Ukweli ni upi "Rais kafanya" au "Serikali imefanya"?

Ukweli ni upi "Rais kafanya" au "Serikali imefanya"?

Wewe ni jabali la porojo!

Miradi ya maendeleo hupata fedha baada ya kuidhinishwa na bunge. Kazi ya serikali ni kutafuta fedha kwa njia ambazo waziri wa fedha atazipendekeza na kupitishwa na bunge. Hivyo fedha zikipatikana zitapelekwa katika miradi yote iliyoombewa fedha na kuidhinishwa na bunge.

Rais kama kiongozi wa serikali ana wajibu wa kuhakikisha fedha zinazohitajika katika matumizi ya kawaida na maendeleo ya serikali zinapatikana kwa mujibu wa sheria na taratibu zilizopitishwa na bunge. Kwa hiyo ni serikali ambayo hutafuta fedha na kuzitoa. Rais hatoi fedha na wala haitatokea Rais kutoa fedha. Kitendo cha kusema Rais katoa fedha ni kujipendekeza na kijitafutia ujiko kwa Rais kwa lengo la kutafuta uteuzi au kumfumba macho Rais asione maovu yao ambayo yanaweza kupelekea kuondolewa katika nafasi zao za uteuzi!
Khaaa mkuu hebu niombe radhi ili tuendelee na hoja
 

Maneno haya yanamaana sawa kimantiki " Rais kafanya X " " Serikali imefanya Y " au " " Tumefanya Z " tumia lolote utakuwa sahihi tu​


Kunabaadhi ya wenzetu wameishiwa hoja hasa huku mitandaoni kwa muda mrefu sasa wamekuwa wakipinga kwa nguvu zote kutumika kwa sentesi " Rais X kafanya mradi Y "

Watu hawa mara zote wanahoji niwapi huyu Rais X kapata huu ukwasi wa kutekeleza mradi Y? Jambo ambalo kisiasa wanadhani linamuinua zaidi huyu Rais X kwa kupewa endorsement ya mradi " Y "

Wakati wote watu hawa ambao wengi wao ni watu kutoka Upinzani wamependekeza itumike sentesi " Serikali X imetekeleza mradi Y "


UFAFANUZI WANGU
____________________

Kwanza, Kisiasa :
Sote tunafahamu ili tuweze kushinda Uchaguzi wowote ule popote tunahitaji mambo matano makubwa ambayo ni,

1. Mgombea Mzuri


2. Mtandao au Chama

3. Agenda|Ilani ya Uchaguzi

4. Organization au timu kampeni

5. Rasilimali, fedha, vitu na watu


Sasa kwahoja hii naomba tuangazie hitaji la tatu la kushinda Uchaguzi ambalo ni " ILANI YA UCHAGUZI " Ilani ya Uchaguzi inaweza kuwa yakuandikwa au yakutamkwa,

ILANI YA UCHAGUZI maana yake ni ahadi za mgombea au chama kwa Wapigakura au wananchi.
Tuelewane vizuri hapa tumesema Ilani ni ahadi ya mgombea au Chama wala sio ahadi ya Serikali kwa wapigakura au wananchi, nadhani hapa tunakubaliana wote,

Tukubaliane pia huyu mgombea baadae anaweza kushinda na kuwa Rais X, Sasa bila kusahau kuna ahadi aliwaahidi wapigakura wake yeye kama yeye yaani akishinda atafanya miradi X,Y,Z.

Kwaufafanuzi huu wa Ilani ya Uchaguzi kama miradi X,Y,Z ikitekelezwa na aliyekuwa Mgombea wa nafasi X ambae alishinda Uchaguzi huo kwa ahadi hizo na sasa anazitekeleza kama alivyoahidi ubaya unatoka wapi tukisema " Rais X katekeleza miradi X,Y,Z? "

Pili kimuundo :
Rais wa JMT ndio Raia namba moja wa JMT ndie mkuu wa Serikali ndio afisa manunuzi mkuu, ndie mshauri mkuu wa bajeti ndie mtia saini wa mwisho wa sheria ya bajeti unakataaje hajafanya wakati kila kitu kinaanzia na kuishia kwake!!


