Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Natamani kurudisha nyuma mishale ya saaUmewaza nini wewe Mnyakyusa Msukuma...!!!!????🤣🤣🤣🤣🤣
Nimecheka hadi nimecheua looh...!
Hujamisi kwenda cocobeach kufumua nywele???😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Natamani kurudisha nyuma mishale ya saaUmewaza nini wewe Mnyakyusa Msukuma...!!!!????🤣🤣🤣🤣🤣
Nimecheka hadi nimecheua looh...!
Hujamisi kwenda cocobeach kufumua nywele???😁😁
Isiwe tabu. Olewa na huyu muhuni upewe hiyo 250.kYaani kwako wewe laki 2.5 za kupewa na mwanaume hauwezi kwenda salon ukapendeza?
Basi jigharamie kwa kipato chako cha mshahara kisha uje na ushahidi wa receipt halali za huduma ili tuutathimini ukweli wako.
Humu Jf watu tunajikweza sana lakini kiuhalisia wengi wanaishi maisha hohehahe.
Tena jamaa hajafunguka Hadi mwisho, huenda anaishi kwa mama yake.😂😂 nazidi kujionea mabalaa ya kiumri sijui nikifika huko nitakuwa wa namna gani...
Gudume gunaolewa na gudume!Isiwe tabu. Olewa na huyu muhuni upewe hiyo 250.k
Shida iko wapi dada?
Unafanya kosa la kiufundi!itakugharim na mateso juu!!Umri wangu ni miaka 45, Hali yangu ya kindoa ni mtalaka, watoto wanne, Kila mmoja na mama yake, na watoto wote wako kwa mama zao.
Kazi nafanya, Hela napata, pombe nakunywa. Mambo ya mabebzi labda itokee tu, wana gharama sana na Mimi ni bahili sana.
Mwanamke ninayemtaka awe na sifa zifuatazo, anivumilie Mimi na mapungufu yangu.
Nitaweka Kila kitu ndani, kifurushi kikubwa cha DSTV, umeme wa kutosha, vyakula na Kila kitu.
Mke atapewa pocket money ya sh. 250,000/ kwa mwezi. Gari sina, ukiniona naendesha ujue ni la ofisi. Usiahoboke nalo.
Wadada karibuni sana, single mothers watapewa kipaumbele.
Elimu Yako kaa nayo hukohuko, hata ukiwa na PhD Yako, kwangu wewe ni mke tu sawa na wa darasa la saba. Zingatia sana hili kabla hujaja PM.
Namba ya simu itapatikana PM.
Interesting post.
Cha muhimu umekuwa open. Anaetaka kujaribu atajua mwenyewe.
But naamini mmoja WA hao wanawake uliozaa nae anaweza kukufaa zaidi au kukuvumilia since kuna mtoto mmezaa...
Ndoa ni kuvumiliana...
Mimi nakuangalia tu... Afu nacheka nhi nhi nhi!
Natamani kurudisha nyuma mishale ya saa
Wanaume wengi wanalalamika tunawajali mama zetu kuliko waoNAKUHAKIKISHIA HAKUNA MTOTO ATAKAE KUWA TAYARI KUKUJALI UKIWA NA MWANAMKE AMBAE SIYO MAMA YAKE!!!!
Gugal a.k.a Kigagula wa JF kumbe Bado Yuko singleFaizaFoxy changamkia tenda hiyo, si huna mume wewe?
Aiseh kufanya maendeleo makubwa nyumbani wakati mama aliekuzaa hayupo ni ngumu sana Kwa wengi!!Wanaume wengi wanalalamika tunawajali mama zetu kuliko wao
Siwezi toa pesa yangu kumpa ilihali najua anaenda kula mwanamke mwingine... nitajitahidi kununua vitu vinavyomuhusu yeye tu.
Hah hah haaaa, tutaleta mafuriko ya el nino na tetemeko la tsunami. Hamna mkate mgumu mbele ya chaiAahahahahaa naelewa.....
Wakati ukuta.....
Mgeni mwenye nyumbaAiseh kufanya maendeleo makubwa nyumbani wakati mama aliekuzaa hayupo ni ngumu sana Kwa wengi!!
Kuna nguvu ya hisia negative inavuta nanmhusika kushindwa!!
Ni kweli wanaume hatupendwi SI na watoto Wala jamii Bali tunahitajika tu!!Tunajitahidi kupunguza athari za uzeeni TU!lakini sio uhalisia!!nimeliona hilo mapema kabisa kabla hata 40 sijafika lakini naliona Kwa kasi Sana MAMA NA WATOTO WANAPENDANA SANA MI NI KAMA OUTSIDER TU!
😂😂Tena jamaa hajafunguka Hadi mwisho, huenda anaishi kwa mama yake.
Umeiva na unaelekea kuiva zaidi kwenye swala zima la busara mitandaoni. Nzuri hiyo👍Aiseee! Umeamka na matusi leo
Unaweza kutoa maoni bila kumfanya mtu ajisikie vibaya,..Inawezekana
Umeongea kwa uchungu sanaNi bora kubaki single kuliko kuhudumia bao la mwanaume/wanaume wenzako
Siku ukiwa unaoa nenda kamwambie mama au dada zako unaoa single maza watasikitika na kukushangaa sana
Hata kama mama yako amekulelea kama single maza hakuna siku atakuuunga mkono uoe single maza mwenzake anaweza akalia sana
Ndio ujue wanawake wanajuana
Mungu naye akiwa mbinguni anakushangaa amemuagiza mwanaume aanzishe familia yake wewe unaenda kujiunga kwenye familia ya mwanaume mwenzako!
Imagine siku umemuoa single maza halafu unawatembelea wazazi wako ukiwa na watoto wa mwanaume mwenzako. Then unawaambia watoto wa mwanaume mwenzako msalimie bibi na babu yenu. Lazima baba yako na mama yako wakuone mpumbavu na mjinga.
Learn or perish
Twende tu maana hakuna namna tutafika tu 😃😂😂 nazidi kujionea mabalaa ya kiumri sijui nikifika huko nitakuwa wa namna gani...
hatari mnoTwende tu maana hakuna namna tutafika tu 😃