Ukweli ni upi kuhusu Oscar Kambona?

Ukweli ni upi kuhusu Oscar Kambona?

Ilipoandikwa historia ya TANU na Chuo Cha Kuvukoni mwaka 1981 historia ya African Association haikuelezwa. Athari yake ni kuwa historia ya Tanganyika ya miaka 21 ikawa imefutwa yote. Katika haya mengi yakapotezwa katika makubwa yaliyofanywa na viongozi wake. Historia ikaanza na Mwalimu Julius Nyerere.
 
Ilipoandikwa historia ya TANU na Chuo Cha Kuvukoni mwaka 1981 historia ya African Association haikuelezwa. Athari yake ni kuwa historia ya Tanganyika ya miaka 21 ikawa imefutwa yote. Katika haya mengi yakapotezwa katika makubwa yaliyofanywa na viongozi wake. Historia ikaanza na Mwalimu Julius Nyerere.
Kama TANU ilizaliwa 1954, hapa ndipo historia ya TANU ilipoanzia. Kama Tanganyika ilipata uhuru mwaka 1961 historia ya uhuru ndipo ilipoanzia na kama CCM ilizaliwa 1977, hapa ndipo historia ya CCM ilipoanzia, kuitaja historia yoyote nyuma ya hapo ni mapambo tuu au kuremba. Historia ya kitu ni kilipoanzia not necessarily chimbuko lake.

Hivyo hiyo historia ya TANU ya Kivukoni ndiyo yenyewe haswa na ndiyo inayofundishwa mashuleni na mimi ndiyo iliyonipatia alama ya A kwenye mtihani wangu wa mwisho pale Tambaza.

P.
 
Kama TANU ilizaliwa 1954, hapa ndipo historia ya TANU ilipoanzia. Kama Tanganyika ilipata uhuru mwaka 1961 historia ya uhuru ndipo ilipoanzia na kama CCM ilizaliwa 1977, hapa ndipo historia ya CCM ilipoanzia, kuitaja historia yoyote nyuma ya hapo ni mapambo tuu au kuremba. Historia ya kitu ni kilipoanzia not necessarily chimbuko lake.

P.
Mkuu ninadhani kwenye historia ya Tanganyika, nivizuri kukumbuka TAA ni kama vile tunapokumbuka wakina Mkwawa, Kinjekitile, na wengine wengi.
 
Mkuu ninadhani kwenye historia ya Tanganyika, nivizuri kukumbuka TAA ni kama vile tunapokumbuka wakina Mkwawa, Kinjekitile, na wengine wengi.

Hiyo ni option tuu sio necessity ndio maana hata katika kuelezea historia yako inaanzia siku ulipozaliwa wewe, ukiamua kuweka tangu siku ulipotungwa ni option tuu!.

Ukiamua kuwataja wazazi wako walikutana lini hadi ukatungwa wewe ni options tuu sio necessity, historia inaanzia ulipozaliwa wewe, hivyo historia ya TANU inaanzia pale TANU ilipozaliwa tarehe 7/7/1954 siku ya sikukuu ya Saba Saba ambayo mpaka leo tunaishekea kwa jina la Sikukuu ya Saba Saba.

Hata hivyo mashujaa mbalimbali wa taifa hukumbukwa kwenye ushujaa wao. Kinjekitile hukumbukwa kama shujaa wa vita vya Maji Maji. Kuna kina Mkwawa Shujaa, Kuna Mkama Rumanyika wa Karagwe. Kuna Mtemi Mirambo, Isike, Mangi Sina, kina Chabruma etc etc watakumbukwa kwa yao lakini sio kuwalazimisha kuingia kwenye historia isiyo yao!.

Paskali
 
Kama TANU ilizaliwa 1954, hapa ndipo historia ya TANU ilipoanzia. Kama Tanganyika ilipata uhuru mwaka 1961 historia ya uhuru ndipo ilipoanzia na kama CCM ilizaliwa 1977, hapa ndipo historia ya CCM ilipoanzia, kuitaja historia yoyote nyuma ya hapo ni mapambo tuu au kuremba. Historia ya kitu ni kilipoanzia not necessarily chimbuko lake. Hivyo hiyo historia ya TANU ya Kivukoni ndiyo yenyewe haswa na ndiyo inayofundishwa mashuleni na mimi ndiyo iliyonipatia alama ya A kwenye mtihani wangu wa mwisho pale Tambaza.

