Ukweli ni kwamba Waisraeli halisi ambao ni Waebrania ni watu weusi

Ukweli ni kwamba Waisraeli halisi ambao ni Waebrania ni watu weusi

Nasikitikaga sana kila nikiona Mwafrika anajaribu kuunganisha rangi yake na jamii zilizoendelea
Kuna mtu nilikutana nae akaniambia kina Isaac Newton walikuwa waafrika ila mzungu hataki tujue Hilo 😂
 
Nasikia hata waarabu ambao kabila kubwa lilokuwa na asili kabisa ni weusi.
Na wachina nao walikuwa weusi na wajapan na wakorea na wahindi yaani kila race hawa pan africanist uchwara wanasema walikuwa weusi ila jambo la kushangaza watu weusi ndio wajinga wajinga walio kubuhu.
 
Israel ni taifa lenye usiri na utata mkubwa,kutoka kwenye kuanzishwa kwake,watu waliolikaa zamani na wanaolikalia kwa sasa.Historia inatuambia kuwa taifa la Israel lilianzishwa mwaka 1948,lakini si kweli,taifa la Israel lilianzishwa na Mungu mwenyewe kabla ya hapo.

Kudai kuwa taifa la Israel lilianzishwa mwaka 1948 ni utapeli wa famia ya Rothschild kuudanganya uma wa wanadamu, ili kuzidi kupotosha dhana nzima ya uwepo Waebrania ambao ndio wenyeji halali wa taifa la Israel.Ukweli ni kwamba Waisraeli halisi ambao ni Waebrania ni watu weusi na hata Yesu mwenyewe alikuwa mweusi.

Kiliichokuwa kinatokea ni Mungu kuliadhibu taifa Hilo kwa kuwapeleka Waisraeli utumwani na kuteswa na mataifa mengine walipomuasi Mungu.

Historia pia inatuambia kuwa wakazi wa kwanza wa Israel waliitwa Waebrania,ambao walihusisha makabila yaliyoundwa na watoto kumi na mbili wa Yakobo kama ifuatavyo:Yuda, Reubeni,Gadi,Asheri, Naftali,Manase, Simeoni, Lawi Isakari,Zabuloni,Yusufu na wa mwisho, Benyamini.Hata hivyo jambo la kushangaza ni kuwa ushahidi wa uwepo wa makabila haya leo haupo,ni kama wamepotelea hewani tu.Makabila hayo eti yanaitwa "makabila kumi na mbili ya Israel yaliyopotea."Lakini "a people," watu, hawawezi kupotea tu,lazima kuwepo na mpango mahususi wa kufuta historia yao.

Jambo la kujiuliza ni nani alifanya mpango huo na kwa maslahi gani.Ikumbukwe kwamba kufanya kitu kama hicho kunahitaji juhudi ngingi ,kubwa na za makusudi kabisa.

Israel ni taifa ambalo liliumbwa na Mungu,kwa makusudi ya Mungu ya kumkomboa mwanadamu kupitia kwa Yesu Kristo.Sasa siku zote Shetani anapinga mipango yote ya Mungu,ambayo kwa ujumla wake inamlenga Mwanadamu.

Waebrania wakiwa msingi ambao Mungu tayari alishauweka kwa ajili ya mkakati huo,Shetani alikuwa na chuki sana nao,kwa hiyo aliwatesa kwa njia nyingi(angalia Ufunuo 2:9),akiamini kuwa kwa kufanya hivyo hatimaye Mungu atashindwa kutekeleza mpango wake,he failed miserably,na leo mwanadamu amekombolewa, akimuamini Kristo ambaye ni Mwebrania,anaurithi Ufalme wa Mungu.

Katika Kitabu cha Ufunuo wa Yohana,tunaona wale ambao walishiriki mpango huo muovu kabisa wa kupoteza makabila kumi na mbili ya Waebrania.Bwana Yesu aliwaita Sinagogi la Shetani katika Ufunuo 2:9-10 na Ufunuo 3:9.

