Ukweli ni kwamba Waisraeli halisi ambao ni Waebrania ni watu weusi

Ukweli ni kwamba Waisraeli halisi ambao ni Waebrania ni watu weusi

Hata baada ya mashariki ya kati kumkataa Yesu aliwaambia ufalme utahama kwao kwenda taifa jingine na umehama kweli ila sijui kwanini dini zote hawafundishwi na iliandikwa.Soma

Mathayo 21:43
Kwa sababu hiyo nawaambia, Ufalme wa Mungu utaondolewa kwenu, nao watapewa taifa lingine lenye kuzaa matunda yake.

Wengi bado wanaamini taifa teule ni Israel au Mashariki ya kati ila kiuhalisia ilishabadilika na vyama vya siri vinajua ila hawataki kusema ili watu wabaki kwenye utumwa wa kifikra.
 
Wimbo wa Sulemani 1:5-6
Mimi ni mweusi, lakini ninao uzuri, enyi binti za Yerusalemu, Kama hema za Kedari, Kama mapazia ya Sulemani. Msiniangalie kwa kuwa ni mweusi, Kwa sababu jua limeniunguza.

Kimsingi hakuna mzungu anaekua mweusi kwa kukaa juani ila mtu mweusi akikaa juani ndio anazidi kuwa mpingo.

Ayubu 30:30
Ngozi yangu inakuwa nyeusi juu yangu, Na mifupa yangu inateketea kwa sababu ya hari.

Ayubu anasema ngozi yake ilikuwa nyeusi juu yake kutokana na mateso aliyokuwa akipitia, mzungu au mtu mweupe kiasili achana na hawa weupe wa kiafrika, hawawezi kuwa weusi hata wapitie shida kiasi gani zaidi wanakua wekundu tu.

Kutoka 4:6-7
Bwana akamwambia tena, Ingiza mkono wako kifuani mwako. Akauingiza mkono wake kifuani mwake; hata alipoutoa, tazama, mkono wake umekuwa na ukoma, mweupe kama theluji. Akasema, Uurudishe mkono wako kifuani mwako. Akauingiza tena kifuani mwake; kisha akautoa kifuani mwake, na tazama, ukawa umegeuka tena, ukawa kama mwili wake mwingine, hili andiko liko wazi na linaonesha jamaa mwili wake haukua mweupe na badala yake alikua na rangi ya giza.

Kwa maana kama Musa alikuwa mweupe tayari, basi hili lisingekuwa jambo la kushangaza, lakini kwakua alikuwa na ngozi ya giza, ndio maana badiliko hili lilikuwa la kushangaza, likiashiria kuwa ngozi yake ya asili ilikuwa na rangi tofauti.

Ufunuo 1:14-15
Kichwa chake na nywele zake zilikuwa nyeupe kama sufu, kama theluji; na macho yake yalikuwa kama mwali wa moto. Na miguu yake ilikuwa kama shaba iliyosuguliwa sana, kana kwamba imesafishwa katika tanuru; na sauti yake ilikuwa kama sauti ya maji mengi.

Hapa utaona neno sufu limetumika na kimsingi hili neno sufu huwa linahusiana na muundo wa nywele za waafrika.

Lakini pia andiko linasema na miguu yake inafanana na shaba iliyosuguliwa sana, wote tunajua ya kwamba shaba ina rangi ya kahawia iliyokolea au ya dhahabu yenye giza, kwahiyo tafsiri hii inaonesha ya kwamba Yesu hakuwa na ngozi nyeupe ila alikua na eidha rangi ya kahawia(kama ile ya kiethiopia au ngozi nyeusi)

Pia nenda kapitie Yeremia 13:23, ambayo inasema hivi…
Mweusi aweza kuibadili ngozi yake, Au chui madoa yake? Kama ndivyo, ndipo mwaweza kutenda mema, Ninyi mliozoea kutenda mabaya.

Yeremia anatumia mfano wa mweusi kuonyesha kitu ambacho hakiwezi kubadilika.

Sasa ikiwa watu wa Israeli walikuwa weupe, kwa nini Yeremia anatumia mfano wa mtu mweusi ili kuonyesha utofauti wa wazi.

