Ukweli ni upi kuhusu Oscar Kambona?

Ukweli ni upi kuhusu Oscar Kambona?

Mzee Nyerere Moja ya madhaifu yake I kinyongo
Alikuwa hajui kusamehe

Hata Siku Mwili wa Oscar Kambona unaletwa Dar kwa MaZiko alikataa kushiriki akaamua kwenda Butiama hadi umalizike ndio akarudi

Ma Rais wa Kanda ya Ziwa wana tabia Za kanda ya Ziwa ( Visasi Na Vinyongo na kutopenda kukosolewa).

Ila rais mkwere yeye hujifanya anacheka cheka kinafiki huku anakumaliza.

Ujinga daraja la kwanza.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kambona alikuwa ana tayarishwa na waingereza wa anglikana wenye siasa za mrengo wa kati kuwa kiongozi wa Tanganyika. In case machifu wenye siasa za centre right hawata kubalika machoni mwa wanyonge wa Tanganyika.

Nyerere alikuwa ana tayarishwa na waingereza wenye siasa za mrengo wa kati kushoto (hususan Fabian Society), pamoja na waingereza, waskotchi na wa irish wakatoliki kuwa kiongozi wa Tanganyika.

Alliance ilikuwa shule ya waanglikana. St Mary's na St Francis zilikuwa shule za wakatoliki.

Nyerere na Kambona walikuwa ma rafiki wa waingereza. Marais wote wa Tanzania ni marafiki wa waingereza bila kujali ni mkristo au muislamu.

Coalition hii ndio imezuia upatikanaji wa rais mprotestanti Tanzania. Kwasababu rais huyo ana weza kuwa mlutheri, na hivyo rafiki zaidi wa wajerumani kuliko waingereza.

Mutiny ya 1964, ili kuwa ujanja ujanja wa Kambona na wa baadhi ya wa anglikana waliokuwa kwenye system.

Ukicheki wengi wao 'wanao onekana' kuzima mutiny hiyo ni waanglikana waliosoma Alliance.

Ilikuwa rahisi sana kwa Julius, aliesoma vitabu vya Shakespeare, na aliekuwa ana shauriwa na majesuit, na aliekuwa na damu ya kitutsi kutoka kwa mababu zake wazanaki wa vizazi vya nyuma sana, kuusoma ujanja huo.

From then Julius aka wa out manouvre jamaa kwa ujanja wa hali ya juu sana (nadhani aki shauriwa na majesuit).

Akawa tumia walutheri kuwatoa waanglikana/wapresbyterian kwenye sensitive posts. Baadae akawatumia waislamu kuwatoa walutheri. Na baadae akawatoa waislam akawa weka wakatoliki.

Na vyombo vya ulinzi na usalama vikawa dominated na watu wa eneo lake na dhehebu lake.


Moral of the story.

Faction inayotaka kuongoza nchi inabidi iwe imejiandaa kikamilifu. Iwasomeshe watu wake shule nzuri kwenye nyanja zinazo husiana na uongozi. Na isiwe imegawanyika. Na iwapende maskini. Na pia ichague viongozi wajanja sana lakini wema, wanaojitambua, na wenye uwezo wakushtukia ujanja ujanja, hata kama ni ujanja ujanja wa hali ya juu sana.

Waingereza wange andaa a coalition ya centre left protestant politicians, including anglicans and lutherans etc, mapema sana. Wangeachana na machifu ambao walikuwa wanaonekana hawako upande wa wanyonge.

Flora Moriyo. Tunajua kwamba mke wake Kambona ni mchagga.

Hilo Morio ni la upande wa baba yake au mama yake. Morio maanake ni mwanamke kutoka ukoo wa Urio. Ukoo wa Urio ndio ukoo wa Mangi Horombo wa Keni (Rombo), ambae alitawala uchagga yote, kwa mkuki, na ngao. Alitawala mpaka upande wa Kenya unaopakana na Rombo, vile vile maeneo ya kule longido (yanayo pakana na West Kilimanjaro), vile vile upande wa Ugweno. Alikuwa ni mtu mrefu sana, giant.

Familia karibia zote za kimangi za uchaggani zina undugu wa namna moja au nyingine na Mangi Horombo.

Of course siku hizi koo nyingi za kimangi zimefulia kimaisha. Labda kwasababu baadhi yao hawa kupenda kusoma mpaka level ya chuo kikuu. Baadhi yao walipenda starehe. Wengine walifanyiwa hila ili wasiendelee. Baadhi yao walifanya dhuluma zamani sana, so vitukuu vyao vina ugulia upungufu wa baraka.