Ufunuo wa Yohana 2:9-10
9 Naijua dhiki yako na umaskini wako, (lakini u tajiri) najua na matukano ya hao wasemao ya kuwa ni Wayahudi, nao sio, bali ni sinagogi la Shetani.
10 Usiogope mambo yatakayokupata; tazama, huyo Ibilisi atawatupa baadhi yenu gerezani ili mjaribiwe, nanyi mtakuwa na dhiki siku kumi. Uwe mwaminifu hata kufa, nami nitakupa taji ya uzima.

Ukiangalia kwa umakini maandiko hayo ,unaona kwamba wapo Wairael wasio wa kweli ambao Bwana Yesu anawaita Sinagogi la Shetani.Hawa walishirikiana na Ibilisi kuwaletea Waebrania ambao ndio Waisraeli wa kweli,mateso ambayo tunayaona katika Ufunuo 2:9-10


Lakini, je Shetani atashinda?Hapana,atashindwa kama ambavyo nimeshatangulia kusema.Soma Ufunuo 3:9 chini.Sinagogi la Shetani litakuja kusujudu mbele ya Waebrania ambao ndio Waisraeli wa kweli .

Ufunuo wa Yohana 3:9
9 Tazama, nakupa walio wa sinagogi la Shetani, wasemao kwamba ni Wayahudi, nao sio, bali wasema uongo. Tazama, nitawafanya waje kusujudu mbele ya miguu yako, na kujua ya kuwa nimekupenda.

Na mwisho wa Shetani ambaye alifanya uovu na hila zote hizi ni nini,ni kutupwa kwenye ziwa la moto liwakalo moto wa kiberiti.

Ufunuo wa Yohana 20:10
10 Na yule Ibilisi, mwenye kuwadanganya, akatupwa katika ziwa la moto na kiberiti, alimo yule mnyama na yule nabii wa uongo. Nao watateswa mchana na usiku hata milele na milele.

Naomba usikilize clip ifuatayo kwa taarifa zaidi.


View: https://youtu.be/DTy15somdgo?si=Arg5y6x5GUDZ42gY

NB:SITEGEMEI KABISA MTU MWEUSI KUPINGA HII MADA

Hizi Ni dalili za awali za mtu wa dini kuwa mpagani/atheist.

Kinachonishanganya zaidi Ni pale mtu anaposhindwa kuiamini biblia yake na kutoka kwenye data tofauti then baadae anaitumia Tena biblia hiyo hiyo kuwa uthibitisho wa uongo wake.
Mtu ukishafikia hatua hii hata kama nilikuwa nakuheshimu kwa hoja zako nakuvua vyeo vyote.
 
Hizo ni porojo tu za kutaka kuchanganya akili za watu.

Kwa enzi na enzi watu wa mashariki ya kati hawakuwahi kuwa weusi huo ni uongo kabisa ila ukweli ulivyo ni kwamba jamii ya watu weusi walikuwa wapo maeneo ya kusini mwa Misri, Sudan, Libya, Algeria na Morocco.

Baadaye kwenye karne ya saba na nane wakati mabedui wakieneza dini ya kiislam kwa upanga ndipo waarabu waliotokea mashariki ya kati na hasa eneo linaloitwa leo Saudi Arabia walipoenda kwenye hayo maeneo walimokuwa wakiishi weusi na kuwatembezea vipigo ili kuwalazimisha kujiunga na imani yao ya kidini.

Na hapo ndipo jamii ya watu weusi kwa kupinga kusilimishwa kwa nguvu ndipo walipokimbilia kusini mwa jangwa la Sahara na wengine wengi kuuwawa.

Watu weusi hawawezi kuwa na vinasaba vya Israel halafu ndio wawe na laana hii waliyonayo leo hicho ni kitu ambacho hakiwezekani hivyo acheni hizo bangi za kuwadhalilisha waisrael kwamba ni jamii ya watu weusi.