Nenda kwenye Waamuzi 16:13-19
Samsoni alikuwa na nywele saba zilizofungwa (locks), hii inamaanisha nywele zake hazikuwa laini bali zilikua ngumu kama zilivyo zangu kwa maana nywele laini za kizungu ni ngumu kujifunga kwenye mashungi saba kwasababu ya ule mtelezo wake.

Hesabu 12:10-12
Wingu likatoka juu ya hema; na tazama, Mariamu alikuwa na ukoma, mweupe kama theluji; Haruni akamwelekea Mariamu, na tazama, alikuwa na ukoma. Haruni akamwambia Musa, Ee bwana wangu, nakusihi, usitutie dhambi hii juu yetu, kwa kuwa tumefanya upumbavu, nasi tumekosa. Nakusihi, asiwe kama mfu, ambaye nyama ya mwili wake huwa tayari imeshakula mara atokapo tumboni mwa mama yake.

Kama huyu Mariamu angekua mweupe basi sidhani kama haya mabadiliko ya ngozi yake yangeweza kushangaza lakini pia ingekua ngumu kuyaona mabadiliko haya kwenye ngozi ya mtu ambae ni mweupe.

Mathayo 27:32, Marko 15:21, Luka 23:26
Kwenye hizo Aya tunaona maandiko ya mtu aitwae Simon wa Kirene ambae alilazimishwa kubeba msalaba wa Yesu kwa maana ya kumpokea. Kwa wana history wanajua ya kwamba Kirene eneo ambalo ilikuwa koloni la Kigiriki lililoko kaskazini mwa Afrika kwa sasa ndio Libya na eneo hilo lilikuwa na mchanganyiko wa watu, lakini lilikuwa na idadi kubwa ya waafrika weusi.

Hesabu 12:1
Kisha Mariamu na Haruni wakanena juu ya Musa, kwa sababu ya yule mwanamke Mkushi aliyemwoa; maana alikuwa amemwoa mwanamke Mkushi.

Mkushi inahusiana na Ethiopia, ambayo kihistoria imekuwa na watu wa asili ya Kiafrika. Hii inaashiria kwamba mke wa Musa alikuwa mweusi, na wakati huo huo tulishaona hapo awali ya kwamba hata Musa nae hakuwa mweupe kwahiyo hii combo haiwezi kuzaa mtu mweupe hata siku moja.

Matendo 21:38.
Je! Wewe si yule Mmisri, ambaye kabla ya siku hizi alifanya fitina, akawatoa wale watu elfu nne wa hao wenye kuua waliokuwa jangwani?

Hapa ni Warumi walimchanganya Paulo na Mmisri, Misri ni Afrika, na Wamisri wa kale walikuwa na rangi ya giza au kahawia(hakuna mwana historia anayebisha hili). Kwahiyo kutokana na andiko hili kuna uwezekano kwamba Paulo alikuwa na rangi sawa na Wamisri wa wakati huo.

Lakini pia kwenye historia ya Yusufu tunaona baada ya kuangukia Misiri na kuwa mtu mkubwa pale kisha ndugu zake walivyokuja kununua chakula hawakumtambua ila yeye aliwatambua hii inamaanisha kwamba rangi ya Yusufu haikua na utofauti wowote na rangi ya wamisri kwa maana hakuwa anaonekana wa tofauti.

Anyway, mifano iko mingi yenye kuonesha utata wa rangi halisi za watu wa kwenye biblia ingawa ukiwa muelewa lazima utaelewa ya kwamba biblia ilizungumzia watu wenye rangi fulani hivi ya kahawia au nyeusi ila si rangi myeupe kama ambavyo watu wanadhani au kuamini.
Nilichoona mimi nikuwa Ayubu alikuwa mweusi kutokana na ugonjwa,Selemani alikuwa mweusi kutokana na jua kali na Musa alipoweka mkono wake kifuani,mkono wake ulikuwa mweupe kama unaotoa mwanga na si weupe wa mzungu.

Sema wewe unapenda overthinking sana!!!
 
Point dhaifu, yaani Mimi niwe mweusi halafu nimwimbie msichana mrembo ambaye nae Ni mweusi Kisha nianze kujinadi kuwa usione weusi wangu huu lkn Mimi Ni mzuri. Haileti maana kabisa. Hapo inaonesha jamii hiyo weusi walidhalilika hivyo Sasa inabidi huyo mweusi kutumia mbinu yakujisifu ili msichana amkubali.

