Ukweli ni kwamba Waisraeli halisi ambao ni Waebrania ni watu weusi

Ukweli ni kwamba Waisraeli halisi ambao ni Waebrania ni watu weusi

Endelea kutoa hoja kwa maana Mimi pia Kila nikisoma biblia naona Kila dalili ya kwamba watu wengi ambao wamezungumziwa mle ni watu weusi na wale wenye rangi nyekundu ambao walizaliwa hivyo walitajwa kabisa ya kwamba walikua wekundu...
Eeh tuambie unaona dalili gani?
 
Israel ni taifa lenye usiri na utata mkubwa,kutoka kwenye kuanzishwa kwake,watu waliolikaa zamani na wanaolikalia kwa sasa.Historia inatuambia kuwa taifa la Israel lilianzishwa mwaka 1948,lakini si kweli,taifa la Israel lilianzishwa na Mungu mwenyewe kabla ya hapo.

Kudai kuwa taifa la Israel lilianzishwa mwaka 1948 ni utapeli wa famia ya Rothschild kuudanganya uma wa wanadamu, ili kuzidi kupotosha dhana nzima ya uwepo Waebrania ambao ndio wenyeji halali wa taifa la Israel.Ukweli ni kwamba Waisraeli halisi ambao ni Waebrania ni watu weusi na hata Yesu mwenyewe alikuwa mweusi.

Kiliichokuwa kinatokea ni Mungu kuliadhibu taifa Hilo kwa kuwapeleka Waisraeli utumwani na kuteswa na mataifa mengine walipomuasi Mungu.

Historia pia inatuambia kuwa wakazi wa kwanza wa Israel waliitwa Waebrania,ambao walihusisha makabila yaliyoundwa na watoto kumi na mbili wa Yakobo kama ifuatavyo:Yuda, Reubeni,Gadi,Asheri, Naftali,Manase, Simeoni, Lawi Isakari,Zabuloni,Yusufu na wa mwisho, Benyamini.Hata hivyo jambo la kushangaza ni kuwa ushahidi wa uwepo wa makabila haya leo haupo,ni kama wamepotelea hewani tu.Makabila hayo eti yanaitwa "makabila kumi na mbili ya Israel yaliyopotea."Lakini "a people," watu, hawawezi kupotea tu,lazima kuwepo na mpango mahususi wa kufuta historia yao.

Jambo la kujiuliza ni nani alifanya mpango huo na kwa maslahi gani.Ikumbukwe kwamba kufanya kitu kama hicho kunahitaji juhudi ngingi ,kubwa na za makusudi kabisa.

Israel ni taifa ambalo liliumbwa na Mungu,kwa makusudi ya Mungu ya kumkomboa mwanadamu kupitia kwa Yesu Kristo.Sasa siku zote Shetani anapinga mipango yote ya Mungu,ambayo kwa ujumla wake inamlenga Mwanadamu.

Waebrania wakiwa msingi ambao Mungu tayari alishauweka kwa ajili ya mkakati huo,Shetani alikuwa na chuki sana nao,kwa hiyo aliwatesa kwa njia nyingi(angalia Ufunuo 2:9),akiamini kuwa kwa kufanya hivyo hatimaye Mungu atashindwa kutekeleza mpango wake,he failed miserably,na leo mwanadamu amekombolewa, akimuamini Kristo ambaye ni Mwebrania,anaurithi Ufalme wa Mungu.

Katika Kitabu cha Ufunuo wa Yohana,tunaona wale ambao walishiriki mpango huo muovu kabisa wa kupoteza makabila kumi na mbili ya Waebrania.Bwana Yesu aliwaita Sinagogi la Shetani katika Ufunuo 2:9-10 na Ufunuo 3:9.

Ufunuo wa Yohana 2:9-10
9 Naijua dhiki yako na umaskini wako, (lakini u tajiri) najua na matukano ya hao wasemao ya kuwa ni Wayahudi, nao sio, bali ni sinagogi la Shetani.
10 Usiogope mambo yatakayokupata; tazama, huyo Ibilisi atawatupa baadhi yenu gerezani ili mjaribiwe, nanyi mtakuwa na dhiki siku kumi. Uwe mwaminifu hata kufa, nami nitakupa taji ya uzima.

