Ukweli usemwe: Nandy ni msanii namba moja wa kike ambaye tumebarikiwa kwa sasa

Ukweli usemwe: Nandy ni msanii namba moja wa kike ambaye tumebarikiwa kwa sasa

Nyimbo mpya ya nandy kali sana japo haijawa kubwa kama sukari.. ingekuwa ameimba zuchu ingekuwa kubwa sana maana wcb wanajua promo
Msanii nyimbo zake zinapata promo katika media zote tatu kubwa za kiburudani,huyo Zuchu airtime anaipata Wasafi media tu,ukiona hivyo nyimbo yake ni hovyo.

Huyo binti tokea yule jamaa "MUONGOZA NJIA" avute amedrop,manake ndiye msanii aliyekuwa anapewa promo kuliko msanii yoyote pale mawinguni,nyimbo alikuwa anaadikiwa sana nyimbo na wasanii wa THT.

Kuna wasanii wa kulalamika kuhusu promo lakini si NANDY kwani ana promo ya kutosha,kuna wengine wanaomba wapate hata nusu ya promo anayopata yy lkn hawapati.

Maua Sama ft Aslay wametoa nyimbo lkn cha ajabu,Maua hapati promo na nyimbo yake nzuri,Mwasiti nae hivyo hivyo,ukiingia YouTube kuna vipaji vingi sana na kuna mabinti wanaimba sana ila promo hawana.
 
Hivi waimbaji wangapi ni watunzi duniani na watunzi wangapi ni waimbaji ? Hapa huwa watu wanatoa credit zisizostahili kwa baadhi ya watu na kutowapa credit wanaostahili...,

Kwa ufupi kwa sasa mashairi mengi ni mabovu..... sio kwamba hawawezi kutunga mashairi bali wame-concentrate kwenye maneno ya ngono (which is unnessary) na hii ni kwa wengi wao....
Nandy aendelee Tu kuimba matusi , Sisi tupo busy na kulamba sukari mpak kitaa imekuwa adimu
 
Msanii nyimbo zake zinapata promo katika media zote tatu kubwa za kiburudani,huyo Zuchu airtime anaipata Wasafi media tu,ukiona hivyo nyimbo yake ni hovyo.

Huyo binti tokea yule jamaa "MUONGOZA NJIA" avute amedrop,manake ndiye msanii aliyekuwa anapewa promo kuliko msanii yoyote pale mawinguni,nyimbo alikuwa anaadikiwa sana nyimbo na wasanii wa THT.

Kuna wasanii wa kulalamika kuhusu promo lakini si NANDY kwani ana promo ya kutosha,kuna wengine wanaomba wapate hata nusu ya promo anayopata yy lkn hawapati.

Maua Sama ft Aslay wametoa nyimbo lkn cha ajabu,Maua hapati promo na nyimbo yake nzuri,Mwasiti nae hivyo hivyo,ukiingia YouTube kuna vipaji vingi sana na kuna mabinti wanaimba sana ila promo hawana.
Nandy kuandika mashairi ni mbovu, hcho ndo kinamfelisha , nyimbo nzuri zote za Nandy kaandikiwa ... Ana mashairi mepesi Sana , angalia nyimbo yake na Ali kiba mashairi mepesi Sana yale , ......

Anabaki kuimba imba Tu matus na kuweka beat za kubang , nothing new pale .....

Zuchu atamkimbiza tuuu sababu mashairi yamejaa pale na ngeli inapanda, wimbo wa karantini hakuna mtu alitegemea Zuchu atakuja Kwa level ya Niki minaji, wimbo wa my number one mpak kamkalisha Rayvanny , hii sukari sasa imeshiba mashairi upside down , Ngoma inapepea tuu yenyewe ...hata mond hajatumia nguvu kubwa kuipromote .....

Watu waelewe Tu ukishakuwa exposed unachotakiwa ni kutoa mziki mzur wa kuwagusa wanazengo sio wahuni wa club..

Nandy atafte madogo wa kumuandikia , promo anayo ya kutosha , akijidanganya aandike mwenyewe ndo atapotea kabisa .....
 
Hivi Ruby huwa mnamsifia kwa lipi hasa?? Sauti yake tu au ndo ule ushabiki wa kinafiki wa watanzania wa kupenda kumshusha aliye juu na kutothamini juhudi zake kwa kazi kubwa aliyoifanya hadi akawa juu?
Twende mbele turudi nyuma huyo Ruby ana Hit songs ngapi tangu ameanza muziki ukilinganisha na hawa wanaofanya vizuri kwasasa? (Nandy & Zuchu).

Kuhusu kuimba matusi kwenye nyimbo zao ni tatizo la ki-ulimwengu maana hata wasanii wote wakubwa wa marekani na ulaya wanaimba matusi hayo hayo japo tunayachukulia poa kwa kuwa yanaimbwa kwa lugha tofauti na kiswahili chetu hivyo unaweza kuta anayejiita mzazi anazisikiliza mbele ya watoto.

Ki msingi muziki ni kazi Kama kazi zingine na ni biashara inayotaka uwe na uwezo wa kulisoma soko linataka Nini ili uweze kutoa nyimbo (hata Kama sio nzuri kwa baadhi ya watu) lakini ziwe nyimbo zitakazo leta mauzo mazuri na kukuwezesha ubaki kuwa juu katika ramani ya muziki.