P.

Pascal,
Wala mimi sishangai kwa wewe kusema hayo uliyosema kwani hao waliokuja
kuingia TANU 1954 hapo ndipo ulipo ukomo wao wa kujua mambo mtu hawezi
kuwalaumu kwani hawakuwapo na hawajui kilikuwapo nini kabla yao.

Lakini ukienda kwa waliokuwapo na wa miaka ya 1920 watakuambia kuwa
alikuwa Dr. Aggrey ndiyo aliyempa Kleist Sykes fikra ya kuanzisha African
Association alipokuja Tanganyika 1924.

Hii ni historia na kwa mtu mwenye ubongo uliokaa vyema atataka kumjua huyu
Aggrey ni nani, katoka nchi gani na vipi alikutana na Kleist na kumpa fikra hiyo
na huyu Kleist ni nani katika historia ya uhuru wa Tanganyika?

Ikiwa ubongo wako una maradhi basi utajilazimisha uridhike na TANU bila ya
kuifahamu African Association na waasisi wake wala kujiukiza imekuwaje ndugu
wawili Abdul na Ally Sykes wote wawe waasisi wa TANU na kadi zao za ziwe
zimefuatana na kadi ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere?

Kadi no. 1 Julius Nyerere, no. 2 Ally Sykes na no. 3 Abdul Sykes na kadi
zote hizo tatu ziwe na sahihi ya Ally Sykes?

Hakika haiwezekani kuwa haya yalikuja hivi hivi pasi ya kuwa na sababu.
Waarabu wana msemo: ''Ukiijua sababu huondoka ajabu.''

Sasa ukiwa haya yote huyataki nani mwenye hasara.

Mwenye hasara utakuwa wewe unaebakia na ujinga ilhali elimu ipo wazi na
kwa kuhitimisha nukta hii chembelecho Maalim Faiza, ''Elimu bila khiyana,''
elimu ipo na ukitaka utaweza kuipata bure.

Hassan Upeka aliliambia jopo la Chuo Cha Kivukoni la waandishi wa historia
ya TANU kuwa haiwezekani mkamfikia Nyerere katika TANU bila ya kupita kwa
Abdul Sykes, hiyo haitakuwa historia ya TANU.

Lakini wewe unasema historia hii ya Kivukoni ndiyo iliyokupa alama ''A'' katika
mtihani.

Sawa wala mimi sistaajabu.
Leo tuaona nchi inavyohangaika na vyeti vya kughushi.

Haya ndiyo matokeo yake.

Vyuo vyenye kughushi na shule zake na vitabu vya kughushi vitatoa ''A'' kama hiyo
yako na wala mimi sikulaumu wewe.

Itatuchukua muda kukaa vyema.

Lakini Chuo Kikuu Cha Harvard na Oxford University Press baada ya kusoma historia
ya Kleist Sykes wamemtia katika Dictionary of African Biography (DAB).

Ukipenda unaweza kusoma hapo chini ukalinganisha na historia unayoijua wewe:
Mohamed Said: KLEIST SYKES (1894 - 1949) KATIKA DICTIONARY OF AFRICAN BIOGRAPHY (DAB) OXFORD UNIVERSITY PRESS, NEW YORK

DSCN1159.JPG
 
Hiyo ni option tuu sio necessity ndio maana hata katika kuelezea historia yako inaanzia siku ulipozaliwa wewe, ukiamua kuweka tangu siku ulipotungwa ni option tuu!. Ukiamua kuwataja wazazi wako walikutana lini hadi ukatungwa wewe ni options tuu sio necessity, historia inaanzia ulipozaliwa wewe, hivyo historia ya TANU inaanzia pale TANU ilipozaliwa tarehe 7/7/1954 siku ya sikukuu ya Saba Saba ambayo mpaka leo tunaishekea kwa jina la Sikukuu ya Saba Saba.
Hata hivyo mashujaa mbalimbali wa taifa hukumbukwa kwenye ushujaa wao. Kinjekitile hukumbukwa kama shujaa wa vita vya Maji Maji. Kuna kina Mkwawa Shujaa, Kuna Mkama Rumanyika wa Karagwe. Kuna Mtemi Mirambo, Isike, Mangi Sina, kina Chabruma etc etc watakumbukwa kwa yao lakini sio kuwalazimisha kuingia kwenye historia isiyo yao!.

