Ukweli ni upi kuhusu maeneo haya?

Ukweli ni upi kuhusu maeneo haya?

Akilihuru

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2022
Posts
1,512
Reaction score
2,980
Kwema ndugu, leo nikiwa maeneo fulan nilikutana na ubishi. Ubishi huo ulitokana na baadhi ya vijana wanaoishi katika kata ya Wazo, Wilaya ya Kinondoni mkoani Dar es salaam.

Vijana hawa walikuwa wanabishana kuhusu maeneo fulani yanayopatikana katika kata hiyo ya Wazo ambapo wapo waliodai kwamba katika kata zote za Wazo Salasala ndio mtaa unaoongoza kwa kuwa na watu wenye hadhi au waliowahi kuwa na hadi serikalini, pia wakadai kwamba Salasala ndio inayoongoza kuwa na majumba makubwa, mazuri na ya kisasa, pia inaongoza kwa hali ya hewa nzuri na maeneo bomba ya kutulia na kupanga mikakati ya kimaisha, pia eti Salasala imechangamka hata kibiashara ukilinganisha na maeneo mengine nk.

Ghafla wakadakia wengine ambao walidai kwamba Mivumoni ndio kwenye hizo sifa zilizotajwa hapo juu,
huku mungine akisema kuwa Madale ndio moto wa kuotea mbali,
mara wengine waseme Kisanga, mara wengine eti Kilima hewa, wengine Kilima hewa juu, wengine wazo kwenyewe.

Sasa wakuu kwa wale wenyeji na wazoefu wa maeneo hayo naomba mnipe majibu ili nikirudi tena kule nikikutana na ubishi wa aina hiyo nimalize ubishi kwa kutumia fact nitazopata humu.

Kati ya maeneo hayo tajwa ni wapi pa kishua na palipochangamka zaidi kibiashara na kimaendeleo.
Karibuni tuchangie kistaarabu wakuu.
 
Kwema ndugu, leo nikiwa maeneo fulan nilikutana na ubishi. Ubishi huo ulitokana na baadhi ya vijana wanaoishi katika kata ya Wazo, Wilaya ya Kinondoni mkoani Dar es salaam.

Vijana hawa walikuwa wanabishana kuhusu maeneo fulani yanayopatikana katika kata hiyo ya Wazo ambapo wapo waliodai kwamba katika kata zote za Wazo Salasala ndio mtaa unaoongoza kwa kuwa na watu wenye hadhi au waliowahi kuwa na

Kati ya maeneo hayo tajwa ni wapi pa kishua na palipochangamka zaidi kibiashara na kimaendeleo.
Karibuni tuchangie kistaarabu wakuu.
Salasala👍👍👍
 
Mbona inasemekana kuwa salasala ni mji mpya, watu wameanza kujenga miaka kadhaa tu iliyopita?
Sio inasemekana, bali huo ndio ukweli. Hauwezi kuilinganisha salasala na sehem za kipuuzi kama hizo ulizotaja hapo juu.
Salasala ndio Ostabay au Masaki ijayo. Watu wenye pesa zao, vyeo vyao na nyadhifa zao ndio wanaojenga kwa kasi ya kimbunga salasala.
 
Kwema ndugu, leo nikiwa maeneo fulan nilikutana na ubishi. Ubishi huo ulitokana na baadhi ya vijana wanaoishi katika kata ya Wazo, Wilaya ya Kinondoni mkoani Dar es salaam.

Vijana hawa walikuwa wanabishana kuhusu maeneo fulani yanayopatikana katika kata hiyo ya Wazo ambapo wapo waliodai kwamba katika kata zote za Wazo Salasala ndio mtaa unaoongoza kwa kuwa na watu wenye hadhi au waliowahi kuwa na hadi serikalini, pia wakadai kwamba Salasala ndio inayoongoza kuwa na majumba makubwa, mazuri na ya kisasa, pia inaongoza kwa hali ya hewa nzuri na maeneo bomba ya kutulia na kupanga mikakati ya kimaisha, pia eti Salasala imechangamka hata kibiashara ukilinganisha na maeneo mengine nk.

Ghafla wakadakia wengine ambao walidai kwamba Mivumoni ndio kwenye hizo sifa zilizotajwa hapo juu,
huku mungine akisema kuwa Madale ndio moto wa kuotea mbali,
mara wengine waseme Kisanga, mara wengine eti Kilima hewa, wengine Kilima hewa juu, wengine wazo kwenyewe.

Sasa wakuu kwa wale wenyeji na wazoefu wa maeneo hayo naomba mnipe majibu ili nikirudi tena kule nikikutana na ubishi wa aina hiyo nimalize ubishi kwa kutumia fact nitazopata humu.

Kati ya maeneo hayo tajwa ni wapi pa kishua na palipochangamka zaidi kibiashara na kimaendeleo.
Karibuni tuchangie kistaarabu wakuu.
 
Nimeishi salasala for over 10yrs. Pia nina ndugu zangu pale. SALASALA ni Masaki Ndogo
Kama ni hivyo basi ukweli ni kwamb waliokuwa wanaisifia salasala walikuwa sahihi, maana kila anaeandika humu anaikubali salasala.
 
Sio inasemekana, bali huo ndio ukweli. Hauwezi kuilinganisha salasala na sehem za kipuuzi kama hizo ulizotaja hapo juu.
Salasala ndio Ostabay au Masaki ijayo. Watu wenye pesa zao, vyeo vyao na nyadhifa zao ndio wanaojenga kwa kasi ya kimbunga salasala.
Kumbe salasala ndio kiboko ya hayo maeneo mengine. Salute
 
Salasala hasa Kilima hewa kuko vizuri mijengo ya maana. Mfano mitaa ya Kwa Aziz road, mtaa wa magorofani, Seronga street kumetulia sana.

Tatizo la Salasala kuna baadhi ya maeneo ni uswahilini. Unakuta baadhi ya maeneo nyumba ni kali halafu ghafla unakuta kauswahili kanaanza

Madale kwenye zile Estates kule ni balaa watu wamejenga asee. Patendeza zaidi zile barabara zikipigwa rami.

Mivumoni kupo poa pia kuna maeneo kuna baadhi ya mitaa ya ushuani kama kule panaitwa kwa Makamba sio poa. Ila maeneo mingine mchanganyiko. Ila hali ya hewa ni nzuri.
 
Sio inasemekana, bali huo ndio ukweli. Hauwezi kuilinganisha salasala na sehem za kipuuzi kama hizo ulizotaja hapo juu.
Salasala ndio Ostabay au Masaki ijayo. Watu wenye pesa zao, vyeo vyao na nyadhifa zao ndio wanaojenga kwa kasi ya kimbunga salasala.
Oysterbay na Masaki yale maeneo ni habari nyingine. Yale maeneo yameplaniwa kidhungu sana.
 
Back
Top Bottom