Kuna uongo mtu anaweza utengeneza mtu akaamini lkn ishu hii iko mbali Sana kuamini.

Mtu anaweza kidooogo kunishawishi upande wa biashara ya utumwa Babu zetu walivyo pelekwa ulaya naweza kuanza kujakuja kukuelewa lkn lazima uwe na points nondo kweli nyingine za kujazia hapo
 
Nilichoona mimi nikuwa Ayubu alikuwa mweusi kutokana na ugonjwa,Selemani alikuwa mweusi kutokana na jua kali na Musa alipoweka mkono wake kifuani,mkono wake ulikuwa mweupe kama unaotoa mwanga na si weupe wa mzungu.

Sema wewe unapenda overthinking sana!!!
Na hautakiwi kutokufikiria unless kama uko comfortable na namna mambo yalivyo, kwamba unaishi maisha yako huna time na mambo mengine ya kilimwengu.
 
Hii hoja nilikuwa nikiisikia sikia ikivuma kuwa waisrael Ni waafrika lkn sikuweza kupata hata mmoja alieleta hoja makini zinazoeleweka au kustua.

Kutokana na hili, wale wote ambao mnawazaga kwamba biblia imeandikwa na watu, kwa Sasa muwe na adabu maana uzi huu Ni funzo kwenu. Kwa sababu Kama Ni ngumu hivi kuleta hoja hapa na kuitetea ipasavyo imeshindikana. Ndipo mtajua ugumu wa kuandika kitabu Kama biblia Kuna ugumu kiasi gani na mtambue wazi kwamba biblia sio mawazo ya kibinadamu Bali Ni neno la Mungu mwenyewe.

Mfano mwanzisha uzi huu. Ili apangilie hoja zake na ushahidi utakaokubaliwa na nusu ya wanna jf wote itamuhitaji tumpatie muda kiasi gani? Utakuta hata Kama tutampa miaka Mia bado Ni ngumu kutushawishi.
 
Sawa.Kwanza naomba nikuhakikishie kuwa wanaoitwa Waisraeli ni actually Waebrania.
Soma Mwanzo 39:13-14,17
Inasema,
Mwanzo 39:13-14;17
13 Ikawa alipoona ya kwamba amemwachilia nguo yake mkononi mwake, naye amekimbia nje,
14 akawaita watu wa nyumbani mwake, akasema nao, akinena, Angalieni, ametuletea mtu Mwebrania atufanyie dhihaka. Ameingia kwangu, ili alale nami, nikalia kwa sauti kuu.
17 Naye akamwambia kama maneno hayo, akisema, Yule mtumwa Mwebrania uliyemleta kwetu, aliingia kwangu anidhihaki.

Sasa maandiko haya yana maana gani,yana maana kuwa kwa kuwa Yusufu alikuwa mtoto wa Yakobo ambaye aliitwa pia Israel,na watoto wa Yakobo kumi na wawili ndio walioletelea taifa la Israel pamoja na Yusufu,basi Waisraeli wa kweli ni Waebrania.Lakini kufuatana na maandiko Mfalme Sulemani na Ayubu ambao ni Waisraeli na hiyo Waebrania, walikuwa weusi!


Angalia Mfalme Sulemani anavyosema katika Wimbo Ulio Bora.

Wimbo Ulio Bora 1:5-6
5 Mimi ni mweusi-mweusi, lakini ninao uzuri, Enyi binti za Yerusalemu, Mfano wa hema za Kedari, Kama mapazia yake Sulemani.
6 Msinichunguze kwa kuwa ni mweusi-mweusi, Kwa sababu jua limeniunguza. Wana wa mamangu walinikasirikia, Waliniweka niwe mlinzi wa mashamba ya mizabibu; Bali shamba langu mwenyewe sikulilinda.

Lakini Ayubu naye ambaye alikuwa Mwebrania alikuwa mweusi!Soma hapa chini.

Ayubu 30:30
30 Ngozi yangu ni nyeusi, nayo yanitoka, Na mifupa yangu imeteketea kwa hari.