Paskali
Pascal,
Mimi naomba tuweke mipaka katika majadiliano yetu ili yapendeze.

Tumalize hili la historia ya TANU kisha tuje katika historia hii ya Maji
Maji na mashujaa wengine kama Sultan Abdul Rauf Songea Mbano
wa Wangoni.

Nadhani wewe unamjua kwa jina la Songea Mbano tu kama unavyomjua
Mtwa Mkwawa pia bila ya jina lake la Abdallah.
 
Pascal,
Mimi naomba tuweke mipaka katika majadiliano yetu ili yapendeze.

Tumalize hili la historia ya TANU kisha tuje katika historia hii ya Maji
Maji na mashujaa wengine kama Sultan Abdul Rauf Songea Mbano
wa Wangoni.

Nadhani wewe unamjua kwa jina la Songea Mbano tu kama unavyomjua
Mtwa Mkwawa pia bila ya jina lake la Abdallah.
Hayo majina yasiyojulikana ya hao mashujaa/Machief yalifichwa kwa sababu ni ya Kiarabu? Na wewe umeyeweka ili kutufahamisha majina hayo au kutufahamisha kuwa walikuwa Waislam?
 
Pascal,
Wala mimi sishangai kwa wewe kusema hayo uliyosema kwani hao waliokuja
kuingia TANU 1954 hapo ndipo ulipo ukomo wao wa kujua mambo mtu hawezi
kuwalaumu kwani hawakuwapo na hawajui kilikuwapo nini kabla yao.

Lakini ukienda kwa waliokuwapo na wa miaka ya 1920 watakuambia kuwa sisi
alikuwa Dr. Aggrey ndiyo aliyempa Kleist Sykes fikra ya kuanzisha African
Association alipokuja Tanganyika 1924.

Hii ni historia na kwa mtu mwenye ubongo uliokaa vyema atataka kumjua huyu
Aggrey ni nani, katoka nchi gani na vipi alikutana na Kleist na kumpa fikra hiyo
na huyi Kleist ni nani katika historia ya uhuru wa Tanganyika?

Ikiwa ubongo wako una maradhi basi utajilazimisha uridhike na TANU bila ya
kuifahamu African Association na waasisi wake wala kujiukiza imekuwaje ndugu
wawili Abdul na Ally Sykes wote wawe waasisi wa TANU na kadi zao za ziwe
zimefuatana na kadi ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere?

Kadi no. 1 Julius Nyerere, no. 2 Ally Sykes na no. 3 Abdul Sykes na kadi
zote hizo tatu ziwe na sahihi ya Ally Sykes?

Hakika haiwezekani kuwa haya yalikuja hivi hivi pasi ya kuwa na sababu.
Waarabu wana msemo: ''Ukiijua sababu huondoka ajabu.''

Sasa ukiwa haya yote huyataki nani mwenye hasara.

Mwenye hasara utakuwa wewe unaebakia na ujinga ilhali elimu ipo wazi na
kwa kuhitimisha nukta hii chembelecho Maalim Faiza, ''Elimu bila khiyana,''
elimu ipo na ukitaka utawezakuipata bure.

Hassan Upeka aliliambia jopo la Chuo Cha Kivukoni la waandishi wa historia
ya TANU kuwa haiwezekani mkamfikia Nyerere katika TANU bila ya kupita kwa
Abdul Sykes, hiyo haitakuwa historia ya TANU.

Lakini wewe unasema historia hii ya Kivukoni ndiyo iliyokupa alama ''A'' katika
mtihani.

Sawa wala mimi sistaajabu.
Leo tuaona nchi inavyohangaika na vyeti vya kughushi.

Haya ndiyo matokeo yake.

Vyuo vyenye kughushi na shule zake na vitabu vya kughushi vitatoa ''A'' kama hiyo
yako na wala mimi sikulaumu wewe.

Itatuchukua muda kukaa vyema.

Lakini Chuo Kikuu Cha Harvard na Oxford University Press baada ya kusoma historia
ya Kleist Sykes wamemtia katika Dictionary of African Biography (DAB).

