Ukweli ni lazima usemwe, natafuta mrembo wa kuzeeka naye. Mapungufu yangu haya Hapa

Ngoja niwahi pm nkajaribu bahati yangu napenda hekaheks sana
 
Yesu tu ndo ana ubavu wa kuvumilia shida zetu mengine unajidanganya
 


Naona umekuwa muwazi sana, hapa kwa maelezo uliyotoa utapata Magugu Maji tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…