Nyaru...
Waislam waliathirika zaidi kwa kuwa mfumo wa utawala uliokuwapo uliwatenga katika elimu.
Serikali ilitoa "grant in aid," kwa makanisa kwa ajili ya elimu na shule hizi zikawabagua Waislam.
Ili kusoma ilibidi mwanafunzi abatizwe.
Hili lilikuwa sharti gumu sana.
Kwa ujumla ikawa kama vile elimu imekabidhiwa kwa kanisa.
Shule chache zilizojengwa na Waislam zilikataliwa kupewa msaada huu.
Ndiyo maana ikawa Waislam wako mbele katika kupigania uhuru kuuondoa ukoloni.
Sent using
Jamii Forums mobile app