Ukipenda unaweza kusoma hapo chini ukalinganisha na historia unayoijua wewe:
Mohamed Said: KLEIST SYKES (1894 - 1949) KATIKA DICTIONARY OF AFRICAN BIOGRAPHY (DAB) OXFORD UNIVERSITY PRESS, NEW YORK

DSCN1159.JPG
Mimi pia sioni sababu kwa nini watawala wanaikimbia history kwa kutupangia nini cha kujua,dhamira ya kuficha ni ipi,labda tuanzie hapo Mohammed said.
 
Pascal,
Wala mimi sishangai kwa wewe kusema hayo uliyosema kwani hao waliokuja
kuingia TANU 1954 hapo ndipo ulipo ukomo wao wa kujua mambo mtu hawezi
kuwalaumu kwani hawakuwapo na hawajui kilikuwapo nini kabla yao.

Lakini ukienda kwa waliokuwapo na wa miaka ya 1920 watakuambia kuwa sisi
alikuwa Dr. Aggrey ndiyo aliyempa Kleist Sykes fikra ya kuanzisha African
Association alipokuja Tanganyika 1924.

Hii ni historia na kwa mtu mwenye ubongo uliokaa vyema atataka kumjua huyu
Aggrey ni nani, katoka nchi gani na vipi alikutana na Kleist na kumpa fikra hiyo
na huyi Kleist ni nani katika historia ya uhuru wa Tanganyika?

Ikiwa ubongo wako una maradhi basi utajilazimisha uridhike na TANU bila ya
kuifahamu African Association na waasisi wake wala kujiukiza imekuwaje ndugu
wawili Abdul na Ally Sykes wote wawe waasisi wa TANU na kadi zao za ziwe
zimefuatana na kadi ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere?

Kadi no. 1 Julius Nyerere, no. 2 Ally Sykes na no. 3 Abdul Sykes na kadi
zote hizo tatu ziwe na sahihi ya Ally Sykes?

Hakika haiwezekani kuwa haya yalikuja hivi hivi pasi ya kuwa na sababu.
Waarabu wana msemo: ''Ukiijua sababu huondoka ajabu.''

Sasa ukiwa haya yote huyataki nani mwenye hasara.

Mwenye hasara utakuwa wewe unaebakia na ujinga ilhali elimu ipo wazi na
kwa kuhitimisha nukta hii chembelecho Maalim Faiza, ''Elimu bila khiyana,''
elimu ipo na ukitaka utawezakuipata bure.

Hassan Upeka aliliambia jopo la Chuo Cha Kivukoni la waandishi wa historia
ya TANU kuwa haiwezekani mkamfikia Nyerere katika TANU bila ya kupita kwa
Abdul Sykes, hiyo haitakuwa historia ya TANU.

Lakini wewe unasema historia hii ya Kivukoni ndiyo iliyokupa alama ''A'' katika
mtihani.

Sawa wala mimi sistaajabu.
Leo tuaona nchi inavyohangaika na vyeti vya kughushi.

Haya ndiyo matokeo yake.

Vyuo vyenye kughushi na shule zake na vitabu vya kughushi vitatoa ''A'' kama hiyo
yako na wala mimi sikulaumu wewe.

Itatuchukua muda kukaa vyema.

Lakini Chuo Kikuu Cha Harvard na Oxford University Press baada ya kusoma historia
ya Kleist Sykes wamemtia katika Dictionary of African Biography (DAB).

Ukipenda unaweza kusoma hapo chini ukalinganisha na historia unayoijua wewe:
Mohamed Said: KLEIST SYKES (1894 - 1949) KATIKA DICTIONARY OF AFRICAN BIOGRAPHY (DAB) OXFORD UNIVERSITY PRESS, NEW YORK

DSCN1159.JPG
Mkuu Maalim, historia ya TANU ilianzia TANU ilipozaliwa mwaka 1954 na mwenye kadi nambari moja ndie mwasisi Mkuu.

Naomba tuzilazimishe kuichomekea historia ya TAA. Utanisamehe sana nikikueleza hata hao kina Skyes hapa Tanganyika sio kwao kwa sababu nao ni watu wa kuja tuu kama alivyokuja Zongendamba kutoka kule alikotokea.

