Tanzania yetu maeneo mengi ni hivyo. Ni vigumu sana kuwakwepa wenye mji wao (waswahili)Jamaa kamaliza kila kitu salasala nmetoka jana tu mm sijaona kipya ambacho mivumoni na madale hakipo eg mivumoni pita bravery hill street, hope kwa zulu sasaa plus huku uswahili upo kidogo sio km salasala
Hiki ni Kimkuranga au?huko kuna kit luxury kuliko uapopapnda, sailings kinda chini Luna Mani sari. Waliokuwa MA mashamba kuelekea Mkuranga wanafaidi. Ukichimba Kiana no Mani safi, Maui no Issi. Je huko ukupendapo swala la maji so moans ukapige Makoti Dawasso!
ItakuwaWenyewe wanaita 'kiswangeli'. Unachanga kiswahili na kingereza kidogo π€£π€£π€£
Vipi kuhusu tabata makuburi maana kwenyew kumejitenga kidogo na maeneo ya kusini?Sijui ni kwa nini sijawahi kuvutiwa kuishi maeneo ya Kusini ya jiji la Dar kama huko Mtoni, Mbagala, Chanika, Tabata, Lumo, Mtoni, Temeke, G/Mboto n.k
wazo, salasala, madale, ununio, kilongawima, kunduchi ni mitaa iliyopo ndani ya kata ya kunduchi huko salasala unakozungumzia kimaendeleo kunaweza kuwa kupo vizuri lakini ununio na kilongawima ambayo imepakana na africana kupo vizuri kuliko huko uliposema.Kwema ndugu, leo nikiwa maeneo fulan nilikutana na ubishi. Ubishi huo ulitokana na baadhi ya vijana wanaoishi katika kata ya Wazo, Wilaya ya Kinondoni mkoani Dar es salaam.
Vijana hawa walikuwa wanabishana kuhusu maeneo fulani yanayopatikana katika kata hiyo ya Wazo ambapo wapo waliodai kwamba katika kata zote za Wazo Salasala ndio mtaa unaoongoza kwa kuwa na watu wenye hadhi au waliowahi kuwa na hadi serikalini, pia wakadai kwamba Salasala ndio inayoongoza kuwa na majumba makubwa, mazuri na ya kisasa, pia inaongoza kwa hali ya hewa nzuri na maeneo bomba ya kutulia na kupanga mikakati ya kimaisha, pia eti Salasala imechangamka hata kibiashara ukilinganisha na maeneo mengine nk.
Ghafla wakadakia wengine ambao walidai kwamba Mivumoni ndio kwenye hizo sifa zilizotajwa hapo juu,
huku mungine akisema kuwa Madale ndio moto wa kuotea mbali,
mara wengine waseme Kisanga, mara wengine eti Kilima hewa, wengine Kilima hewa juu, wengine wazo kwenyewe.
Sasa wakuu kwa wale wenyeji na wazoefu wa maeneo hayo naomba mnipe majibu ili nikirudi tena kule nikikutana na ubishi wa aina hiyo nimalize ubishi kwa kutumia fact nitazopata humu.
Kati ya maeneo hayo tajwa ni wapi pa kishua na palipochangamka zaidi kibiashara na kimaendeleo.
Karibuni tuchangie kistaarabu wakuu.
Mkuu mimi sijazungumza kuwa Salasala ndio imeendelea tu kuliko maeneo mengine tajwa, bali nilikuja kuuliza kwa wale wanaofahamu zaidi maeneo hayo wanijuze ili nikamalize ubishi uliokuwepo siku ile.wazo, salasala, madale, ununio, kilongawima, kunduchi ni mitaa iliyopo ndani ya kata ya kunduchi huko salasala unakozungumzia kimaendeleo kunaweza kuwa kupo vizuri lakini ununio na kilongawima ambayo imepakana na africana kupo vizuri kuliko huko uliposema.
HAYO MAENEO YOTE KUNA MAJUMBA MAZURI NA YA KISASA NA YA GHARAMA KUBWA , SWALI WAMEJENGA NA PESA HALALI?Kwema ndugu, leo nikiwa maeneo fulan nilikutana na ubishi. Ubishi huo ulitokana na baadhi ya vijana wanaoishi katika kata ya Wazo, Wilaya ya Kinondoni mkoani Dar es salaam.
Vijana hawa walikuwa wanabishana kuhusu maeneo fulani yanayopatikana katika kata hiyo ya Wazo ambapo wapo waliodai kwamba katika kata zote za Wazo Salasala ndio mtaa unaoongoza kwa kuwa na watu wenye hadhi au waliowahi kuwa na hadi serikalini, pia wakadai kwamba Salasala ndio inayoongoza kuwa na majumba makubwa, mazuri na ya kisasa, pia inaongoza kwa hali ya hewa nzuri na maeneo bomba ya kutulia na kupanga mikakati ya kimaisha, pia eti Salasala imechangamka hata kibiashara ukilinganisha na maeneo mengine nk.