Summary ni nini hapa.Ni hivii,kama Ayubu na Mfalme Sulemani walikuwa weusi,na walikuwa Waebrania,it follows that Jesus Christ because he was Hebrew and an Israel was also black.Nadhani hiyo ipo wazi.
Kwahiyo Ibrahim alikuwa black?
 
Wimbo wa Sulemani 1:5-6
Mimi ni mweusi, lakini ninao uzuri, enyi binti za Yerusalemu, Kama hema za Kedari, Kama mapazia ya Sulemani. Msiniangalie kwa kuwa ni mweusi, Kwa sababu jua limeniunguza.

Kimsingi hakuna mzungu anaekua mweusi kwa kukaa juani ila mtu mweusi akikaa juani ndio anazidi kuwa mpingo.

Ayubu 30:30
Ngozi yangu inakuwa nyeusi juu yangu, Na mifupa yangu inateketea kwa sababu ya hari.

Ayubu anasema ngozi yake ilikuwa nyeusi juu yake kutokana na mateso aliyokuwa akipitia, mzungu au mtu mweupe kiasili achana na hawa weupe wa kiafrika, hawawezi kuwa weusi hata wapitie shida kiasi gani zaidi wanakua wekundu tu.

Kutoka 4:6-7
Bwana akamwambia tena, Ingiza mkono wako kifuani mwako. Akauingiza mkono wake kifuani mwake; hata alipoutoa, tazama, mkono wake umekuwa na ukoma, mweupe kama theluji. Akasema, Uurudishe mkono wako kifuani mwako. Akauingiza tena kifuani mwake; kisha akautoa kifuani mwake, na tazama, ukawa umegeuka tena, ukawa kama mwili wake mwingine, hili andiko liko wazi na linaonesha jamaa mwili wake haukua mweupe na badala yake alikua na rangi ya giza.

Kwa maana kama Musa alikuwa mweupe tayari, basi hili lisingekuwa jambo la kushangaza, lakini kwakua alikuwa na ngozi ya giza, ndio maana badiliko hili lilikuwa la kushangaza, likiashiria kuwa ngozi yake ya asili ilikuwa na rangi tofauti.

Ufunuo 1:14-15
Kichwa chake na nywele zake zilikuwa nyeupe kama sufu, kama theluji; na macho yake yalikuwa kama mwali wa moto. Na miguu yake ilikuwa kama shaba iliyosuguliwa sana, kana kwamba imesafishwa katika tanuru; na sauti yake ilikuwa kama sauti ya maji mengi.

Hapa utaona neno sufu limetumika na kimsingi hili neno sufu huwa linahusiana na muundo wa nywele za waafrika.

Lakini pia andiko linasema na miguu yake inafanana na shaba iliyosuguliwa sana, wote tunajua ya kwamba shaba ina rangi ya kahawia iliyokolea au ya dhahabu yenye giza, kwahiyo tafsiri hii inaonesha ya kwamba Yesu hakuwa na ngozi nyeupe ila alikua na eidha rangi ya kahawia(kama ile ya kiethiopia au ngozi nyeusi)

Pia nenda kapitie Yeremia 13:23, ambayo inasema hivi…
Mweusi aweza kuibadili ngozi yake, Au chui madoa yake? Kama ndivyo, ndipo mwaweza kutenda mema, Ninyi mliozoea kutenda mabaya.

Yeremia anatumia mfano wa mweusi kuonyesha kitu ambacho hakiwezi kubadilika.

Sasa ikiwa watu wa Israeli walikuwa weupe, kwa nini Yeremia anatumia mfano wa mtu mweusi ili kuonyesha utofauti wa wazi.

Nenda kwenye Waamuzi 16:13-19
Samsoni alikuwa na nywele saba zilizofungwa (locks), hii inamaanisha nywele zake hazikuwa laini bali zilikua ngumu kama zilivyo zangu kwa maana nywele laini za kizungu ni ngumu kujifunga kwenye mashungi saba kwasababu ya ule mtelezo wake.

