Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siwezi kupoteza muda wangu kutetea kwamba baadhi ya sera za Ujamaa zilikuwa mbovu. Sio zote. Hilo nimeshasema. Kitu ambacho baadhi ya watu hapa hawataki kuona ni kwamba Tanzania iliadhibiwa kiuchimi kwasababu ya siasa zake za ndani na mambo ya nje. Kwa wale ambao wamelala kwenye mambo ya "economic warfare" wakasome kitabu kinaitwa Confessions of an Economic Hitman. Haongelei Tanzania, lakini najua for a fact kwamba Tanzania ilikuwa victimized kiuchumi.
Siwezi kupoteza muda wangu kutetea kwamba baadhi ya sera za Ujamaa zilikuwa mbovu. Sio zote. Hilo nimeshasema. Kitu ambacho baadhi ya watu hapa hawataki kuona ni kwamba Tanzania iliadhibiwa kiuchimi kwasababu ya siasa zake za ndani na mambo ya nje. Kwa wale ambao wamelala kwenye mambo ya "economic warfare" wakasome kitabu kinaitwa Confessions of an Economic Hitman. Haongelei Tanzania, lakini najua for a fact kwamba Tanzania ilikuwa victimized kiuchumi.
Kwani nani amekataa hilo suala. Tulitaka kuusambaza ujamaa duniani na tujitafutia maadui sisi wenyewe. Hiyo ndio sababu kubwa. Darwin theory: Natural Selection or Survival of the fittest. Ujamaa ulikuwa INFERIOR na siasa zingine zimeshinda.
YourName,Maswali,Bin Maryam,Mwanakijiji,QuickMover,
Naona hii mada imegeuka tena kuwa VIBWEKA...i will see you over the weekend!!
Kama kawa, mtu na shoga lake/boo wake wanauza sura, wakiambiwa ukweli, utawasikia oooh.............!!!!! Ovyoooo.
ukinyakua mawazo ya watu wengine neno kwa neno hakikisha unaweka quote au unasema siyo mawazo yako. Ni uungwana wa kitaaluma.
Hakuna nchi ambayo iko katika "...Economic Hitman" kama victim ambayo wamarekani wangefanikiwa kuitafunia hela zao bila ushirikiano wa viongozi wao.
Sasa kama viongozi wanashirikiana na wamarekani, kuna sababu gani ya kuwa na hitman? Common sense na kitabu hicho kinasema kuwa hitman wanatumika pale viongozi wanapokataa kushirikiana na global corporations.
Ktk fani yangu haijalishi umeandikaje.......what matters ni substance. Ujumbe ulikuwa umekwishapata ila kujishaua tu. Sio kila mtu mwandishi wa habari kama...........mie nipo kwenye healthcare, nini unachokijua huko????!!! Ovyoooooo.
Hitman anahitajika kama viongozi wachache au mmoja anajua deal lakini wengi wanakuwa wanapinga.Then anatoa ki-briefcase na data feki na mlungula kazi kwisha.My point ni kuwa kama uongozi wa nchi unasimama ngangari huwezi kusingizia hitman kwa sababu hitman anahitaji upenyo wa angalau kiongozi mmoja mwenye bashasha.
Maswali,
Totally not in the Nyerere vs Kambona beef, as far as I am concerned Nyerere was a tyrant and Kambona was a coward.
Sijui unataka kusema nini kuhusu "Confession of an Economic Hitman" lakini kama unataka kuwatetea viongozi wa Afrika kama kina Nyerere think again.
Kitabu kina document jinsi gani Wamarekani walivyo wa dupe viongozi wajinga na sehemu nyingine kutumia hongo ili kuingia mikataba feki inayowagharimu watu wa mataifa mengine hela nyingi.It is more like IPTL na Richmond, kweli unaweza kuwaondolea responsibility viongozi wetu kwa mikataba hiyo?
Unaongea kama vile Nyerere alikuwa victim wa economic espionage wakati yeye mwenyewe ndiye alikuwa kichwa ngumu aliyeweka mbele siasa kuliko uchumi mpaka kungoa nyaya za simu za mjerumani?
Hakuna nchi ambayo iko katika "...Economic Hitman" kama victim ambayo wamarekani wangefanikiwa kuitafunia hela zao bila ushirikiano wa viongozi wao.
Come correct on that one or explain yourself better.
AMY GOODMAN: Can you explain how Torrijos died?
JOHN PERKINS: Omar Torrijos, the President of Panama. Omar Torrijos had signed the Canal Treaty with Carter much-and, you know, it passed our congress by only one vote. It was a highly contended issue. And Torrijos then also went ahead and negotiated with the Japanese to build a sea-level canal. The Japanese wanted to finance and construct a sea-level canal in Panama. Torrijos talked to them about this which very much upset Bechtel Corporation, whose president was George Schultz and senior council was Casper Weinberger. When Carter was thrown out (and that's an interesting story-how that actually happened), when he lost the election, and Reagan came in and Schultz came in as Secretary of State from Bechtel, and Weinberger came from Bechtel to be Secretary of Defense, they were extremely angry at Torrijos-tried to get him to renegotiate the Canal Treaty and not to talk to the Japanese. He adamantly refused. He was a very principled man. He had his problem, but he was a very principled man. He was an amazing man, Torrijos. And so, he died in a fiery airplane crash, which was connected to a tape recorder with explosives in it, which-I was there. I had been working with him. I knew that we economic hit men had failed. I knew the jackals were closing in on him, and the next thing, his plane exploded with a tape recorder with a bomb in it. There's no question in my mind that it was C.I.A. sanctioned, and most-many Latin American investigators have come to the same conclusion. Of course, we never heard about that in our country.
