Ukweli usemwe: Nandy anamuogopa sana Zuchu

Ukweli usemwe: Nandy anamuogopa sana Zuchu

Pumba tupu bland ya nandy bado iko jùu sana...zuchu bado atasubiri sana!...zuchu ni lebo tu ndio inambeba ila ingekua nandy ndo ana management ya zuchu sijui ingekuaje
Zuchu wala hana presha mwenye presha ni Nandy ndio maana anaangaika anajishuku.
 
Nandi ni nani na Zuchu ni nani? Wanajishughulisha na nini? Kama ni walimu wanafundisha mkoa gani? Kama ni madaktari wapo mkoa gani? Zuku na Nandi ni ME au KE?
Wakikujibu nitag, maana hawa wanaume wa daslam wanavyobishania watu wa huko dar utafikiri hao watu wanajulikana mpaka huku Biharamulo
 
Nandi ni nani na Zuchu ni nani? Wanajishughulisha na nini? Kama ni walimu wanafundisha mkoa gani? Kama ni madaktari wapo mkoa gani? Zuku na Nandi ni ME au KE?
Naungana nawewe nandi na zuchu ni walimu wanafundisha mkoa gani..?
 
View attachment 2602021

Juzi kati hapa tumeona Nandy akiwashambulia Wasafi media akiwatuhumu mambo ya kitoto yasiyo na kichwa wala miguu.

Wote tunajua Nandy hajawai toa ushirikiano kwa Wasafi media akiombwa interview au kumshirikisha kwa namna yoyote anachomoa. Lengo kutengeneza kitu kwa mashabiki kuwa anabaniwa ili apate huruma. Tuachane na hayo.

Shida kubwa ya Nandy kwa sasa ni Zuchu. Amejawa hofu akiona Zuchu yupo pale kileleni na anazidi kupanda. Hii ni normal kwa binadamu yoyote aliyekuwa juu alafu ghafla anatokea mtu anampiku lazima ashikwe na bumbuwazi.

Alikuwa anatuma watu mitandaoni wamchafue Zuchu. Many thanks kwa Mwijaku alituvujishia sauti ya mipango yake miovu aliyokuwa anapanga sirini kutuma watu wamchafue Zuchu. Watu waliisikia na bado wakakausha Zuchu alitumia hekma kuepusha bifu ambalo unalitafuta likubebe kama style aliyotumia Kiba na Mmakonde.

Kitu kinamtisha zaidi ni ile generation iliyo active na muziki inavyomkubali Zuchu....watoto wadogo wanaimba nyimbo za Zuchu kama wametunga nae...watoto wa secondary mpaka vyuoni ni Zuchu hii kwa kweli inamuogopesha.

Pole sana Nandy utazoea kila zama na vitabu vyake. Hata wewe uliwakuta kina Lady Jaydee na Vanessa Mdee wakasanda tena Vanessa akaingia mpaka kwenye uraibu.
Huu sasa ni wakati wa Zuchu. Zuchu ndio msanii wa kike namba moja East Africa kwa sasa. Kubali na uzoee lasivyo na wewe utaishia kula unga.

Unajiliza kutengeneza huruma ili watu wakuokoe na kibano cha Zuchu ila haitosaidia kukandwa kupo pale pale.
Kongole kwako Uncle Shamte, kumbe kazi ya uchawa inakufaa
 
Huwa nashangaa sanaa kila mkiweka battle ya Nandy na Zuchu, lazima muhusishe Vanessa,

Vanessa alishapita huko kotee ambako hata kina nandy na zuchu hawawezi fikaa kamwee. Yaan Vanessa huyu aliyemshinda Simi na kimani, nakuwa no 3 baada ya Tiwa na Yemi ndo awe level 1 na nandera au Zuhura?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Weee kidampaaa ukiwa unawazungumzia hawa watu wako ambao wana biffu za kubumba, usimuhusishe Vee, muache kabisaa, huo uraibu wala hauhusiani na Ujio wa Nandy, yaan nandy huyu aliye galagazwa na Vee kule Kenya, na kuwa Female artist miaka 3 mfululizo East Africa. Nandy useme kwa Ruby utakua na mashiko., acha kuandika usivyo vijua.