Ghafla wakadakia wengine ambao walidai kwamba Mivumoni ndio kwenye hizo sifa zilizotajwa hapo juu,
huku mungine akisema kuwa Madale ndio moto wa kuotea mbali,
mara wengine waseme Kisanga, mara wengine eti Kilima hewa, wengine Kilima hewa juu, wengine wazo kwenyewe.
Sasa wakuu kwa wale wenyeji na wazoefu wa maeneo hayo naomba mnipe majibu ili nikirudi tena kule nikikutana na ubishi wa aina hiyo nimalize ubishi kwa kutumia fact nitazopata humu.
Kati ya maeneo hayo tajwa ni wapi pa kishua na palipochangamka zaidi kibiashara na kimaendeleo.
Karibuni tuchangie kistaarabu wakuu.
Mkuu kidodosi maeneo mengi niliyoyataja hapo juu wanaishi viongozi wa kitaifa wastafu na wale ambao bado wapo serikalini.HAYO MAENEO YOTE KUNA MAJUMBA MAZURI NA YA KISASA NA YA GHARAMA KUBWA , SWALI WAMEJENGA NA PESA HALALI?
Typing error nilikuwa usingizin, nimerekebishaHii ni lugha gani mkuu? Hueleweki
Ubishi wa kitoto na wa kufungia mwaka huu..!!Kwema ndugu, leo nikiwa maeneo fulan nilikutana na ubishi. Ubishi huo ulitokana na baadhi ya vijana wanaoishi katika kata ya Wazo, Wilaya ya Kinondoni mkoani Dar es salaam.
Vijana hawa walikuwa wanabishana kuhusu maeneo fulani yanayopatikana katika kata hiyo ya Wazo ambapo wapo waliodai kwamba katika kata zote za Wazo Salasala ndio mtaa unaoongoza kwa kuwa na watu wenye hadhi au waliowahi kuwa na hadi serikalini, pia wakadai kwamba Salasala ndio inayoongoza kuwa na majumba makubwa, mazuri na ya kisasa, pia inaongoza kwa hali ya hewa nzuri na maeneo bomba ya kutulia na kupanga mikakati ya kimaisha, pia eti Salasala imechangamka hata kibiashara ukilinganisha na maeneo mengine nk.
Ghafla wakadakia wengine ambao walidai kwamba Mivumoni ndio kwenye hizo sifa zilizotajwa hapo juu,
huku mungine akisema kuwa Madale ndio moto wa kuotea mbali,
mara wengine waseme Kisanga, mara wengine eti Kilima hewa, wengine Kilima hewa juu, wengine wazo kwenyewe.
Sasa wakuu kwa wale wenyeji na wazoefu wa maeneo hayo naomba mnipe majibu ili nikirudi tena kule nikikutana na ubishi wa aina hiyo nimalize ubishi kwa kutumia fact nitazopata humu.
Kati ya maeneo hayo tajwa ni wapi pa kishua na palipochangamka zaidi kibiashara na kimaendeleo.
Karibuni tuchangie kistaarabu wakuu.
Sawa Mr Akilihuru, kwahiyo 50/50?Mkuu kidodosi maeneo mengi niliyoyataja hapo juu wanaishi viongozi wa kitaifa wastafu na wale ambao bado wapo serikalini.
So kama ilivyo kwa binadam kwamba hauwezi kumpata binadam aliekamilika, ni lazima kila binadam awe na kasoro.
Ndo hivyo hivyo kwa hayo maeneo kwamba wapo waliojenga kwa fedha halali, na wapo waliojenga kwa fedha ambazo sio halali.
fedha halali kabisa kabisa 10%, fedha halali kidogo 50%, fedha haramu na chafu 40%Fedha halali 70% , fedha haramu 30%
Hata mimi nimeshangaa mkuu.
Are you sure mkuu?wazo, salasala, madale, ununio, kilongawima, kunduchi ni mitaa iliyopo ndani ya kata ya kunduchi huko salasala unakozungumzia kimaendeleo kunaweza kuwa kupo vizuri lakini ununio na kilongawima ambayo imepakana na africana kupo vizuri kuliko huko uliposema.
Bila shaka wewe hauijui Salasala. Kule ni uzunguni ndugu. Hata mimi napakubali sana, mijengo ya maana, hali ya hewa nzuri nk.Mtoni Kijichi ndiyo eneo lenye maghorofa ya kisasa. Hayo ya Salasala, Mbezi beach yameshapitwa na wakati.