Ukweli unaoonesha Mashabiki wa Simba ni mbumbumbu

Ukweli unaoonesha Mashabiki wa Simba ni mbumbumbu

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Hizi ni baadhi za facts kuonyesha kuwa sisi mashabiki wa Simba El de colo ni mbumbumbu;

1. Kuamini kuwa timu yao itavuka Robo Fainali kwa hili pira butua butua - tunashinda ila hatuna furaha.

2. Kuendelea kuwaamini wazee kwenye kikosi.

3. Usajili mbovu - timu ilijisifu kupata uwekezaji mkubwa wa 26b + 80billion za mudi lakini cha ajabu wameshindwa Kuvunja Mkataba wa Manzoki mwenye thamani ndogo ya 300million.

4. Ushirikina - Makolo kwa ushirikina mna degree kabisa japo hauwasaidii.

Ogezea facts zako.

hqdefault.jpg
 
Wakija mashabiki wowote wale wa hiyo timu kukutukana kwenye huu uzi wako; basi utambue fika hao ndiyo wale walioitwa mbumbumbu na Mwenyekiti wao wa zamani.

Maana hata siku ile ya mkutano wao, walikuwa wanapiga tu makelele na kutukana.
 
Wakija mashabiki wowote wale wa hiyo timu kukutukana kwenye huu uzi wako; basi utambue fika hao ndiyo wale walioitwa mbumbumbu na Mwenyekiti wao wa zamani.

Maana hata siku ile ya mkutano wao, walikuwa wanapiga tu makelele na kutukana.
Na wanatukana kweli kweli
 
Haya nenda kalambane vinyeo na UMBWA WENZIO.

Yani anaeshiriki kombe la WALIOSHINDWA anamkosoa aliyepo LIGI YA MABINGWA.

LUC EYMAEL APEWE ULINZI HAKIKA HAYA NI MAUMBWA ASILIMIA 100.
 
Haya nenda kalambane vinyeo na UMBWA WENZIO.

Yani anaeshiriki kombe la WALIOSHINDWA anamkosoa aliyepo LIGI YA MABINGWA.

LUC EYMAEL APEWE ULINZI HAKIKA HAYA NI MAUMBWA ASILIMIA 100.
Alinifurahisha pale aliposema badala ya kushangalia Yanalia kama ngedere!
 
Haya ma kina kabwili FC manyani yanawashwa mbona walimtoroka mnyama CAF CHAMPION
 
Haya nenda kalambane vinyeo na UMBWA WENZIO.

Yani anaeshiriki kombe la WALIOSHINDWA anamkosoa aliyepo LIGI YA MABINGWA.

LUC EYMAEL APEWE ULINZI HAKIKA HAYA NI MAUMBWA ASILIMIA 100.
Mbumbumbu hawataisha

Sasa point mlizopata Kwa vipers....mnajiona na nyie mabingwa[emoji23]
 
Kuamini kuwa timu yao itavuka Robo Fainali kwa hili pira butua butua - tunashinda ila hatuna furaha
Si mlisema Simba atashika mkia katika kundi lake?
Hii story ya Kuvuka Robo Fainali imetoka wapi?

By the way, Hivyo vigezo ulivyotumia si vigezo sahihi kupima U-mbumbumbu wa mtu yeyote.

Na mashaka sana na uwezo wa akili yako.

N.B. Being Soccer's Fan is more emotional investment than intellect/logic.
 
Wakija mashabiki wowote wale wa hiyo timu kukutukana kwenye huu uzi wako; basi utambue fika hao ndiyo wale walioitwa mbumbumbu na Mwenyekiti wao wa zamani...
Mkuu unajishushia heshima kumuunga mkono mtu huyu ambaye huwa hana msimamo, yaani kwa ufupi huwa anafuata upepo unakovuma.

Mtu makini huwa anasimamia hoja zake, na hata kama zitafeli, atakubali kuwajibika kwa kile alichoongea. Kabla mechi za makundi hazijaanza, huyu jamaa alisema hivi:

Simba mkishindwa kutoboa hapo .......mtakua mmezngua sana makundi magumu ni hayo yaliyobaki ....
Hili lenu ni .... kamseleleko
 
Kwa hiyo ulitaka tupate point kwa Bamako ambeye yupo kwenye kombe la LOOSER .

UMBWA ZITABAKI KUWA UMBWA TU.

LUC EYMAEL AJENGEWE SANAMU PALE KAUNDA.
Mkuu tuwe wa kweli mpira wa bamako unaufananisha na vipers butua butua-??
 
Mkuu unajishushia heshima kumuunga mkono mtu huyu ambaye huwa hana msimamo, yaani kwa ufupi huwa anafuata upepo unakovuma. Mtu makini huwa anasimamia hoja zake, na hata kama zitafeli, atakubali kuwajibika kwa kile alichoongea. Kabla mechi za makundi hazijaanza, huyu jamaa alisema hivi:
Na ndiyo maana nilitoa tahadhari mapema. Watakaoumiza kichwa kumjibu kwa matusi, ndiyo watajikuta kwenye hilo kundi la madhabiki mbumbumbu.
 
Back
Top Bottom