Ni muhimu sana kwa wachagga (na watanzania wote) ku acquire competencies and skills zitakazo wawezesha kufanikiwa kwenye uchumi wa utandawazi. Inaweza ikawa ni business skills, elimu nzuri, political and leadership skills, or millitary/security skills.

Of course wasimsahau Bwana na rafiki yao Yesu Kristo (Yahushua Masiha) anaewapenda watu wote.
 
Mzee Kichuguu asante for brief,

Unajua huwa sometimes na regret kumezeshwa zile nyimbo za nursery ...Kambona ha ha! wivu ulimshinda shauri ya mapesaaa! But kambona in some extent naona alikua sahihi kupinga mpango wa azimio la Arusha.Hata Nyerere mwenyewe nadhani alikuja kugundua kosa.

ONA LEO MAMBO YA UJAMAA YALIVYO KIMYA KIMYA
Ben mungu aendelee kukupambania popote ulipo.
 
Mkuu Nyani,

Heshima mbele, I like kila ulichosema so far kwenye hii topic, now ngoja tujairbu kuchambua kidogo:-

1. After the mutiny, differences between Kambona and Nyerere began to appear. Nyerere wanted to introduce a one party system into Tanzania to strengthen state security. Kambona argued against the move claiming that it would inhibit peoples freedom and progress towards democracy. However, Kambona was defeated in parliament. He refused to sign the bill.

I mean right here, ndipo mambo yetu yalipoanza kwenda mrama as a nation, na ndio ninayoyasema kila siku, kumbuka kuwa to this point tulikuwa on the right track, kuaniza uchumi, uongozi, mpaka siasa, now look at the turn of events ambazo eventually, ndio zilizotufikisha tulipo!

2. In 1967 after a trip to China in 1965, Nyerere impressed with Maos style of communism, wanted to adopt the same system under the guise of Ujamaa. The main doctrine behind Ujamaa was the relocation of peasants into village communes and the nationalization of all industries and property. Kambona did not agree with the policies, arguing that they would rather increase poverty and state control over the people. He resigned from the Government and the party and later with his family fled to neighbouring Kenya and then UK were he was granted political asylum.

Tizama kiongozi aliyekuwa na uwezo wa kuona mbali, exactly his argument then ndio hasa yalipolalia matatizo yetu, kumbe walikuwepo wenye akili ya kuona mbele, I mean this is very interesting story, pumba na mchele uko clear upande gani?

3. Immediately thereafter, Kambonas properties were confiscated. His two brothers Mattiya and Ottini Kambona were detained without trial and put in prison for over ten years. Other family members were harassed and detained. Some were falsely accused of plotting to overthrow the Tanzanian Government and were tried and imprisoned by the Government.

Wooow! Yaaani kweli haya mambo yalifanyika bongo under Mwalimu?

4. Most famous of these were Bibi Titi who fought alongside Nyerere in the independence movement and was head of the womans wing and also Michael Kamaliza, the former trade unionist and TANU member and government Minister. Other family members included Gray Mattaka, John and Elia Chipaka and Prisca Chiombola. Kambona was also accused of being the ring leader of the plotters while in London and was tried in absentia. The accused finally appealed to the East African High Court and were acquitted. Though they were later rounded up by the Tanzanian government and thrown into jail again.

5. Kambona was also accused of stealing millions of public funds,

6. Kambona challenged the Tanzanian government to request the Kenyan authorities to substantiate the allegations which they never did.

7. In London Kambona led a tough life in exile under considerable financial constraints. However in 1982, his two brothers Mattiya and Otini Kambona were eventually released from detention after the intervention of New Zealand Prime Minister Robert Muldoon.


8. On returning to Tanzania Kambona found that the progress towards democracy was disappointingly slow.


9. His eldest son Mosi Kambona was murdered in London in unexplained circumstances.

Sasa wakuu wangu bado kuna maswali kwamba kwa nini as a nation tupo hapa tulipo? Maana kwanga naona majibu yako clear hapa, kama kuna story ya upande wa pili tungekuwa tumeshaisikia, na pia tuliambiwa Kambona amekimbia Azimio La Arusha, lakini hapa ukweli unajionyesha wazi, au labda tusubiri na upande wa pili ulete yao pia, otherwise I am convinced kuwa huu ndio ukweli wenyewe wa kwa nini taifa letu limekwama!