Hesabu 12:10-12
Wingu likatoka juu ya hema; na tazama, Mariamu alikuwa na ukoma, mweupe kama theluji; Haruni akamwelekea Mariamu, na tazama, alikuwa na ukoma. Haruni akamwambia Musa, Ee bwana wangu, nakusihi, usitutie dhambi hii juu yetu, kwa kuwa tumefanya upumbavu, nasi tumekosa. Nakusihi, asiwe kama mfu, ambaye nyama ya mwili wake huwa tayari imeshakula mara atokapo tumboni mwa mama yake.

Kama huyu Mariamu angekua mweupe basi sidhani kama haya mabadiliko ya ngozi yake yangeweza kushangaza lakini pia ingekua ngumu kuyaona mabadiliko haya kwenye ngozi ya mtu ambae ni mweupe.

Mathayo 27:32, Marko 15:21, Luka 23:26
Kwenye hizo Aya tunaona maandiko ya mtu aitwae Simon wa Kirene ambae alilazimishwa kubeba msalaba wa Yesu kwa maana ya kumpokea. Kwa wana history wanajua ya kwamba Kirene eneo ambalo ilikuwa koloni la Kigiriki lililoko kaskazini mwa Afrika kwa sasa ndio Libya na eneo hilo lilikuwa na mchanganyiko wa watu, lakini lilikuwa na idadi kubwa ya waafrika weusi.

Hesabu 12:1
Kisha Mariamu na Haruni wakanena juu ya Musa, kwa sababu ya yule mwanamke Mkushi aliyemwoa; maana alikuwa amemwoa mwanamke Mkushi.

Mkushi inahusiana na Ethiopia, ambayo kihistoria imekuwa na watu wa asili ya Kiafrika. Hii inaashiria kwamba mke wa Musa alikuwa mweusi, na wakati huo huo tulishaona hapo awali ya kwamba hata Musa nae hakuwa mweupe kwahiyo hii combo haiwezi kuzaa mtu mweupe hata siku moja.

Matendo 21:38.
Je! Wewe si yule Mmisri, ambaye kabla ya siku hizi alifanya fitina, akawatoa wale watu elfu nne wa hao wenye kuua waliokuwa jangwani?

Hapa ni Warumi walimchanganya Paulo na Mmisri, Misri ni Afrika, na Wamisri wa kale walikuwa na rangi ya giza au kahawia(hakuna mwana historia anayebisha hili). Kwahiyo kutokana na andiko hili kuna uwezekano kwamba Paulo alikuwa na rangi sawa na Wamisri wa wakati huo.

Lakini pia kwenye historia ya Yusufu tunaona baada ya kuangukia Misiri na kuwa mtu mkubwa pale kisha ndugu zake walivyokuja kununua chakula hawakumtambua ila yeye aliwatambua hii inamaanisha kwamba rangi ya Yusufu haikua na utofauti wowote na rangi ya wamisri kwa maana hakuwa anaonekana wa tofauti.

Anyway, mifano iko mingi yenye kuonesha utata wa rangi halisi za watu wa kwenye biblia ingawa ukiwa muelewa lazima utaelewa ya kwamba biblia ilizungumzia watu wenye rangi fulani hivi ya kahawia au nyeusi ila si rangi myeupe kama ambavyo watu wanadhani au kuamini.
Netanyahu arudi poland
 
Ukute ndo wachaga maana ndo hawatulii.
 
Na hautakiwi kutokufikiria unless kama uko comfortable na namna mambo yalivyo, kwamba unaishi maisha yako huna time na mambo mengine ya kilimwengu.
Mimi niko comfortable kwa nini wewe hauko comfortable na namna mambo yalivyo?
 
Mimi niko comfortable kwa nini wewe hauko comfortable na namna mambo yalivyo?
Mwanadamu uliyeumbwa na Mungu huwezi kukubali kitu cha uongo.Halafuu, knowing that Jesus Christ was black raises your esteem.Mkuu nataka ulijue hili,cheating us that Jesus was black did exactly the opposite,lower our esteem,tujidharau ili iwe rahisi kututawala.
 
Israel ni taifa lenye usiri na utata mkubwa,kutoka kwenye kuanzishwa kwake,watu waliolikaa zamani na wanaolikalia kwa sasa.Historia inatuambia kuwa taifa la Israel lilianzishwa mwaka 1948,lakini si kweli,taifa la Israel lilianzishwa na Mungu mwenyewe kabla ya hapo.

