Ukweli ni upi kuhusu Oscar Kambona?

Ukweli ni upi kuhusu Oscar Kambona?

Thanks Jasusi for this new dimensions of what real happened, just see my posts I have been asking questions and judge from information that I have. Na ndio napata shida sana na historia ya nchi yetu, inaonekana kila mmoja anajua kivyake na tunakoenda kweli kabisa tutaipoteza

umeisoma wapi hii? how can I get more and more of this information

It seems we have to know more before concluding anything in this country, na ndio napata shida tunaenda wapi

Thanks Though
Waberoya,
Natamani tungekuwa na historians na waandishi habari wenye kuthubutu. There is so much information out there that needs to be collected for the sake of the coming generations. I was lucky that when I was a student at Aga Khan, I knew Lucy Lameck and once in a while I would visit Msasani. I also knew Mzee Paul Bomani ambaye alikuwa ameanza kuandika kitabu chake lakini hakikumalizika kabla ya mauti kumkuta. I am trying to encourage his children to see to it that the book is finished lakini nasikia bado wana kesi ya urithi mahakamani. Anyway, that is another story for another time. The late Lucy was so concerned about Kambona's activities and it worried him that Mwalimu was not taking it seriously. By the way, ndugu zake Kambona hawakukamatwa mpaka months later when it became evident that he was using them to pass on information to the alleged coup plotters. I think Mwakikagile touched on this in one of his books.
 
Jibu ni rahisi sana na umelitoa tayari ingawa hutaki kukubari moja kwa moja.
Sababu ya kuwa Rashid could not stand on his own does not suffice after all it was him Rashid and other Tanu members ndio walimwalika Nyerere.
Ukweli ni kwamba,Julius aliwazidi wenzie akili na kwakua....."Julius needed people who could not challenge him and Rashid was just the man................"

Kambona alikua na akili kumzidi Julius na hilo likawa tatizo.


Kambona alikuwa 'mjanja' kuliko Julius na si kwamba alikuwa na akili kumzidi!

Tumtendee haki Mwalimu. Wale wanaodai alikuwa dikteta, haambiliki etc. ina maana vikao vyote vya Chama na Baraza la Mawaziri tangu Uhuru hadi Mwalimu anatoka madarakani vilikuwa ni rubber-stamps tu na kwenye vikao hivyo kulikuwa hakuna majadiliano hadi muafaka kufikiwa, aliyekuwa akiongea na hatimaye kufikia hitimisho alikuwa ni Mwalimu pekee?
 
Waberoya,
Natamani tungekuwa na historians na waandishi habari wenye kuthubutu. There is so much information out there that needs to be collected for the sake of the coming generations. I was lucky that when I was a student at Aga Khan, I knew Lucy Lameck and once in a while I would visit Msasani. I also knew Mzee Paul Bomani ambaye alikuwa ameanza kuandika kitabu chake lakini hakikumalizika kabla ya mauti kumkuta. I am trying to encourage his children to see to it that the book is finished lakini nasikia bado wana kesi ya urithi mahakamani. Anyway, that is another story for another time. The late Lucy was so concerned about Kambona's activities and it worried him that Mwalimu was not taking it seriously. By the way, ndugu zake Kambona hawakukamatwa mpaka months later when it became evident that he was using them to pass on information to the alleged coup plotters. I think Mwakikagile touched on this in one of his books.

Thanks once again, hizi dondoo ndogo ndogo zinaweza kabisa kujenag kitu kikubwa kabisa.

You know what? generations ambayo haya yote yametokea bado ipo na still habari hizi nyingi hazieleweki. I hope miaka 50 ijayo usijeshangaa hata historia ya taifa isijulikane kabisa! wakati wenzetu let say USA wana historia (documented mpaka ya 1300!) hatujaweza hata ku-keep real history ya late 1800 nyingi ziko partial, maji maji tunajua tu kwa kifupi , as days going on hii globalisation inafuta kila kitu, western 'things' vinatawala na vitafuta kila kitu. as a results common history in future years itakuwa PhD. study ya mtu!

