karume msaka
JF-Expert Member
- Sep 25, 2018
- 412
- 721
Nandy habebwi na management? Tena management ya nandy na watu walionyuma yake ndio hatari kwa fitnaPumba tupu bland ya nandy bado iko jùu sana...zuchu bado atasubiri sana!...zuchu ni lebo tu ndio inambeba ila ingekua nandy ndo ana management ya zuchu sijui ingekuaje
Nimekusamehe.umejibu kistaarabu mpaka nimejiona mjinga mwenyewe.
Samahani chief.
Watu hawaelewi mengi nyuma ya pazia.Nandy habebwi na management? Tena management ya nandy na watu walionyuma yake ndio hatari kwa fitna
Rudi ukatafiti vizuri
Zuchu wala hana presha mwenye presha ni Nandy ndio maana anaangaika anajishuku.Pumba tupu bland ya nandy bado iko jùu sana...zuchu bado atasubiri sana!...zuchu ni lebo tu ndio inambeba ila ingekua nandy ndo ana management ya zuchu sijui ingekuaje
Wakikujibu nitag, maana hawa wanaume wa daslam wanavyobishania watu wa huko dar utafikiri hao watu wanajulikana mpaka huku BiharamuloNandi ni nani na Zuchu ni nani? Wanajishughulisha na nini? Kama ni walimu wanafundisha mkoa gani? Kama ni madaktari wapo mkoa gani? Zuku na Nandi ni ME au KE?
Kamuulize mamako mie ni jinsia ganiJinsia gani wewe???una utovu wa nidhamu kiasi hiki!!!
Kwanza wote hawajui kuimbaWatajuana wenyewe.
Una jinsia gani??jibu swali asee mbona una utovu wa nidhamu!!Kamuulize mamako mie ni jinsia gani
Naungana nawewe nandi na zuchu ni walimu wanafundisha mkoa gani..?Nandi ni nani na Zuchu ni nani? Wanajishughulisha na nini? Kama ni walimu wanafundisha mkoa gani? Kama ni madaktari wapo mkoa gani? Zuku na Nandi ni ME au KE?
Nishakwambia jinsia yangu muulize mamako anaifahamu vizuriUna jinsia gani??jibu swali asee mbona una utovu wa nidhamu!!
Kongole kwako Uncle Shamte, kumbe kazi ya uchawa inakufaaView attachment 2602021
Juzi kati hapa tumeona Nandy akiwashambulia Wasafi media akiwatuhumu mambo ya kitoto yasiyo na kichwa wala miguu.
Wote tunajua Nandy hajawai toa ushirikiano kwa Wasafi media akiombwa interview au kumshirikisha kwa namna yoyote anachomoa. Lengo kutengeneza kitu kwa mashabiki kuwa anabaniwa ili apate huruma. Tuachane na hayo.
Shida kubwa ya Nandy kwa sasa ni Zuchu. Amejawa hofu akiona Zuchu yupo pale kileleni na anazidi kupanda. Hii ni normal kwa binadamu yoyote aliyekuwa juu alafu ghafla anatokea mtu anampiku lazima ashikwe na bumbuwazi.
Alikuwa anatuma watu mitandaoni wamchafue Zuchu. Many thanks kwa Mwijaku alituvujishia sauti ya mipango yake miovu aliyokuwa anapanga sirini kutuma watu wamchafue Zuchu. Watu waliisikia na bado wakakausha Zuchu alitumia hekma kuepusha bifu ambalo unalitafuta likubebe kama style aliyotumia Kiba na Mmakonde.
Kitu kinamtisha zaidi ni ile generation iliyo active na muziki inavyomkubali Zuchu....watoto wadogo wanaimba nyimbo za Zuchu kama wametunga nae...watoto wa secondary mpaka vyuoni ni Zuchu hii kwa kweli inamuogopesha.
Pole sana Nandy utazoea kila zama na vitabu vyake. Hata wewe uliwakuta kina Lady Jaydee na Vanessa Mdee wakasanda tena Vanessa akaingia mpaka kwenye uraibu.
Huu sasa ni wakati wa Zuchu. Zuchu ndio msanii wa kike namba moja East Africa kwa sasa. Kubali na uzoee lasivyo na wewe utaishia kula unga.
