwa weusi ili itusaidie nini? Sasa hao waebrania weusi wako wapi leo? Kwa hiyo mashariki ya kati yote ni Israel tu ndio walikuwa weusi? Vipindi Syria, Iraq, Saudi Arabia, Yemen, Oman, Iran, Jordan na Lebanon wao walikuwa rangi gani?
 
Kwenye kitabu cha mathayo sura ya Kwanza Ayubu hayupo kwenye ukoo wa Yesu,

Mfalme Selemani, anasema ni mweusi mweusi maana jua limemuunguza kwa hiyo weusi haikuwa rangi yake ya asili aliyozaliwa nayo ila ilikuwa nyeusi kwa kuwa aliunguzwa na na jua na biblia imesema hilo wazi.

Kwa hiyo hiki ulichoandika ni hekaya tu na upotoshaji.
Shida yako wewe unachuki na Israel kwa hiyo upo tayari kutunga uwongo ilimradi tu nafsi yako ifurahi.
Jua likimuunguza Mzungu hawi mweusi mkuu,he becomes red,nimekaa nao.By the way,nashangaa mtu anayeng'ang'ania kuwa Hebrews are white.Wazungu wenyewe wanakubali kuwa Hebrews are black,sasa ninyi weusi mnang'ang'ania nini kuwa Hebrews are white?Ni ajabu sana.
 
Wamasai wapo katika yale makabila 12 .

Ni waisraeli kabisa.
 
Jua likimuunguza Mzungu hawi mweusi mkuu,he becomes red,nimekaa nao.By the way,nashangaa mtu anayeng'ang'ania kuwa Hebrews are white.Wazungu wenyewe wanakubali kuwa Hebrews are black,sasa ninyi weusi mnang'ang'ania nini kuwa Hebrews are white?Ni ajabu sana.
Hizi ni hekaya hebu acha uwongo wewe mwenyewe Selemani anasema ni mweusi maana kaunguzwa na jua halafu unaipachikia biblia maneno yako kuwa alikuwa mweusi kwa maana ya uafrika?
Yaani unataka tukuamini wewe badala ya biblia eti kwa kuwa umekaa na wazungu?

mara ohh kwa kuwa ayubu alikuwa mweusi basi Yesu naye alikuwa mweusi ilihali ya kuwa Ayubu hayupo kwenye ukoo wa Yesu ambao Mathayo sura ya kwanza wametrace back kabla ya hata Ayubu hajulikani kama atakuwepo.

Inapokuja suala la Israel wewe ni mtoshaji mkubwa sana.
 
Hakuna mtu mbaya kama mwarabu na kama hujui alichowafanyia waafrika wakati wa biashara yao haramu ya utumwa afadhali unyamaze tu.

Wewe unamsujudia kisa alikudanganya ufuate utamaduni wake na kukudanganya kwamba ndio dini na wewe kwa akili ndogo ukakubali kuingizwa chaka. Bure kabisa.
Nipe Ushaidi Mwarabu alichukua Babu yako kumpeleka wapi au Toa maelezo ya kueleweka !!!

Tuanze apo Biashara ya Utumwa ilikuwa ni Propaganda ili watu Wawachukie Waraabu sasa niambie Mwarabu alimchukua Babu yako kumpeleka Wapi
BIASHARA ya Watumwa Ilifanywa na Wazungu kwa maitaji ya Nguvu kazi katika Mashamba yao Pembe mbalimbali ya Dunia ndio Mana Leo Walipo Watumwa Weusi kuna WAZUNGU

Hoja ya kuwa Mwarabu ndio kakukamata kwasasa aina nguvu Akukamate ili akupeleke wapi kweni Wazungu Awajatalwala Tangamyika !!??? Wenye ayo Mashamba makubwa Duniani sio Awa Waliotutawala apa Tangamyika!!!??

Mwarabu na mashamba Wapi na wapi
Sasa mtu Mweusi wanini eti utasikia tena Mwarabu ndio Afai kabisa kwa Ushaidi upi Babu Zako Wako America!!??
uko sio Urabani sasa uyu ndio Afai kivupi

Acha Propaganda toa maelezo yenye kueleweka!!! Kidhibiti cha Babu yako anacho mungu wako wa Kizungu !!?

na ndio miaka frani alipiga Marufuku Biashara ya Utumwa kuna nchi gani nyengine imepiga Marufuku iyo Biashara zaid ya WAZUNGU!!????!!?