Ukiwataja kwenye historia ya TAA ni sawa. TAA ni TAA, TANU ni TANU na CCM ni CCM na kila kimoja kina historia yake!.

Kama ukiulizwa TANU ilianzishwa lini na muasisi ni nani, ukijibu 1954 na mwasisi ni Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, utapata 100%. Ukiulizwa TANU ilianzishwa lini wewe ukaanza kuzunguka kuwa ilianzia TAA mwaka 1929, na Ukiwataja kina Skkes, utapata buyu!.

Thamani ya historia ya Tanzania ni kwa Watanzania, kama Watanzania kupitia Kivukoni wanamtambua Nyerere kama muasisi na mwanzilishi wa TANU, then Tanzania ni Nyerere, yafaa nini hiyo historia ya DAB?!. What is it for?!.

Historia ni mwanzo wa kitu husika, not a peny more, not a peny less!.

Paskali
 
Mkuu Maalim, historia ya TANU ilianzia TANU ilipozaliwa mwaka 1954 na mwenye kadi nambari moja ndie mwasisi Mkuu.

Naomba tuzilazimishe kuichomekea historia ya TAA. Utanisamehe sana nikikueleza hata hao kina Skyes hapa Tanganyika sio kwao kwa sababu nao ni watu wa kuja tuu kama alivyokuja Zongendamba kutoka kule alikotokea.

Ukiwataja kwenye historia ya TAA ni sawa. TAA ni TAA, TANU ni TANU na CCM ni CCM na kila kimoja kina historia yake!.

Kama ukiulizwa TANU ilianzishwa lini na muasisi ni nani, ukijibu 1954 na mwasisi ni Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, utapata 100%. Ukiulizwa TANU ilianzishwa lini wewe ukaanza kuzunguka kuwa ilianzia TAA mwaka 1929, na Ukiwataja kina Skkes, utapata buyu!.

Thamani ya historia ya Tanzania ni kwa Watanzania, kama Watanzania kupitia Kivukoni wanamtambua Nyerere kama muasisi na mwanzilishi wa TANU, then Tanzania ni Nyerere, yafaa nini hiyo historia ya DAB?!. What is it for?!.

Historia ni mwanzo wa kitu husika, not a peny more, not a peny less!.

Paskali
Paskali,
Mimi sina nguvu ya kulazimisha chochote kwako au kwa mtu yeyote awae yule.

Nilichonacho mimi ni mantiki na ukweli katika historia ya Tanganyika ambayo
nimetafiti na kuandika kitabu, na ''paper,'' kadhaa ambazo watu wamesoma
bila ya kulazimishwa.

Wala mimi sijakataa kuwa Mwalimu Nyerere ni muasisi wa TANU.

Ila ninachosema mimi ni kuwa ikiwa utaifunga akili yako ibakie hapo bila ya
kutaka kuisoma historia nzima atakaepunjika ni wewe.

Ukweli ni kuwa Nyerere haiwezekani mgeni mno afike Dar es Salaam, awe na
ofisi, awe na wanachama na aanzishe TANU huu ni sawa na muujiza.

Haiingii akilini kuwa wewe uione kadi ya TANU ya Nyerere no. 1 lakini usitake
kujua nani ana kadi no. 2, 3, 4 na kuendelea hasa kwa mtu mwenye ''A'' ya
historia.

Hili haliwezekani lakini ukipenda kuamini hivyo hakuna wa kukulazimisha vinginevyo
hasa kwa kuwa una ''A'' ya historia ya Kivukoni.

Hii maana yake ni kuwa wewe ni mjuzi.

Kuna kitu kipya umekileta kuwa African Association ni ya kina Sykes na wao hapa
si kwao kwa hiyo ni sawa kwa historia hiyo kufutwa.

Mantiki ya hoja yako inakuwa kwa kuwa hawa ni Wazulu ''watu wa kuja,'' na
wameanzisha African Association basi historia hii haitakiwi.

Hoja hii itatambaa hivyo hivyo hadi kufikia wao kuunda TANU 1954.

Katika historia ya uhuru wa Tanganyika na mwamko wa Waafrika wa Tanganyika
kupambana na ukoloni utakutana na Waafrika wengi ambao Tanganyika si kwao.

Katika hiyo African Association utakutana na Kleist Mzulu aliyezaliwa Pangani na akina
Plantan waliokuja kutoka Mozambique lakini ni Wazulu pia.