Kuna uwezekano watu waliokuwa karibu na Lucy wanaweza wakawa wanajua issue nyingi sana, you may pay them a visit na kutafuta,

Jasusi, unajua hatari iliyopo kubwa na ndio maana hii mijadala ni mizuri, kama Kambona alikuwa guilty au traitor then is very possible katika miaka fulani ijayo mtu akaandika kitabu cha kumsafisha na kitakubalika kwa sababu ukweli haujaandikwa, and this is very possible maana jina la Kambona lipo linatumiwa hata leo hii. However kama alikuwa clean still this was a good time kuandika ukweli wote.
 
Thanks once again, hizi dondoo ndogo ndogo zinaweza kabisa kujenag kitu kikubwa kabisa.

You know what? generations ambayo haya yote yametokea bado ipo na still habari hizi nyingi hazieleweki. I hope miaka 50 ijayo usijeshangaa hata historia ya taifa isijulikane kabisa! wakati wenzetu let say USA wana historia (documented mpaka ya 1300!) hatujaweza hata ku-keep real history ya late 1800 nyingi ziko partial, maji maji tunajua tu kwa kifupi , as days going on hii globalisation inafuta kila kitu, western 'things' vinatawala na vitafuta kila kitu. as a results common history in future years itakuwa PhD. study ya mtu!

Kuna uwezekano watu waliokuwa karibu na Lucy wanaweza wakawa wanajua issue nyingi sana, you may pay them a visit na kutafuta,

Jasusi, unajua hatari iliyopo kubwa na ndio maana hii mijadala ni mizuri, kama Kambona alikuwa guilty au traitor then is very possible katika miaka fulani ijayo mtu akaandika kitabu cha kumsafisha na kitakubalika kwa sababu ukweli haujaandikwa, and this is very possible maana jina la Kambona lipo linatumiwa hata leo hii. However kama alikuwa clean still this was a good time kuandika ukweli wote.
Waberoya,
Nakubaliana na wewe kabisa. Ndio maana nasema Tanzania tunahitaji watu wa kuthubutu kujituma. There is so much information out there if only one is patient enough to follow it up. Nimeona vitabu viwili hapa Marekani vimeshaandikwa juu ya Obama, na wote walioandika ni journalists, na wala si historians. Pia nimeshuhudia kazi aliyofanya Bob Woodward tangu enzi za Watergate ya Nixon. As a journalist I feel very challenged by these colleagues. We can do it in Tanzania too. Kama ulivyosema wale wazee waliokuwepo enzi za Mwalimu, ingawa wanapungua kidogo kidogo bado wapo na hawa ni hazina ya kipekee kabisa. Personally I would like to return to Tanzania soon and may be take up some of these challenges. I am under extreme pressure right now from my daughter to write a book tangu nilipomsaidia kwenye paper yake on Tanzania. Mwakikagile has opened the way na labda, inshallah, wengine tunaweza kufuatia. And this brings me back to my point on Kambona. It would have been nice, and a great service to the future generation, kama angeandika memoirs zake tangu alipotofautiana na Nyerere, sasa hivi wewe na mimi tungekuwa tunadebate vitu tofauti kabisa.
 
KAMBONAOLOGISTjasusi, many thanks,perhaps unknowingly YOU have opened a pandora box ,and in the process a bit of history which was gathering dust has been brought out in the open-once again SALUTES
 
Kambona alikuwa 'mjanja' kuliko Julius na si kwamba alikuwa na akili kumzidi!

Tumtendee haki Mwalimu. Wale wanaodai alikuwa dikteta, haambiliki etc. ina maana vikao vyote vya Chama na Baraza la Mawaziri tangu Uhuru hadi Mwalimu anatoka madarakani vilikuwa ni rubber-stamps tu na kwenye vikao hivyo kulikuwa hakuna majadiliano hadi muafaka kufikiwa, aliyekuwa akiongea na hatimaye kufikia hitimisho alikuwa ni Mwalimu pekee?


Mkuu Bibi,

Huwezi kuwa MJANJA kama HUNA AKILI.Kambona possess both AKILI na UJANJA kumzidi MWL.period!
 
