Ukweli ni upi kuhusu Oscar Kambona?

Kambona alikuwa Mzaliwa wa wapi hapa Nchini?
 
Duh Kumbe Mzee wa Home Karibu na Liparamba Kabisa
 
Salute kwako Ushimen.
Nadhani umejibu kwa kirefu kuliko hata matarajio ya muuliza swali.

Kwa hayo tu yanatosha kumwonesha kama mtu anayestahili kuenziwa kama shujaa wa historia ya taifa letu kabla na baada ya Uhuru
 
Nazan alfariki 1997 kama sjakosea
 
d
Kambona kasahaulika pamoja na uaminifu huo na mema yote kiasi kwamba hakuna hata sehemu ya kumbukumbu inayomwelezea kwa mazuri yake. Ameingizwa katika kapu la waliosahaulika.
daaaa ushimen leo nimekuamini kilasiku nasomaga koment zako za pumba kumbe umejaa historia nzuri hata kuliko hata mleta uzi huu hongera sana nilipoona umekoment nilijua unatoa pumba sijaamini nimesoma mpaka mwisho very interested napenda sana historia za watu mashuhuri
 
Yupo mtwara kijiji cha msijute karb na Kiwanis cha dangote
Me pia nilijua ivo au labda yule ni mdogo wake na kambona anayezumgumziwa hapa .
Yule wa pale msijute nasikiaga alikuwa balozi wa Tz ila nchi siikumbuki .
 
Asante mkuu TANSIS ujue leo nimeamka vizuri bila mning'inio hata kidogo, that's why nimekua Tamam....[emoji4] [emoji4]
 
Siasa ni mbaya sana.Nyerere alikuwa best man harusi ya Kambona.Kikweli Kambona alikuwa sahihi kabisa kuwa huwezi jenga ujamaa ndani ya umasikini.
Hata huko zaire, miaka ya 60 rais kassa vubu alikua baba wa ubatizo wa mtoto wa kanali mobutu wakati huo mobutu akiwa chief of staff
Na mobutu akamuita mtoto huyo joseph kasavubu kama heshima kwa rais huyo
Lakini mobutu alikuja kupindua serikali na kumuweka house arrest rais kasavubu vijijini huko kwenye shamba lake mpaka huyo mzee akaja kufia huko
Na mobutu akabadili jina la mwanae kuwa JEAN PAUL NIWA
 
Ahsante sana mkuu umeeleza kwa mtiririko mzuri sana sana kiasi hata mbulula Kama DAB ataelewa bila tatizo lolote,hakika Kuna mengi sana chini ya kapeti yamefichwa kwa ajili ya chuki binafsi za watawala,pole sana Oscar Kambona nakumbuka aina fulani ya uchanaji wake wa nywele mpaka ikafikia watu wanasema nichane Kambona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…