Mzungu uyouyo Marekani wkt Wa maandamano ya kupinga Ubaguzi wa langi Weusi wenzetu Waliyabomoa Masanamu ya WAZUNGU ambaa ndio Wallkuwa Wafanya Biashara kubwa ya Utumwa Duniani !!??

marekani na Uingeleza kote uko Masanamu yalibomolewa ya magwiji wa Utumwa !!! ??

kama mwingeleza kututawala vipi Asubili mtumwa kutoka kwa Mwarabu!!??

nawewe Nitafutie Sanam la mwarabu alimuuza Babu yako popote lilipo!!!!??

historia hii ya kumuweka Mwarabu ililenga Dini lkn Muislam wa Pwani yote alishagundua ndio mana Bado Uislam umeshamili pwani yote. !!!!

Tofauti na Waliotunga Uwongo!!!!i Dini ipo kwenye nyoyo ya Mtu Nafasi Uwongo ilibuniwa na Wachovu matokea yake yamekuwa ni ( O )

Ubaguzi wa langi ndio Chimbuko la Utumwa Hii leo kila kitu kinafunguka uko marekani miaka ya Juzi tu ilikuwa kwenye Usafiri wa Public mfano kwenye mwendo kasi

Babu zetu Weusu ilikuwa Akikaa kwenye Siti ya gari mzee kikija kitoto cha Kizungu Babu yetu Nweusi inabidi Ampishe dogo Akae yeye!! !!??

MAREKANI Weusi wenzetu Bado wapo kwenye mateso tuje uku Afrika kusini tuliona Wazungu walichowafanyia ndugu zetu na Ubaguzi wa langi !!!!!

wewe mwenye chuki na Mwarabu na Uislamu lete Ushaidi wako au maelezo yakufanana na Ukweli ulio leo mbele ya macho yetu.. Acha Propaganda za kitoto Uwongo usio na mashiko !!!!


nakuu zangu Babu yko yupo marekani kwa MZUNGU mwarabu kausikaje.?????

Usikimbie hoja embu wajibu wana Jamii Forums na akika Wanajiuliza aya maswali pwani yetu ni mnadai kwenye history mwarabu ndio Kauza Babu zetu kwa Mzungu!!!!!

Swali Je wa Oman walitawala Afrika nzima!!?? Kama apana tujibu wale watumwa kutoka Afrika Magharibi walifikaje Marekani napo OMAN iliwauza kule!!!?.?

Wafanya Propaganda kumuusu Mwarabu kazi mnayo msikimbie hoja tu..?? .
 
Israel ni taifa lenye usiri na utata mkubwa,kutoka kwenye kuanzishwa kwake,watu waliolikaa zamani na wanaolikalia kwa sasa.Historia inatuambia kuwa taifa la Israel lilianzishwa mwaka 1948,lakini si kweli,taifa la Israel lilianzishwa na Mungu mwenyewe kabla ya hapo.

Kudai kuwa taifa la Israel lilianzishwa mwaka 1948 ni utapeli wa famia ya Rothschild kuudanganya uma wa wanadamu, ili kuzidi kupotosha dhana nzima ya uwepo Waebrania ambao ndio wenyeji halali wa taifa la Israel.Ukweli ni kwamba Waisraeli halisi ambao ni Waebrania ni watu weusi na hata Yesu mwenyewe alikuwa mweusi.

Kwa nini nasema Bwana Yesu alikuwa mweusi.Kwanza naomba nikuhakikishie kuwa wanaoitwa Waisraeli ni actually Waebrania.

Soma Mwanzo 39:13-14,17
Inasema,
Mwanzo 39:13-14;17
13 Ikawa alipoona ya kwamba amemwachilia nguo yake mkononi mwake, naye amekimbia nje,
14 akawaita watu wa nyumbani mwake, akasema nao, akinena, Angalieni, ametuletea mtu Mwebrania atufanyie dhihaka. Ameingia kwangu, ili alale nami, nikalia kwa sauti kuu.
17 Naye akamwambia kama maneno hayo, akisema, Yule mtumwa Mwebrania uliyemleta kwetu, aliingia kwangu anidhihaki.