Mkuu Bibi,

Huwezi kuwa MJANJA kama HUNA AKILI.Kambona possess both AKILI na UJANJA kumzidi MWL.period!
Sanda,
Bi Ntilie kasema "mjanja" in quotes. Kwa kweli kwa "ujanja" na "akili" Kambona alimzidi Mwalimu. Na historia ni shahidi. ( In quotes)
 
Waberoya,
Kambona hakufukuzwa, ama kutoka TANU au kutoka Tanzania. Kilichotokea baada ya ule mkutano uliopitisha Azimio la Arusha, Kambona alichaguliwa kuwa waziri wa Rural Development. Yeye, (nadhani) aliona hiyo kuwa ni demotion. Alimfuata Mwalimu na kumwambia kuwa ana matatizo ya afya na angependa kupumzika kidogo. Hakusema kuwa ana resign au haitaki hiyo post. Mwalimu akamshauri aende amwone daktari mmoja Holland ambaye alikuwa rafiki ya Mwalimu, na alikuwa tayari kumtibu Kambona gratis (without charge). Months later, in 1967 Kambona akaomba likizo nyingine. Akaenda Moshi. Wakati huo marehemu Lucy Lameck akamtaarifu Mwalimu kuwa Kambona ana mpango wa kujiuzulu. Mwalimu alinyamaza. Kambona left Tanzania baada ya "watu wake" katika jeshi na usalama wa taifa kuanza kukamatwa mmoja mmoja na kuwekwa kizuizini. The rest you know. Hakufukuzwa kabisa.

Isn't that worse kuliko kufukuzwa?....what about his brothers that were incarcerated without trials for years?...Fundikiea,Kasela bantu et al never had whole clans incarcerated just for their cause like Kambona.....leo hii kule Kwao Manda hata maendeleo hakuna kwa ajili yake...
 
Hapa ndipo ninapoiheshimu JF; watu kuamua kuchambua mada kwa mantiki bila uoga. Niseme tu kuwa nachoamini ni kwamba Mwalimu naye alikuwa mhanga wa hisia au utashi wa kawaida wa binadamu hasa wale wanaojiamini sana na hivyo kutotaka mawazo yao kupingwa (monopoly of ideas). Unaweza kumuona kama dikteta kwa hilo. Na ni kweli kuna watu wengi tu walioumia kwa maamuzi yake yaliyofanywa katika harakati zake za kutotaka mbadala wa dhana zake. Hata hivyo, TOFAUTI yake kubwa na madikteta waliotisha na wanaoendelea kutisha duniani, ni kwamba yeye alifanya anayoyaamini kwa dhamira safi (naamini kabisa) akiamini kuwa anaipeleka nchi kwenye neema. LAKINI naamini pia kuwa alikuwa akiishi kwenye ulimwengu wa ndoto zaidi huku akiwa gizani sana kuhusu hali halisi na hivyo kuwa na mikakati halisi. Hebu fikiria tu dhana yake kwamba "Ujamaa ni imani ...". It was an illussion. Halafu fikiria walaji ndani ya CCM wanavyoendelea kujikanyaga kila kukicha kwamba wanaendeleza sera hiyo ilhali walishaitupilia mbali.
 
In 2011 the University of Dar-es-Salaam will celebrate its 50th anniversary. As a matter of fact the celebrations began last week to commemorate our our first and most prestigious university in the country. I found this speech by Mwalimu as he was opening the university college campus on August 21, 1964 .. I was struck by this opening of the speech:

Your Excellencies, Mr. Principal, Ladies and Gentleme;

The decision to start the University College of Tanganyika immediately , and in Dar-es-Salaam, was taken in June 1961. At that time we had responsible self government, but not independence; Mr. Oscar Kambona wa Minister of Education.

Now, just three years later, the first graduates from this College are taking their places in Government and Commerce. They were pioneers, and spent all their university lives in temporary makeshift quarters. But that they had this opportunity at all is a tribute to the energy and enthusiasm of Mr. Kambona and his siccessor at the Ministry, Mr. Solomon Eliufoo, and to the early staff of the College...(Freedom and Unity, 305)


My question then is this: as the UDSM is celebrating its 50th year of providing higher education to thousands Tanzanians, should it now restore the name of Kambona who is in fact part of UDSM history, putting all politics aside? Or ndiyo imekula kwake?
 
