William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
wanted to adopt the same system under the guise of Ujamaa. The main doctrine behind Ujamaa was the relocation of peasants into village communes and the nationalization of all industries and properties
very interesting... Kawawa bado yuko hai aulizwe...
you guys take your time to read and dare to ask.. it seems the hero is Kambona, unfortunately he was denied his spotlight.. by jamaa aliyekuwa hataki Watanzania waendelee na aliyemuonea wivu..
1. Mara baada ya kurudi Tanzania, Kambona aliitisha mkutano wa hadhara jangwani na kuahidi kumwaga madhambi ya Nyerere ikiwa ni pamoja na mapesa aliyokuwa amewaibia watanzania. Baada ya mkutano, wengi walitoka wakiwa disappointed kwani hawakupata kile walichotarajia.
2. Binafsi sikubaliani na mambo mawili kwenye hiyo makala nayo ni sababu za kukosana na mwalimu,
3. na pili ni kurudi kwa Kambona toka Uingereza bila shahada ya sheria. Ukweli haujawekwa wazi.
3. mwanakijiji na wanazuoni wengine ..ombeni kuwahoji kati ya hawa na vitabu viandikwe wakiwa hai...RASHID KAWAWA,MARIA NYERERE,ALI MWINYI,MORISHO SARAKIKIYA[kwa nini aliondolewa ukuu wa majeshi na tangu hapo akawa mtu wa kutanga akiwa balozi wa kudumu..au kwa ajili alikuwa msomi ,na hakupata kuagwa kijeshi hadi mkapa alipomkumbuka ..it was so bad],JOHN MALECELA..DAVID MUSUGURI...kwa kifupi ningependa wazee wote wa zamani wa zamani hawa wawe identified na tuwahoji ILI TUWEKE SAWA HISTORIA WAKIWA HAI....HISTORIA YETU IMEPOTOSHWA SAAAANA!!!!
KAMBONA ANATAKIWA KUPEWA NAFASI YAKE KIHISTORIA ..HATA BARABARA NA HATA SHULE MOJA MBILI KUPEWA JANA LAKE SIO MBAYA..MBONA BIBI TITI NAYE PAMOJA NA KUTUHUMIWA ALISAMEHEWA NA KUENZIWA..???
Cha kushangaza hapa ni watu wanatumia article moja iliyoandikwa na This Day bila hata ya kucite source za hiyo habari kufikia conclusion . Swali langu la kwanza huyo mwandishi alipata wapi hizi habari ? Mimi nadhani ni vizuri kuwa na credible evidence kabla ya kumhukumu mtu.
Cha kushangaza hapa ni watu wanatumia article moja iliyoandikwa na This Day bila hata ya kucite source za hiyo habari kufikia conclusion . Swali langu la kwanza huyo mwandishi alipata wapi hizi habari ? Mimi nadhani ni vizuri kuwa na credible evidence kabla ya kumhukumu mtu.
Mwanakijiji,Nyani Ngabu,FMES,
Mimi kinachoniudhi ni zile siasa za kuitana majina sijui makupe,makabaila,wanyonyaji,wahujumu, maadui -- siasa za good vs evil.
Mwanakijiji nakumbuka uliwahi kuita hoja za namna hiyo kuwa ni hoja za kujenga uwoga. Mimi naongeza hizo ni hoja za kujenga chuki,mifarakano, na migawanyiko. Lakini hebu jiulize ni mara ngapi miaka ile ulisikia hoja za namna hiyo?
Historia ya nchi yetu imechezewa kweli kweli. Inachoshangaza ni jinsi wale waliokuwa na ufahamu walivyokuwa wamejikunyata wakati hali hiyo ikiendelea.
Ukifanya utafiti kidogo utagundua kuwa huyu bwana masomo yalimshinda
Mara baada ya kurudi Tanzania, Kambona aliitisha mkutano wa hadhara jangwani na kuahidi kumwaga madhambi ya Nyerere ikiwa ni pamoja na mapesa aliyokuwa amewaibia watanzania. Baada ya mkutano, wengi walitoka wakiwa disappointed kwani hawakupata kile walichotarajia.
Binafsi sikubaliani na mambo mawili kwenye hiyo makala nayo ni sababu za kukosana na mwalimu, na pili ni kurudi kwa Kambona toka Uingereza bila shahada ya sheria. Ukweli haujawekwa wazi.