Ahsante Mtoa Mada, yaanai you made my day!
Wakati Niko shule nakua nilikua nikisimuliwa,kusoma na kufundishwa ujamaa na nasharia za Marx niliona iko powa baada ya kusoma implications ya hizo style kwenye uchumi na Uhuru nimegundua ni useless kabisa ndio maana duniani kote ukomunist umefeli yaani umejikita kwenye imani kuliko actual things on ground
Ndo maana naishangaa hata awamu ya tano kuiga mambo yaliyowashinda watanguliezi
 
Mzee G,

Kambona alipokuwa anatoroka kuelekea London, alikamatwa pale Nairobi Airport na askari wa Kenya, akiwa na masanduku mengi ya dola cash, Kenyatta allipompigia Mwalimu simu on whta to do na Kambona, bado akiwa chini ya ulinzi pale Airport, Mwalimu alimjibu kuwa wamuchie aendelee na safari yake,

ukweli ni kwamba Mwalimu alikuwa happy kuondoka kwa Kambona, ili ampromote Kawawa, ambaye alikuwa yes man!, as opposed na Kambona aliyekuwa objective!
lakini hapa kuna kajambo kananitafakarisha!, kama lengo lilikuwa kuondokana na Kambona who was OBJECTIVE na kumpromote Kawawa who was YES man, kwa nini Nyerere hakutumia nafasi hii kumnyamazisha kabisa Kambona?!?, kwa sababu he has all the powers on his hands to do so, kwa nini hakumwabia Kenyata kamata huyo na mrudisheni hapa!!!!
 
Kambona alikuwa ana tayarishwa na waingereza wa anglikana wenye siasa za mrengo wa kati kuwa kiongozi wa Tanganyika. In case machifu wenye siasa za centre right hawata kubalika machoni mwa wanyonge wa Tanganyika.

Nyerere alikuwa ana tayarishwa na waingereza wenye siasa za mrengo wa kati kushoto (hususan Fabian Society), pamoja na waingereza, waskotchi na wa irish wakatoliki kuwa kiongozi wa Tanganyika.

Alliance ilikuwa shule ya waanglikana. St Mary's na St Francis zilikuwa shule za wakatoliki.

Nyerere na Kambona walikuwa ma rafiki wa waingereza. Marais wote wa Tanzania ni marafiki wa waingereza bila kujali ni mkristo au muislamu.

Coalition hii ndio imezuia upatikanaji wa rais mprotestanti Tanzania. Kwasababu rais huyo ana weza kuwa mlutheri, na hivyo rafiki zaidi wa wajerumani kuliko waingereza.

Mutiny ya 1964, ili kuwa ujanja ujanja wa Kambona na wa baadhi ya wa anglikana waliokuwa kwenye system.

Ukicheki wengi wao 'wanao onekana' kuzima mutiny hiyo ni waanglikana waliosoma Alliance.

Ilikuwa rahisi sana kwa Julius, aliesoma vitabu vya Shakespeare, na aliekuwa ana shauriwa na majesuit, na aliekuwa na damu ya kitutsi kutoka kwa mababu zake wazanaki wa vizazi vya nyuma sana, kuusoma ujanja huo.

From then Julius aka wa out manouvre jamaa kwa ujanja wa hali ya juu sana (nadhani aki shauriwa na majesuit).

Akawa tumia walutheri kuwatoa waanglikana/wapresbyterian kwenye sensitive posts. Baadae akawatumia waislamu kuwatoa walutheri. Na baadae akawatoa waislam akawa weka wakatoliki.

Na vyombo vya ulinzi na usalama vikawa dominated na watu wa eneo lake na dhehebu lake.


Moral of the story.

Faction inayotaka kuongoza nchi inabidi iwe imejiandaa kikamilifu. Iwasomeshe watu wake shule nzuri kwenye nyanja zinazo husiana na uongozi. Na isiwe imegawanyika. Na iwapende maskini. Na pia ichague viongozi wajanja sana lakini wema, wanaojitambua, na wenye uwezo wakushtukia ujanja ujanja, hata kama ni ujanja ujanja wa hali ya juu sana.

Waingereza wange andaa a coalition ya centre left protestant politicians, including anglicans and lutherans etc, mapema sana. Wangeachana na machifu ambao walikuwa wanaonekana hawako upande wa wanyonge.

Flora Moriyo. Tunajua kwamba mke wake Kambona ni mchagga.

Hilo Morio ni la upande wa baba yake au mama yake. Morio maanake ni mwanamke kutoka ukoo wa Urio. Ukoo wa Urio ndio ukoo wa Mangi Horombo wa Keni (Rombo), ambae alitawala uchagga yote, kwa mkuki, na ngao. Alitawala mpaka upande wa Kenya unaopakana na Rombo, vile vile maeneo ya kule longido (yanayo pakana na West Kilimanjaro), vile vile upande wa Ugweno. Alikuwa ni mtu mrefu sana, giant.

Familia karibia zote za kimangi za uchaggani zina undugu wa namna moja au nyingine na Mangi Horombo.