MMM,

Wenzetu wazungu wana utamaduni mzuri sana. Mtu mmoja akifanya jambo lenye heshima ya kitaifa atawekwa kwenye kumbukumbu iwe ya kwenye nyaraka za kitaifa (kama shujaa), nishani, medali, sanamu yake au hata monument inapobidi, etc. Kwetu sisi, hata kama niliifanyia nchi yangu makubwa, ikitokea nimeshindwana na mwenye madaraka, jina langu halitakaa likumbukwe.

Naongezea tu kwenye caption yako: "je ni halali Kambona asikumbukwe hata baada ya kuwa mbunifu na kufanya jitihada za makusudi na hata wengi wetu kuwa matunda ya kazi yake??"
 
In 2011 the University of Dar-es-Salaam will celebrate its 50th anniversary. As a matter of fact the celebrations began last week to commemorate our our first and most prestigious university in the country. I found this speech by Mwalimu as he was opening the university college campus on August 21, 1964 .. I was struck by this opening of the speech:




My question then is this: as the UDSM is celebrating its 50th year of providing higher education to thousands Tanzanians, should it now restore the name of Kambona who is in fact part of UDSM history, putting all politics aside? Or ndiyo imekula kwake?

Ni kweli Kambona arudishwe kwenye kumbukumbu za UDSM; at least wote watatu, Nyerere, Kambona na Eliufoo kwa pamoja.

Pamoja na mapungufu yake mengineyo, bado nimebaki kuwa na heshima kwa Kambona binafsi kwa sababu nadhani alikuwa more visionary kuliko Nyerere ingawa sina maana ya kuwa Nyerere hakuwa visionary. I am sorry to say this.
 
SAfi sana..

Hili sikulijua nadhani kuna haja ya kuwambia Prof. Mukandara..Mwanakijiji can i have that speech na nitamtumia Prof. Mukandara na kumweleza nini anatakiwa kufanya katika madhimisho ya miaka 50 ya chuo itakayofanyika mapema mwakani
 
Angalau MM wewe ni mtanzania mwenye inteligence iliyotulia asante kwa kuanzisha thread nzuri kama kawaida yako. naunga mkono hoja.
 
Ndg wana JF nadhani wengi mtakuwa mnamkumbuka jabari huyu aliyemkosesha usingizi Marehemu Mwl. Nyerere enzi zake. Hebu itizame historia yake ingawa wengi watakuwa kipindi hicho walikuwa hawajazaliwa au walikuwa wadogo sana. Hii inatukumbusha kuwa unapopigania haki upiganie hadi mwisho ingawa huyu alikimbia pengine kwa kuogopa kuuawa, lakini alikuwa shupavu. endelea hapa chini:
Oscar Salathiel Kambona was the first foreign affairs minister of Tanganyika and the second most influential and most popular leader in the country after President Julius Nyerere.
He was born on 13 August 1928 on the shores of Lake Nyasa in a small village called Kwambe near Mbamba Bay in the district of Mbinga near Songea in southern Tanganyika. He died in London in July 1997.
He was the son of the Reverend David Kambona and Miriam Kambona. Reverend David Kambona belonged to the first group of African priests to be ordained into the Anglican Church of Tanganyika.
Kambona received his primary school education at home under a mango tree in his home village. The tree still stands today. He was taught by his parents and by an uncle, all of whom were teachers.
He was then sent to St Barnabas Middle School in Liuli in southern Tanganyika not far from his home. He also attended Alliance Secondary School in Dodoma in central Tanganyika.
A British Anglican bishop paid Oscar Kambona's school fees because his father could not afford to do so. The school fees was 30 Pounds per year. Kambona is reported to have said he convinced the Anglican bishop to pay his school fees by reciting the Lord's Prayer in English.
He was then selected to attend Tabora Boys’ Senior Government School where he first met Julius Nyerere who was already teaching at St. Mary's, a Catholic school in the town of Tabora.
Political career

