Ukweli usemwe, mkikosoa basi mjue na kupongeza pia, Mama anatisha

Ukweli usemwe, mkikosoa basi mjue na kupongeza pia, Mama anatisha

Tuendee na story yetu na kina merry haya tuyaache
Jf sisi hizi watu wengi ni low thinkers Sana yaani, mwezi uliopita Duniani bei ya mafuta imeshuka mpaka kuweka rekodi ya mwaka 2021, yaani bei ya Sasa hivi imekua ndogo mara ya mwisho bei kama hii ilikua 2021 kipindi Cha lockdown, Sasa hapo Samia anatoka wapi?



Mafuta yameshuka Sana Duniani kote kiongozi
 
😀 😀 sasa matusi ya nn kwan lazima akufurahishe ww sisi hatupotezi muda wa kuongea na nyinyi tukutane oktoba
Neno Mpumbavu sio tusi ni Hali ya mtu kuambiwa ukweli na Bado akataa ukweli ambao unamtoa ujinga na hivyo kubakia na ujinga uliokomaa. Huyo ni mpumbavu tu!
Swali kwako je tunajadili uchaguzi wa October au tunajadili afua z akushuka Kwa Grama za mafuta na athari zake kwa Wananchi wa kawaida ambao Ndio majority ya watanzania ikiwemo wewe, Ili tuweze kuipongeza serikali
 
Neno Mpumbavu sio tusi ni Hali ya mtu kuambiwa ukweli na Bado akataa ukweli ambao unamtoa ujinga na hivyo kubakia na ujinga uliokomaa. Huyo ni mpumbavu tu!
Swali kwako je tunajadili uchaguzi wa October au tunajadili afua z akushuka Kwa Grama za mafuta na athari zake kwa Wananchi wa kawaida ambao Ndio majority ya watanzania ikiwemo wewe, Ili tuweze kuipongeza serikali

Neno Mpumbavu sio tusi ni Hali ya mtu kuambiwa ukweli na Bado akataa ukweli ambao unamtoa ujinga na hivyo kubakia na ujinga uliokomaa. Huyo ni mpumbavu tu!
Swali kwako je tunajadili uchaguzi wa October au tunajadili afua z akushuka Kwa Grama za mafuta na athari zake kwa Wananchi wa kawaida ambao Ndio majority ya watanzania ikiwemo wewe, Ili tuweze kuipongeza serikali
Sasa kuna hali mbaya gani unataka akuletee debe la mahindi hapo ulipo fanya kazi acha kulalamika cjui ni mdada wewe
 
Naona Abdul umekuja huku jukwaani kumpigia kampeni maza ako.

Kila la kheri kupambana na watanzania tawi la JF
 
Hatupongezi kwa kuwa hatuoni kilichobadilika.

Mlisema nauli zinapanda kwa sababu mafuta yamepanda bei, mbona bei imeshuka na nauli hazishuki?

Zamani ndugu zangu wachaga kwenda Moshi ilikuwa ni 30k sasa hivi nauli ni 45k mpaka 50k huko.

Kwa mfumuko huo unataka bado tuimbe mapambio?

Kwanini bei hazishuki?
 
Sasa kuna hali mbaya gani unataka akuletee debe la mahindi hapo ulipo fanya kazi acha kulalamika cjui ni mdada wewe
Bado narejea upumbavu wako unaweza kuwa ulemavu kama wewe binafsi haujaushughulikia na kuchukua hatua. Aina hii ya majibu haifai kwenye platform ya great thinkers ambao wanaweza kufanya mabadiliko katika jamii! Kama mpaka Leo hii unajibu mada kubwa kama hii Kwa msingi wa kulalamika na debe la mahindi! Ikiwa unahitaji Rais Asifiwe Kwa kushuka kwa bei ya mafuta ni vyema pia ukasoma andiko langu hapo na ukaona maneneo ambayo serikali inayokaliwa na huyo Rais inapaswa kuyafanyia kazi Kwa mgongo wa kushuka kwa gharama za petroli na bidhaa zake. Sasa kama bidhaa hiyo inapopanda Kwa shilingi Moja tu LATRA wanakimbilia kupandisha gharama za usafirishaji, kwanini inaposhuka Kwa kiwango kikubwa hivi isikimbilia kupmunguza garajama za usafirishaji Ili mama Ako aweze kufanya biashara ya mahindi hayo kwa faida na nyie mkaepuka utapiamulo? Na hasa utapiamlo wa akili na wakaanza kumsifia?
 