Ukiangalia kwa umakini maandiko hayo ,unaona kwamba wapo Wairael wasio wa kweli ambao Bwana Yesu anawaita Sinagogi la Shetani.Hawa walishirikiana na Ibilisi kuwaletea Waebrania ambao ndio Waisraeli wa kweli,mateso ambayo tunayaona katika Ufunuo 2:9-10


Lakini, je Shetani atashinda?Hapana,atashindwa kama ambavyo nimeshatangulia kusema.Soma Ufunuo 3:9 chini.Sinagogi la Shetani litakuja kusujudu mbele ya Waebrania ambao ndio Waisraeli wa kweli .

Ufunuo wa Yohana 3:9
9 Tazama, nakupa walio wa sinagogi la Shetani, wasemao kwamba ni Wayahudi, nao sio, bali wasema uongo. Tazama, nitawafanya waje kusujudu mbele ya miguu yako, na kujua ya kuwa nimekupenda.

Na mwisho wa Shetani ambaye alifanya uovu na hila zote hizi ni nini,ni kutupwa kwenye ziwa la moto liwakalo moto wa kiberiti.

Ufunuo wa Yohana 20:10
10 Na yule Ibilisi, mwenye kuwadanganya, akatupwa katika ziwa la moto na kiberiti, alimo yule mnyama na yule nabii wa uongo. Nao watateswa mchana na usiku hata milele na milele.

Naomba usikilize clip ifuatayo kwa taarifa zaidi.


View: https://youtu.be/DTy15somdgo?si=Arg5y6x5GUDZ42gY

NB:SITEGEMEI KABISA MTU MWEUSI KUPINGA HII MADA

Wana wa Israel ni kweli ni watoto wa Yakobo ambaye ndiye Israel, bado haujahusianisha na mtu mweusi sasa, kwa namna gani walikuwa weusi?
 
Abra Ham neno Ham means black ila Nikiwaangalia kina Gallants nachoka.

Kuna uongo mwingi Sana kwenye hii Dunia walisahau kuuficha.
 
Naomba niambie hapo nimetoka nje wapi kwenye Biblia unayoijua wewe,ili na mimi nijifunze.Kwa mfano nionyeshe wapi Biblia inasema Jesus was white na mimi ntakuonyesha wapi Biblia inasema Jesus was black
Tunasema yesu alikuwa mweupe kwa sababu ya ukoo alimozaliwa. Babu yake ibrahimu alitoka uru wa wakaldayo. Yeye yesu kazaliwa Bethlehem.

Sasa Wewe sema hapa yesu alizaliwa nchi gani hapa afrika kupitia maandiko matakatifu
Kama hutoanza ngonjera zako.
 
Israel ni taifa lenye usiri na utata mkubwa,kutoka kwenye kuanzishwa kwake,watu waliolikaa zamani na wanaolikalia kwa sasa.Historia inatuambia kuwa taifa la Israel lilianzishwa mwaka 1948,lakini si kweli,taifa la Israel lilianzishwa na Mungu mwenyewe kabla ya hapo.

Kudai kuwa taifa la Israel lilianzishwa mwaka 1948 ni utapeli wa famia ya Rothschild kuudanganya uma wa wanadamu, ili kuzidi kupotosha dhana nzima ya uwepo Waebrania ambao ndio wenyeji halali wa taifa la Israel.Ukweli ni kwamba Waisraeli halisi ambao ni Waebrania ni watu weusi na hata Yesu mwenyewe alikuwa mweusi.

Kiliichokuwa kinatokea ni Mungu kuliadhibu taifa Hilo kwa kuwapeleka Waisraeli utumwani na kuteswa na mataifa mengine walipomuasi Mungu.