Kambona became the secretary-general of the Tanganyika African National Union (TANU) during the struggle for independence and worked closely with Nyerere who was president of TANU, the party which led Tanganyika to independence. Tanganyika won independence from Britain on 9 December 1961. The two were the most prominent leaders of the independence movement in Tanganyika in the 1950s.
Oscar Kambona was a charismatic leader who also had great influence among the leaders of the African liberation movements based in Dar es Salaam, Tanzania, second only to Nyerere, after the country won independence.
He was a shining star in the constellation of Tanganyikan (later Tanzanian) politicians and it was widely believed that he would be the next president of the country if Nyerere no longer ran for office or stepped down for whatever reason. His stature as Nyerere's heir apparent or successor was enhanced when, as defence minister, he calmed down soldiers who could have overthrown the government.
That was during the army mutiny in January 1964 when President Nyerere and Vice President Rashid Kawawa were taken to a safe place by the members of the intelligence service in case the soldiers wanted to harm them.
It was Oscar Kambona, alone, who confronted the soldiers and negotiated with them. He drove himself to the army barracks to talk to the army mutineers and listen to their demands. The soldiers wanted their salaries increased and British army officers replaced by African officers.
There was, however, suspicion that some elements in the government and in the labour movement secretly worked with the soldiers to create a tense situation in an attempt to overthrow President Nyerere. ………. (long story)
After Nyerere came out of seclusion, he publicly thanked Oscar Kambona, whom he called "my colleague," for defusing a potentially dangerous situation.
In fact, when the soldiers remained defiant, it was Oscar Kambona who persuaded Nyerere to seek immediate assistance from the former colonial power, Britain, to suppress the mutiny.
The two leaders had been close political allies and personal friends since the days of the independence struggle when they were the main leaders of the independence movement. In fact, when Kambona got married to a former Miss Tanganyika at a cathedral in London, Nyerere was his best man.
But the two leaders started drifting apart a few years after independence. The first rift occurred in 1964 during the army mutiny, and then in 1965 when Tanzania officially became a one-party state.
As a cabinet member, Oscar Kambona supported the transition to a one-party state but did so reluctantly, only as a team player.
He was opposed to the change because he said there was no mechanism guaranteeing change of government by constitutional means in a country dominated by one party. He also contended that there were no constitutional safeguards to make sure that the country did not drift into dictatorship. ……(story cut)
Kambona was opposed to this fundamental change and argued that the government should first launch a pilot scheme to see if the policy was going to work on a national scale.
Tanzania's socialist policy was mainly based on the establishment of Ujamaa villages, roughly equivalent to communes or the Kibbutz in Israel, …..(story cut)
The two (Kambona and Kawawa) became bitter enemies thereafter. In fact, they started going separate ways even before then because Kambona saw Kawawa as no more than a "puppet" of Nyerere, manipulated at will, and who agreed with everything Nyerere said and wanted. ……(story cut). Kambona was the only cabinet member who challenged Nyerere and stood up to him and saw him as his equal. There was probably another cabinet member, Chief Abdallah Fundikira IIIhttp://www.ask.com/wiki/Abdallah_Said_Fundikira_III?qsrc=3044, Tanganyika's first minister of constitutional affairs, who not long after independence left the cabinet over disagreements with Nyerere. Fundikira had known Nyerere since their student days at Makerere University College in Uganda in the early 1940s…. (story cut)
Kambona was opposed to socialism. He was not a socialist like Nyerere. He was a capitalist…..(story cut). But Kambona lost……(story cut)
Exile

