DolphinT
JF-Expert Member
- Mar 9, 2016
- 2,014
- 2,979
Takataka ni nyingi sana mkuuKilaza anajua ni kazi ya mama Abdul.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Takataka ni nyingi sana mkuuKilaza anajua ni kazi ya mama Abdul.
Hawa Wakonongo ukiwaambia hivyo wanaweza hata kumsifia zaidi Samia kwa kushusha bei ya mafuta ya dunia nzima 😂😂😂Jf sisi hizi watu wengi ni low thinkers Sana yaani, mwezi uliopita Duniani bei ya mafuta imeshuka mpaka kuweka rekodi ya mwaka 2021, yaani bei ya Sasa hivi imekua ndogo mara ya mwisho bei kama hii ilikua 2021 kipindi Cha lockdown, Sasa hapo Samia anatoka wapi?
Mafuta yameshuka Sana Duniani kote kiongozi
Kikubwa hakuna vita mkuuHii ni amani au uvumilivu?
Kilichopo ni Watawala na kundi (class) flani ambayo inafaidi keki ya Taifa Kwa ukaribu hasa (business and political class) wanaoomba amani kwao Yani wakae Kwa amani bila kubugidhiwa na kundi la watu walio wengi hasa lower and middle class.
Ndio mana mtu yeyote anayejatibu kuraise politicala awareness au mass consciousness anatajwa kama mtu anayehatarisha amani ya nchi. Sio amani ya nchi ni amani ya Watawala..
Mtu yeyote anayewakumbusha Watawala kuwajibika Kwa Wananchi Kwa kufuata misingi ya utawala Bora na Haki, mara nyingi anashitumiwa kuhatarisha amani ya nchi jambo ambalo kiuhalisia ni amani ya Watawala.
Kuna neno wanasema siku hizi kuzua taharuki, wakati wao Ndio Huwa wanatahayari na kukumbwa na taharuki! Wamejitungia Sheria nyingi za kuwalinda dhidi ya uwajibikaji na utawala wa Sheria.
Fundi Bora ni yule mwenye kutatua au kudhibiti tatizo.Huu ni mwezi wa sita au zaidi, petroli, diesel na mafuta ya taa yanashuka bei kila mwezi, hivi hamuoni au dharau?
Au mnangoja yapande ndio mlaumu?
Mkijua kulaumu mjue na kupongeza.
Mama mpaka achoke mwenyewe
Ana hasira😀😀Ajabu kabisa, huyu jamaa neno moja tusi moja,
Ni dalili ya kushindwa hoja na kuhamisha magoli
Mahindi hayaoti kwenye lamiHuu ni mwezi wa sita au zaidi, petroli, diesel na mafuta ya taa yanashuka bei kila mwezi, hivi hamuoni au dharau?
Au mnangoja yapande ndio mlaumu?
Mkijua kulaumu mjue na kupongeza.
Mama mpaka achoke mwenyewe
SahihiMahindi hayaoti kwenye lami
Kichaa ni wewe Mbwa malay.a, safari hii mumeshikwa hamna pa kutokea, Mama ni habari nyingine, anatosha mpaka 2035 hukoooooooHizo taarabu kaimbe na huyo mama yako mbwa koko kichaa wewe 🚮🚮
Nilitaka nikupe kubwa ila nataka kuuliza nimesikia kile kitabu cha yule raia wa UK sio Ukonga anasema eti alibakwa naomba umuulize tuhuma hizo ni za ukweli alibakwa au ni uzushia tu?Mama mpaka achoke mwenyewe
Na michezo yenu ya kuoshana matako muache kila sehemu nyie mnaoshana matako tuKichaa ni wewe Mbwa malay.a, safari hii mumeshikwa hamna pa kutokea, Mama ni habari nyingine, anatosha mpaka 2035 hukooooooo
Alishasema ni uzushi tuNilitaka nikupe kubwa ila nataka kuuliza nimesikia kile kitabu cha yule raia wa UK sio Ukonga anasema eti alibakwa naomba umuulize tuhuma hizo ni za ukweli alibakwa au ni uzushia tu?
Kwani nyie mumeacha?Na michezo yenu ya kuoshana matako muache kila sehemu nyie mnaoshana matako tu
Kwa hio hakuwahi kubakwa au alibakwa kweli?Alishasema ni uzushi tu
Nyie ndio mechezo yenu muache kuoshana matako tumawachoka na hio mecheso yenu ya kuoshana matakoKwani nyie mumeacha?
Hilo ndio jibu la swali?Nyie ndio mechezo yenu muache kuoshana matako tumawachoka na hio mecheso yenu ya kuoshana matako
Kwa hio umesema alibakwa?Hilo ndio jibu la swali?
Unahamisha magoli? Umechemka?
Nyie UWT hamnaga akiliNdio,
Nipongeze ujingaBwashee mbona kama wewe ndio mamaaaa,
Hakuna unapopongeza, wewe ni gubu tuuuu