Bei ya vitu kama mafuta, korosho, tumbaku, kahawa, chai, dhahabu, hivo serikali hua haihusiki na lolote, vitu hovyo huendeshwa na soko la kidunia ukisikia mafuta yameshuka bei ni dunia nzima wala serikali haijafanya lolote
 
Bado narejea upumbavu wako unaweza kuwa ulemavu kama wewe binafsi haujaushughulikia na kuchukua hatua. Aina hii ya majibu haifai kwenye platform ya great thinkers ambao wanaweza kufanya mabadiliko katika jamii! Kama mpaka Leo hii unajibu mada kubwa kama hii Kwa msingi wa kulalamika na debe la mahindi! Ikiwa unahitaji Rais Asifiwe Kwa kushuka kwa bei ya mafuta ni vyema pia ukasoma andiko langu hapo na ukaona maneneo ambayo serikali inayokaliwa na huyo Rais inapaswa kuyafanyia kazi Kwa mgongo wa kushuka kwa gharama za petroli na bidhaa zake. Sasa kama bidhaa hiyo inapopanda Kwa shilingi Moja tu LATRA wanakimbilia kupandisha gharama za usafirishaji, kwanini inaposhuka Kwa kiwango kikubwa hivi isikimbilia kupmunguza garajama za usafirishaji Ili mama Ako aweze kufanya biashara ya mahindi hayo kwa faida na nyie mkaepuka utapiamulo? Na hasa utapiamlo wa akili na wakaanza kumsifia

Bado narejea upumbavu wako unaweza kuwa ulemavu kama wewe binafsi haujaushughulikia na kuchukua hatua. Aina hii ya majibu haifai kwenye platform ya great thinkers ambao wanaweza kufanya mabadiliko katika jamii! Kama mpaka Leo hii unajibu mada kubwa kama hii Kwa msingi wa kulalamika na debe la mahindi! Ikiwa unahitaji Rais Asifiwe Kwa kushuka kwa bei ya mafuta ni vyema pia ukasoma andiko langu hapo na ukaona maneneo ambayo serikali inayokaliwa na huyo Rais inapaswa kuyafanyia kazi Kwa mgongo wa kushuka kwa gharama za petroli na bidhaa zake. Sasa kama bidhaa hiyo inapopanda Kwa shilingi Moja tu LATRA wanakimbilia kupandisha gharama za usafirishaji, kwanini inaposhuka Kwa kiwango kikubwa hivi isikimbilia kupmunguza garajama za usafirishaji Ili mama Ako aweze kufanya biashara ya mahindi hayo kwa faida na nyie mkaepuka utapiamulo? Na hasa utapiamlo wa akili na wakaanza kumsifia?
Wewe ndiyo mpumbavu unajiona great thinker kumbe uozo tu kichwani kwani kupanda kwa gharama za usafirishaji hao LATRA wanakurupuka na kupanga hizo bei
 
Wewe ndiyo mpumbavu unajiona great thinker kumbe uozo tu kichwani kwani kupanda kwa gharama za usafirishaji hao LATRA wanakurupuka na kupanga hizo bei
Bado hujajibu hoja za msingi! Hakuna mahala nimeandika neno kukurupuka na sijui umelitoa wapi ! Nenda Facebook Kuna type Yako sio hapa mdogo wangu. Uwezo wangu wa a umelewa wa mambo huwezi kufananisha na wewe. Kuwa hapa Gt sio bahati mbaya Ndio mana nakujibu kulingana na uwezo wako mdogo wa kujua mambo!
 
Bado hujajibu hoja za msingi! Hakuna mahala nimeandika neno kukurupuka na sijui umelitoa wapi ! Nenda Facebook Kuna type Yako sio hapa mdogo wangu. Uwezo wangu wa a umelewa wa mambo huwezi kufananisha na wewe. Kuwa hapa Gt sio bahati mbaya Ndio mana nakujibu kulingana na uwezo wako mdogo wa kujua mambo!
Wewe ungekuwa una uwezo wa kuelewa ungeelewa kichwa itakua kimejaa funza kila kitu mnalalama mnataka mtafuniwe tu hakuna nchi Africa hii itatekeleza unayotaka ww
 
Jf sisi hizi watu wengi ni low thinkers Sana yaani, mwezi uliopita Duniani bei ya mafuta imeshuka mpaka kuweka rekodi ya mwaka 2021, yaani bei ya Sasa hivi imekua ndogo mara ya mwisho bei kama hii ilikua 2021 kipindi Cha lockdown, Sasa hapo Samia anatoka wapi?



Mafuta yameshuka Sana Duniani kote kiongozi
Huyu mata.ko hawezi kuelewa hili......ya kupongezwa yapo ila sio hili....
 
Jf sisi hizi watu wengi ni low thinkers Sana yaani, mwezi uliopita Duniani bei ya mafuta imeshuka mpaka kuweka rekodi ya mwaka 2021, yaani bei ya Sasa hivi imekua ndogo mara ya mwisho bei kama hii ilikua 2021 kipindi Cha lockdown, Sasa hapo Samia anatoka wapi?



Mafuta yameshuka Sana Duniani kote kiongozi
Mama kayashusha..



..Ni Hayo Tu!!
 
Sasa inakuweje ikipanda mnamtusi lakini ikishuka bei hamtaki kupongeza? Double standard?

Nadhani wewe ndio huna akili timamau bwashee

Yaani bei ikipanda oooh mama hafai, ila yakishuka ooooh ni dunia nzimq yameshuka

Farastova kabisa
Kumbe wewe ni zezeta kiasi hicho lini humu uliona namsema huyo mama yako kisa mafuta kupanda bei 🤔🤔 wahi mirembe ukapate tiba kabla haujaanza kuokota makopo mbwa koko kichaa wewe 🚮🚮
 
Back
Top Bottom