Ukweli usemwe, mkikosoa basi mjue na kupongeza pia, Mama anatisha

Ukweli usemwe, mkikosoa basi mjue na kupongeza pia, Mama anatisha

Huu ni mwezi wa sita au zaidi, petroli, diesel na mafuta ya taa yanashuka bei kila mwezi, hivi hamuoni au dharau?

Au mnangoja yapande ndio mlaumu?

Mkijua kulaumu mjue na kupongeza.
Mama mpaka achoke mwenyewe
Akili zako kama za Kuku...Fuatilia Bei ya Mafuta duniani na mwenendo wa Dollar ndio uje apa na fact sio hizi Porojo.
 
Huu ni mwezi wa sita au zaidi, petroli, diesel na mafuta ya taa yanashuka bei kila mwezi, hivi hamuoni au dharau?

Au mnangoja yapande ndio mlaumu?

Mkijua kulaumu mjue na kupongeza.
Mama mpaka achoke mwenyewe
Si wote wanaingia vituo vya mafuta kuyanunua.Je,nauli nazo zimeshuka?
 
Nafarijika sana kutambua wapumbavu kama wewe hamfiki hata 20 humu JF miongoni mwa wapumbavu wenzako wachache ni mwashambwa,John baptist,tilahtlaa na wengine wenzangu watanisaidia kukutajia
 
Huu ni mwezi wa sita au zaidi, petroli, diesel na mafuta ya taa yanashuka bei kila mwezi, hivi hamuoni au dharau?

Au mnangoja yapande ndio mlaumu?

Mkijua kulaumu mjue na kupongeza.
Mama mpaka achoke mwenyewe
Wewe ni mjinga kwenye kundi la wajinga. Mama Yako huko kijijini ananufaika vipi na kupungua bei Kwa mafuta ya petroli Ili akenue meno kumsifia Rais mana sio mama Yako?
Ilifaa apongezwe Kwa kuzitaka mamlaka husika Kwa pamoja nikiweko LATRA kupunguza nauli na gharama za usahfirishaji Ili kwamba kuwe na unafuu wa movement ya watu na bidhaa pamoja na huduma. Ili Kwa fedha mtu aliyonayo aweze kupata huduma Bora.
Lakini Kwa ujinga wako umekaa kumsifia mtu bila ya kuwaza hayo!
Mama Ako angeweza kupata faida ambayo ingewasaidia angalau mjenge nyumba ya tofali na bati Kwa sababu urio angeweza kisafirisha cement na manati Kwa gharama nafuu na hardware Yale ingeshusha bei kidogo Kwa sababu hata mafuta kiwandani yangeshuka.
Ungeepuka utapiamlo sababu bei za vyakula zingekua zinahilimilika sababu ya nafuu ya usafirishaji na angalau ungekua na akili.
 
Wewe ni mjinga kwenye kundi la wajinga. Mama Yako huko kijijini ananufaika vipi na kupungua bei Kwa mafuta ya petroli Ili akenue meno kumsifia Rais mana sio mama Yako?
Ilifaa apongezwe Kwa kuzitaka mamlaka husika Kwa pamoja nikiweko LATRA kupunguza nauli na gharama za usahfirishaji Ili kwamba kuwe na unafuu wa movement ya watu na bidhaa pamoja na huduma. Ili Kwa fedha mtu aliyonayo aweze kupata huduma Bora.
Lakini Kwa ujinga wako umekaa kumsifia mtu bila ya kuwaza hayo!
Mama Ako angeweza kupata faida ambayo ingewasaidia angalau mjenge nyumba ya tofali na bati Kwa sababu urio angeweza kisafirisha cement na manati Kwa gharama nafuu na hardware Yale ingeshusha bei kidogo Kwa sababu hata mafuta kiwandani yangeshuka.
Ungeepuka utapiamlo sababu bei za vyakula zingekua zinahilimilika sababu ya nafuu ya usafirishaji na angalau ungekua na akili.
Hata wewe ni mjinga
 
Huu ni mwezi wa sita au zaidi, petroli, diesel na mafuta ya taa yanashuka bei kila mwezi, hivi hamuoni au dharau?

