Ukweli unaoonesha Mashabiki wa Simba ni mbumbumbu

Mwanzoni msemaji wenu akisema mnaenda kuchukua kombe


Juzi kasema at least tufike robo fainali
 
HAPA NDIPO UNAPODHIRIKA UKWELI KUWA NYINYI NI MBWA "ASSUME VIPERS ASINGEKUWEPO"

LUC EYMAEL APEWE PHD YA HESHIMA.
Bora mngepata point hata Moja Kwa timu nyingne .....point zote Kwa kibonde
 
Mwanzoni msemaji wenu akisema mnaenda kuchukua kombe
Juzi kasema at least tufike robo fainali
Mkuu tupe ratiba ya mikutano ya CHADEMA walau ubadilishe upepo, soka litakutoa uhai au kudhoofisha ustawi wa familia yako (kama ipo lakini)
 
[emoji23][emoji23]
 
Attention!!!!!!!!!!!

Neno: neno mbumbumbu sio matusi ......Bali ni kielezi Cha namna/ ulivyo ( Kwa wale mliokimbia SoMo la lugha)

Nimeona nitoe SoMo mapema
 
VIPERS unayoidharaui hii hii iliyokukojoza ukiwa kwenye siku yako na mbele mashabiki wako au kuna nyingine?
Vipers ya zamani ikiwa na kina bobosi.....manzoki ......

Vper mliyemfunga ni toothless....Hana washambuliaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…