Historia pia inatuambia kuwa wakazi wa kwanza wa Israel waliitwa Waebrania,ambao walihusisha makabila yaliyoundwa na watoto kumi na mbili wa Yakobo kama ifuatavyo:Yuda, Reubeni,Gadi,Asheri, Naftali,Manase, Simeoni, Lawi Isakari,Zabuloni,Yusufu na wa mwisho, Benyamini.Hata hivyo jambo la kushangaza ni kuwa ushahidi wa uwepo wa makabila haya leo haupo,ni kama wamepotelea hewani tu.Makabila hayo eti yanaitwa "makabila kumi na mbili ya Israel yaliyopotea."Lakini "a people," watu, hawawezi kupotea tu,lazima kuwepo na mpango mahususi wa kufuta historia yao.

Jambo la kujiuliza ni nani alifanya mpango huo na kwa maslahi gani.Ikumbukwe kwamba kufanya kitu kama hicho kunahitaji juhudi ngingi ,kubwa na za makusudi kabisa.

Israel ni taifa ambalo liliumbwa na Mungu,kwa makusudi ya Mungu ya kumkomboa mwanadamu kupitia kwa Yesu Kristo.Sasa siku zote Shetani anapinga mipango yote ya Mungu,ambayo kwa ujumla wake inamlenga Mwanadamu.

Waebrania wakiwa msingi ambao Mungu tayari alishauweka kwa ajili ya mkakati huo,Shetani alikuwa na chuki sana nao,kwa hiyo aliwatesa kwa njia nyingi(angalia Ufunuo 2:9),akiamini kuwa kwa kufanya hivyo hatimaye Mungu atashindwa kutekeleza mpango wake,he failed miserably,na leo mwanadamu amekombolewa, akimuamini Kristo ambaye ni Mwebrania,anaurithi Ufalme wa Mungu.

Katika Kitabu cha Ufunuo wa Yohana,tunaona wale ambao walishiriki mpango huo muovu kabisa wa kupoteza makabila kumi na mbili ya Waebrania.Bwana Yesu aliwaita Sinagogi la Shetani katika Ufunuo 2:9-10 na Ufunuo 3:9.

Ufunuo wa Yohana 2:9-10
9 Naijua dhiki yako na umaskini wako, (lakini u tajiri) najua na matukano ya hao wasemao ya kuwa ni Wayahudi, nao sio, bali ni sinagogi la Shetani.
10 Usiogope mambo yatakayokupata; tazama, huyo Ibilisi atawatupa baadhi yenu gerezani ili mjaribiwe, nanyi mtakuwa na dhiki siku kumi. Uwe mwaminifu hata kufa, nami nitakupa taji ya uzima.

Ukiangalia kwa umakini maandiko hayo ,unaona kwamba wapo Wairael wasio wa kweli ambao Bwana Yesu anawaita Sinagogi la Shetani.Hawa walishirikiana na Ibilisi kuwaletea Waebrania ambao ndio Waisraeli wa kweli,mateso ambayo tunayaona katika Ufunuo 2:9-10


Lakini, je Shetani atashinda?Hapana,atashindwa kama ambavyo nimeshatangulia kusema.Soma Ufunuo 3:9 chini.Sinagogi la Shetani litakuja kusujudu mbele ya Waebrania ambao ndio Waisraeli wa kweli .

Ufunuo wa Yohana 3:9
9 Tazama, nakupa walio wa sinagogi la Shetani, wasemao kwamba ni Wayahudi, nao sio, bali wasema uongo. Tazama, nitawafanya waje kusujudu mbele ya miguu yako, na kujua ya kuwa nimekupenda.

Na mwisho wa Shetani ambaye alifanya uovu na hila zote hizi ni nini,ni kutupwa kwenye ziwa la moto liwakalo moto wa kiberiti.

Ufunuo wa Yohana 20:10
10 Na yule Ibilisi, mwenye kuwadanganya, akatupwa katika ziwa la moto na kiberiti, alimo yule mnyama na yule nabii wa uongo. Nao watateswa mchana na usiku hata milele na milele.