Sasa maandiko haya yana maana gani,yana maana kuwa kwa kuwa Yusufu alikuwa mtoto wa Yakobo ambaye aliitwa pia Israel,na watoto wa Yakobo kumi na wawili ndio walioletelea taifa la Israel pamoja na Yusufu,basi Waisraeli wa kweli ni Waebrania.Lakini kufuatana na maandiko Mfalme Sulemani na Ayubu ambao ni Waisraeli na hiyo Waebrania, walikuwa weusi!

Angalia Mfalme Sulemani anavyosema katika Wimbo Ulio Bora.

Wimbo Ulio Bora 1:5-6
5 Mimi ni mweusi-mweusi, lakini ninao uzuri, Enyi binti za Yerusalemu, Mfano wa hema za Kedari, Kama mapazia yake Sulemani.
6 Msinichunguze kwa kuwa ni mweusi-mweusi, Kwa sababu jua limeniunguza. Wana wa mamangu walinikasirikia, Waliniweka niwe mlinzi wa mashamba ya mizabibu; Bali shamba langu mwenyewe sikulilinda.

Lakini Ayubu naye ambaye alikuwa Mwebrania alikuwa mweusi!Soma hapa chini.

Ayubu 30:30
30 Ngozi yangu ni nyeusi, nayo yanitoka, Na mifupa yangu imeteketea kwa hari.

Summary ni nini hapa.Ni hivii,kama Ayubu na Mfalme Sulemani walikuwa weusi,na walikuwa Waebrania,it follows that Jesus Christ because he was Hebrew and an Israel was also black.Nadhani hiyo ipo wazi.

Historia pia inatuambia kuwa wakazi wa kwanza wa Israel waliitwa Waebrania,ambao walihusisha makabila yaliyoundwa na watoto kumi na mbili wa Yakobo kama ifuatavyo:Yuda, Reubeni,Gadi,Asheri, Naftali,Manase, Simeoni, Lawi Isakari,Zabuloni,Yusufu na wa mwisho, Benyamini.Hata hivyo jambo la kushangaza ni kuwa ushahidi wa uwepo wa makabila haya leo haupo,ni kama wamepotelea hewani tu.Makabila hayo eti yanaitwa "makabila kumi na mbili ya Israel yaliyopotea."Lakini "a people," watu, hawawezi kupotea tu,lazima kuwepo na mpango mahususi wa kufuta historia yao.

Jambo la kujiuliza ni nani alifanya mpango huo na kwa maslahi gani.Ikumbukwe kwamba kufanya kitu kama hicho kunahitaji juhudi ngingi ,kubwa na za makusudi kabisa.

Israel ni taifa ambalo liliumbwa na Mungu,kwa makusudi ya Mungu ya kumkomboa mwanadamu kupitia kwa Yesu Kristo.Sasa siku zote Shetani anapinga mipango yote ya Mungu,ambayo kwa ujumla wake inamlenga Mwanadamu.

Waebrania wakiwa msingi ambao Mungu tayari alishauweka kwa ajili ya mkakati huo,Shetani alikuwa na chuki sana nao,kwa hiyo aliwatesa kwa njia nyingi(angalia Ufunuo 2:9),akiamini kuwa kwa kufanya hivyo hatimaye Mungu atashindwa kutekeleza mpango wake,he failed miserably,na leo mwanadamu amekombolewa, akimuamini Kristo ambaye ni Mwebrania,anaurithi Ufalme wa Mungu.

Katika Kitabu cha Ufunuo wa Yohana,tunaona wale ambao walishiriki mpango huo muovu kabisa wa kupoteza makabila kumi na mbili ya Waebrania.Bwana Yesu aliwaita Sinagogi la Shetani katika Ufunuo 2:9-10 na Ufunuo 3:9.

Ufunuo wa Yohana 2:9-10
9 Naijua dhiki yako na umaskini wako, (lakini u tajiri) najua na matukano ya hao wasemao ya kuwa ni Wayahudi, nao sio, bali ni sinagogi la Shetani.
10 Usiogope mambo yatakayokupata; tazama, huyo Ibilisi atawatupa baadhi yenu gerezani ili mjaribiwe, nanyi mtakuwa na dhiki siku kumi. Uwe mwaminifu hata kufa, nami nitakupa taji ya uzima.

