Ukweli usemwe, kuna kila dalili Mbowe anaisaliti CHADEMA

Ukweli usemwe, kuna kila dalili Mbowe anaisaliti CHADEMA

Mkuu mara ya mwisho kusikia join the chain ni lini?
Kusikia au kutisikika sio tatizo, hizo ni propaganda za wanasiasa, lini wewe ulisikia mara ya mwisho kuhusu kilimo cha kufa na kupona?hadi leo nchi yetu tunaagiza mahindi, sukari, na mafuta ya kupikia!na budget ya kilimo ni less than 10%na kila mwaka tuna graduates 🎓 kibao kutoka mzumbe..wanakwenda wapi hawa..mbona kilimo chetu bado cha kijima?achana na Mr.Mbowe au kwako mada yako unaona itakuwa ovyo bila kumtaja Mr.Mbowe?
 
Upinzani imara na wa uhakika upo mioyoni wa Wananchi, unadhani miaka yote hiyo CDM inapendwa kwa uadilifu au kuwa na wasafi, ishu ni kwamba madhila yakizidi wananchi wataamua yoyote yule awaongoze, so hata Mbowe akiondoka haimaniishi upinzani umekufa, aliondoka Mrema NCCR na bado upinzani upo, Magufuli alinunua wapinzani wakutosha tu, na bado upinzani ulimnyima usingizi.

Exactly, kuna watu wanaamini Mbowe ndio dira ya upinzani, bila kujua Mbowe alicheza tu beat tunayoitaka. Na hata sasa akicheza mirindimo tofauti ndio atajua watu hawakufuata sura yake.
 
Mikutano ya ikulu kimya kimya akienda peke yake.


Ishu ya wabunge wa covid 19 alivyokuwa anawatafuta kimya kimya
kufanya negotiation wakati walishafukuzwa mpakaa kutaka kumuonga kazi Halima Mdee.

Namna alivyokuwa anawafunga mdomo vijana wa Chadema wasipambane na CCM & Act kwenye hotuba yake kwenye baraza kuu.

Namna alivyotokà jela na kuizima join the chain kwa ustadi mkubwa.

Ni wazi kuna jambo analiandaa na anawandaa wafuasi wake kisaikolojia waanze kulipokea.

Waliostuka wameanza kuhoji huu mwenendo wa mwenyekiti.

Hizi ni zaidi ya busara huu ni muandalio wa usaliti mkubwa unaokuja.
Hakuna mtu mwenye akili zake timamu atakuamini, iacheni Chadema ifanye kazi yake ya kuwakomboa watanzania kutoka utumwa wa CCM.
 
Mikutano ya ikulu kimya kimya akienda peke yake.


Ishu ya wabunge wa covid 19 alivyokuwa anawatafuta kimya kimya
kufanya negotiation wakati walishafukuzwa mpakaa kutaka kumuonga kazi Halima Mdee.

Namna alivyokuwa anawafunga mdomo vijana wa Chadema wasipambane na CCM & Act kwenye hotuba yake kwenye baraza kuu.

Namna alivyotokà jela na kuizima join the chain kwa ustadi mkubwa.

Ni wazi kuna jambo analiandaa na anawandaa wafuasi wake kisaikolojia waanze kulipokea.

Waliostuka wameanza kuhoji huu mwenendo wa mwenyekiti.

Hizi ni zaidi ya busara huu ni muandalio wa usaliti mkubwa unaokuja.
Umelipwa how much? Nendeni tu Umoja Party hakuna haja ya kelele
 
Upinzani imara na wa uhakika upo mioyoni wa Wananchi, unadhani miaka yote hiyo CDM inapendwa kwa uadilifu au kuwa na wasafi, ishu ni kwamba madhila yakizidi wananchi wataamua yoyote yule awaongoze, so hata Mbowe akiondoka haimaniishi upinzani umekufa, aliondoka Mrema NCCR na bado upinzani upo, Magufuli alinunua wapinzani wakutosha tu, na bado upinzani ulimnyima usingizi.
Tofauti ya CHADEMA na vyama vingine ni kwamba hicho chama ni mali binafsi ya Mbowe aliyorithishwa na mkwewe. Hao wanachama anawaona kama misukule tu. Akiondoka Mbowe ni kifo cha CHADEMA
 
Mwenyekiti wa CHADEMA, kubali yaishe, peleka majina ya wabunge wa viti Maalum 19 badala ya akina Mdee na wenzake waliojipeleka wenyewe.

-Serikali ya awamu ya sita Ina dhamira njema, sikivu na inapenda kufanya majadiliano na inachukua maoni na kufanyia kazi,
-Ni vema Vyama mbadala vikatoa ushirikiano, badala ya kuleta ligi,ninavyoona mambo mazuri yanakuja na tunaweza kufanya uchaguzi bora 2025.
 
