Ukweli unaoonesha Mashabiki wa Simba ni mbumbumbu

Ukweli unaoonesha Mashabiki wa Simba ni mbumbumbu

Mkuu assume vipers asingekuwepo....mngekuwa na points ngap??
Sasa isingekuepo??ingeenda wapi???we jamaa ni kielelezo tosha cha utopolo yaani hoja zako ni nyepesi sana,kweli wote tungesoma nani angeshabikia yanga ule msemo ni sahihi.

Haya na wewe kama bamako asingekuepo ungekuwa na alama ngapi?(hilo swali ni la kitoto sana mkuu)
 
Gael bigirimana (Newcastle)
Lazarus kambole (west ham)
Mamadou doumbia (aston villa)

Yanga kwenye suala la usajili nimewavulia kofia wapo vizuri sana.
 
Gael bigirimana (Newcastle)
Lazarus kambole (west ham)
Mamadou doumbia (aston villa)

Yanga kwenye suala la usajili nimewavulia kofia wapo vizuri sana.
Usisahau kuwa pia makombe yote wameyabeba
 
Back
Top Bottom