Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Sijui ni kwa nini sijawahi kuvutiwa kuishi maeneo ya Kusini ya jiji la Dar kama huko Mtoni, Mbagala, Chanika, Tabata, Lumo, Mtoni, Temeke, G/Mboto n.kMtoni Kijichi ndiyo eneo lenye maghorofa ya kisasa. Hayo ya Salasala, Mbezi beach yameshapitwa na wakati.
Ok mkuu, shukran kwa kufunguka kuhusu maeneo hayo. Hao waswahili wa salasala wanatakiwa wauze maeneo yao kwa watu wenye fedha ili wakajenge katika maeneo yanayoendana na hadhi zao. Hapo wawaachie watu wenye pesa zao waigeuze salasala ulaya ndogo.Salasala hasa Kilima hewa kuko vizuri mijengo ya maana. Mfano mitaa ya Kwa Aziz road, mtaa wa magorofani, Seronga street kumetulia sana.
Tatizo la Salasala kuna baadhi ya maeneo ni uswahilini. Unakuta baadhi ya maeneo nyumba ni kali halafu ghafla unakuta kauswahili kanaanza
Madale kwenye zile Estates kule ni balaa watu wamejenga asee. Patendeza zaidi zile barabara zikipigwa rami.
Mivumoni kupo poa pia kuna maeneo kuna baadhi ya mitaa ya ushuani kama kule panaitwa kwa Makamba sio poa. Ila maeneo mingine mchanganyiko. Ila hali ya hewa ni nzuri.
Siku zinavyokwenda washua watawahamisha tuOk mkuu, shukran kwa kufunguka kuhusu maeneo hayo. Hao waswahili wa salasala wanatakiwa wauze maeneo yao kwa watu wenye fedha ili wakajenge katika maeneo yanayoendana na hadhi zao. Hapo wawaachie watu wenye pesa zao waigeuze salasala ulaya ndogo.
Yeah inakuwa ni uchafuzi sasaKweli mkuu, maana isije kuwa ile ya kariakoo miaka ile unakuta hapa kuna ghorofa kubwa afu nyumba inayofuata ni ya chini tena ya udongo.
Huko ni uswahilini, hauwezi kuta mtu mwenye heshima zake anapigania kwenda kuishi kweny maeneo hayo.Sijui ni kwa nini sijawahi kuvutiwa kuishi maeneo ya Kusini ya jiji la Dar kama huko Mtoni, Mbagala, Chanika, Tabata, Lumo, Mtoni, Temeke, G/Mboto n.k
Huko ni uswahilini, hauwezi kuta mtu mwenye heshima zake anapigania kwenda kuishi kweny maeneo hayo.
Ulipotaja LA umenikumbusha wenzetu Marekani, likizo kadhaa nimekuwa nikiwatembelea watu wa familia California mtaa wao unaitwa Eagle Rock.Kweli mkuu, nasikia kuna maeneo ukifika unaweza fikiri umeangukia LA kumbe uko bongo land yetu.
Yaani ni kweli tupuOk mkuu, ila sehem yoyote kabla ya kuendelea lazima ianze kuwa pori kwanza afu baadae ndo wenye pesa waje wajenge. Afu pia nasikia kuna hewa safi na ardhi nzuri kwa ujenzi.
Direction imekaa kushoto, ila Kijichi(mtoni) ni paukweli kuliko hata mbezi,kimara,madale, goba etc...Sijui ni kwa nini sijawahi kuvutiwa kuishi maeneo ya Kusini ya jiji la Dar kama huko Mtoni, Mbagala, Chanika, Tabata, Lumo, Mtoni, Temeke, G/Mboto n.k
Pa1 mkuu.Kumbe salasala ndio kiboko ya hayo maeneo mengine. Salute
Yah ni kweli, mpangilio mzuri wa miti katika mitaa au nyumba zinazoishi watu huleta mvuto na muonekano mzuri katika eneo au sehem husika.Ulipotaja LA umenikumbusha wenzetu Marekani, likizo kadhaa nimekuwa nikiwatembelea watu wa familia California mtaa wao unaitwa Eagle Rock.
Nikajifunza wenzetu wamejitahidi sana kwenye ujenzi maeneo ya residential streets wameacha sehemu zenye coverage ya miti.
Na si tu California ni karibu maeneo mengi ya Marekani
Unaweza kukuta nyumba zimezungukwa na miti au miti inakuwa kando ya barabara na ndivyo Wakoloni walivyofanya Oysterbay na Masaki
Huwa naona hiyo huwa inaongeza mvuto wa eneo
πππHuko ni uswahilini, hauwezi kuta mtu mwenye heshima zake anapigania kwenda kuishi kweny maeneo hayo.
Kweli mkuu. Yale maeneo yamekaa kushoto sana asee.Huko ni uswahilini, hauwezi kuta mtu mwenye heshima zake anapigania kwenda kuishi kweny maeneo hayo.
Kweli kabisaYah ni kweli, mpangilio mzuri wa miti katika mitaa au nyumba zinazoishi watu huleta mvuto na muonekano mzuri katika eneo au sehem husika.