Ukweli usemwe: Nandy ni msanii namba moja wa kike ambaye tumebarikiwa kwa sasa

Ukweli usemwe: Nandy ni msanii namba moja wa kike ambaye tumebarikiwa kwa sasa

Bora umeandika wewe huu upumbavu siupendi Ruby kaimba nini yaani sioni history yake hata kidogo sizijui hata nyimbo useme yeye bora kuliko Nandy hii akiri matope
Mkuu hata Mimi huwa nacheka Sana wanaosema ruby mkali , what the shit , ana hitsong gan huyu mjoli wa Bwana jamani😀, kama ni sauti nenda Kwenye kwaya za wasabato mabinti Wana masauti balaa....

Hata kama Mimi ningekuwa promota I can't waste my 💰 kumpromote mtu ambaye Hana potentiality yyte ..... Mashairi zero , kujibrand hopeless , kiburi kingi aaah....mapromota wote wapo sahihi kumdamp out, Hana kitu Yule , tusilishane ujinga

Soko ndo lina-determine nani mkali...Wacha nilambe sukari Mimi😋
 
Ila ruby sijui anakwama wap uyu dada anajua sana yan, mi napenda kwenda kwenye show za live band asa cku moja nilishuhudia show ya uyu bi dada daaaaaaah yan wakat anaimba ad vinyweleo vinasisimka sio awa wengine wa kulazimishana kupiga kelele na kuweka mikono juu

Ruby ana uwezo wa kuimba ila hajui kutunga. Hilo ndo tatizo, Kingine kila anapoachana na management ni lazma akawaongelee negative kupita kiasi kwenye media na kuonesha kama anapenda kucontrol kila kitu yaani yeye awe ndo final say "Diva attitude" sababu ya kipaji chake.

Hivyo vitu ni vigumu sana kwa yeye kupata management nzuri na yeye bila hivyo au mtunzi mzuri ni ngumu kutoboa
 
𝐌𝐬𝐚𝐧𝐢𝐢 𝐑𝐮𝐛𝐛𝐲 𝐧𝐢 𝐚𝐥𝐦𝐚𝐬 𝐢𝐬𝐢𝐲𝐨𝐭𝐚𝐦𝐛𝐮𝐥𝐢𝐤𝐚 𝐧𝐚 𝐰𝐞𝐧𝐠𝐢 𝐤𝐚𝐭𝐢𝐤𝐚 𝐤𝐢𝐰𝐚𝐧𝐝𝐚 𝐜𝐡𝐚 𝐌𝐮𝐳𝐢𝐤𝐢 𝐓𝐚𝐧𝐳𝐚𝐧𝐢𝐚 𝐤𝐰𝐚 𝐮𝐩𝐚𝐧𝐝𝐞 𝐰𝐚 𝐰𝐚𝐧𝐚𝐰𝐚𝐤𝐞!

𝐍𝐢 𝐯𝐢𝐥𝐞 𝐭𝐮 𝐡𝐚𝐢𝐣𝐚𝐩𝐢𝐠𝐰𝐚 𝐩𝐨𝐥𝐢𝐬𝐡 𝐚𝐥𝐦𝐚𝐬 𝐡𝐢𝐢, 𝐚𝐠𝐡𝐚𝐥𝐚𝐛𝐮 𝐢𝐧𝐠𝐞𝐮𝐳𝐰𝐚 𝐛𝐞𝐢 𝐤𝐮𝐛𝐰𝐚 𝐤𝐚𝐭𝐢𝐤𝐚 𝐬𝐨𝐤𝐨 𝐥𝐚 𝐝𝐮𝐧𝐢𝐚!

𝐍𝐚𝐧𝐝𝐢 𝐧𝐢 𝐝𝐡𝐚𝐡𝐚𝐛𝐮 𝐥𝐚𝐤𝐢𝐧𝐢 𝐚𝐦𝐛𝐚𝐲𝐨 𝐡𝐚𝐢𝐣𝐚𝐬𝐮𝐠𝐮𝐥𝐢𝐰𝐚 𝐧𝐚 𝐤𝐮𝐩𝐢𝐭𝐢𝐬𝐡𝐰𝐚 𝐤𝐚𝐭𝐢𝐤𝐚 𝐦𝐨𝐭𝐨 𝐢𝐥𝐢 𝐢𝐧𝐠'𝐚𝐞 𝐧𝐚 𝐤𝐮𝐮𝐳𝐰𝐚 𝐤𝐰𝐚 𝐭𝐡𝐚𝐦𝐚𝐧𝐢 𝐤𝐮𝐛𝐰𝐚!

