Ukweli usemwe jezi za Yanga ni mbaya

Ukweli usemwe jezi za Yanga ni mbaya

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
2,971
Reaction score
9,437
Misimu miwili nyuma Yanga walikuwa na jezi nzuri sana hila hizi za msimu huu ni mbayaaaa.


411E1AB9-8639-4680-ACF7-6C94DDEFEA0D.jpeg



FBB1A048-FE70-479B-857F-A88C52D58F0B.jpeg
 
Uzi wa kijani mbona mzuri tu...
 
Nnachokiona Kuna Wana YANGA watavaa Uzi wa SINGIDA BIGSTARS Kama mbadala wa YANGA[emoji4]
 
Mpka sasa nimetambua jezi inakua mbaya kama ww ni mshabiki wa upande fulani mfano hiyo jezi nyeusi mbona ina nakshi nzuri tu. Ushabiki ni upofu
Nyeusi ilikua nzur ingekaa simple
madoido yamezidi imekua mbaya
 
Mwakani pia utasema huu ni mzuri tushazoea
 
Jezi ni nzuri ila haija pemdendeza kama ya msimu uliopita.
 
Sure ila nyeusi nzuri...
Hyo ya kijani nilimuona mtu kavaa kwa karibu duuh au ni toleo la nne ileee??
 
Jezi za Yanga zimekaa kienyeji sana ukweli usemwe tu
 
Sheria ni mchafuaji tu wa jezi. Jezi za Yanga Fc 2019 kabla ya Sheria kupewa tenda ya ubunifu.
images.jpg
 
Back
Top Bottom