Utakutana na Ibrahim Hamisi Mnubi wa wazee wake wametokea Dafur, Sudan.

Utakutana na Erica Fiah Mganda kutoka Uganda, utakutana na Mzee bin Sudi
Mmanyema wazee wake wametokea Belgian Congo.

Hawa nimekutajia wachache tu katika historia ya kupambana na wakoloni katika
miaka ya 1920 hadi kufikia mwisho wa Vita Vya Pili 1945.

Katika hiyo TANU halikadhalika wako pia ''wakuja,'' wengi tu.

Tuanze na Patwa Muhindi, Saadan Abdul Kandoro, Mmanyema, Sheikh
Mohamed Ramiya
Mmanyema,

Dome Okochi Budohi
Mluya kutoka Kenya, Patrick Aoko Mjaluo Mkenya, Denis
Phombeah
Mnyasa kutoka Nyasaland, Iddi Faiz Mafungo Mmanyema kwa
kukutajia majina machache.

Kulikuwa na Earle Seaton kutoka Bermuda, haonekani lakini yuko aliyetiwa katika
siasa za Tanganyika na Abdul Sykes kizazi cha pili Mzulu kuzaliwa Tanganyika na
palikuwa na Mufti Sheikh Hassan bin Amir kutoka Zanzibar.

Hawa wote wana historia zao ukizisoma mwili lazima ukusisimke.

Namaliza na babu yangu Salum Abdallah, Mmanyema aliyezaliwa Shirati Musoma
aliyekuwa mmoja wa wa wapigania uhuru wa Tanganyika kuanzia 1947 na 1955
akawa Mwenyekiti muasisi wa Tanganyika Railway African Union (TRAU).

Najua haya huyajui labda kwa kuwa waandishi wa historia kutoka Kivukoni kama
wewe hawakuwa wanayajua.

Inawezekama kwa kuwa una ''A'' ya historia ya Kivukoni ukaona Dictionary of
African Biography iliyochapwa na Oxford Univeristy Press, 2011 si chochote lakini
hii ni katika rejea muhimu sana katika historia ya Afrika.
 
Hayo majina yasiyojulikana ya hao mashujaa/Machief yalifichwa kwa sababu ni ya Kiarabu? Na wewe umeyeweka ili kutufahamisha majina hayo au kutufahamisha kuwa walikuwa Waislam?
Huyu ni mpigania historia ya Uislamu. Soma maandishi yake kamwe huwa hahangaiki na Wagalatia. He is so biased mpaka inakera! Ni msomi mzuri na angepunguza ukereketwa wa dini yaani angeweza kuwa mwanahistoria wa muhimu sana. Sasa naona karidhika na cheo cha ukereketwa wa kidini na naona wahafidhina wa nje huko wanampa vihela hela hivi basi ni shida tupu!

Na subiri atakavyokuja kutoa povu hapa na maelezo mareefu ya akina Skyes, Abdallah, Salum, Hassan na Maimuna [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu ni mpigania historia ya Uislamu. Soma maandishi yake kamwe huwa hahangaiki na Wagalatia. He is so biased mpaka inakera! Ni msomi mzuri na angepunguza ukereketwa wa dini yaani angeweza kuwa mwanahistoria wa muhimu sana. Sasa naona karidhika na cheo cha ukereketwa wa kidini na naona wahafidhina wa nje huko wanampa vihela hela hivi basi ni shida tupu!

Na subiri atakavyokuja kutoa povu hapa na maelezo mareefu ya akina Skyes, Abdallah, Salum, Hassan na Maimuna [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1] [emoji1] kama pana-ka-ukweli hivi[emoji3]
 
Huyu ni mpigania historia ya Uislamu. Soma maandishi yake kamwe huwa hahangaiki na Wagalatia. He is so biased mpaka inakera! Ni msomi mzuri na angepunguza ukereketwa wa dini yaani angeweza kuwa mwanahistoria wa muhimu sana. Sasa naona karidhika na cheo cha ukereketwa wa kidini na naona wahafidhina wa nje huko wanampa vihela hela hivi basi ni shida tupu!