Hatuwezi kukuita mjasiriamali mzuri Kama huna uwezo wa kutengeneza bidhaa kutokana na mahitaji ya wateja (sio wateja wako wanataka pilau wewe unawaletea makande).
Tuchukulie mfano kwa msanii roma Ni msanii mwenye uwezo mkubwa sana wa kutunga mashairi yenye mafundisho mbalimbali lakini hana hela na umaarufu Kama wa Diamond ambaye kila kukicha anaimba matusi.

Kwahiyo kwa mfano huo hapo juu Diamond ni mjasiriamali mzuri kuliko Roma japokuwa Roma ana kipaji kikubwa kuliko Platnumz. Na huenda hata wasanii wenyewe hawapendi kuimba matusi lakini soko la muziki la dunia ndio linawaamulia wao waimbe nini ili wapate kipato cha kuyamudu maisha.

Cha ajabu na cha kusikitisha ninyi mnaojiita wazazi wenye maadili mliohumu JF mnawanyooshea vidole wasanii kwa kuimba matusi wakati ninyi ndio wapenda ngono nambari moja ni vile tu hii anonymity feature ya JF inawafichia mauchafu yenu.
Kama huamini nisemacho pitia Uzi wa "ULISHAWAHI KULA TUNDA KIMASIHARA?" Ndio ujionee mamilioni ya Viewers, Subscribers, Likes na Comments za wazazi wa JF wasiopenda matusi[emoji1787][emoji1787][emoji1787].

Tuendelee kupiga nyungu kwa maendeleo adhimu ya chattle, sorry ya Tanzania [emoji12][emoji12].
 
nandy ni female version of kibakuli, anamezeshwa ujinga na kujiona star kumbe bado anayo kazi kubwa ya kufanya kuufikia USTAR...
Kiukweli hata mimi huwa simwelew elew , labda ukanda unambeba .....Zuchu ni mchanga kwenye game Ila ameonyesha maturity ya Hali ya juu kuzidi huyo Nandy .... Na bado potentiality yake ni kubwa
 
Kiukweli hata mimi huwa simwelew elew , labda ukanda unambeba .....Zuchu ni mchanga kwenye game Ila ameonyesha maturity ya Hali ya juu kuzidi huyo Nandy .... Na bado potentiality yake ni kubwa
Wcb die hard fans bhana..

Kama Nandy angekuwa Wcb angekuwa mkali zaidi ya huyu Zuchu,(Rangi na alivyo vingembeba zaidi)..tunajua the hype behind wcb is something else..

Zuchu atleast kwenye hii sukari ameonyesha umwamba,
 
Mi kusema kweli wasaniia wa Kike siwakubali kivile especially hawa wanaochepukia.

Ila kuna mpuuzi aliimba pini moja na Mafiq... "...🎶Pesa hunaaaa, una magari mangapiii, yako mapozi tu mi nikupeleke wapii... 🎶".. yule demu anajua.
 
Bora umeandika wewe huu upumbavu siupendi Ruby kaimba nini yaani sioni history yake hata kidogo sizijui hata nyimbo useme yeye bora kuliko Nandy hii akiri matope

Wewe kubali au ukatae ila Ruby ndio msanii wa kike mwenye uwezo mkubwa wa sauti kuliko wote tokea bongo flavour ianze, usishangae wanamuita best female vocalist EAST AFRICA NZIMA.

Na usisubiri hadi promo za mainstream, ana wimbo unaoitwa Nakeyi kautoa january tu. Ukiusikiliza huo wimbo na ukalinganisha na wimbo wowote wa Zuchu kwa melody na vocal range. Utakuwa na matatizo ya masikio mkuu
 
Funguka mkuu, weka na mifano , Ukimsikiliza, ukimsikiliza kipi brother , Nandy ni mbovu kwenye mashairi hlo Tu ndo linamwangusha , syo mwandishi mzur na hapo Zuchu atamkimbiza Sana na pia matusi matusi Sana anaimba ...... Lamba sukari Kwanza mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Funguka mkuu, weka na mifano , Ukimsikiliza, ukimsikiliza kipi brother , Nandy ni mbovu kwenye mashairi hlo Tu ndo linamwangusha , syo mwandishi mzur na hapo Zuchu atamkimbiza Sana na pia matusi matusi Sana anaimba ...... Lamba sukari Kwanza mkuu
Nyimbo nyingi za nandy haziandiki mwenyewe anaandikwia na madogo wa THT tena madogo mbalimbali na ndiyo maana ana sound tofauti tofauti, sasa labda tuseme hao madogo wote ni wabovu.
 
Wewe kubali au ukatae ila Ruby ndio msanii wa kike mwenye sauti na uwezo mkubwa wa sauti kuliko wote tokea bongo flavour ianze, usishangae wanamuita best female vocalist EAST AFRICA NZIMA.

Na usisubiri hadi promo za mainstream, ana wimbo unaoitwa Nakeyi kautoa january tu. Ukiusikiliza huo wimbo na ukalinganisha na wimbo wowote wa Zuchu kwa melody na vocal range. Utakuwa na matatizo ya masikio mkuu
Ila ruby sijui anakwama wap uyu dada anajua sana yan, mi napenda kwenda kwenye show za live band asa cku moja nilishuhudia show ya uyu bi dada daaaaaaah yan wakat anaimba ad vinyweleo vinasisimka sio awa wengine wa kulazimishana kupiga kelele na kuweka mikono juu
 
Back
Top Bottom