Ukweli ni upi kuhusu Oscar Kambona?

Ukweli ni upi kuhusu Oscar Kambona?

Nilichojifunza ni kwamba Kambona hakuwa tayari kuburuzwa na Nyerere na hivyo ndivyo mawaziri wa siku hizi wanapaswa kuwa.
 
Hata Gorbachev nae ana watu wake wanaomkubali. Hata Fisadi mkuu au jambazi nae akiwa mtoaji mkuu wa msaada katika jamii, siku akikamatwa, hakosi watetezi.
 
Kumbe ndo maana mpaka leo hii jimbo la nyasa tunanyanyaswa maendeleo amna ok tusha washtukia barabara amna, Huduma za afya pia na kila sector nyasa tumetengwa sasa kama ndo hvyo hata KAMBONA wali mkataa na nyasa hatupew hak nitaamin kuwa sis ni wamalawi mwachien Peter mutharika nchi yake mana xo Kwa stair hyo
afe234ec963ffd835b1d2f05bd1f4593.jpg
 
Mjadala mzuri sana.

Matusi tu ndio hatuyataki kwakuwa tunajifunza mengi sana ambayo hatukuyajua.
Ndugu zanguni,
Mimi ugomvi wangu mkubwa na marehemu Ally Sykes ni kuwa yeye
alikataa kabisa kuchukua juhudi yoyote kuona kuwa hizi nyaraka muhimu
anazikabdihi Nyaraka za Taifa kwa ajili ya kizazi kijacho.

Yeye siku zote akiamini kabisa kuwa zitachomwa moto na akapata kunieleza
ugomvi uliozuka baada ya uhuru kati yake yeye na baadhi ya viongozi katika
TANU waliotaka akabidhi nyaraza zile TANU na yeye akakataa kwa hoja kuwa
hizo ni mali yao.

Hiki kilikuwa kisa cha pekee kabisa lakini moyo wangu ulikuwa mzito sana
kukieleza katika kitabu cha marehemu kaka yake.

Hata hivyo niliandika makala kuhusu nyaraka, ''zilizopotea,'' katika historia ya
uhuru wa Tanganyika na makala hii ilichapwa katika Africa Events (London).

Ikiwa nitapata makala hii katika maktaba yangu In Sha Allah nitaiweka hapa
jamvini la sikuiona nitaweka yale niliyoandika katika kitabu cha Abdul Sykes
kuhusu, ''upotevu,'' huu wa nyaraka.
 
Safi sana mtoa post, historia ni nzuri mno na inahamasa kwetu sie vijana haya ndo maisha tuyatakayo wawenayo viongoz wetu[emoji106] [emoji106]
 
Watu wengi ni Nyerere sympathizers..Kambona hakukubaliana na nyerere kuhusiana na mambo mengi,na mwisho wa siku amekuja kuwa proved right. Kuhusu multi party,kuhusu utaifishaji mali na azimio la arusha,kuhusu kuanzisha vijiji vya ujamaa...Mambo yote hayo yalikufa na yalifeli vibaya sana na ndio chanzo cha Tanzania kuwa nchi masikini sana duniani.Lakini kambona aliyaona na alikuwa na courage ya kumwambia bwana haambiliki.Na kambona was not a yes man,he was bright ukilinganisha na kawawa.Give the man his due bana...!!
 
Katika hili namuona magufuli,anapenda sifa za kisiasa ambazo zinaitia nchi kwenye hasara kubwa kiuchumi na kuturudisha nyuma kimaendeleo..angalia anavyomess na uchumi na wawekezaji.Halaf anajiona yeye ni nation hero!!Hero my foot!

Definetely, by Mwalimu ambaye he never wanted any to share spotlight with him, katika kipindi chake chote cha utawala hakupenda kuwa na competition, ndio maana alizungukwa na all the mediocres, ambao sasa wanatupeleka pabaya, Mao alizungukwa na kuwakubali strong competitors, nina kitabu kinaitwa " The Privete Life Of Chairman Mao" kilichoandikwa na daktari wake private wa zamani, anaitwa Dr. Li Zhisui, kimechapishwa na Random House naomba mkuu wangu MMJ, kitafute uyaone mwenyewe live jinsi Mao alivyokuwa akipigwa mawe na viongozi wenziwe kila alipojaribu kuleta nonesense ideas, sasa itashangaa kwa nini China inayoyoma tu mbele na sisi kina Mkapa ndio wameishia kuwa mabepari sisi tunaimba nyimbo za kumsifu Mwalimu, na Azimio La Arusha tu!

3. by jamaa aliyekuwa hataki Watanzania waendelee

Mwalimu, alipenda sana ujiko wa siasa, alikuwa willing hata ku-sacrifice taifa letu kwa kujali ujiko wake binafsi, alitupelekea kwenye vita vya Uganda, just kuongezea tu ujiko wake kisiasa, alitaka wabongo tuendelee lakini hakuwa an vision ya how to do it na hakutaka kusikiliza wengine au the brain kama kina Professor Rweyemamu, matokeo yake ni here we are completely lost out![/QUOTE]
 
Kama hivyo ndivyo, basi historia ya TAA isihusishwe na Uislamu.
Ukiona watu wana nasibihisha dini na siasa hao wote ni muflisi wa kisiasa.

Muflisi wakiona wamefilisika hivyo kushindwa kujihalalisha kisiasa, watatumia ukanda, ukabila na udini ama kutaka kujihalalisha au baada ya kushindwa, wakatumia hoja hizo kutafutia scapegoats wa kushindwa kwao.

Mwalimu Nyerere aliwaita watu hawa ni wajinga tuu.

P
 
Ukiona watu wana nasibihisha dini na siasa hao wote ni muflisi wa kisiasa.

Muflisi wakiona wamefilisika hivyo kushindwa kujihalalisha kisiasa, watatumia ukanda, ukabila na udini ama kutaka kujihalalisha au baada ya kushindwa, wakatumia hoja hizo kutafutia scapegoats wa kushindwa kwao.

Mwalimu Nyerere aliwaita watu hawa ni wajinga tuu.

P
Swadakta.
 
Jamii forum nako wasomi kabsa wachache weng walienda skuli kwa ajili yaa kupataa ajira nmekuwa nkisoma hum weng wanadai historia ya TANU ili wa isolate some people hakuna nchi dunian inayoandka historia ya commoner kwa walioenda shule chek KING CROSSED THE RIVER ina maana hakuna mtu before alievuka mto ule MSILAZMISHE HISTORIA ETI WANDKWE SJUI JAMAT AL ISLAMIYAA ww sio elite but you are ordinary citizen in mind
 
Back
Top Bottom