Slowly
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 10,589
- 35,268
Mkuu hata Mimi huwa nacheka Sana wanaosema ruby mkali , what the shit , ana hitsong gan huyu mjoli wa Bwana jamani😀, kama ni sauti nenda Kwenye kwaya za wasabato mabinti Wana masauti balaa....Bora umeandika wewe huu upumbavu siupendi Ruby kaimba nini yaani sioni history yake hata kidogo sizijui hata nyimbo useme yeye bora kuliko Nandy hii akiri matope
Hata kama Mimi ningekuwa promota I can't waste my 💰 kumpromote mtu ambaye Hana potentiality yyte ..... Mashairi zero , kujibrand hopeless , kiburi kingi aaah....mapromota wote wapo sahihi kumdamp out, Hana kitu Yule , tusilishane ujinga
Soko ndo lina-determine nani mkali...Wacha nilambe sukari Mimi😋