𝐙𝐮𝐜𝐡𝐮?...𝐳𝐮𝐜𝐡𝐮 𝐧𝐢 𝐂𝐡𝐮𝐦𝐚 𝐜𝐡𝐚 𝐋𝐢𝐠𝐚𝐧𝐠𝐚 𝐤𝐚𝐭𝐢𝐤𝐚 𝐡𝐚𝐨 𝐰𝐚𝐭𝐚𝐭𝐮. 𝐀𝐦𝐞𝐟𝐮𝐤𝐮𝐥𝐢𝐰𝐚 𝐡𝐮𝐤𝐨 𝐚𝐥𝐢𝐩𝐨𝐤𝐮𝐰𝐚, 𝐚𝐦𝐞𝐩𝐢𝐭𝐢𝐬𝐡𝐰𝐚 𝐤𝐚𝐭𝐢𝐤𝐚 𝐦𝐨𝐭𝐨 𝐧𝐚 𝐣𝐨𝐭𝐨 𝐤𝐮𝐛𝐰𝐚 𝐚𝐦𝐞𝐤𝐮𝐰𝐚 𝐜𝐡𝐮𝐦𝐚 𝐛𝐨𝐫𝐚 𝐜𝐡𝐚 𝐩𝐮𝐚 𝐚𝐦𝐛𝐚𝐜𝐡𝐨 𝐥𝐞𝐨 𝐬𝐨𝐤𝐨𝐧𝐢 𝐤𝐢𝐥𝐚 𝐦𝐭𝐞𝐣𝐚 𝐚𝐧𝐚𝐤𝐢𝐮𝐥𝐢𝐳𝐢𝐚!

𝐋𝐚𝐤𝐢𝐧𝐢 𝐮𝐡𝐚𝐥𝐢𝐬𝐢𝐚 𝐧𝐢 𝐤𝐰𝐚𝐦𝐛𝐚 𝐡𝐚𝐰𝐞𝐳𝐢 𝐤𝐮𝐰𝐚 𝐀𝐥𝐦𝐚𝐬𝐢 𝐰𝐚𝐥𝐚 𝐃𝐡𝐚𝐡𝐚𝐛𝐮!
 
Wewe kubali au ukatae ila Ruby ndio msanii wa kike mwenye uwezo mkubwa wa sauti kuliko wote tokea bongo flavour ianze, usishangae wanamuita best female vocalist EAST AFRICA NZIMA.

Na usisubiri hadi promo za mainstream, ana wimbo unaoitwa Nakeyi kautoa january tu. Ukiusikiliza huo wimbo na ukalinganisha na wimbo wowote wa Zuchu kwa melody na vocal range. Utakuwa na matatizo ya masikio mkuu
Tatizo hawa watu wamemezeshwa hypes za mainstream.
 
Funguka mkuu, weka na mifano , Ukimsikiliza, ukimsikiliza kipi brother , Nandy ni mbovu kwenye mashairi hlo Tu ndo linamwangusha , syo mwandishi mzur na hapo Zuchu atamkimbiza Sana na pia matusi matusi Sana anaimba ...... Lamba sukari Kwanza mkuu
mkuu kumlinganisha Zuchu na Nandy hapo ndipo ulipo kosea kabisa kwa sababu hawa wote wanaimba miziki tofauti na wapo level tofauti.
Zuchu ni chipukizi na Nandy yuko level ya juu... tatizo mmeanza kusikiliza muziki 2016 basi mkiona mtu ametoa hit moja basi ni bora kuliko wengine.. Zuchu bado anayo safari kumfikia Nandy kwenye kila kitu..... na hata Nandy anayo safari kumfikia Lady jaydee kwenye kila kitu.
 
Kwa sasa Nandy yuko ktk ubora, ila hajawa hiyo level unayosemea weyee.
Ruby ni hatareeeh sana, ila sijui ana matatizo gan.
But mkaree wao Vanessa yuko on the top.
Rubby ana tatizo la kibri na hafugiki na wala haambiliki kwa hiyo kum manage Ruby ni liability muda wowote biashara yenu inaweza kufa lakini kwangu mimi sijaona mwenye uwezo kama wake hapa tz
 
mkuu kumlinganisha Zuchu na Nandy hapo ndipo ulipo kosea kabisa kwa sababu hawa wote wanaimba miziki tofauti na wapo level tofauti.
Zuchu ni chipukizi na Nandy yuko level ya juu... tatizo mmeanza kusikiliza muziki 2016 basi mkiona mtu ametoa hit moja basi ni bora kuliko wengine.. Zuchu bado anayo safari kumfikia Nandy kwenye kila kitu..... na hata Nandy anayo safari kumfikia Lady jaydee kwenye kila kitu.
hapo kwenye kila kitu, sijakuelewa, labda ufafanue hivyo vitu japo kwa uchache wake tu.
 