Naomba usikilize clip ifuatayo kwa taarifa zaidi.


View: https://youtu.be/DTy15somdgo?si=Arg5y6x5GUDZ42gY

NB:SITEGEMEI KABISA MTU MWEUSI KUPINGA HII MADA

Hizi story zinatufurahisha sana waafrika.
Hakuna lolote kwamba waisrael halisi ni waafrika
 
Mnatuchosha akili, mwisho mtasema netanyahu alipigana na wapalestina kimakosa ilitakiwa tupambane nao sisi
 
Wana wa Israel ni kweli ni watoto wa Yakobo ambaye ndiye Israel, bado haujahusianisha na mtu mweusi sasa, kwa namna gani walikuwa weusi?

So what? Kama walikua weusi ili tupate nini leo? Tujilinganishe nao? Au tufanyeje baada ya kujinasibisha? Itafuta akili zetu za kupenda ngono? Au tutakua karibu sana na mungu? Ok sawa kama tuna ukoo na yesu tufanyaje sasa?
It raises our esteem
Marasta wengi wakishavuta bangi huwa wanasemaga kama wewe kuwa waisraeli ni watu weusi.
Concept hii kuwa Bwana Yesu alikuwa mweusi ina misingi kwenye sayansi,historia na Biblia,so they are right.Concept kwamba Jesus was white haina msingi wowote,ni udaku tu.
 
It raises out esteem

Concept hii kuwa Bwana Yesu alikuwa mweusi Ina misingi kwenye sayansi,historia na Biblia,so they are right.Concept kwamba Jesus was white haina msingi wowote,ni udaku tu.
weka basi ushahidi ndugu yangu kuwa Yesu alikuwa mweusi, au wana wa Israel ni weusi
 
Tunasema yesu alikuwa mweupe kwa sababu ya ukoo alimozaliwa. Babu yake ibrahimu alitoka uru wa wakaldayo. Yeye yesu kazaliwa Bethlehem.

Sasa Wewe sema hapa yesu alizaliwa nchi gani hapa afrika kupitia maandiko matakatifu
Kama hutoanza ngonjera zako.
Kuna yesu aliyezaliwa misri
 
It raises out esteem

Concept hii kuwa Bwana Yesu alikuwa mweusi Ina misingi kwenye sayansi,historia na Biblia,so they are right.Concept kwamba Jesus was white haina msingi wowote,ni udaku tu.
Sawa boss🤣
 
Wimbo wa Sulemani 1:5-6
Mimi ni mweusi, lakini ninao uzuri, enyi binti za Yerusalemu, Kama hema za Kedari, Kama mapazia ya Sulemani. Msiniangalie kwa kuwa ni mweusi, Kwa sababu jua limeniunguza.

Kimsingi hakuna mzungu anaekua mweusi kwa kukaa juani ila mtu mweusi akikaa juani ndio anazidi kuwa mpingo.

Ayubu 30:30
Ngozi yangu inakuwa nyeusi juu yangu, Na mifupa yangu inateketea kwa sababu ya hari.

Ayubu anasema ngozi yake ilikuwa nyeusi juu yake kutokana na mateso aliyokuwa akipitia, mzungu au mtu mweupe kiasili achana na hawa weupe wa kiafrika, hawawezi kuwa weusi hata wapitie shida kiasi gani zaidi wanakua wekundu tu.

Kutoka 4:6-7
Bwana akamwambia tena, Ingiza mkono wako kifuani mwako. Akauingiza mkono wake kifuani mwake; hata alipoutoa, tazama, mkono wake umekuwa na ukoma, mweupe kama theluji. Akasema, Uurudishe mkono wako kifuani mwako. Akauingiza tena kifuani mwake; kisha akautoa kifuani mwake, na tazama, ukawa umegeuka tena, ukawa kama mwili wake mwingine, hili andiko liko wazi na linaonesha jamaa mwili wake haukua mweupe na badala yake alikua na rangi ya giza.

