Una uelewa mdogo Soma vizuri hiyo comment alafu jiulize ulichocomment na nilichocomment kinafanana?Umeambiwa ni kwa mwaka huu
Sasa kina prof jay wameingiaje?
Uwe muelewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una uelewa mdogo Soma vizuri hiyo comment alafu jiulize ulichocomment na nilichocomment kinafanana?Umeambiwa ni kwa mwaka huu
Sasa kina prof jay wameingiaje?
Uwe muelewa
Mbona jamaa kaongea wazi we unachoongelea hakipo..Una uelewa mdogo Soma vizuri hiyo comment alafu jiulize ulichocomment na nilichocomment kinafanana?
Darasa flow zake ni zile zile zinazoeleka kwasababu habadiliki ,labda album itambeba kwa ajili ya colabo na wasanii tofauti
Hii ndio shida ya kupenda msanii badala ya mzikiMbona jamaa kaongea wazi we unachoongelea hakipo..
Chawa tangu lini ukawa na IQ kubwa?
Sina la kubishana na mkata viuno wa mondi ...
Kaolewe dogo
Ndo nakushangaa mpka umekuwa mke wake Huyo msanii.Hii ndio shida ya kupenda msanii badala ya mziki
Hakikaukisema ni albam bora, inabidi uthibitishe Kwa data , eg record gan albam imevunja, kuwa streamed Sana, imeingiza sh ngap n.k sio unasema ukweli usemwe ukweli gan asa Kwa data zipi,???
ila hiyo album ya n.k ndio bora kuliko zote ulizozitajaUnazungumzia album bora ya mwaka au album bora ya wakati wote? Ya mwaka naweza kukubalia kwavile miaka hii hakuna album nyingi za kuzishindanisha, ila ukizungumzia album bora za wakati wote hiyo ya Mmakonde ni takataka mbele ya Album kama Machozi Jasho na Damu, Ulimwengu ndio mama, Aka Mimi, Cinderella, Machozi ya Jide, Mama ya Banana, n.k
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app