Ukiangalia kwa umakini maandiko hayo ,unaona kwamba wapo Wairael wasio wa kweli ambao Bwana Yesu anawaita Sinagogi la Shetani.Hawa walishirikiana na Ibilisi kuwaletea Waebrania ambao ndio Waisraeli wa kweli,mateso ambayo tunayaona katika Ufunuo 2:9-10

Lakini, je Shetani atashinda?Hapana,atashindwa kama ambavyo nimeshatangulia kusema.Soma Ufunuo 3:9 chini.Sinagogi la Shetani litakuja kusujudu mbele ya Waebrania ambao ndio Waisraeli wa kweli .

Ufunuo wa Yohana 3:9
9 Tazama, nakupa walio wa sinagogi la Shetani, wasemao kwamba ni Wayahudi, nao sio, bali wasema uongo. Tazama, nitawafanya waje kusujudu mbele ya miguu yako, na kujua ya kuwa nimekupenda.

Na mwisho wa Shetani ambaye alifanya uovu na hila zote hizi ni nini,ni kutupwa kwenye ziwa la moto liwakalo moto wa kiberiti.

Ufunuo wa Yohana 20:10
10 Na yule Ibilisi, mwenye kuwadanganya, akatupwa katika ziwa la moto na kiberiti, alimo yule mnyama na yule nabii wa uongo. Nao watateswa mchana na usiku hata milele na milele.

Naomba usikilize clip ifuatayo kwa taarifa zaidi.


View: https://youtu.be/DTy15somdgo?si=Arg5y6x5GUDZ42gY

NB:SITEGEMEI KABISA MTU MWEUSI KUPINGA HII MADA

Hawa waebrania ndo Mwamedi anasema walikuwa waislamu?
 
Nipe Ushaidi Mwarabu alichukua Babu yako kumpeleka wapi au Toa maelezo ya kueleweka !!!

Tuanze apo Biashara ya Utumwa ilikuwa ni Propaganda ili watu Wawachukie Waraabu sasa niambie Mwarabu alimchukua Babu yako kumpeleka Wapi
BIASHARA ya Watumwa Ilifanywa na Wazungu kwa maitaji ya Nguvu kazi katika Mashamba yao Pembe mbalimbali ya Dunia ndio Mana Leo Walipo Watumwa Weusi kuna WAZUNGU

Hoja ya kuwa Mwarabu ndio kakukamata kwasasa aina nguvu Akukamate ili akupeleke wapi kweni Wazungu Awajatalwala Tangamyika !!??? Wenye ayo Mashamba makubwa Duniani sio Awa Waliotutawala apa Tangamyika!!!??

Mwarabu na mashamba Wapi na wapi
Sasa mtu Mweusi wanini eti utasikia tena Mwarabu ndio Afai kabisa kwa Ushaidi upi Babu Zako Wako America!!??
uko sio Urabani sasa uyu ndio Afai kivupi

Acha Propaganda toa maelezo yenye kueleweka!!! Kidhibiti cha Babu yako anacho mungu wako wa Kizungu !!?

na ndio miaka frani alipiga Marufuku Biashara ya Utumwa kuna nchi gani nyengine imepiga Marufuku iyo Biashara zaid ya WAZUNGU!!????!!?

Mzungu uyouyo Marekani wkt Wa maandamano ya kupinga Ubaguzi wa langi Weusi wenzetu Waliyabomoa Masanamu ya WAZUNGU ambaa ndio Wallkuwa Wafanya Biashara kubwa ya Utumwa Duniani !!??

marekani na Uingeleza kote uko Masanamu yalibomolewa ya magwiji wa Utumwa !!! ??

kama mwingeleza kututawala vipi Asubili mtumwa kutoka kwa Mwarabu!!??

nawewe Nitafutie Sanam la mwarabu alimuuza Babu yako popote lilipo!!!!??

historia hii ya kumuweka Mwarabu ililenga Dini lkn Muislam wa Pwani yote alishagundua ndio mana Bado Uislam umeshamili pwani yote. !!!!