Kudai kuwa taifa la Israel lilianzishwa mwaka 1948 ni utapeli wa famia ya Rothschild kuudanganya uma wa wanadamu, ili kuzidi kupotosha dhana nzima ya uwepo Waebrania ambao ndio wenyeji halali wa taifa la Israel.Ukweli ni kwamba Waisraeli halisi ambao ni Waebrania ni watu weusi na hata Yesu mwenyewe alikuwa mweusi.

Kwa nini nasema Bwana Yesu alikuwa mweusi.Kwanza naomba nikuhakikishie kuwa wanaoitwa Waisraeli ni actually Waebrania.

Soma Mwanzo 39:13-14,17
Inasema,
Mwanzo 39:13-14;17
13 Ikawa alipoona ya kwamba amemwachilia nguo yake mkononi mwake, naye amekimbia nje,
14 akawaita watu wa nyumbani mwake, akasema nao, akinena, Angalieni, ametuletea mtu Mwebrania atufanyie dhihaka. Ameingia kwangu, ili alale nami, nikalia kwa sauti kuu.
17 Naye akamwambia kama maneno hayo, akisema, Yule mtumwa Mwebrania uliyemleta kwetu, aliingia kwangu anidhihaki.

Sasa maandiko haya yana maana gani,yana maana kuwa kwa kuwa Yusufu alikuwa mtoto wa Yakobo ambaye aliitwa pia Israel,na watoto wa Yakobo kumi na wawili ndio walioletelea taifa la Israel pamoja na Yusufu,basi Waisraeli wa kweli ni Waebrania.Lakini kufuatana na maandiko Mfalme Sulemani na Ayubu ambao ni Waisraeli na hiyo Waebrania, walikuwa weusi!

Angalia Mfalme Sulemani anavyosema katika Wimbo Ulio Bora.

Wimbo Ulio Bora 1:5-6
5 Mimi ni mweusi-mweusi, lakini ninao uzuri, Enyi binti za Yerusalemu, Mfano wa hema za Kedari, Kama mapazia yake Sulemani.
6 Msinichunguze kwa kuwa ni mweusi-mweusi, Kwa sababu jua limeniunguza. Wana wa mamangu walinikasirikia, Waliniweka niwe mlinzi wa mashamba ya mizabibu; Bali shamba langu mwenyewe sikulilinda.

Lakini Ayubu naye ambaye alikuwa Mwebrania alikuwa mweusi!Soma hapa chini.

Ayubu 30:30
30 Ngozi yangu ni nyeusi, nayo yanitoka, Na mifupa yangu imeteketea kwa hari.

Summary ni nini hapa.Ni hivii,kama Ayubu na Mfalme Sulemani walikuwa weusi,na walikuwa Waebrania,it follows that Jesus Christ because he was Hebrew and an Israel was also black.Nadhani hiyo ipo wazi.

Historia pia inatuambia kuwa wakazi wa kwanza wa Israel waliitwa Waebrania,ambao walihusisha makabila yaliyoundwa na watoto kumi na mbili wa Yakobo kama ifuatavyo:Yuda, Reubeni,Gadi,Asheri, Naftali,Manase, Simeoni, Lawi Isakari,Zabuloni,Yusufu na wa mwisho, Benyamini.Hata hivyo jambo la kushangaza ni kuwa ushahidi wa uwepo wa makabila haya leo haupo,ni kama wamepotelea hewani tu.Makabila hayo eti yanaitwa "makabila kumi na mbili ya Israel yaliyopotea."Lakini "a people," watu, hawawezi kupotea tu,lazima kuwepo na mpango mahususi wa kufuta historia yao.

Jambo la kujiuliza ni nani alifanya mpango huo na kwa maslahi gani.Ikumbukwe kwamba kufanya kitu kama hicho kunahitaji juhudi ngingi ,kubwa na za makusudi kabisa.

Israel ni taifa ambalo liliumbwa na Mungu,kwa makusudi ya Mungu ya kumkomboa mwanadamu kupitia kwa Yesu Kristo.Sasa siku zote Shetani anapinga mipango yote ya Mungu,ambayo kwa ujumla wake inamlenga Mwanadamu.