Sio Zuhura wako wala Nandera watakao fika hata nusu ya Vanessa, na kwa kukujaziaa yuko zake USA analea watoto wake wawili. Afu shida ndogo ndogo sio zake kabisaa,

Mrs Akinoshoo hakuna wa kumkutaa, ukipenda muite mama 7. Poleeee wee.
 
Huwa nashangaa sanaa kila mkiweka battle ya Nandy na Zuchu, lazima muhusishe Vanessa,

Vanessa alishapita huko kotee ambako hata kina nandy na zuchu hawawezi fikaa kamwee. Yaan Vanessa huyu aliyemshinda Simi na kimani, nakuwa no 3 baada ya Tiwa na Yemi ndo awe level 1 na nandera au Zuhura?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Weee kidampaaa ukiwa unawazungumzia hawa watu wako ambao wana biffu za kubumba, usimuhusishe Vee, muache kabisaa, huo uraibu wala hauhusiani na Ujio wa Nandy, yaan nandy huyu aliye galagazwa na Vee kule Kenya, na kuwa Female artist miaka 3 mfululizo East Africa. Nandy useme kwa Ruby utakua na mashiko., acha kuandika usivyo vijua.

Sio Zuhura wako wala Nandera watakao fika hata nusu ya Vanessa, na kwa kukujaziaa yuko zake USA analea watoto wake wawili. Afu shida ndogo ndogo sio zake kabisaa,

Mrs Akinoshoo hakuna wa kumkutaa, ukipenda muite mama 7. Poleeee wee.
Alimshinda simi na kimani kwenye nini ??
 
View attachment 2602021

Juzi kati hapa tumeona Nandy akiwashambulia Wasafi media akiwatuhumu mambo ya kitoto yasiyo na kichwa wala miguu.

Wote tunajua Nandy hajawai toa ushirikiano kwa Wasafi media akiombwa interview au kumshirikisha kwa namna yoyote anachomoa. Lengo kutengeneza kitu kwa mashabiki kuwa anabaniwa ili apate huruma. Tuachane na hayo.

Shida kubwa ya Nandy kwa sasa ni Zuchu. Amejawa hofu akiona Zuchu yupo pale kileleni na anazidi kupanda. Hii ni normal kwa binadamu yoyote aliyekuwa juu alafu ghafla anatokea mtu anampiku lazima ashikwe na bumbuwazi.

Alikuwa anatuma watu mitandaoni wamchafue Zuchu. Many thanks kwa Mwijaku alituvujishia sauti ya mipango yake miovu aliyokuwa anapanga sirini kutuma watu wamchafue Zuchu. Watu waliisikia na bado wakakausha Zuchu alitumia hekma kuepusha bifu ambalo unalitafuta likubebe kama style aliyotumia Kiba na Mmakonde.

Kitu kinamtisha zaidi ni ile generation iliyo active na muziki inavyomkubali Zuchu....watoto wadogo wanaimba nyimbo za Zuchu kama wametunga nae...watoto wa secondary mpaka vyuoni ni Zuchu hii kwa kweli inamuogopesha.

Pole sana Nandy utazoea kila zama na vitabu vyake. Hata wewe uliwakuta kina Lady Jaydee na Vanessa Mdee wakasanda tena Vanessa akaingia mpaka kwenye uraibu.
Huu sasa ni wakati wa Zuchu. Zuchu ndio msanii wa kike namba moja East Africa kwa sasa. Kubali na uzoee lasivyo na wewe utaishia kula unga.

Unajiliza kutengeneza huruma ili watu wakuokoe na kibano cha Zuchu ila haitosaidia kukandwa kupo pale pale.
Nandy sijawahi elewa hata anaimba nn, kuna ule wimbo alioimba na Bright nafkr kama ni wa kwake ndo wimbo naukubali kutoka kwake
 
Back
Top Bottom