Tofauti ya CHADEMA na vyama vingine ni kwamba hicho chama ni mali binafsi ya Mbowe aliyorithishwa na mkwewe. Hao wanachama anawaona kama misukule tu. Akiondoka Mbowe ni kifo cha CHADEMA
Kufa kwa CHADEMA sio kufa kwa upinzani.
 
Exactly, kuna watu wanaamini Mbowe ndio dira ya upinzani, bila kujua Mbowe alicheza tu beat tunayoitaka. Na hata sasa akicheza mirindimo tofauti ndio atajua watu hawakufuata sura yake.
Sijui kwanini watu hawalilioni hili, hata CCM walitakiwa wajue, bora upinzani wa vyama vilivyosajiliwa kuliko vyama visivyo rasmi (wananchi) wakichoka, huwa wanachukua hatua zisizo rafiki, mifano ipo mingi Duniani.
 
Sasa anaupiga mwingi wapi mkuu mbona hatuoni tena movements za katiba mpya?
Hakuna sehemu niliyosema anaupiga mwingi, mimi nimesema usaliti wa Mbowe(Kama unavyotabiri wewe) hata akiondoka CDM haimaanishi upinzani utakufa, viongozi wa vyama wanaweza kununuliwa wote ila sio Wananchi.
 
Sasa anaupiga mwingi wapi mkuu mbona hatuoni tena movements za katiba mpya?
Kumbe nawe waitaka Katiba Mpya, utakuwa umechoka kuwasifia wengine wewe ukiendelea kuumwa njaa.

Nyie viumbe mnachekesha sana.
 
Vijana wa chadema hawafanyi shughuli za kiuchumi eti wanasubiri chama kije kiwakomboe, kazi ndio ukombozi wako, wewe andamana, uvunjwe kiuno, uone kama Mbowe atakuletea hata dagaa.

Mtu kama Mnyika anavyompenda Mkewe, unadhani atakubali huo ujinga
Kama wewe unavyojikomboa katika uchumi wa bando kwa kwa kuimba mapambio kwa Chama kongwe kilichoshindwa kuikomboa nchi Kiuchumi kwa miaka zaidi ya sitini sasa

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mikutano ya ikulu kimya kimya akienda peke yake.


Ishu ya wabunge wa covid 19 alivyokuwa anawatafuta kimya kimya

Kufanya negotiation wakati walishafukuzwa mpakaa kutaka kumuonga kazi Halima Mdee.

Namna alivyokuwa anawafunga mdomo vijana wa Chadema wasipambane na CCM & Act kwenye hotuba yake kwenye baraza kuu.

Namna alivyotokà jela na kuizima join the chain kwa ustadi mkubwa.

Ni wazi kuna jambo analiandaa na anawandaa wafuasi wake kisaikolojia waanze kulipokea.

Waliostuka wameanza kuhoji huu mwenendo wa mwenyekiti.

Hizi ni zaidi ya busara huu ni muandalio wa usaliti mkubwa unaokuja.
Mawazo ya kitoto sana.
 
Tofauti ya CHADEMA na vyama vingine ni kwamba hicho chama ni mali binafsi ya Mbowe aliyorithishwa na mkwewe. Hao wanachama anawaona kama misukule tu. Akiondoka Mbowe ni kifo cha CHADEMA
Bandugu,
baada ya KUKWAMA vibaya kwa njama zenu zote hata zile zilizoongozwa na mungu wenu Burigi, ninadhani ilikuwa muda mzuri kwenu kuanza kujitakari na kuacha ushetani mliyokuwa mnaufanya mpaka kwenye mali na maisha binafsi ya wanachama na hasa viongozi wake.
Tubuni na kumrudia Mungu ili kujenga misingi ya amani kati yetu waTz. Amen.
 
Yule tapeli tu mbona anafahamika. Jamaa anaenda kule wanapanga alafu anarudi anajifanya hajui lolote ..na bado mazuzu wake wanamuona eti wa maana sana
 
CHADEMA is no hope anymore kwa wananchi, na sio tishio tena kwa CCM….. wacha waendelee kukaza shingo kwa vile hata UDP nao bado wanaamini ni chama.
 
Exactly, kuna watu wanaamini Mbowe ndio dira ya upinzani, bila kujua Mbowe alicheza tu beat tunayoitaka. Na hata sasa akicheza mirindimo tofauti ndio atajua watu hawakufuata sura yake.
Sasa kwanini Lowassa kuletwa CHADEMA ilionekana ni Mbowe kubadili gear? Nani alichezeshwa muziki wa mwenzio kati ya Mbowe na nyie?
 
Back
Top Bottom