Unajiliza kutengeneza huruma ili watu wakuokoe na kibano cha Zuchu ila haitosaidia kukandwa kupo pale pale.
Hili ni jukwaa la watu mashuhuri, sio jukwaa la biasharaNchi hii hizi habari ndiyo muhimu kwerikweri....maana ndiyo zinajenga mauchumi
Ova
Many thanks 🙏Kongole kwako Uncle Shamte, kumbe kazi ya uchawa inakufaa
Alimshinda simi na kimani kwenye nini ??Huwa nashangaa sanaa kila mkiweka battle ya Nandy na Zuchu, lazima muhusishe Vanessa,
Vanessa alishapita huko kotee ambako hata kina nandy na zuchu hawawezi fikaa kamwee. Yaan Vanessa huyu aliyemshinda Simi na kimani, nakuwa no 3 baada ya Tiwa na Yemi ndo awe level 1 na nandera au Zuhura?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Weee kidampaaa ukiwa unawazungumzia hawa watu wako ambao wana biffu za kubumba, usimuhusishe Vee, muache kabisaa, huo uraibu wala hauhusiani na Ujio wa Nandy, yaan nandy huyu aliye galagazwa na Vee kule Kenya, na kuwa Female artist miaka 3 mfululizo East Africa. Nandy useme kwa Ruby utakua na mashiko., acha kuandika usivyo vijua.
Sio Zuhura wako wala Nandera watakao fika hata nusu ya Vanessa, na kwa kukujaziaa yuko zake USA analea watoto wake wawili. Afu shida ndogo ndogo sio zake kabisaa,
Mrs Akinoshoo hakuna wa kumkutaa, ukipenda muite mama 7. Poleeee wee.
Nandy sijawahi elewa hata anaimba nn, kuna ule wimbo alioimba na Bright nafkr kama ni wa kwake ndo wimbo naukubali kutoka kwakeView attachment 2602021
Juzi kati hapa tumeona Nandy akiwashambulia Wasafi media akiwatuhumu mambo ya kitoto yasiyo na kichwa wala miguu.
Wote tunajua Nandy hajawai toa ushirikiano kwa Wasafi media akiombwa interview au kumshirikisha kwa namna yoyote anachomoa. Lengo kutengeneza kitu kwa mashabiki kuwa anabaniwa ili apate huruma. Tuachane na hayo.
Shida kubwa ya Nandy kwa sasa ni Zuchu. Amejawa hofu akiona Zuchu yupo pale kileleni na anazidi kupanda. Hii ni normal kwa binadamu yoyote aliyekuwa juu alafu ghafla anatokea mtu anampiku lazima ashikwe na bumbuwazi.
Alikuwa anatuma watu mitandaoni wamchafue Zuchu. Many thanks kwa Mwijaku alituvujishia sauti ya mipango yake miovu aliyokuwa anapanga sirini kutuma watu wamchafue Zuchu. Watu waliisikia na bado wakakausha Zuchu alitumia hekma kuepusha bifu ambalo unalitafuta likubebe kama style aliyotumia Kiba na Mmakonde.
Kitu kinamtisha zaidi ni ile generation iliyo active na muziki inavyomkubali Zuchu....watoto wadogo wanaimba nyimbo za Zuchu kama wametunga nae...watoto wa secondary mpaka vyuoni ni Zuchu hii kwa kweli inamuogopesha.
Pole sana Nandy utazoea kila zama na vitabu vyake. Hata wewe uliwakuta kina Lady Jaydee na Vanessa Mdee wakasanda tena Vanessa akaingia mpaka kwenye uraibu.
Huu sasa ni wakati wa Zuchu. Zuchu ndio msanii wa kike namba moja East Africa kwa sasa. Kubali na uzoee lasivyo na wewe utaishia kula unga.
Unajiliza kutengeneza huruma ili watu wakuokoe na kibano cha Zuchu ila haitosaidia kukandwa kupo pale pale.
Joannah mbona we ndio unaleta masikhara kabisa da fau ndio nn sasa 😄Acha ushambenga,,,Zuchu anamheshimu Sana Nandy ndio maana kila Mara amekuwa akimuita Da Fau ishara ya heshima,,,Sasa chawa umeshaanza uchonganishi