Na subiri atakavyokuja kutoa povu hapa na maelezo mareefu ya akina Skyes, Abdallah, Salum, Hassan na Maimuna [emoji23][emoji23][emoji23]
Shimba...
Hakika mimi naipigania historia ya Waislam.

Kitabu changu kinaitwa: ''The Life and Times of Abdulwahid Sykes (1924 - 1968) The Untold Story of the Muslim Struggle Against British Colonialism in Tanganyika.''

Hapo kamata ''Untold,'' ilikuwa bado haijaelezwa.
Kisha kamata ''Muslim.''

Unaweza ukakejeli kwa maneno ya ''Maimuna,'' nk. lakini hiki ni kitabu kimeeleza mengi ambayo hayakuwa yakijulikana.

Mimi siandiki nikatokwa ''povu,'' sina sababu ya kufanya hivyo.
hapa anaetokwa na povu ni wewe si mie.

Soma hizo kejeli zako za ''vihela,'' nk.
Huu si uungwana.
 
Paskali,
Mimi sina nguvu ya kulazimisha chochote kwako au kwa mtu yeyote awae yule.

Nilichonacho mimi ni mantiki na ukweli katika historia ya Tanganyika ambayo
nimetafiti na kuandika kitabu, na ''paper,'' kadhaa ambazo watu wamesoma
bila ya kulazimishwa.

Wala mimi sijakataa kuwa Mwalimu Nyerere ni muasisi wa TANU.

Ila ninachosema mimi ni kuwa ikiwa utaifunga akili yako ibakie hapo bila ya
kutaka kuisoma historia nzima atakaepunjika ni wewe.

Ukweli ni kuwa Nyerere haiwezekani mgeni mno afike Dar es Salaam, awe na
ofisi, awe na wanachama na aanzishe TANU huu ni sawa na muujiza.

Haiingii akilini kuwa wewe uione kadi ya TANU ya Nyerere no. 1 lakini usitake
kujua nani ana kadi no. 2, 3, 4 na kuendelea hasa kwa mtu mwenye ''A'' ya
historia.

Hili haliwezekani lakini ukipenda kuamini hivyo hakuna wa kukulazimisha vinginevyo
hasa kwa kuwa una ''A'' ya historia ya Kivukoni.

Hii maana yake ni kuwa wewe ni mjuzi.

Kuna kitu kipya umekileta kuwa African Association ni ya kina Sykes na wao hapa
si kwao kwa hiyo ni sawa kwa historia hiyo kufutwa.

Mantiki ya hoja yako inakuwa kwa kuwa hawa ni Wazulu ''watu wa kuja,'' na
wameanzisha African Association basi historia hii haitakiwi.

Hoja hii itatambaa hivyo hivyo hadi kufikia wao kuunda TANU 1954.

Katika historia ya uhuru wa Tanganyika na mwamko wa Waafrika wa Tanganyika
kupambana na ukoloni utakutana na Waafrika wengi ambao Tanganyika si kwao.

Katika hiyo African Association utakutana na Kleist Mzulu aliyezaliwa Pangani na akina
Plantan waliokuja kutoka Mozambique lakini ni Wazulu pia.

Utakutana na Ibrahim Hamisi Mnubi wa wazee wake wametokea Dafur, Sudan.

Utakutana na Erica Fiah Mganda kutoka Uganda, utakutana na Mzee bin Sudi
Mmanyema wazee wake wametokea Belgian Congo.

Hawa nimekutajia wachache tu katika historia ya kupambana na wakoloni katika
miaka ya 1920 hadi kufikia mwisho wa Vita Vya Pili 1945.

Katika hiyo TANU halikadhalika wako pia ''wakuja,'' wengi tu.

Tuanze na Patwa Muhindi, Saadan Abdul Kandoro, Mmanyema, Sheikh
Mohamed Ramiya
Mmanyema,

Dome Okochi Budohi
Mluya kutoka Kenya, Patrick Aoko Mjaluo Mkenya, Denis
Phombeah
Mnyasa kutoka Nyasaland, Iddi Faiz Mafungo Mmanyema kwa
kukutajia majina machache.

Kulikuwa na Earle Seaton kutoka Bermuda, haonekani lakini yuko aliyetiwa katika
siasa za Tanganyika na Abdul Sykes kizazi cha pili Mzulu kuzaliwa Tanganyika.