Tatu, Rais ndie mwenye mamlaka ya kusimamia pesa yote ya nchi kabla na baada ya bajeti kwenye kutekeleza miradi ya nchi kwani ndie aliyepewa dhamana na ndio atakayeulizwa ifikapo mwaka 2025 kulingana na Ilani yake iliyopita hivyo anafanya kwa niaba yetu

Nne, Urais ni taasisi, Sisi sote tuko chini ya Rais wa JMT akiwa kama Raia namba moja wa nchi, Hivyo tuvifanyavyo tunavifanya kwa niaba ya Nchi na Rais wetu ndio maana likitokea baya lawama zote kwa Rais wa nchi kwanini linapotokea jema mnasita kusema kafanya hili Jema iweje Rais apokee mabaya tu mema asipokee?
Nimeipenda sana hii,
 
Umesema ilani nia ahadi ya mgombea au chama na si ahadi ya serikali sawa,tukiwa ktk uchaguzi maana yake tuna wagombea na si raisi uchaguzi ukiisha ndio tunapata raisi baada ya kuchaguliwa kwa kula nyingi mpaka apo maana yake ilani inakua imeshageuka kutoka ahadi ya mgombea na chama kuwa ahadi ya raisi kwa wananchi wake apa sasa kwa mujibu wa sheria zetu tunakua hatuna raisi tu bali tunakua na serikali inayoongozwa na raisi ,na kwann naona sio sawa kusema raisi tu katoa iki au iki tunapokusanya kodi hatuangalii apa uyu raisi na chama chake walishinda au hawakushinda na hatukusaji kodi kwa kuangalia vyama na kubwa zaid kodi haikusanywi kwa ajil ya raisi bali kwa ajili ya serikali ambayo kiongozi wake ndio raisi ata misaada inayotoka nje iwe fedha au chochote haletewi raisi inaletewa serikali ya tz kwa ajil ya watz kusema raisi katoa iki sawa je katoa alikua nacho katoa ktk mshahara wake au katoa kwa sababu ndio kaz yake na ndio msimamiz wa kila ktu jibu ni kwa kwamba inatamkwa ametoa ni kwa sababu ana mamlaka ayo kwaiyo ni vzur tusikie inatamkwa kwamba serikali inayoongozwa na raisi fulan imetoa au imefanya iki na iki,maana unakuta inatamkwa tu raisi amefanya iki au ametoa iki wakat mwingne iko kitu hakitok au akifanyik kwa sababu sio kwamba anakua anatoa kwa mkono moja kwa moja au anafanya kwa mkono moja kwa moja ila kwa kaur yake na mamlaka yake kuna watekelezaj apo ambao muda mwangine wanafanya vingine
 

Maneno haya yanamaana sawa kimantiki " Rais kafanya X " " Serikali imefanya Y " au " " Tumefanya Z " tumia lolote utakuwa sahihi tu​


Kunabaadhi ya wenzetu wameishiwa hoja hasa huku mitandaoni kwa muda mrefu sasa wamekuwa wakipinga kwa nguvu zote kutumika kwa sentesi " Rais X kafanya mradi Y "

Watu hawa mara zote wanahoji niwapi huyu Rais X kapata huu ukwasi wa kutekeleza mradi Y? Jambo ambalo kisiasa wanadhani linamuinua zaidi huyu Rais X kwa kupewa endorsement ya mradi " Y "

Wakati wote watu hawa ambao wengi wao ni watu kutoka Upinzani wamependekeza itumike sentesi " Serikali X imetekeleza mradi Y "


UFAFANUZI WANGU
____________________

Kwanza, Kisiasa :
Sote tunafahamu ili tuweze kushinda Uchaguzi wowote ule popote tunahitaji mambo matano makubwa ambayo ni,

1. Mgombea Mzuri


2. Mtandao au Chama

3. Agenda|Ilani ya Uchaguzi

4. Organization au timu kampeni

5. Rasilimali, fedha, vitu na watu


Sasa kwahoja hii naomba tuangazie hitaji la tatu la kushinda Uchaguzi ambalo ni " ILANI YA UCHAGUZI " Ilani ya Uchaguzi inaweza kuwa yakuandikwa au yakutamkwa,

ILANI YA UCHAGUZI maana yake ni ahadi za mgombea au chama kwa Wapigakura au wananchi.
Tuelewane vizuri hapa tumesema Ilani ni ahadi ya mgombea au Chama wala sio ahadi ya Serikali kwa wapigakura au wananchi, nadhani hapa tunakubaliana wote,

Tukubaliane pia huyu mgombea baadae anaweza kushinda na kuwa Rais X, Sasa bila kusahau kuna ahadi aliwaahidi wapigakura wake yeye kama yeye yaani akishinda atafanya miradi X,Y,Z.

Kwaufafanuzi huu wa Ilani ya Uchaguzi kama miradi X,Y,Z ikitekelezwa na aliyekuwa Mgombea wa nafasi X ambae alishinda Uchaguzi huo kwa ahadi hizo na sasa anazitekeleza kama alivyoahidi ubaya unatoka wapi tukisema " Rais X katekeleza miradi X,Y,Z? "

Pili kimuundo :
Rais wa JMT ndio Raia namba moja wa JMT ndie mkuu wa Serikali ndio afisa manunuzi mkuu, ndie mshauri mkuu wa bajeti ndie mtia saini wa mwisho wa sheria ya bajeti unakataaje hajafanya wakati kila kitu kinaanzia na kuishia kwake!!