Waebrania wakiwa msingi ambao Mungu tayari alishauweka kwa ajili ya mkakati huo,Shetani alikuwa na chuki sana nao,kwa hiyo aliwatesa kwa njia nyingi(angalia Ufunuo 2:9),akiamini kuwa kwa kufanya hivyo hatimaye Mungu atashindwa kutekeleza mpango wake,he failed miserably,na leo mwanadamu amekombolewa, akimuamini Kristo ambaye ni Mwebrania,anaurithi Ufalme wa Mungu.

Katika Kitabu cha Ufunuo wa Yohana,tunaona wale ambao walishiriki mpango huo muovu kabisa wa kupoteza makabila kumi na mbili ya Waebrania.Bwana Yesu aliwaita Sinagogi la Shetani katika Ufunuo 2:9-10 na Ufunuo 3:9.

Ufunuo wa Yohana 2:9-10
9 Naijua dhiki yako na umaskini wako, (lakini u tajiri) najua na matukano ya hao wasemao ya kuwa ni Wayahudi, nao sio, bali ni sinagogi la Shetani.
10 Usiogope mambo yatakayokupata; tazama, huyo Ibilisi atawatupa baadhi yenu gerezani ili mjaribiwe, nanyi mtakuwa na dhiki siku kumi. Uwe mwaminifu hata kufa, nami nitakupa taji ya uzima.

Ukiangalia kwa umakini maandiko hayo ,unaona kwamba wapo Wairael wasio wa kweli ambao Bwana Yesu anawaita Sinagogi la Shetani.Hawa walishirikiana na Ibilisi kuwaletea Waebrania ambao ndio Waisraeli wa kweli,mateso ambayo tunayaona katika Ufunuo 2:9-10

Lakini, je Shetani atashinda?Hapana,atashindwa kama ambavyo nimeshatangulia kusema.Soma Ufunuo 3:9 chini.Sinagogi la Shetani litakuja kusujudu mbele ya Waebrania ambao ndio Waisraeli wa kweli .

Ufunuo wa Yohana 3:9
9 Tazama, nakupa walio wa sinagogi la Shetani, wasemao kwamba ni Wayahudi, nao sio, bali wasema uongo. Tazama, nitawafanya waje kusujudu mbele ya miguu yako, na kujua ya kuwa nimekupenda.

Na mwisho wa Shetani ambaye alifanya uovu na hila zote hizi ni nini,ni kutupwa kwenye ziwa la moto liwakalo moto wa kiberiti.

Ufunuo wa Yohana 20:10
10 Na yule Ibilisi, mwenye kuwadanganya, akatupwa katika ziwa la moto na kiberiti, alimo yule mnyama na yule nabii wa uongo. Nao watateswa mchana na usiku hata milele na milele.

Naomba usikilize clip ifuatayo kwa taarifa zaidi.


View: https://youtu.be/DTy15somdgo?si=Arg5y6x5GUDZ42gY

NB:SITEGEMEI KABISA MTU MWEUSI KUPINGA HII MADA

Ustuchoshe na wewee weusi weupe blue sio WA nn
 
Wakupunguze wewe mtu mweusi kwa lipi ?siku mtu mweusi akipata akili sahihi ndo siku ataacha ujinga na kufanya mageuzi katika hatua zote muhimu za kimaisha.

Kipindi nyie mnadai kupunguzwa na stories za kijinga kama ya mleta mada,watu wa Ulaya,Amerika na Asia wanafanyakazi na kuwekeza kwenye RD.
Very ignorant ideas.
 
Mwanadamu uliyeumbwa na Mungu huwezi kukubali kitu cha uongo.Halafuu, knowing that Jesus Christ was black raises your esteem.Mkuu nataka ulijue hili,cheating us that Jesus was black did exactly the opposite,lower our esteem,tujidharau ili iwe rahisi kututawala.
Sasa hata ukijua kwamba alikuwa mweusi itakusaidia nini?
Hiyo esteem yako utamvimbia nani?
 
Sasa hata ukijua kwamba alikuwa mweusi itakusaidia nini?
Hiyo esteem yako utamvimbia nani?
Hujitambui kabisa,so wewe self esteem sio muhimu!You are half human or not human at all.
 
Back
Top Bottom