Nyimbo mpya ya Nandy kali sana japo haijawa kubwa kama sukari.. ingekuwa ameimba Zuchu ingekuwa kubwa sana maana wcb wanajua promo
Mbona hamuweki picha?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyimbo mpya ya Nandy kali sana japo haijawa kubwa kama sukari.. ingekuwa ameimba Zuchu ingekuwa kubwa sana maana wcb wanajua promo
Kama ukisoma vizuri nilichoandika, utaelewa sikusema kuwa Roma hajaandika matusi kwenye baadhi ya nyimbo zake.Unaijua nyimbo ya Roma ya Kiba100?
Hakuna nyimbo ya mondi inayofikia hata asilimia 40 ya matusi ya hiyo nyimbo
Mbagala,ukimuona,sikomi,je utanipenda,the one, hallelujah,make me sing,kanyaga,mdogo mdogo,hainisumbui zote hizo zina matusi?Kama ukisoma vizuri nilichoandika, utaelewa sikusema kuwa Roma hajaandika matusi kwenye baadhi ya nyimbo zake.
Uzuri ni kwamba, kwa Roma unatafuta nyimbo yenye matusi ila kwa Mondi unatafuta nyimbo zisizo na matusi.
Barnaba pia katukana ila wote tunajua pengine sio kawaida yake hivyo unaweza hata kumtafutia excuse ila sio kwa Mondi na genge lake
Sahizi kwenye bongo freva kila mtu anaona kuimba tungo zenye ukakasi ni fasheni....ukweli kuna nyimbo unasikiliza mwenyewe chumbani umejifungia huwez kusikiliza na watoto karibu..... kwa sasa kwenye uwandishi ambao ukisikiliza unaelewa kimeibwa nini ni nyimbo zinazo zalishwa chini ya KING MusicUpo sawa kabisa..Hata Do me ina melody kali na production kali ila maneno makali kinoma..Bongo Fleva imekuwa ya hovyo sana na kwenye Redio/Tv hawafanyi censorship..
Mfano kwenye hiyo Do me..Billnas anasema "sitotumia kinga hata waseme una virusi"..hii ni lugha ya picha lakini haikuwa necessary kutumika maana ni utopolo tu,jamii inapambana na UKIMWI lakini wewe ni kama unaenda against them.
Tatizo usafini udiniNyimbo mpya ya Nandy kali sana japo haijawa kubwa kama sukari.. ingekuwa ameimba Zuchu ingekuwa kubwa sana maana wcb wanajua promo
Simpambi na Nilishalijibu hili mkuu,It's not about vocals. Muziki ungekuwa ni vocals only Baba Levo na Davido wasingesikilizwa kabisa.
Atengeneze kitu kitakachobamba watu. Hizo vocals zinamsaidia nini kama nyimbo zake wanapenda watu wachache.
Mbona Simi Ana vocals nzuri na mostly haimbi mainstream music ila anatengeneza hits.
Ifike kipindi muache kumpamba Ruby kiuongo uongo ili muonekane mnajua mziki mzuri. Mnapoteza.
Kwani kuimba taarabu ni kosa?
Tatizo lako Zuchu wewe umeanza kumsikia akiwa Wasafi.Zuchu ni mmoja ya mshiriki katika shindano la Tecno lilofanyika Nigeria 2015 la kusaka vipaji vya uimbaji Africa na akashika nafasi ya Tatu.
Tokea huko alikuwa anapiga show za live mpaka akafanikiwa kishika nafasi ya tatu na huko alikuwa anaimba hizo nyimbo za Afro pop hata zenye mahazi ya mbele kwani dogo ngeli inapanda.
Na ndio maana hata ktk nyimbo ya Nobody na Sukari ni Afro pop zipo vizuri.
Na sio taarab hata nyimbo zenye swaga za kizungu yupo vizuri (mf karantini).
Tatu Zuchu nyimbo anatunga mwenyewe,Nandy ndiyo ana CV kubwa ila Zuchu tokea mwaka jana na huu mwaka yupo juu mpaka hivi sasa.
Sijakataa ninacho shangaa wanaposema eti dogo hana kipaji au hajui kuimba,kwa level ya competition aliyoifikia dogo yupo vizuri sana na sasa hivi anandika kitabu chake cha mafanikio.Navyokumbuka Zuchu na Nandy waliingia Tecno own stage mwaka mmoja. Zuchu aliondoka mapema ila Nandy aliingia fainali na kushika nafasi ya pili
Inabidi tujue zipi kaandika yeye na zipi ameandikiwa na Rayvany. Inawezekana kabisa nyimbo kama Ukimuona, Lala salama na Nitarejea zimeandikwa na mwanamuziki ambaye kwa hakika kabisa sio yeye na ndio baadhi ya nyimbo zake unaweza sikiliza kwa hali yoyote uwayo na nyimbo hizo zitaishi sana.Mbagala,ukimuona,sikomi,je utanipenda,the one, hallelujah,make me sing,kanyaga,mdogo mdogo,hainisumbui zote hizo zina matusi?
