Sasa isingekuepo??ingeenda wapi???we jamaa ni kielelezo tosha cha utopolo yaani hoja zako ni nyepesi sana,kweli wote tungesoma nani angeshabikia yanga ule msemo ni sahihi.Mkuu assume vipers asingekuwepo....mngekuwa na points ngap??
Iliyowalala pale taifa manzoki alikuepo??Vipers ya zamani ikiwa na kina bobosi.....manzoki ......
Vper mliyemfunga ni toothless....Hana washambuliaji
We umetoa hoja gani hapo?Toa hoja mzee