Tofauti na Waliotunga Uwongo!!!!i Dini ipo kwenye nyoyo ya Mtu Nafasi Uwongo ilibuniwa na Wachovu matokea yake yamekuwa ni ( O )

Ubaguzi wa langi ndio Chimbuko la Utumwa Hii leo kila kitu kinafunguka uko marekani miaka ya Juzi tu ilikuwa kwenye Usafiri wa Public mfano kwenye mwendo kasi

Babu zetu Weusu ilikuwa Akikaa kwenye Siti ya gari mzee kikija kitoto cha Kizungu Babu yetu Nweusi inabidi Ampishe dogo Akae yeye!! !!??

MAREKANI Weusi wenzetu Bado wapo kwenye mateso tuje uku Afrika kusini tuliona Wazungu walichowafanyia ndugu zetu na Ubaguzi wa langi !!!!!

wewe mwenye chuki na Mwarabu na Uislamu lete Ushaidi wako au maelezo yakufanana na Ukweli ulio leo mbele ya macho yetu.. Acha Propaganda za kitoto Uwongo usio na mashiko !!!!


nakuu zangu Babu yko yupo marekani kwa MZUNGU mwarabu kausikaje.?????

Usikimbie hoja embu wajibu wana Jamii Forums na akika Wanajiuliza aya maswali pwani yetu ni mnadai kwenye history mwarabu ndio Kauza Babu zetu kwa Mzungu!!!!!

Swali Je wa Oman walitawala Afrika nzima!!?? Kama apana tujibu wale watumwa kutoka Afrika Magharibi walifikaje Marekani napo OMAN iliwauza kule!!!?.?

Wafanya Propaganda kumuusu Mwarabu kazi mnayo msikimbie hoja tu..?? .
Umefika Mali?
 
Nipe Ushaidi Mwarabu alichukua Babu yako kumpeleka wapi au Toa maelezo ya kueleweka !!!

Tuanze apo Biashara ya Utumwa ilikuwa ni Propaganda ili watu Wawachukie Waraabu sasa niambie Mwarabu alimchukua Babu yako kumpeleka Wapi
BIASHARA ya Watumwa Ilifanywa na Wazungu kwa maitaji ya Nguvu kazi katika Mashamba yao Pembe mbalimbali ya Dunia ndio Mana Leo Walipo Watumwa Weusi kuna WAZUNGU

Hoja ya kuwa Mwarabu ndio kakukamata kwasasa aina nguvu Akukamate ili akupeleke wapi kweni Wazungu Awajatalwala Tangamyika !!??? Wenye ayo Mashamba makubwa Duniani sio Awa Waliotutawala apa Tangamyika!!!??

Mwarabu na mashamba Wapi na wapi
Sasa mtu Mweusi wanini eti utasikia tena Mwarabu ndio Afai kabisa kwa Ushaidi upi Babu Zako Wako America!!??
uko sio Urabani sasa uyu ndio Afai kivupi

Acha Propaganda toa maelezo yenye kueleweka!!! Kidhibiti cha Babu yako anacho mungu wako wa Kizungu !!?

na ndio miaka frani alipiga Marufuku Biashara ya Utumwa kuna nchi gani nyengine imepiga Marufuku iyo Biashara zaid ya WAZUNGU!!????!!?

Mzungu uyouyo Marekani wkt Wa maandamano ya kupinga Ubaguzi wa langi Weusi wenzetu Waliyabomoa Masanamu ya WAZUNGU ambaa ndio Wallkuwa Wafanya Biashara kubwa ya Utumwa Duniani !!??

marekani na Uingeleza kote uko Masanamu yalibomolewa ya magwiji wa Utumwa !!! ??

kama mwingeleza kututawala vipi Asubili mtumwa kutoka kwa Mwarabu!!??

nawewe Nitafutie Sanam la mwarabu alimuuza Babu yako popote lilipo!!!!??

historia hii ya kumuweka Mwarabu ililenga Dini lkn Muislam wa Pwani yote alishagundua ndio mana Bado Uislam umeshamili pwani yote. !!!!

