Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,203
- 37,906
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mazingira ya kipindi kile ya karibu 95 ya watanzania walikuwa wajinga udikiteta ulikuwa ni hatua nzuri but sio kwa sasa ambapo kika nyumba ina musomiMakala nzuri japo umeweka maneno mengi ya kimbea na kipashkuna...
Kitu pekee ambacho jiwe anafanana na Nyerere ni udikteta tu.
Kambona ndie aliye anzisha uuasi kwaNeyerere kumbe alikua dictator zaidi ya kagame..
Angekubali ushauri wa kambona leo tungekua mbali sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyerere alikuwa hahangaiki kuua washindani wake! Enzi zile kumtumia watu wa kumuua Kambona London ilikuwa rahisi sana, pia uondokaji wa Kambona mara ya kwanza Mwalim alijua lkn hakufanya kitu alimuacha aende tuMakala nzuri japo umeweka maneno mengi ya kimbea na kipashkuna...
Kitu pekee ambacho jiwe anafanana na Nyerere ni udikteta tu.
Shukrani mkuuNzuri sana hii nimejifunza kitu baada ya kuisoma yote
Wivu unakusumbuaMakala nzuri japo umeweka maneno mengi ya kimbea na kipashkuna...
Kitu pekee ambacho jiwe anafanana na Nyerere ni udikteta tu.
Kijana wake alipigwa shaba London ila binti yke yupoAlikufa kwa sababu gani? Yan alikufa kwa ugonjwa au ni nini kilipelekea kifo chake? Vipi watoto wake kwa sasa wanaendeleaje na wanafanya shughuli gani? Hao wanaweza kuwa na story nzuri juu ya uhasama wa baba yao na Nyerere.
Story nzuri pamoja na uvivu wangu kusoma nimeisoma yote. Kambona
Sent using Jamii Forums mobile app
Nini kilipekea mtoto wake akapigwa shaba?
Nyerere alikuwa hahangaiki kuua washindani wake! Enzi zile kumtumia watu wa kumuua Kambona London ilikuwa rahisi sana, pia uondokaji wa Kambona mara ya kwanza Mwalim alijua lkn hakufanya kitu alimuacha aende tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Umempiga msumari 6" wa kichwani huu. Wachache wataelewa ulichomaanisha mkuu.Hayati Mzee Karume Na Hayati Moringe Sokoine wamesikitika Sana kusoma comment yako bila Shaka