Ukweli usemwe, kuna kila dalili Mbowe anaisaliti CHADEMA

Ukweli usemwe, kuna kila dalili Mbowe anaisaliti CHADEMA

Sijui kwanini watu hawalilioni hili, hata CCM walitakiwa wajue, bora upinzani wa vyama vilivyosajiliwa kuliko vyama visivyo rasmi (wananchi) wakichoka, huwa wanachukua hatua zisizo rafiki, mifano ipo mingi Duniani.
Kwani uwepo wa upinzani una maana ya kuchoka kwa wananchi?
 
Sasa kwanini Lowassa kuletwa chadema ilionekana ni Mbowe kubadili gear? Nani alichezeshwa muziki wa mwenzio kati ya Mbowe na nyie?

Kutenda kosa si kosa, bali kurudia, una jingine kwa msaada zaidi.
 
Upinzani imara na wa uhakika upo mioyoni wa Wananchi, unadhani miaka yote hiyo CDM inapendwa kwa uadilifu au kuwa na wasafi, ishu ni kwamba madhila yakizidi wananchi wataamua yoyote yule awaongoze, so hata Mbowe akiondoka haimaniishi upinzani umekufa, aliondoka Mrema NCCR na bado upinzani upo, Magufuli alinunua wapinzani wakutosha tu, na bado upinzani ulimnyima usingizi.
Ok wamwache atuvushe
 
Sijui kwanini watu hawalilioni hili, hata CCM walitakiwa wajue, bora upinzani wa vyama vilivyosajiliwa kuliko vyama visivyo rasmi (wananchi) wakichoka, huwa wanachukua hatua zisizo rafiki, mifano ipo mingi Duniani.
NI kweli, ila songa ugali ule ulale Una njaa sana
 
Kutenda kosa si kosa, bali kurudia, una jingine kwa msaada zaidi.
Hakuna kosa hapo mkuu na ndio maana hakujawahi kuombwa msamaha, sioni wa kumchezesha Mbowe hapo Chadema bali yeye ndio anaweza kuwachezesha.
 
Mikutano ya ikulu kimya kimya akienda peke yake.


Ishu ya wabunge wa covid 19 alivyokuwa anawatafuta kimya kimya

Kufanya negotiation wakati walishafukuzwa mpakaa kutaka kumuonga kazi Halima Mdee.

Namna alivyokuwa anawafunga mdomo vijana wa Chadema wasipambane na CCM & Act kwenye hotuba yake kwenye baraza kuu.

Namna alivyotokà jela na kuizima join the chain kwa ustadi mkubwa.

Ni wazi kuna jambo analiandaa na anawandaa wafuasi wake kisaikolojia waanze kulipokea.

Waliostuka wameanza kuhoji huu mwenendo wa mwenyekiti.

Hizi ni zaidi ya busara huu ni muandalio wa usaliti mkubwa unaokuja.
Kimya kimya kimya ndio mwendo
 
Kwani uwepo wa upinzani una maana ya kuchoka kwa wananchi?
Hapana Chief, upinzani mara zote umekuwa unasema yale ambayo Serikali haiyasemi, upinzani unakosoa pale Serikali inapokwenda tofauti, naamini unajua mengi yaliyosemwa na Upinzani hapa Tanzania na Serikali ikachukua hatua, ila sasa upinzani unapominywa na kukosa pumzi, hapo ndio kunakuwa na tatizo hasa shida zikizidi kwa Wananchi.
 
Hakuna kosa hapo mkuu na ndio maana hakujawahi kuombwa msamaha, sioni wa kumchezesha Mbowe hapo Chadema bali yeye ndio anaweza kuwachezesha.

Hapa ndio unaona unanijaza, mimi sio ndezi wa bei rahisi kwa hizi porojo zako boss. Kawajaze washamba wenzio wa huko bush.
 
Mikutano ya ikulu kimya kimya akienda peke yake.


Ishu ya wabunge wa covid 19 alivyokuwa anawatafuta kimya kimya

Kufanya negotiation wakati walishafukuzwa mpakaa kutaka kumuonga kazi Halima Mdee.

Namna alivyokuwa anawafunga mdomo vijana wa Chadema wasipambane na CCM & Act kwenye hotuba yake kwenye baraza kuu.

Namna alivyotokà jela na kuizima join the chain kwa ustadi mkubwa.