Tofauti na Waliotunga Uwongo!!!!i Dini ipo kwenye nyoyo ya Mtu Nafasi Uwongo ilibuniwa na Wachovu matokea yake yamekuwa ni ( O )

Ubaguzi wa langi ndio Chimbuko la Utumwa Hii leo kila kitu kinafunguka uko marekani miaka ya Juzi tu ilikuwa kwenye Usafiri wa Public mfano kwenye mwendo kasi

Babu zetu Weusu ilikuwa Akikaa kwenye Siti ya gari mzee kikija kitoto cha Kizungu Babu yetu Nweusi inabidi Ampishe dogo Akae yeye!! !!??

MAREKANI Weusi wenzetu Bado wapo kwenye mateso tuje uku Afrika kusini tuliona Wazungu walichowafanyia ndugu zetu na Ubaguzi wa langi !!!!!

wewe mwenye chuki na Mwarabu na Uislamu lete Ushaidi wako au maelezo yakufanana na Ukweli ulio leo mbele ya macho yetu.. Acha Propaganda za kitoto Uwongo usio na mashiko !!!!


nakuu zangu Babu yko yupo marekani kwa MZUNGU mwarabu kausikaje.?????

Usikimbie hoja embu wajibu wana Jamii Forums na akika Wanajiuliza aya maswali pwani yetu ni mnadai kwenye history mwarabu ndio Kauza Babu zetu kwa Mzungu!!!!!

Swali Je wa Oman walitawala Afrika nzima!!?? Kama apana tujibu wale watumwa kutoka Afrika Magharibi walifikaje Marekani napo OMAN iliwauza kule!!!?.?

Wafanya Propaganda kumuusu Mwarabu kazi mnayo msikimbie hoja tu..?? .
Shida yenu ni kwamba ile kasumba ya utumwa bado ipo nanyi ya kujiona kwamba bado nyie ni wapagazi wa mabwana wenu wa kiarabu na hii kasumba inaonekana kamwe haiwezi kwisha.

Mnawaona waarabu kama miungu watu waliowaletea hiyo mnayoita dini wakati ni utamaduni wao tu wanaueneza kwa kisingizio feki cha dini.

Unajifanya kutokujua kwamba watumwa wanaume wote walihasiwa na mabwana zao wa kiarabu kabla ya kupandishwa kwenye mangalawa kusafirishwa kupelekwa utumwani uarabuni na mataifa mengine ya Asia wakitokea Bagamoyo na Zanzibar.

Kwa mantiki hiyo ndio maana leo hii huwezi kupata uzao wa hao watumwa huko kwa sababu ya kuhasiwa kwao kabla ya kusafirishwa lakini bado leo watu mko tayari kuwatetea hao waarabu kisa tu eti walikuletea dini utafikiri wenyewe ndio waliowaletea Mungu huku. Bure kabisa you niggers.

 
Jua likimuunguza Mzungu hawi mweusi mkuu,he becomes red,nimekaa nao.By the way,nashangaa mtu anayeng'ang'ania kuwa Hebrews are white.Wazungu wenyewe wanakubali kuwa Hebrews are black,sasa ninyi weusi mnang'ang'ania nini kuwa Hebrews are white?Ni ajabu sana.
Sasa hao Hebrews rangi yao hata kama ilikuwa ni zambarau au nyeusi hilo linatuhusu nini sisi leo na wako wapi sasa. This is nonsense.
 
Endelea kutoa hoja kwa maana Mimi pia Kila nikisoma biblia naona Kila dalili ya kwamba watu wengi ambao wamezungumziwa mle ni watu weusi na wale wenye rangi nyekundu ambao walizaliwa hivyo walitajwa kabisa ya kwamba walikua wekundu...
Sasa kama walikuwa ni weusi ndio nini sasa nini msingi wa hoja yako.
 
Ndiyo maana Yusufu na Maria walikimbilia Misri wakati wa tishio la Herode

Ila hawa watu weupe ni hatari sana, hata hivi sasa wanatupunguza weusi
Wanawapunguzaje unaweza kufafanua.?
 
Wanawapunguzaje unaweza kufafanua.?
Tafuta thread moja humu inasema "...black people are targeted" kuna mzungu mmoja alifichua siri ya mipango ya kupoteza kabisa rangi nyeusi duniani
 
Back
Top Bottom