YNIM, plagiarism has no boundaries, na kuhusu Afya, you have no idea nini nakijua. I'm a jack of many trades. Wakati nafanya Clinical Psychology pale Bugando jambo la kwanza walilotufundisha ni pamoja ya jinsi ya "kucite" sources na yule Padre Mkurugenzi alituambia ni jinsi gani kwenye ulimwengu wa taaluma plagiarism haivumiliwi. Unless mwenzetu huko kwenye "afya" mnaruhusiwa kuibia mawazo ya watu.
Labda usome kitabu wewe, mimi nimesoma kitabu na kwenda kumsikiliza.Pasipokuwa na upenyo hata CIA hawezi unless wanaangusha missile au kumtungua mtu kutoka ndege, wewe unasema hitman.
Hii inaonyesha kama hamna upenyo wanatumia military na intelligence means kama kumlipua mtu na dege lake, siyo economic hitmen.
Maswali,
Totally not in the Nyerere vs Kambona beef, as far as I am concerned Nyerere was a tyrant and Kambona was a coward.
Sijui unataka kusema nini kuhusu "Confession of an Economic Hitman" lakini kama unataka kuwatetea viongozi wa Afrika kama kina Nyerere think again.
Kitabu kina document jinsi gani Wamarekani walivyo wa dupe viongozi wajinga na sehemu nyingine kutumia hongo ili kuingia mikataba feki inayowagharimu watu wa mataifa mengine hela nyingi.It is more like IPTL na Richmond, kweli unaweza kuwaondolea responsibility viongozi wetu kwa mikataba hiyo?
Unaongea kama vile Nyerere alikuwa victim wa economic espionage wakati yeye mwenyewe ndiye alikuwa kichwa ngumu aliyeweka mbele siasa kuliko uchumi mpaka kungoa nyaya za simu za mjerumani?
Hakuna nchi ambayo iko katika "...Economic Hitman" kama victim ambayo wamarekani wangefanikiwa kuitafunia hela zao bila ushirikiano wa viongozi wao.
Come correct on that one or explain yourself better.
Childish, mawazo gani nilioibia??
Well, mtu anaweza ku-spin atakavyo...............
In fact, ujamaa villages were generally failures as satisfactory human communities and, above all, as units of production. What the high-modernist planners of the Tanzanian state failed to realize was that the prior dispersion and movement of the population was a finely-tuned and long-practiced response to a very stingy semi-arid environment. Similarly, the complex forms of poly-cropping they practiced were generally quite productive and ecologically sound, despite having been judged, partly on aesthetic grounds, to be "backward" by agricultural planners. The mono-cropping mandated in its place typically failed. As the failures of the ujamaa became more manifest and the fiscal capacity of the regime to subsidize them weakened, communal production was abandoned and many of the villages broke up altogether. Where the new villages persisted it was due more to the improvisational skills and kinship networks of those resettled than to the logic of the planners' design.
Like the Soviet state, the Tanzanian state had replaced an independent, migratory, and illegible rural population with a regimented, fixed peasantry. In the process it damaged, if not destroyed, a preexisting human capital of working knowledge and social connective tissue. By making an abstraction of the peasant farmer and insisting on a vastly simplified, mono-cropping regimen, its own scheme proved a recipe for failure.
There u go!!!!.
In fact, ujamaa villages were generally failures as satisfactory human communities and, above all, as units of production. What the high-modernist planners of the Tanzanian state failed to realize was that the prior dispersion and movement of the population was a finely-tuned and long-practiced response to a very stingy semi-arid environment. Similarly, the complex forms of poly-cropping they practiced were generally quite productive and ecologically sound, despite having been judged, partly on aesthetic grounds, to be "backward" by agricultural planners. The mono-cropping mandated in its place typically failed. As the failures of the ujamaa became more manifest and the fiscal capacity of the regime to subsidize them weakened, communal production was abandoned and many of the villages broke up altogether. Where the new villages persisted it was due more to the improvisational skills and kinship networks of those resettled than to the logic of the planners' design.
Like the Soviet state, the Tanzanian state had replaced an independent, migratory, and illegible rural population with a regimented, fixed peasantry. In the process it damaged, if not destroyed, a preexisting human capital of working knowledge and social connective tissue. By making an abstraction of the peasant farmer and insisting on a vastly simplified, mono-cropping regimen, its own scheme proved a recipe for failure.
huwa sinaga time na watu wa psychology kama wewe, sasa ninakuelewa na upuuzi wako hapa kila siku. Kumbe ni MWANASIASA.....the "P" word you used ni kubwa sana, kuna uwezekano hujui maana yake!!
Yani kwa akili zako unategemea niandike hapa kama naandika paper ya research ya maana tena kwenye "APA FORMAT"!!!!? huoni kama huo ni uchizi, unadhani kila mtu kafanya hii ni carrier?? sina muda wa ku-prove anything to you, endelea ku-demize kwani huo nao ni mchongo wa Nyerere.