What a ridicule..😲😲😲😲
Kwa hiyo kwa wewe kuwa mweusiyou are ridiculed
Hizo ni porojo tu za kutaka kuchanganya akili za watu.

Kwa enzi na enzi watu wa mashariki ya kati hawakuwahi kuwa weusi huo ni uongo kabisa ila ukweli ulivyo ni kwamba jamii ya watu weusi walikuwa wapo maeneo ya kusini mwa Misri, Sudan, Libya, Algeria na Morocco.

Baadaye kwenye karne ya saba na nane wakati mabedui wakieneza dini ya kiislam kwa upanga ndipo waarabu waliotokea mashariki ya kati na hasa eneo linaloitwa leo Saudi Arabia walipoenda kwenye hayo maeneo walimokuwa wakiishi weusi na kuwatembezea vipigo ili kuwalazimisha kujiunga na imani yao ya kidini.

Na hapo ndipo jamii ya watu weusi kwa kupinga kusilimishwa kwa nguvu ndipo walipokimbilia kusini mwa jangwa la Sahara na wengine wengi kuuwawa.

Watu weusi hawawezi kuwa na vinasaba vya Israel halafu ndio wawe na laana hii waliyonayo leo hicho ni kitu ambacho hakiwezekani hivyo acheni hizo bangi za kuwadhalilisha waisrael kwamba ni jamii ya watu weusi.

What a ridicule..😲😲😲😲
Soma vizuri Biblia you will realize this truth.Let me say this truth bila kupepesa,macho.Binadamu yeyote asiye na "melanin'' sio binadamu original.Ni mwafriia tu aliye binadamu original,wengine wote wametona na Mwafrika.Infact Mzungu ni zeruzeru.
Dokta ukikumbuka Kauli ya Macron kwa wayahudi baada ya kumtibua .....utagundua watu mazombi hata waoneshwe kipi hawataona.
Unajua,uongo ukirudiwa mara kwa mara una-kuwa perceived as truth na Shetani analijua hili.Ndio maana hata tunakuwa na matangazo ya biashara ya kujirudia,they are playing with our minds.Wamerudia rudia uongo kuwa Jesus was black na sisi tumeamini,very sad.
 
Ni jamii ya watu wote na sio weupe pekee kama tunavyoaminishwa hivi leo!!
Mfalme Suleiman anaandika kwenye Wimbo uliobora!

"Mimi ni mweusi mweusi lakini ni mzuri enyi mabinti wa misri"

Nae Ayubu anapigilia msumari Kwa kuandika

"Ngozi yangu ni nyeusi nayo yanitoka" Hapo ni kipindi anaumwa sana Hadi ngozi ikaanza kubabuka kama ukoma hivi yaani akawa na madoa mekundu mekundu!!

Webrania wanafanana na wamisri wa kale ambao ni weusi kwa Rangi!

Nachelea pia Kwa kusema kwamba waebrania no Wana was Hamu na neno hamu kiibrania maana yake ni "iliyoungua"yaani nyeusi baada ya kuungua!!

Jamii ya waisrael waebrania wengi wao walikua weusi!!

Nimeandika!
 
Hizi Ni dalili za awali za mtu wa dini kuwa mpagani/atheist.

Kinachonishanganya zaidi Ni pale mtu anaposhindwa kuiamini biblia yake na kutoka kwenye data tofauti then baadae anaitumia Tena biblia hiyo hiyo kuwa uthibitisho wa uongo wake.
Mtu ukishafikia hatua hii hata kama nilikuwa nakuheshimu kwa hoja zako nakuvua vyeo vyote.
Naomba niambie hapo nimetoka nje wapi kwenye Biblia unayoijua wewe,ili na mimi nijifunze.Kwa mfano nionyeshe wapi Biblia inasema Jesus was white na mimi ntakuonyesha wapi Biblia inasema Jesus was black
 
Back
Top Bottom