mahindi hayaoti mjini
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 2,120
- 2,709
- Thread starter
-
- #61
Wewe mbwa koko kichaa weweKumbe wewe ni zezeta kiasi hicho lini humu uliona namsema huyo mama yako kisa mafuta kupanda bei ๐ค๐ค wahi mirembe ukapate tiba kabla haujaanza kuokota makopo mbwa koko kichaa wewe ๐ฎ๐ฎ
Ndio,Kumbe aliyapandisha yeye ndiyo maana anayashusha na siyo soko la dunia?
Kwahiyo sasa kwanini mnamlaumu bei ikipanda?Kwahiyo Mama ndio anaamua Bei ya mafuta nchini iweje?.
Kumbe nawe uliponiita mjinga ulishindwa kujibu hoja?Jibu hoja kujitofautisha na Mimi ujinga ni kutokua na maarifa au elimu juu ya jambo haya sasa nimekufuta ujinga ikumbushe serikali Yako kufanya hayo!
Ajabu kabisa, huyu jamaa neno moja tusi moja,๐ ๐ sasa matusi ya nn kwan lazima akufurahishe ww sisi hatupotezi muda wa kuongea na nyinyi tukutane oktoba
Kushusha bei ni mchakato, kama mafuta yameshuka na nauli zitashuka tu, eidha kwa mchakato au kwa kulazimishwa na sokoHatupongezi kwa kuwa hatuoni kilichobadilika.
Mlisema nauli zinapanda kwa sababu mafuta yamepanda bei, mbona bei imeshuka na nauli hazishuki?
Zamani ndugu zangu wachaga kwenda Moshi ilikuwa ni 30k sasa hivi nauli ni 45k mpaka 50k huko.
Kwa mfumuko huo unataka bado tuimbe mapambio?
Kwanini bei hazishuki?
Hata kama una kum.a mbele na nyuma hili la ukweli lisemwe tuHuyu mata.ko hawezi kuelewa hili......ya kupongezwa yapo ila sio hili....
Bwashee mbona kama wewe ndio mamaaaa,Hao siyo vijana ni akina mama
Ana visima vya mafuta wapi?Huu ni mwezi wa sita au zaidi, petroli, diesel na mafuta ya taa yanashuka bei kila mwezi, hivi hamuoni au dharau?
Au mnangoja yapande ndio mlaumu?
Mkijua kulaumu mjue na kupongeza.
Mama mpaka achoke mwenyewe
Huyu ni mama yetu soteNaona Abdul umekuja huku jukwaani kumpigia kampeni maza ako.
Kila la kheri kupambana na watanzania tawi la JF
Mama yako labda anatisha nyumbani kwako wewe ,hizo story kawaambie labda mume wako na watoto wako huku mtwara hatuna umeme wa uhakika so hatutaki shoboHuu ni mwezi wa sita au zaidi, petroli, diesel na mafuta ya taa yanashuka bei kila mwezi, hivi hamuoni au dharau?
Au mnangoja yapande ndio mlaumu?
Mkijua kulaumu mjue na kupongeza.
Mama mpaka achoke mwenyewe
Pale mnapomponda bei ikipanda anakuwa ametolea wapi mafuta?Ana visima vya mafuta wapi?
Mimi sijawazungumzia watu wa msumbiji, nimezungumzia Tanzania, so wacha kujishebeduaMama yako labda anatisha nyumbani kwako wewe ,hizo story kawaambie labda mume wako na watoto wako huku mtwara hatuna umeme wa uhakika so hatutaki shobo
TanescoWenye Tesla tuna comment wapi?
Hata amani tuliyonayo inatosha kushukuru mkuuKwamba?.
Hizo taarabu kaimbe na huyo mama yako mbwa koko kichaa wewe ๐ฎ๐ฎWewe mbwa koko kichaa wewe
Hoja zikikushinda unapiti hivi tu
Ukipongeza wewe inatosha,tusipangiane maisha.Huu ni mwezi wa sita au zaidi, petroli, diesel na mafuta ya taa yanashuka bei kila mwezi, hivi hamuoni au dharau?
Au mnangoja yapande ndio mlaumu?
Mkijua kulaumu mjue na kupongeza.
Mama mpaka achoke mwenyewe
Kilaza anajua ni kazi ya mama Abdul.Jf sisi hizi watu wengi ni low thinkers Sana yaani, mwezi uliopita Duniani bei ya mafuta imeshuka mpaka kuweka rekodi ya mwaka 2021, yaani bei ya Sasa hivi imekua ndogo mara ya mwisho bei kama hii ilikua 2021 kipindi Cha lockdown, Sasa hapo Samia anatoka wapi?
Mafuta yameshuka Sana Duniani kote kiongozi
Utakuwa umejisahau, huwa mnasema hampangi bei ya mafuta, sasa hizi sifa ni za nini mnataka sasa?Huu ni mwezi wa sita au zaidi, petroli, diesel na mafuta ya taa yanashuka bei kila mwezi, hivi hamuoni au dharau?
Au mnangoja yapande ndio mlaumu?
Mkijua kulaumu mjue na kupongeza.
Mama mpaka achoke mwenyewe
Hii ni amani au uvumilivu?Hata amani tuliyonayo inatosha kushukuru mkuu