Ni wazi kuna jambo analiandaa na anawandaa wafuasi wake kisaikolojia waanze kulipokea.

Waliostuka wameanza kuhoji huu mwenendo wa mwenyekiti.

Hizi ni zaidi ya busara huu ni muandalio wa usaliti mkubwa unaokuja.
Mbowe ana akili na busara kuliko mumeo,
Anaenda ikulu akiitwa na anaenda kwa utiifu mkubwa kwa kuwa ana busara nyingi, mbowe hajawahi kutukana hovyo na ndo maana amepata watetezi wengi akiwa gerezani.
Huwezi mfananisha mbowe na mumeo
 
Vijana wa chadema hawafanyi shughuli za kiuchumi eti wanasubiri chama kije kiwakomboe, kazi ndio ukombozi wako, wewe andamana, uvunjwe kiuno, uone kama Mbowe atakuletea hata dagaa.

Mtu kama Mnyika anavyompenda Mkewe, unadhani atakubali huo ujinga
Ulikuwa umesimama kwa wapi hadi ukahakikisha Mnyika anavyompenda mke wake?
 
Mikutano ya ikulu kimya kimya akienda peke yake.


Ishu ya wabunge wa covid 19 alivyokuwa anawatafuta kimya kimya

Kufanya negotiation wakati walishafukuzwa mpakaa kutaka kumuonga kazi Halima Mdee.

Namna alivyokuwa anawafunga mdomo vijana wa Chadema wasipambane na CCM & Act kwenye hotuba yake kwenye baraza kuu.

Namna alivyotokà jela na kuizima join the chain kwa ustadi mkubwa.

Ni wazi kuna jambo analiandaa na anawandaa wafuasi wake kisaikolojia waanze kulipokea.

Waliostuka wameanza kuhoji huu mwenendo wa mwenyekiti.

Hizi ni zaidi ya busara huu ni muandalio wa usaliti mkubwa unaokuja.
Kwa jinsi anavyotaka kuendesha Chadema bila ushirikiano na viongozi wenzie kwenye maamuzi ya muelekeo wa chama,muda si mrefu Chadema hakitakuwa tena chama cha siasa bali kundi la watu linaloongozwa na MWINYI ( Aristocratic movement)!

Mbowe Itabidi atumie busara kukiepusha Chadema kisifike huko kwani kazi yote nzuri aliyoifanyia Chadema inaweza kufutika!
 
Mikutano ya ikulu kimya kimya akienda peke yake.


Ishu ya wabunge wa covid 19 alivyokuwa anawatafuta kimya kimya

Kufanya negotiation wakati walishafukuzwa mpakaa kutaka kumuonga kazi Halima Mdee.

Namna alivyokuwa anawafunga mdomo vijana wa Chadema wasipambane na CCM & Act kwenye hotuba yake kwenye baraza kuu.

Namna alivyotokà jela na kuizima join the chain kwa ustadi mkubwa.

Ni wazi kuna jambo analiandaa na anawandaa wafuasi wake kisaikolojia waanze kulipokea.

Waliostuka wameanza kuhoji huu mwenendo wa mwenyekiti.

Hizi ni zaidi ya busara huu ni muandalio wa usaliti mkubwa unaokuja.
kama ni nyeti basi Mbowe kawabonyeza kisawa sawa pale Lumumba, hamuishii kumtaja taja aisee !!
 
Mbowe ana akili na busara kuliko mumeo,
Anaenda ikulu akiitwa na anaenda kwa utiifu mkubwa kwa kuwa ana busara nyingi, mbowe hajawahi kutukana hovyo na ndo maana amepata watetezi wengi akiwa gerezani.
Huwezi mfananisha mbowe na mumeo
Mume wako na Mbowe nani mwenye akili zaidi?
Inaonekana unampenda Mbowe kuliko mumeo.
 
Hapa ndio unaona unanijaza, mimi sio ndezi wa bei rahisi kwa hizi porojo zako boss. Kawajaze washamba wenzio wa huko bush.
Sasa hapo mkuu uongo ni upi labda hadi useme ni porojo nilichokieleza?
 
Sasa hapo mkuu uongo ni upi labda hadi useme ni porojo nilichokieleza?

Mkuu unadhani mimi ni kunichota mawazo kindezi hivyo? Yaani ww ni wa kunipangia ni hatua zipi au maamuzi gani nichukue dhidi ya mtu fulani?
 
Back
Top Bottom