Of course siku hizi koo nyingi za kimangi zimefulia kimaisha. Labda kwasababu baadhi yao hawa kupenda kusoma mpaka level ya chuo kikuu. Baadhi yao walipenda starehe. Wengine walifanyiwa hila ili wasiendelee. Baadhi yao walifanya dhuluma zamani sana, so vitukuu vyao vina ugulia upungufu wa baraka.

Ni muhimu sana kwa wachagga (na watanzania wote) ku acquire competencies and skills zitakazo wawezesha kufanikiwa kwenye uchumi wa utandawazi. Inaweza ikawa ni business skills, elimu nzuri, political and leadership skills, or millitary/security skills.

Of course wasimsahau Bwana na rafiki yao Yesu Kristo (Yahushua Masiha) anaewapenda watu wote.

Kweli mkuu, Nyerere ndiye muasisi wa Christians dominance katika nafasi nyingi za utumishi wa umma nchini!
Amewahi kuwa confronted na waislamu katika vikao vya ndani lakini alikaa kimya juu ya hili jambo!. He was loyal to his Catholic church na alilipa mazingira mazuri mno ya kuoperate ndani ya Tanzania!
 
Kwa kifupi, baada ya Waingereza kuondoka na kutuachia Uhuru, Kambona alitaka kuvaa viatu vya hao wakoloni, jambo ambalo halikumfurahisha Nyerere kwakuwa sio maana ya Uhuru waliopambana kupata. Kwa kipindi kifupi(within5yrs) mbali na kutoka ualimu hadi kiongozi wa juu, aliweza kumiliki mali/utajiri mkubwa kv fedha na nyumba (ghorofa) msasani beach2, kinondoni makaburini3 nk akimuona Nyerere mshamba kwa kutojilimbikizia mali. Kauli ya Nyerere hawakumuondoa mkoloni ili wao wachukue nafasi ya wakoloni. Nyerere aliushtukia mchezo mapema na kumuacha Kambona akiishia kunufaika na zawadi ya bahati nasibu ya dunia (sijui kwa mchezo gani aliocheza) na kuzeekea Uingereza.
Hapa sio suala la kufuata siasa za Ujamaa au kumpenda Kambona, bali ni vita ya wakubwa na maslahi binafsi au Umma baada ya uhuru

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wengine nendeni youtube andika Amani Thani akisimulia maovu ya mapinduzi Zanzibari. Alikuwa Katibu Mkuu wa Hizbu wakati serikali yao inapinduliwa. Anasimulia siyo anaandika maana anasema kitu kilichomkuta na alichokioma. Utajifunza mengi kuhusu historia ya Kambona.

Ni kweli Kambona kaelezewa sehemu nyingi, lakini tukumbuke Msimamizi wa Harusi ya Kambona huko Uingereza alikuwa J. K Nyerere na walikuwa marafiki hasa.
Hofu ilimuingia JK pale wanajeshi walipoasi na kupata kuungwa mkono na Mapinduzi ya Zanzibar hivyo Kambona akawa na mashabiki wengi hata wale wa zamani tunakumbuka ile way kwenye nywele zake huyu Mngoni zilivyoigwa na mashabiki wengi, hii lazima ilimshtua JK na KARUME
Kitabu cha Ghasany (Kwaheri Ukoloni Kwaheri Uhuru) kinamtaja sana Kambona alivyopata umaarufu na kwa kazi alizoziongoza na hii ndio iliyomuogofya Kambarage
https://kwaheri.files.wordpress.com/2010/05/kwaheri-ukoloni-kwaheri-uhuru.pdf
 
Mzee Kichuguu asante for brief,

Unajua huwa sometimes na regret kumezeshwa zile nyimbo za nursery ...Kambona ha ha! wivu ulimshinda shauri ya mapesaaa! But kambona in some extent naona alikua sahihi kupinga mpango wa azimio la Arusha.Hata Nyerere mwenyewe nadhani alikuja kugundua kosa.

ONA LEO MAMBO YA UJAMAA YALIVYO KIMYA KIMYA
Mtanzania was Kwanza kushinda bahati na sibu uingreza na kuwa tajiri
 
d

daaaa ushimen leo nimekuamini kilasiku nasomaga koment zako za pumba kumbe umejaa historia nzuri hata kuliko hata mleta uzi huu hongera sana nilipoona umekoment nilijua unatoa pumba sijaamini nimesoma mpaka mwisho very interested napenda sana historia za watu mashuhuri
Dahhhh....
Kumbe kuna wakati mwingine nimekua na muinekano tofauti eehhh...!!
By the way, ahsante sana mkuu. Na amini mimi ni mtu poa tu, tena mwema kuliko pengine ulivyowahi kutarajia
 
Back
Top Bottom