Au mnangoja yapande ndio mlaumu?

Mkijua kulaumu mjue na kupongeza.
Mama mpaka achoke mwenyewe
Hata Yesu walimfurusha huwezi kuwafurahisha wote wengine watakuchukia idadi ndogo ya watu mitandaoni haifikii idadi ya watz wote hawa wajf watapiga kelele lkn ni sawa na uchukue maji kwenye kikombe ukamwage baharini Samia mitano tena CCM DAIMA
 
Hata wewe ni mjinga

Hata Yesu walimfurusha huwezi kuwafurahisha wote wengine watakuchukia idadi ndogo ya watu mitandaoni haifikii idadi ya watz wote hawa wajf watapiga kelele lkn ni sawa na uchukue maji kwenye kikombe ukamwage baharini Samia mitano tena CCM DAIMA
Soma hapa angalau uelwe wewe na mpiga zumari mwenzako:
Hamuwezi kunakumbusha viongozi wenu wajibu wao isipokua mnawalamba makalio tu kwa gharama ya walio wengi:

Kushuka kwa Bei ya Mafuta ya Petro: Athari kwa Maisha ya Kawaida ya Watu
:

Kushuka kwa bei ya mafuta ya petro kunaweza kuleta unafuu mkubwa kwa maisha ya wananchi kwa kupunguza gharama za usafiri wa umma na usafirishaji wa bidhaa. Watu wa kawaida wanaweza kutumia fedha kidogo kufika kazini, shule, au hospitali, hivyo kuelekeza fedha zao kwenye mahitaji mengine muhimu. Aidha, gharama ndogo za mafuta hupunguza bei za kusafirisha chakula, dawa, na bidhaa nyingine muhimu, matokeo yake yakiwa ni kushuka kwa bei za bidhaa sokoni. Hii inawawezesha watu kupata huduma za msingi kwa bei nafuu na kuimarisha hali yao ya maisha.

Kupungua kwa gharama za mafuta pia huchangia kushuka kwa bei za chakula, kwani mafuta yanahitajika katika uzalishaji na usambazaji wa bidhaa hizo. Hii husaidia kaya za kipato cha chini kumudu lishe bora, kupunguza utapiamlo, na kuimarisha afya ya jamii kwa ujumla. Kwa wananchi wengi, hili linaweza kuwa suluhisho la matatizo ya kiuchumi yanayohusiana na upatikanaji wa chakula cha kutosha na chenye lishe.

Vilevile, mafuta yana mchango mkubwa katika uzalishaji na usafirishaji wa vifaa vya ujenzi kama saruji, chuma, na mabati. Kupungua kwa gharama za mafuta hupunguza gharama za vifaa vya ujenzi, na hivyo kurahisisha ujenzi wa nyumba bora na nafuu. Hatua hii inaweza kuwasaidia wananchi wengi zaidi kujenga makazi salama na kuboresha mazingira ya maisha.

Hata hivyo, changamoto kubwa ni kwamba mara nyingi faida ya kushuka kwa bei ya mafuta haifiki kwa wananchi moja kwa moja. Wamiliki wa vyombo vya usafiri na wasafirishaji wa bidhaa mara nyingi huendelea kutengeneza faida kubwa badala ya kupunguza gharama kwa wateja wao. Serikali kupitia LATRA imekuwa ikiongeza nauli mara tu bei za mafuta zinapopanda kidogo, lakini inaposhuka hakuna hatua za kupunguza gharama hizo. Hali hii inaleta maswali kuhusu uwajibikaji wa viongozi wa chama na serikali, hasa wale walio na maslahi katika biashara ya mafuta na usafirishaji.

Kwa ujumla, kushuka kwa bei ya mafuta ni fursa muhimu ya kuboresha maisha ya wananchi, lakini utekelezaji wake unahitaji usimamizi wa haki na uwajibikaji. Serikali inapaswa kuhakikisha kuwa faida ya kushuka kwa bei ya mafuta inawanufaisha wananchi wote kwa kupunguza nauli, gharama za bidhaa, na huduma muhimu. Hatua madhubuti zitahakikisha kuwa unafuu wa bei unaleta mabadiliko ya kweli kwa maisha ya watu.
 