Vigezo na masharti vizingatiwe.
Kila kilicho bora kinajieleza chenyewe aihitaji nguvu kubwa kukitanabahisha.
Kwasasa acha kwanza tulambe Sukari.
Mkuu umechanganya madesa Nandy na Zuchu ni wasanii ambao wana utofauti kila eneo hata ni aibu kuwalinganisha kabisa..
Zuchu ni underground au chipukizi halafu Nandy ni msanii mkubwa.
Zuchu anaimba maadhi ya taarabu huyu mwingine anaimba afro-pop
kwanza ni aibu kuwalinganisha wasio fanana na wako level tofauti
 
Nyimbo nyingi za nandy haziandiki mwenyewe anaandikwia na madogo wa THT tena madogo mbalimbali na ndiyo maana ana sound tofauti tofauti, sasa labda tuseme hao madogo wote ni wabovu.
kwani kuandikiwa ni kosa? mbona mboso ana waandikia wengi WCB?
 
kwani kuandikiwa ni kosa? mbona mboso ana waandikia wengi WCB?
Mkuu hujanielewa, kuandikiwa siyo kosa na uwa anasema kaandikiwa na flan uwa anatoa credit, Mimi namkubari toka gusa gusa mpaka leo. Ni msanii was like ninayemkubali tofauti na wengine uja wakapotea Kama malisa, jolly, na wengine.
 
Mkuu umechanganya madesa Nandy na Zuchu ni wasanii ambao wana utofauti kila eneo hata ni aibu kuwalinganisha kabisa..
Zuchu ni underground au chipukizi halafu Nandy ni msanii mkubwa.
Zuchu anaimba maadhi ya taarabu huyu mwingine anaimba afro-pop
kwanza ni aibu kuwalinganisha wasio fanana na wako level tofauti
Ahsante sana mkuu.
Lakini akuna utamu unaozidi utamu wa"sukari"
 
hapo kwenye kila kitu, sijakuelewa, labda ufafanue hivyo vitu japo kwa uchache wake tu.
Kuanzia kuimba,stage , level za uimbaji, maadhi yao ni tofauti kbisa.
mmoja ni underground mwingine ni msanii mkubwa.
mmoja anaimba taarab mwingine anaimba afro pop.
mmoja kwenye stage ni mchovu kabisa mwingine ana jitahidi sana.
Mmmoja kuimba live awezi kabisa na anaimba vibaya mwingine ni fundi kabisa.
ZUCHU VS NANDY
 
Kuanzia kuimba,stage , level za uimbaji, maadhi yao ni tofauti kbisa.
mmoja ni underground mwingine ni msanii mkubwa.
mmoja anaimba taarab mwingine anaimba afro pop.
mmoja kwenye stage ni mchovu kabisa mwingine ana jitahidi sana.
Mmmoja kuimba live awezi kabisa na anaimba vibaya mwingine ni fundi kabisa.
ZUCHU VS NANDY
Yupi anaimba vibaya kwenye stage?
 
Mkuu hata Mimi huwa nacheka Sana wanaosema ruby mkali , what the shit , ana hitsong gan huyu mjoli wa Bwana jamani😀, kama ni sauti nenda Kwenye kwaya za wasabato mabinti Wana masauti balaa....

Hata kama Mimi ningekuwa promota I can't waste my 💰 kumpromote mtu ambaye Hana potentiality yyte ..... Mashairi zero , kujibrand hopeless , kiburi kingi aaah....mapromota wote wapo sahihi kumdamp out, Hana kitu Yule , tusilishane ujinga

Soko ndo lina-determine nani mkali...Wacha nilambe sukari Mimi😋
Swala la Rubby nimeshaliandika sana humu.... yani ni bora ukamchukua hata umberlulu uanze kumfundisha kuimba kuliko kujaribu kummanage Rubby ni liability popote pale... ita kugharimu sana na utapoteza hela yako kujaribu kummanage huyo msanii.... Rubby ni hasara kabisa
 
Back
Top Bottom