Miaka ya karibuni ndo kumeibuka vikundi vingi vya kipuuzi. Arusha kwa miaka yote imekuwa na wahuni ila sio hawa wanaoigiza uwendawazimu.Nimeishi chuga miaka 17.
Lakini hayo mambo ya vikundi nayaona kwenye mitandao tu, wezi na vibaka wapo, ila hayo makundi sijui wadudu sijui mambong'oo.... ni swaga tu.
Hahaha dah mkuuSema vijana wa Arusha mna karoho ka ubaguzi. Leo unasema huyo kijana wa mto wa mbu sio wa Arusha na kesho wa Kaloleni watajiona wa Arusha zaidi ya wale wa Njiro. Watu wa Arusha mjini, Arumeru na Monduli ni wamoja kuanzia lifestyle hadi lafudhi. Wale wa Karatu kidogo wako tofauti na lafudhi yao ya kiiraqw.
Ili tu mliokuwa hamjui mjue ukweliSawa tuseme hawa siyo wadudu OG, so hoja yako hasa nn? Yaani unataka kusema nn? Ujumbe gani unataka kufikisha??
Haigombewi kitu ni taarifa fupi tuHee mnagombania hadi kuitwa wadudu duh aiseee