Hawa wote wana historia zao ukizisoma mwili lazima ukusisimke.

Namaliza na babu yangu Salum Abdallah, Mmanyema aliyezaliwa Shirati Musoma
aliyekuwa mmoja wa wa wapigania uhuru wa Tanganyika kuanzia 1947 na 1955
akawa Mwenyekiti muasisi wa Tanganyika Railway African Union (TRAU).

Najua haya huyajui labda kwa kuwa waandishi wa historia kutoka Kivukoni kama
wewe hawakuwa wanayajua.

Inawezekama kwa kuwa una ''A'' ya historia ya Kivukoni ukaona Dictionary of
African Biography iliyochapwa na Oxford Univeristy Press, 2011 si chochote lakini
hii ni katika rejea muhimu sana katika historia ya Afrika.
Mkuu Maalim Mohamed Said
mtaka nyingi nasaba hupata mwingi msiba, kama lengo ni kuzungumzia historia ya TANU, ilianzishwa mwaka 1954 na Mwalimu Nyerere. Hatutafuti nyingi nasaba za historia ya TAA kwa sababu hatutaki mwingi msiba!. Kama lengo ni historia ya TANU kwa ajili ya Watanzania, then ni historia ya TANU ya Kivukoni ya kupatia A kwenye macheti, halafu hiyo ya Oxford na Cambridge yenye TAA, iwafae wasomi wa Oxford na Cambridge na sio Watanzania wa UDSM. Siku ukiitwa kutoa mhadhara pale Nkrumah Hall nijulishe nije nikisikize, lakini ukiitwa Oxford na Cambridge wala usihangaike kunijulisha, bali ukirejea ndipo unihadithie!.

Nabii wa kweli ni yule anayethaminiwa nyumbani na sii ugenini!. Historia ya kweli ya TANU ni ile ya Kivukoni na sio hiyo ya DAB!.

Paskali
 
Mkuu Maalim mtaka nyingi nasaba hupata mwingi msiba, kama lengo ni kuzungumzia historia ya TANU, ilianzishwa mwaka 1954 na Mwalimu Nyerere. Hatutafuti nyingi nasaba za historia ya TAA kwa sababu hatutaki mwingi msiba!. Kama lengo ni historia ya TANU kwa ajili ya Watanzania, then ni historia ya TANU ya Kivukoni ya kupatia A kwenye macheti, halafu hiyo ya Oxford na Cambridge yenye TAA, iwafae wasomi wa Oxford na Cambridge na sio Watanzania wa UDSM. Siku ukiitwa kutoa mhadhara pale Nkrumah Hall nijulishe nije nikisikize, lakini ukiitwa Oxford na Cambridge wala usihangaike kunijulisha, bali ukirejea ndipo unihadithie!.

Nabii wa kweli ni yule anayethaminiwa nyumbani na sii ugenini!. Historia ya kweli ya TANU ni ile ya Kivukoni na sio hiyo ya DAB!.

Paskali
Paskali,
Kitabu toleo la Kiingereza tunakwenda toleo la tatu na cha Kiswahili
tunakwenda toleo la nne.

Kitabu kithaminiwe vipi?

Je. unajua kitabu cha Kivukoni kimechapwa mara ngapi baada ya 1981
kilipochapwa kwa mara ya kwanza?
 
Kama TANU ilizaliwa 1954, hapa ndipo historia ya TANU ilipoanzia. Kama Tanganyika ilipata uhuru mwaka 1961 historia ya uhuru ndipo ilipoanzia na kama CCM ilizaliwa 1977, hapa ndipo historia ya CCM ilipoanzia, kuitaja historia yoyote nyuma ya hapo ni mapambo tuu au kuremba. Historia ya kitu ni kilipoanzia not necessarily chimbuko lake. Hivyo hiyo historia ya TANU ya Kivukoni ndiyo yenyewe haswa na ndiyo inayofundishwa mashuleni na mimi ndiyo iliyonipatia alama ya A kwenye mtihani wangu wa mwisho pale Tambaza.

P.
Nina mashaka na hiyo Alama "A" yako.. Ulikua unajibu maswali ya historia bila kui trace back history!?

Historian yeyote lazima tujue chimbuko lake, historia inaleta mvuto pale unapoi trace sio kuja juu juu tu.
 
Back
Top Bottom