Soma hapa angalau uelwe wewe na mpiga zumari mwenzako:
Hamuwezi kunakumbusha viongozi wenu wajibu wao isipokua mnawalamba makalio tu kwa gharama ya walio wengi:

Kushuka kwa Bei ya Mafuta ya Petro: Athari kwa Maisha ya Kawaida ya Watu:

Kushuka kwa bei ya mafuta ya petro kunaweza kuleta unafuu mkubwa kwa maisha ya wananchi kwa kupunguza gharama za usafiri wa umma na usafirishaji wa bidhaa. Watu wa kawaida wanaweza kutumia fedha kidogo kufika kazini, shule, au hospitali, hivyo kuelekeza fedha zao kwenye mahitaji mengine muhimu. Aidha, gharama ndogo za mafuta hupunguza bei za kusafirisha chakula, dawa, na bidhaa nyingine muhimu, matokeo yake yakiwa ni kushuka kwa bei za bidhaa sokoni. Hii inawawezesha watu kupata huduma za msingi kwa bei nafuu na kuimarisha hali yao ya maisha.

Kupungua kwa gharama za mafuta pia huchangia kushuka kwa bei za chakula, kwani mafuta yanahitajika katika uzalishaji na usambazaji wa bidhaa hizo. Hii husaidia kaya za kipato cha chini kumudu lishe bora, kupunguza utapiamlo, na kuimarisha afya ya jamii kwa ujumla. Kwa wananchi wengi, hili linaweza kuwa suluhisho la matatizo ya kiuchumi yanayohusiana na upatikanaji wa chakula cha kutosha na chenye lishe.

Vilevile, mafuta yana mchango mkubwa katika uzalishaji na usafirishaji wa vifaa vya ujenzi kama saruji, chuma, na mabati. Kupungua kwa gharama za mafuta hupunguza gharama za vifaa vya ujenzi, na hivyo kurahisisha ujenzi wa nyumba bora na nafuu. Hatua hii inaweza kuwasaidia wananchi wengi zaidi kujenga makazi salama na kuboresha mazingira ya maisha.

Hata hivyo, changamoto kubwa ni kwamba mara nyingi faida ya kushuka kwa bei ya mafuta haifiki kwa wananchi moja kwa moja. Wamiliki wa vyombo vya usafiri na wasafirishaji wa bidhaa mara nyingi huendelea kutengeneza faida kubwa badala ya kupunguza gharama kwa wateja wao. Serikali kupitia LATRA imekuwa ikiongeza nauli mara tu bei za mafuta zinapopanda kidogo, lakini inaposhuka hakuna hatua za kupunguza gharama hizo. Hali hii inaleta maswali kuhusu uwajibikaji wa viongozi wa chama na serikali, hasa wale walio na maslahi katika biashara ya mafuta na usafirishaji.

Kwa ujumla, kushuka kwa bei ya mafuta ni fursa muhimu ya kuboresha maisha ya wananchi, lakini utekelezaji wake unahitaji usimamizi wa haki na uwajibikaji. Serikali inapaswa kuhakikisha kuwa faida ya kushuka kwa bei ya mafuta inawanufaisha wananchi wote kwa kupunguza nauli, gharama za bidhaa, na huduma muhimu. Hatua madhubuti zitahakikisha kuwa unafuu wa bei unaleta mabadiliko ya kweli kwa maisha ya watu.
Unatuletea virekodi vyako uchwala Oktoba mtabamizwa vizuri tu mtaamua sasa kuendelea kuongozwa na Samia au mhamie msumbiji
 
Unatuletea virekodi vyako uchwala Oktoba mtabamizwa vizuri tu mtaamua sasa kuendelea kuongozwa na Samia au mhamie msumbiji
We mpumbavu hoja Yako ni uchaguzi au athari za kushuka kwa bei ya mafuta na faida zake kwa wanachi!?
 
Back
Top Bottom