Ukweli usemwe, kuna kila dalili Mbowe anaisaliti CHADEMA

Ukweli usemwe, kuna kila dalili Mbowe anaisaliti CHADEMA

happyxxx

JF-Expert Member
Joined
Nov 14, 2020
Posts
604
Reaction score
1,970
Mikutano ya ikulu kimya kimya akienda peke yake.


Ishu ya wabunge wa covid 19 alivyokuwa anawatafuta kimya kimya

Kufanya negotiation wakati walishafukuzwa mpakaa kutaka kumuonga kazi Halima Mdee.

Namna alivyokuwa anawafunga mdomo vijana wa Chadema wasipambane na CCM & Act kwenye hotuba yake kwenye baraza kuu.

Namna alivyotokà jela na kuizima join the chain kwa ustadi mkubwa.

Ni wazi kuna jambo analiandaa na anawandaa wafuasi wake kisaikolojia waanze kulipokea.

Waliostuka wameanza kuhoji huu mwenendo wa mwenyekiti.

Hizi ni zaidi ya busara huu ni muandalio wa usaliti mkubwa unaokuja.
 
Vijana wa chadema hawafanyi shughuli za kiuchumi eti wanasubiri chama kije kiwakomboe, kazi ndio ukombozi wako, wewe andamana, uvunjwe kiuno, uone kama Mbowe atakuletea hata dagaa.

Mtu kama Mnyika anavyompenda Mkewe, unadhani atakubali huo ujinga
 
Upinzani imara na wa uhakika upo mioyoni wa Wananchi, unadhani miaka yote hiyo CDM inapendwa kwa uadilifu au kuwa na wasafi, ishu ni kwamba madhila yakizidi wananchi wataamua yoyote yule awaongoze, so hata Mbowe akiondoka haimaniishi upinzani umekufa, aliondoka Mrema NCCR na bado upinzani upo, Magufuli alinunua wapinzani wakutosha tu, na bado upinzani ulimnyima usingizi.
 
Mikutano ya ikulu kimya kimya akienda peke yake.


Ishu ya wabunge wa covid 19 alivyokuwa anawatafuta kimya kimya
kufanya negotiation wakati walishafukuzwa mpakaa kutaka kumuonga kazi Halima Mdee.

Namna alivyokuwa anawafunga mdomo vijana wa Chadema wasipambane na CCM & Act kwenye hotuba yake kwenye baraza kuu.

Namna alivyotokà jela na kuizima join the chain kwa ustadi mkubwa.

Ni wazi kuna jambo analiandaa na anawandaa wafuasi wake kisaikolojia waanze kulipokea.

Waliostuka wameanza kuhoji huu mwenendo wa mwenyekiti.

Hizi ni zaidi ya busara huu ni muandalio wa usaliti mkubwa unaokuja.
Punguani kama mjombako jpm
 
Upinzani imara na wa uhakika upo mioyoni wa Wananchi, unadhani miaka yote hiyo CDM inapendwa kwa uadilifu au kuwa na wasafi, ishu ni kwamba madhila yakizidi wananchi wataamua yoyote yule awaongoze, so hata Mbowe akiondoka haimaniishi upinzani umekufa, aliondoka Mrema NCCR na bado upinzani upo, Magufuli alinunua wapinzani wakutosha tu, na bado upinzani ulimnyima usingizi.
Sasa anaupiga mwingi wapi mkuu mbona hatuoni tena movements za katiba mpya?
 
Mikutano ya ikulu kimya kimya akienda peke yake.


Ishu ya wabunge wa covid 19 alivyokuwa anawatafuta kimya kimya
kufanya negotiation wakati walishafukuzwa mpakaa kutaka kumuonga kazi Halima Mdee.

Namna alivyokuwa anawafunga mdomo vijana wa Chadema wasipambane na CCM & Act kwenye hotuba yake kwenye baraza kuu.

Namna alivyotokà jela na kuizima join the chain kwa ustadi mkubwa.

Ni wazi kuna jambo analiandaa na anawandaa wafuasi wake kisaikolojia waanze kulipokea.

Waliostuka wameanza kuhoji huu mwenendo wa mwenyekiti.

Hizi ni zaidi ya busara huu ni muandalio wa usaliti mkubwa unaokuja.
Umeshakula maharage, umevimbiwa ila sehemu ya kujambajamba umeona uje JF.

Propaganda za kipuuzi za enzi za Wilson Mukama wewe ndio unaleta leo?

Ile timu ya watu 10 itakayokutana na Rais na timu yake ni ya chama gani?

Punguwani wahed.
 
Mikutano ya ikulu kimya kimya akienda peke yake.


Ishu ya wabunge wa covid 19 alivyokuwa anawatafuta kimya kimya
kufanya negotiation wakati walishafukuzwa mpakaa kutaka kumuonga kazi Halima Mdee.

Namna alivyokuwa anawafunga mdomo vijana wa Chadema wasipambane na CCM & Act kwenye hotuba yake kwenye baraza kuu.

Namna alivyotokà jela na kuizima join the chain kwa ustadi mkubwa.

Ni wazi kuna jambo analiandaa na anawandaa wafuasi wake kisaikolojia waanze kulipokea.

Waliostuka wameanza kuhoji huu mwenendo wa mwenyekiti.

Hizi ni zaidi ya busara huu ni muandalio wa usaliti mkubwa unaokuja.
Kuanzia Tu namna alivyotoka pale ndo Mabadiliko yake yalianza, Ila inasemwa hakuna mtu ambae Hana bei.
 
Mbowe anaupiga mwingi wapi mkuu, mbona hatuoni tena movements za katiba mpya?
Wewe umeifanyia nini nchi?au hizo comfort zone ndio zinakupa ujeuri wa kuhoji hili, why unamfanya Mr.Mbowe awe ndiye mpigania wa haki zako?muda mwingine just try to shut up, middle class aliyeridhika na haelewi huku lingusenguse watu wanapoteza maisha kwa maradhi yanayotibika, kisa wao wakiugua ni India au med clinics or netcare
 
Umeshakula maharage, umevimbiwa ila sehemu ya kujambajamba umeona uje JF.

Propaganda za kipuuzi za enzi za Wilson Mukama wewe ndio unaleta leo?

Ile timu ya watu 10 itakayokutana na Rais na timu yake ni ya chama gani?

Punguwani wahed.
Punguza mihemko na usimalize maneno.

Kwenye maadhimio ya baraza kuu umeona lolote jipya la kupigania haki?
 
Wewe umeifanyia nini nchi?au hizo comfort zone ndio zinakupa ujeuri wa kuhoji hili, why unamfanya Mr.Mbowe awe ndiye mpigania wa haki zako?muda mwingine just try to shut up, middle class aliyeridhika na haelewi huku lingusenguse watu wanapoteza maisha kwa maradhi yanayotibika, kisa wao wakiugua ni India au med clinics or netcare
Mkuu mara ya mwisho kusikia join the chain ni lini?
 
kwa jinsi Yohana wa Chato alivyowabatiza watu kwa ubatizo wa moto hakuna mwenye hamu na siasa za nchi hii,ukipata nafasi ya kulamba asali lambs kwelikweli maana nchi hii wanafiki wengi haiwezekani kamanda Murotoa akiwa Dodoma awatishe watanzania mamilioni kwa mamilioni
 
Back
Top Bottom