Ukweli usemwe, kuna kila dalili Mbowe anaisaliti CHADEMA

Ukweli usemwe, kuna kila dalili Mbowe anaisaliti CHADEMA

Mkuu unadhani mimi ni kunichota mawazo kindezi hivyo? Yaani ww ni wa kunipangia ni hatua zipi au maamuzi gani nichukue dhidi ya mtu fulani?
Mimi sikupangii bali naeleza uhalisia uliyopo, wewe unataka kujiaminisha kwamba Cdm ni kubwa kuliko Mbowe kwamba Mbowe si lolote si chochote, ila kwa bahati mbaya uhalisia haupo hivyo.
 
Mikutano ya ikulu kimya kimya akienda peke yake.


Ishu ya wabunge wa covid 19 alivyokuwa anawatafuta kimya kimya

Kufanya negotiation wakati walishafukuzwa mpakaa kutaka kumuonga kazi Halima Mdee.

Namna alivyokuwa anawafunga mdomo vijana wa Chadema wasipambane na CCM & Act kwenye hotuba yake kwenye baraza kuu.

Namna alivyotokà jela na kuizima join the chain kwa ustadi mkubwa.

Ni wazi kuna jambo analiandaa na anawandaa wafuasi wake kisaikolojia waanze kulipokea.

Waliostuka wameanza kuhoji huu mwenendo wa mwenyekiti.

Hizi ni zaidi ya busara huu ni muandalio wa usaliti mkubwa unaokuja.
Mbowe amekunywa maji ya bendera ww umeleta uzi ili mabwana zako wakuone nawe upo uchukue senti ukale usogezwe maisha ukisubiria labda uteuzi hata kwenye chaguzi za mataga.
 
Mimi sikupangii bali naeleza uhalisia uliyopo, wewe unataka kujiaminisha kwamba Cdm ni kubwa kuliko Mbowe kwamba Mbowe si lolote si chochote, ila kwa bahati mbaya uhalisia haupo hivyo.

Sasa unachoamini ww sio lazima na mimi niamini hivyo. Unakwama wapi?
 
Sasa unachoamini ww sio lazima na mimi niamini hivyo. Unakwama wapi?
Mimi sijaongelea nachoamini bali nimeeleza uhalisia ulivyo ni jambo ambalo lipo wazi halihitaji imani ya mtu, kwahiyo wewe amini hivyo unavyoamini una uhuru huo ila uhalisi ndio huo niliyokueleza.
 
Mimi sijaongelea nachoamini bali nimeeleza uhalisia ulivyo ni jambo ambalo lipo wazi halihitaji imani ya mtu, kwahiyo wewe amini hivyo unavyoamini una uhuru huo ila uhalisi ndio huo niliyokueleza.

Huo sio uhalisia bali hayo ndio matamanio yako.
 
Mbowe amekunywa maji ya bendera ww umeleta uzi ili mabwana zako wakuone nawe upo uchukue senti ukale usogezwe maisha ukisubiria labda uteuzi hata kwenye chaguzi za mataga.
Na wewe umeandika hii comment ili bwana ako aone au sio?
 
Na wewe umeandika hii comment ili bwana ako aone au sio?
Kwanza nashukuru umekiri kuwa una mabwana zako.
Hongera ila angalia utazidisha idadi ya waathirika waliotangazwa juzi na Ummy.
Kila la heri kwenye nafasi yako ya uchawa.
 
Kwanza nashukuru umekiri kuwa una mabwana zako.
Hongera ila angalia utazidisha idadi ya waathirika waliotangazwa juzi na Ummy.
Kila la heri kwenye nafasi yako ya uchawa.
Mmmhhhh kwa namna unavyoandika inaonekana kabisa wewe sio rizki 🥺
 
Hivi kama ingekuwa ulichokiandika ni kweli, Mbowe huyu angekubali kupambana kwa ajili ya demokrasia hadi kusingiziwa kesi ya kuchoma mapori na kuua akina Sayaba!!!

Mkuu kwenda ikulu siyo usaliti nakukumbusha aliye pale Magogoni ni Rais wa JMT kwa hiyo kwa kiongozi mwenye maono mema kwa wananchi hana budi kuteta na Rais katika yale yenye kuleta umoja na mshikamano.

Kumbuka Mbowe amekaa jela mara kadhaa je,ulijaribu angalau kumpelekea kudumu cha maji ya uhai anywe kama hukuwahi basi vumilia tu na hiyo ndiyo siasa.
MBOWE HAPENDI TUUMIZWE WANANCHI.
 
Mikutano ya ikulu kimya kimya akienda peke yake.


Ishu ya wabunge wa covid 19 alivyokuwa anawatafuta kimya kimya

Kufanya negotiation wakati walishafukuzwa mpakaa kutaka kumuonga kazi Halima Mdee.

Namna alivyokuwa anawafunga mdomo vijana wa Chadema wasipambane na CCM & Act kwenye hotuba yake kwenye baraza kuu.

Namna alivyotokà jela na kuizima join the chain kwa ustadi mkubwa.

Ni wazi kuna jambo analiandaa na anawandaa wafuasi wake kisaikolojia waanze kulipokea.

Waliostuka wameanza kuhoji huu mwenendo wa mwenyekiti.

Hizi ni zaidi ya busara huu ni muandalio wa usaliti mkubwa unaokuja.
Namwonea huruma yule mbaiwayu wa cdm(Godbless Lema ) kwa maana yeye amebaki na matusi yake tu .Kimsingi marehemu magufuli alifanya kosa kubwa saaana kutokumfunga huyu kiumbe .Sikujia ni mjinga kiasi hiki
 
Mikutano ya ikulu kimya kimya akienda peke yake.


Ishu ya wabunge wa covid 19 alivyokuwa anawatafuta kimya kimya

Kufanya negotiation wakati walishafukuzwa mpakaa kutaka kumuonga kazi Halima Mdee.

Namna alivyokuwa anawafunga mdomo vijana wa Chadema wasipambane na CCM & Act kwenye hotuba yake kwenye baraza kuu.

Namna alivyotokà jela na kuizima join the chain kwa ustadi mkubwa.

Ni wazi kuna jambo analiandaa na anawandaa wafuasi wake kisaikolojia waanze kulipokea.

Waliostuka wameanza kuhoji huu mwenendo wa mwenyekiti.

Hizi ni zaidi ya busara huu ni muandalio wa usaliti mkubwa unaokuja.
Ukweli usemwe kuna dalili Serikali inawabeba covid
1),.....
2),
3),......
Mbona ccm inawagangania??
 
Vijana wa chadema hawafanyi shughuli za kiuchumi eti wanasubiri chama kije kiwakomboe, kazi ndio ukombozi wako, wewe andamana, uvunjwe kiuno, uone kama Mbowe atakuletea hata dagaa.

Mtu kama Mnyika anavyompenda Mkewe, unadhani atakubali huo ujinga
Lazima uvunjwe mguu ukiandamana kudai haki??
Huko Ccm watu wakiandamana kudai haki za Msingi majibu ni kuvunja miguu??
 
uzuri wake mbowe anawaongoza wachagga wenzake chadema waache waogozane wafu kwa wafu
 
Back
Top Bottom