A few months later, in July 1967, Oscar Kambona left Tanzania with his wife and children and went into "self-imposed" exile in London.
……There were rumours that one of the ways he enriched himself when he was in office was by taking some of the money which was intended to go to the liberation movements based in Tanzania. …..
Tony Laurence, in his book The Dar Mutiny of 1964 published by Book Guild Publishing, states that, fearing for his life, Kambona went to live in exile in Britain without any financial support and took a number of low-paying jobs to support himself and his family. …..
Speculation that he may have been in imminent danger just before he left was somewhat confirmed when his house in Magomeni, Dar es Salaam, was destroyed by the security forces and the soldiers of the Tanzania People's Defence Forces (TPDF) although not demolished. The destruction is shown in a photograph on the web site of the Kambona Foundation.
But fear for his security and freedom was real, further confirmed when his two younger brothers, Mattiya Kambona and Otini Kambona, were arrested around the same time he fled to London. They were detained for many years until President Nyerere released them.
From his sanctuary in London, Oscar Kambona became a bitter critic and opponent of President Nyerere and his policies.
He was even invited by the Nigerian military government of Yakub Gowon in June 1968 to go and lecture in Nigeria after Tanzania recognized Biafra (the first country to do so in April that year), thus infuriating Nigerian leaders for supporting the secession of the Eastern Region of the Nigerian Federation………
Nigerian leaders were also quick to remind Nyerere that it was Nigerian troops who had saved him and provided security and defence for Tanganyika after the army mutiny in Tanganyika in 1964 when Nyerere appealed to fellow Africans for troops to temporarily provide defence while the Tanganyikan government was building a new army. Nigeria, under the leadership of President Nnandi Azikiwe and Prime Minister tafawa Balewa, immediately responded to Nyerere's request………
Kambona was also quick to remind his listeners in Nigeria, and even in Britain where lived, that it was he who calmed down the soldiers when they mutinied while President Nyerere and Vice President Kawawa went into hiding, "in a grass hut," as he put it.
Coup Leader

Not long after Kambona got ample publicity during his lecture tour of Nigeria in 1968 denouncing Nyerere, he was again in the news in Tanzania and other African countries and elsewhere. He was accused of masterminding a coup attempt to overthrow Nyerere1.
The coup was to take place in October 1969. But all the alleged conspirators were arrested before the fateful date, except Kambona who was living in London.
Leballo had gained the confidence of the coup plotters while he was working for Tanzania's intelligence service. His testimony proved critical in securirng a conviction of the accused during the treason trial presided over by Chief Justice Phillip Telfer Georges, a Trinidadian. The leading government attorney, besides Attorney-General Mark Bomani, was Nathaniel King, also from Trinidad.
Kambona was the first accused and was charged in absentia.
There were reports that he would be extradited to Tanzania but he never was. ….
During the trial, prosecuting attorney, Nathaniel King, said the coup plotters also intended to assassinate President Nyerere. He asked one of the accused, John Lifa Chipaka, what he meant when he said - in their secret communications obtained by the Tanzania intelligence service - they were going "to eliminate" Nyerere. Chipaka responded by saying, "Eliminate him politically, not physically."
The Chipaka brothers were cousins of Oscar Kambona.
While his co-conspirators were languishing in prison after being convicted of treason, Oscar Kambona continued to criticise Nyerere from his safe haven in London through the years, while nurturing ambitions to return into the political arena in his home country where he once was a bright star in the 1960s before he fled to London.
Return of the "prodigal son"

It was not until 1992 after Tanzania adopted multiparty democracy that Kambona returned to lead one of the opposition parties after 25 years living in exile. He was the most prominent figure on the opposition side during that time after he returned to his home country…..
And he was in a combative mood. Even before he left London, he challenged the Tanzanian government to arrest him on his arrival in Tanzania, vowing that he was returning to Tanzania regardless of consequences and to clear his name before the people of Tanzania . He was not arrested.
But that was not the end of his ordeal.
The beginning of the end