Kwa maana kama Musa alikuwa mweupe tayari, basi hili lisingekuwa jambo la kushangaza, lakini kwakua alikuwa na ngozi ya giza, ndio maana badiliko hili lilikuwa la kushangaza, likiashiria kuwa ngozi yake ya asili ilikuwa na rangi tofauti.

Ufunuo 1:14-15
Kichwa chake na nywele zake zilikuwa nyeupe kama sufu, kama theluji; na macho yake yalikuwa kama mwali wa moto. Na miguu yake ilikuwa kama shaba iliyosuguliwa sana, kana kwamba imesafishwa katika tanuru; na sauti yake ilikuwa kama sauti ya maji mengi.

Hapa utaona neno sufu limetumika na kimsingi hili neno sufu huwa linahusiana na muundo wa nywele za waafrika.

Lakini pia andiko linasema na miguu yake inafanana na shaba iliyosuguliwa sana, wote tunajua ya kwamba shaba ina rangi ya kahawia iliyokolea au ya dhahabu yenye giza, kwahiyo tafsiri hii inaonesha ya kwamba Yesu hakuwa na ngozi nyeupe ila alikua na eidha rangi ya kahawia(kama ile ya kiethiopia au ngozi nyeusi)

Pia nenda kapitie Yeremia 13:23, ambayo inasema hivi…
Mweusi aweza kuibadili ngozi yake, Au chui madoa yake? Kama ndivyo, ndipo mwaweza kutenda mema, Ninyi mliozoea kutenda mabaya.

Yeremia anatumia mfano wa mweusi kuonyesha kitu ambacho hakiwezi kubadilika.

Sasa ikiwa watu wa Israeli walikuwa weupe, kwa nini Yeremia anatumia mfano wa mtu mweusi ili kuonyesha utofauti wa wazi.

Nenda kwenye Waamuzi 16:13-19
Samsoni alikuwa na nywele saba zilizofungwa (locks), hii inamaanisha nywele zake hazikuwa laini bali zilikua ngumu kama zilivyo zangu kwa maana nywele laini za kizungu ni ngumu kujifunga kwenye mashungi saba kwasababu ya ule mtelezo wake.

Hesabu 12:10-12
Wingu likatoka juu ya hema; na tazama, Mariamu alikuwa na ukoma, mweupe kama theluji; Haruni akamwelekea Mariamu, na tazama, alikuwa na ukoma. Haruni akamwambia Musa, Ee bwana wangu, nakusihi, usitutie dhambi hii juu yetu, kwa kuwa tumefanya upumbavu, nasi tumekosa. Nakusihi, asiwe kama mfu, ambaye nyama ya mwili wake huwa tayari imeshakula mara atokapo tumboni mwa mama yake.

Kama huyu Mariamu angekua mweupe basi sidhani kama haya mabadiliko ya ngozi yake yangeweza kushangaza lakini pia ingekua ngumu kuyaona mabadiliko haya kwenye ngozi ya mtu ambae ni mweupe.

Mathayo 27:32, Marko 15:21, Luka 23:26
Kwenye hizo Aya tunaona maandiko ya mtu aitwae Simon wa Kirene ambae alilazimishwa kubeba msalaba wa Yesu kwa maana ya kumpokea. Kwa wana history wanajua ya kwamba Kirene eneo ambalo ilikuwa koloni la Kigiriki lililoko kaskazini mwa Afrika kwa sasa ndio Libya na eneo hilo lilikuwa na mchanganyiko wa watu, lakini lilikuwa na idadi kubwa ya waafrika weusi.

Hesabu 12:1
Kisha Mariamu na Haruni wakanena juu ya Musa, kwa sababu ya yule mwanamke Mkushi aliyemwoa; maana alikuwa amemwoa mwanamke Mkushi.

Mkushi inahusiana na Ethiopia, ambayo kihistoria imekuwa na watu wa asili ya Kiafrika. Hii inaashiria kwamba mke wa Musa alikuwa mweusi, na wakati huo huo tulishaona hapo awali ya kwamba hata Musa nae hakuwa mweupe kwahiyo hii combo haiwezi kuzaa mtu mweupe hata siku moja.