Tatu, Rais ndie mwenye mamlaka ya kusimamia pesa yote ya nchi kabla na baada ya bajeti kwenye kutekeleza miradi ya nchi kwani ndie aliyepewa dhamana na ndio atakayeulizwa ifikapo mwaka 2025 kulingana na Ilani yake iliyopita hivyo anafanya kwa niaba yetu

Nne, Urais ni taasisi, Sisi sote tuko chini ya Rais wa JMT akiwa kama Raia namba moja wa nchi, Hivyo tuvifanyavyo tunavifanya kwa niaba ya Nchi na Rais wetu ndio maana likitokea baya lawama zote kwa Rais wa nchi kwanini linapotokea jema mnasita kusema kafanya hili Jema iweje Rais apokee mabaya tu mema asipokee?
Nimeelewa
 
Hata USA utasikia,"the New Joe Biden Decree will put $10,000 every month in the hands of low income families"
 
MATAGA wakijadiliana kuwa Rais katoa mabilioni ya hela kwa ajili ya bima ya Afya kwa wote[emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 2008838
Jibu hil hapa
244568317_555200182229340_6751137530076851751_n.jpeg
 

Maneno haya yanamaana sawa kimantiki " Rais kafanya X " " Serikali imefanya Y " au " " Tumefanya Z " tumia lolote utakuwa sahihi tu​


Kunabaadhi ya wenzetu wameishiwa hoja hasa huku mitandaoni kwa muda mrefu sasa wamekuwa wakipinga kwa nguvu zote kutumika kwa sentesi " Rais X kafanya mradi Y "

Watu hawa mara zote wanahoji niwapi huyu Rais X kapata huu ukwasi wa kutekeleza mradi Y? Jambo ambalo kisiasa wanadhani linamuinua zaidi huyu Rais X kwa kupewa endorsement ya mradi " Y "

Wakati wote watu hawa ambao wengi wao ni watu kutoka Upinzani wamependekeza itumike sentesi " Serikali X imetekeleza mradi Y "


UFAFANUZI WANGU
____________________

Kwanza, Kisiasa :
Sote tunafahamu ili tuweze kushinda Uchaguzi wowote ule popote tunahitaji mambo matano makubwa ambayo ni,

1. Mgombea Mzuri


2. Mtandao au Chama

3. Agenda|Ilani ya Uchaguzi

4. Organization au timu kampeni

5. Rasilimali, fedha, vitu na watu


Sasa kwahoja hii naomba tuangazie hitaji la tatu la kushinda Uchaguzi ambalo ni " ILANI YA UCHAGUZI " Ilani ya Uchaguzi inaweza kuwa yakuandikwa au yakutamkwa,

ILANI YA UCHAGUZI maana yake ni ahadi za mgombea au chama kwa Wapigakura au wananchi.
Tuelewane vizuri hapa tumesema Ilani ni ahadi ya mgombea au Chama wala sio ahadi ya Serikali kwa wapigakura au wananchi, nadhani hapa tunakubaliana wote,

Tukubaliane pia huyu mgombea baadae anaweza kushinda na kuwa Rais X, Sasa bila kusahau kuna ahadi aliwaahidi wapigakura wake yeye kama yeye yaani akishinda atafanya miradi X,Y,Z.

Kwaufafanuzi huu wa Ilani ya Uchaguzi kama miradi X,Y,Z ikitekelezwa na aliyekuwa Mgombea wa nafasi X ambae alishinda Uchaguzi huo kwa ahadi hizo na sasa anazitekeleza kama alivyoahidi ubaya unatoka wapi tukisema " Rais X katekeleza miradi X,Y,Z? "

Pili kimuundo :
Rais wa JMT ndio Raia namba moja wa JMT ndie mkuu wa Serikali ndio afisa manunuzi mkuu, ndie mshauri mkuu wa bajeti ndie mtia saini wa mwisho wa sheria ya bajeti unakataaje hajafanya wakati kila kitu kinaanzia na kuishia kwake!!


Tatu, Rais ndie mwenye mamlaka ya kusimamia pesa yote ya nchi kabla na baada ya bajeti kwenye kutekeleza miradi ya nchi kwani ndie aliyepewa dhamana na ndio atakayeulizwa ifikapo mwaka 2025 kulingana na Ilani yake iliyopita hivyo anafanya kwa niaba yetu

Nne, Urais ni taasisi, Sisi sote tuko chini ya Rais wa JMT akiwa kama Raia namba moja wa nchi, Hivyo tuvifanyavyo tunavifanya kwa niaba ya Nchi na Rais wetu ndio maana likitokea baya lawama zote kwa Rais wa nchi kwanini linapotokea jema mnasita kusema kafanya hili Jema iweje Rais apokee mabaya tu mema asipokee?
Imekaa vizuri sana
 
Back
Top Bottom