Nyani,
Naona nimedandia mada. For what it is worth, ndugu zake Kambona waliwekwa detention baada na si KABLA ya Kambona kukimbilia London. Kilichompa hofu ni pale washirika wake katika jeshi na intelligence walipoanza kukamatwa mmoja mmoja, including the late Eli Anangisye. Hii ya kwamba tofauti baina ya Nyerere na Kambona zilianza baada ya mutiny ya 1964 siiafiki. Kufikia 1966 Kambona alikuwa very close na Mwalimu. Ni baada ya mabadiliko ya uongozi katika chama, pale Kawawa alipochukua nafasi ya Kambona kama katibu mkuu wa chama, na hasa baada ya mkutano wa Azimio la Arusha, ndipo tofauti zilipoanza kuibuka kati ya Nyerere na Kambona. Kambona aliona kunyang'anywa Ukatibu mkuu na kupewa kazi ya waziri wa local government kama ni demotion. Akajiuzulu na kumwambia Mwalimu afya yake si nzuri. Yaliyofuata ndiyo hayo ya kukimbilia London through Kenya.
Naona nimedandia mada. For what it is worth, ndugu zake Kambona waliwekwa detention baada na si KABLA ya Kambona kukimbilia London. Kilichompa hofu ni pale washirika wake katika jeshi na intelligence walipoanza kukamatwa mmoja mmoja, including the late Eli Anangisye. Hii ya kwamba tofauti baina ya Nyerere na Kambona zilianza baada ya mutiny ya 1964 siiafiki. Kufikia 1966 Kambona alikuwa very close na Mwalimu. Ni baada ya mabadiliko ya uongozi katika chama, pale Kawawa alipochukua nafasi ya Kambona kama katibu mkuu wa chama, na hasa baada ya mkutano wa Azimio la Arusha, ndipo tofauti zilipoanza kuibuka kati ya Nyerere na Kambona. Kambona aliona kunyang'anywa Ukatibu mkuu na kupewa kazi ya waziri wa local government kama ni demotion. Akajiuzulu na kumwambia Mwalimu afya yake si nzuri. Yaliyofuata ndiyo hayo ya kukimbilia London through Kenya.