Matendo 21:38.
Je! Wewe si yule Mmisri, ambaye kabla ya siku hizi alifanya fitina, akawatoa wale watu elfu nne wa hao wenye kuua waliokuwa jangwani?

Hapa ni Warumi walimchanganya Paulo na Mmisri, Misri ni Afrika, na Wamisri wa kale walikuwa na rangi ya giza au kahawia(hakuna mwana historia anayebisha hili). Kwahiyo kutokana na andiko hili kuna uwezekano kwamba Paulo alikuwa na rangi sawa na Wamisri wa wakati huo.

Lakini pia kwenye historia ya Yusufu tunaona baada ya kuangukia Misiri na kuwa mtu mkubwa pale kisha ndugu zake walivyokuja kununua chakula hawakumtambua ila yeye aliwatambua hii inamaanisha kwamba rangi ya Yusufu haikua na utofauti wowote na rangi ya wamisri kwa maana hakuwa anaonekana wa tofauti.

Anyway, mifano iko mingi yenye kuonesha utata wa rangi halisi za watu wa kwenye biblia ingawa ukiwa muelewa lazima utaelewa ya kwamba biblia ilizungumzia watu wenye rangi fulani hivi ya kahawia au nyeusi ila si rangi myeupe kama ambavyo watu wanadhani au kuamini.
 
weka basi ushahidi ndugu yangu kuwa Yesu alikuwa mweusi, au wana wa Israel ni weusi
Sawa.Kwanza naomba nikuhakikishie kuwa wanaoitwa Waisraeli ni actually Waebrania.
Soma Mwanzo 39:13-14,17
Inasema,
Mwanzo 39:13-14;17
13 Ikawa alipoona ya kwamba amemwachilia nguo yake mkononi mwake, naye amekimbia nje,
14 akawaita watu wa nyumbani mwake, akasema nao, akinena, Angalieni, ametuletea mtu Mwebrania atufanyie dhihaka. Ameingia kwangu, ili alale nami, nikalia kwa sauti kuu.
17 Naye akamwambia kama maneno hayo, akisema, Yule mtumwa Mwebrania uliyemleta kwetu, aliingia kwangu anidhihaki.

Sasa maandiko haya yana maana gani,yana maana kuwa kwa kuwa Yusufu alikuwa mtoto wa Yakobo ambaye aliitwa pia Israel,na watoto wa Yakobo kumi na wawili ndio walioletelea taifa la Israel pamoja na Yusufu,basi Waisraeli wa kweli ni Waebrania.Lakini kufuatana na maandiko Mfalme Sulemani na Ayubu ambao ni Waisraeli na hiyo Waebrania, walikuwa weusi!

Angalia Mfalme Sulemani anavyosema katika Wimbo Ulio Bora.

Wimbo Ulio Bora 1:5-6
5 Mimi ni mweusi-mweusi, lakini ninao uzuri, Enyi binti za Yerusalemu, Mfano wa hema za Kedari, Kama mapazia yake Sulemani.
6 Msinichunguze kwa kuwa ni mweusi-mweusi, Kwa sababu jua limeniunguza. Wana wa mamangu walinikasirikia, Waliniweka niwe mlinzi wa mashamba ya mizabibu; Bali shamba langu mwenyewe sikulilinda.

Lakini Ayubu naye ambaye alikuwa Mwebrania alikuwa mweusi!Soma hapa chini.

Ayubu 30:30
30 Ngozi yangu ni nyeusi, nayo yanitoka, Na mifupa yangu imeteketea kwa hari.

Summary ni nini hapa.Ni hivii,kama Ayubu na Mfalme Sulemani walikuwa weusi,na walikuwa Waebrania,it follows that Jesus Christ because he was Hebrew and an Israel was also black.Nadhani hiyo ipo wazi.
 
Back
Top Bottom