A campaign by the government was started to vilify him again. First was the claim that he was not a citizen of Tanzania and had never been one even though he had served as the country's minister of home affairs, minister of defence, and minister of foreign affairs, and even led the struggle for independence with Nyerere in the 1950s.
Yet nothing was said in all those years that he was not a citizen of Tanganyika. It was only decades later, in the 1990s, that the government said he was not a Tanzanian but a Malawian. Others said he was a Mozambican.
The government even withdrew his passport on the same grounds that he was not a Tanzanian citizen. He could not even travel outside the country after his passport was withdrawn…..
Kambona himself had his own "revelations" concerning the national identities of other Tanzanian leaders including President Nyerere himself. He said Nyerere's father was a Tutsi from Rwanda who was a porter for the Germans and settled in Tanganyika and that he could prove it.
He also said Vice President Rashid Kawawa came from Mozambique, and John Malecela - who once served as Tanzania's foreign affairs minister, prime minister and vice president among other posts at different times - came from Congo where his grandparents were captured as slaves before they settled in Dodoma, central Tanzania…..(story cut)
End of his life
Kambona was indeed a luminary in Tanzanian politics. But he was no longer the star he once was, when he was second only to Nyerere in influence and popularity in the sixties when many people even copied his hair style, which came to be known as "Kambona style."
He died in London in July 1997, almost exactly 30 years after he first went into exile in Britain in July 1967 where he lived for 25 years before returning to his home country in 1992 to spend the last few years of his life.
Despite his political misfortunes, Oscar Kambona will always be remembered as one of the most prominent leaders of Tanzania who also played a leading role in the struggle for independence and who relentlessly campaigned for the adoption of multiparty democracy in Tanzania. But he will also always be remembered as the most prominent Tanzanian leader who tried to overthrow President Julius Nyerere.
It is, of course, anybody's guess how he……. could have been one of the best presidents Tanzania ever had. We will never know. Or to put it another way, Oscar Kambona was one of the best presidents Tanzania never had.
And it is very much possible that under his leadership, Tanzania's economy would probably not have suffered as much as it did under Nyerere during his years of socialist rule……..(story cut)
Today, Tanzania is pursuing free-market policies after renouncing socialism, and has adopted multiparty democracy, the same policies and kind of political system Kambona had advocated all along.
He has probably been vindicated by history.
 
Ndugu zangu,

Kuna wimbo huu wa mchakamchaka;

" Kambona , ah, ah!

Kambona, ameolewa!
Wapi?
Uko Ulaya!
Wivu?
Wamkereketa!"


Utotoni nilipata kuwasikia kaka zetu wakiimba wimbo huo wa mchakamchaka. Nikiwa shuleni nimesoma sana habari za siasa za wakati huo. Bado naendelea kusoma na kujifunza. Katika kusoma kwangu nimeona, kuwa suala la ugomvi wa Oscar Kambona na Julius Nyerere alikuwa rahisi vile kama tulivyoambiwa na hata kuimbiwa. Simulizi za Oscar Kambona zinabaki kwa wengi kuwa ni za upande mmoja.


Hakika, si wengi wenye kufahamu nini hasa kiliwatokea marafiki watatu hawa (Pichani) ; Julius Nyerere, Oscar Kambona na Rashid Kawawa. Kizazi hiki cha sasa cha Watanzania kinaweza kunufaika sana na uelewa wa yaliyojiri katika harakati za kisiasa za wakati huo zilizopelekea uhuru wa Tanganyika na baadae Oscar ' Kujivua' gamba kwa kutokubaliana na rafiki yake Julius juu ya Azimio la Arusha. Kuna maswali ya kujiuliza; Je, ugomvi wa Oscar na Julius ulianzia kwenye Azimio au kabla ya hapo?

Je, umma ulipotoshwa juu ya nini kilichotokea? Ikumbukwe, Oscar na Julius walikuwa marafiki wa kushibana kiasi cha Julius kuwa ' Mpambe' wa Oscar kwenye ndoa yake iliyofanyika London. Je, Rashid alichangia kwenye ' kutoswa' au ' kujitosa' kwa Oscar. Kwamba Oscar aliona hakupata kuungwa mkono na Rashid. Je, Oscar alifanya makosa kwa kuondoka nchini badala ya kubaki na kupambana kwa hoja na rafiki yake Julius?


Je, nianze kuwasimulia machache niliyojitahidsi kuyajua, au niwaache kwanza wengine msimulie mnayoyajua, maana, kuna wanaodhani wanajua na kuna wanaojitahidi kujua. Mie niko kwenye kundi hilo la pili!


Maggid,

Sweden,
Ijumaa, Juni 17, 2011
MJENGWA - Picha, Habari & Matangazo
 
Naomba nisamehewe ila humu jamvini nimejifunza kuwa wanaopenda sana kudodosa ya kale wanaishia kujidhirisha kuwa na agenda aidha za udini ama ukabila.Lol
 
Back
Top Bottom