Mondi hajawahi kuandikiwa nyimbo na Rayvany.Inabidi tujue zipi kaandika yeye na zipi ameandikiwa na Rayvany. Inawezekana kabisa nyimbo kama Ukimuona, Lala salama na Nitarejea zimeandikwa na mwanamuziki ambaye kwa hakika kabisa sio yeye na ndio baadhi ya nyimbo zake unaweza sikiliza kwa hali yoyote uwayo na nyimbo hizo zitaishi sana.
Zile alizoandika ama na yeye mwenyewe au Rayvany, zote zinafanana na zinaakisi uwezo wao, kama hutojali unaweza kuotea.
Angalia zile nyimbo za kundi la Mkubwa na wanawe, kuna nyimbo za lugha za ovyo, ukisiliza radioni, hujui nani ni mhusika haswa ila wakiwa Solo au kipindi kile ukihudhuria matamasha yao ndo utajua nani ni kichaa.
Mwana FA, kaandika mashairi mengi mazuri ila haina ubishi, yale mazito yote kaandikiwa.
Kusema Ruby ndio msanii Bora wa kike wa muda wote Tanzania ni maneno ya utopolo mkubwa na yanavunjia heshima tasnia ya mziki Tanzania na maneno haya yanatakiwa yadhibitiwe kwa kutumia mabomu ya nuclear .... Na msemaji wa haya maneno anatakiwa atupwe segerea wiki mbili akila pumba na maji...."Ruby ndio msanii bora wa kike wa muda wote Tanzania"
Mnaosema maneno haya hivi Starah Thomas alikuwa mchezaji wa tennis? Vipi kuhusu Grace Matata? Enika nae anakaa kundi gani? Mbona mnawapa hadhi kubwa hawa watoto ambayo hata hawastahili. Hao Nandy, Zuchu na Ruby wanajitahidi ila wote hamna kitu.
Diamond Ni muandishi hajawahi kuandikiwa wimbo na ndio maana hapendi msanii asiyejua kuandika na ndio maana alikataa kumsign Ruby kwa sababu ya hiyoInabidi tujue zipi kaandika yeye na zipi ameandikiwa na Rayvany. Inawezekana kabisa nyimbo kama Ukimuona, Lala salama na Nitarejea zimeandikwa na mwanamuziki ambaye kwa hakika kabisa sio yeye na ndio baadhi ya nyimbo zake unaweza sikiliza kwa hali yoyote uwayo na nyimbo hizo zitaishi sana.
Zile alizoandika ama na yeye mwenyewe au Rayvany, zote zinafanana na zinaakisi uwezo wao, kama hutojali unaweza kuotea.
Angalia zile nyimbo za kundi la Mkubwa na wanawe, kuna nyimbo za lugha za ovyo, ukisiliza radioni, hujui nani ni mhusika haswa ila wakiwa Solo au kipindi kile ukihudhuria matamasha yao ndo utajua nani ni kichaa.
Mwana FA, kaandika mashairi mengi mazuri ila haina ubishi, yale mazito yote kaandikiwa.
VOCAL ARRANGMENT SHE CAN HIT DIFFERENT NOT WAKATI NANDY NI THE SAME NOTE NA KUPA MFANO RUBY ANAWEZA KUIMBA WIMBO WA WHITNEY HOUSTON AKACHEZA NA NOT NAND HAWEZI PERIOD NENDA YOUTUBE TAFUTA COVER SONGS ZA RUBY AU SIKILIZA NYIMBO YUPO NA MAFIK ANAVYOGONGA NOT MULEHivi mnaosema ruby ndo msanii bora wa kike kuwah kutokea tanzania mnatumia vigezo gani?? Au usanii bora unapimwa kupitia vigezo gani??
Ok, mtaani kuna maneno mengi, kama ni neno la hakika toka kwako, pia ni sawa.Mondi hajawahi kuandikiwa nyimbo na Rayvany.
Sawa.Diamond Ni muandishi hajawahi kuandikiwa wimbo na ndio maana hapendi msanii asiyejua kuandika na ndio maana alikataa kumsign Ruby kwa sababu ya hiyo
Roma ndo mwimbaji wa matus ya waz waz kabisa , Yule jamaa hafai ,Bora Ngoma zake za kisiasa ....katoa wimbo mpya leo bado vi matus vimo aaaaahHapa umefananisha tofauti, kimuziki, Roma ni kama anafoka wakati Domo anaimba. Roma ni mtunzi wa karibia nyimbo zake zote, Mondi anaandikiwa nyimbo nyingi ambapo sio kosa, Matusi, Roma anaimba matusi pia kama ilivyo kwa Mondi, hana nyimbo bila matusi(achilia mbali zile nyimbo alizoandikiwa kama Nitarejea, Lala salama.
Inawezekana mpenzi wa nyimbo za Eminem asipende nyimbo za Usher au nyimbo za Usher zikawa popular zaidi kulinganisha na Eminem kutokana na kughani kwao.
Yote kwa yote, nikisikia Roma ametoa nyimbo natamani nisikilize nijue kasema nini, ndo msanii pekee wa siku hizi naweza sikia kitu ukiacha wale wakongwe. Mondi ni flow ya melody, sijui hata anasema nini zaidi ya matusi