Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi vee kaacha mziki au kapumzika? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Asa mkuu mtu mwenyewe kakimbia mziki , Kwa mdomo wake kasema mziki hauwez kakimbilia doggy style [emoji3][emoji3] Acha wanamziki waimbe bhana
Woyooooooooooooooooooooooooooooh.Nilikuwa natafuta wa kumtaja Vanessa, hao wengine ngono ndo inawanyanyua. Vanessa ni complete package, uimbaji, video vixen, dance, exposure, civilisation na ujinga wa kike kidogo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hakika n utumbo wallah lolmwenye uzi umeona utumbo unaoitw "leo leo"?
Sjapoteza mda hata kuisikiliza hyo nyimbo .... We wimbo unapigiwa promo na porn star Mwijaku , utatobolea wapi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hakika n utumbo wallah lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nandy kakurupuka na mzee wa mboka kafail pia duuuh.Sjapoteza mda hata kuisikiliza hyo nyimbo .... We wimbo unapigiwa promo na porn star Mwijaku , utatobolea wapi
Kwahyo vocal na kuimba cover ndo kipimo cha usanii bora😂😂 Bss na youtube kuna watu wanaimba covers vizuri hata kuliko ruby kwahyo hao pia ni wasanii bora?? Ruby ana kipaji ndio lakini huwez mweka level moja hata na kina nandy maan mziki sio kipaji tu mzee! Damian Soul na grace matata wana hzo vocal kuliko hata huyo ruby lakini sio wasanii bora na hata kweny mainstream hawapo!! Mpaka kuitwa msanii bora kuna mambo mengi sio vocal na kipaji tu! Davido hana hzo vocal ila ukitaja top 3 wa wasanii bora nigeria yupo!! Et Ruby msanii bora wa kike af ukiambiwa utaje hit song zake hata 5 majibu huna😂😂MZIKI SIO KIPAJI UKITAKA KUAMINI MWANGALIE DIAMOND NA NANDY HAWANA VIPAJI VIKUBWA LAKINI HAO NDO BIG FISHES KWA MZIKI WA BONGO!VOCAL ARRANGMENT SHE CAN HIT DIFFERENT NOT WAKATI NANDY NI THE SAME NOTE NA KUPA MFANO RUBY ANAWEZA KUIMBA WIMBO WA WHITNEY HOUSTON AKACHEZA NA NOT NAND HAWEZI PERIOD NENDA YOUTUBE TAFUTA COVER SONGS ZA RUBY AU SIKILIZA NYIMBO YUPO NA MAFIK ANAVYOGONGA NOT MULE
mkuu hapa mimi nimelenga kwenye kuimba sio mafanikio yao kwenye mziki yes ruby hana management nzuri lakini kwenye vocal nandy hatii mguuKwahyo vocal na kuimba cover ndo kipimo cha usanii bora😂😂 Bss na youtube kuna watu wanaimba covers vizuri hata kuliko ruby kwahyo hao pia ni wasanii bora?? Ruby ana kipaji ndio lakini huwez mweka level moja hata na kina nandy maan mziki sio kipaji tu mzee! Damian Soul na grace matata wana hzo vocal kuliko hata huyo ruby lakini sio wasanii bora na hata kweny mainstream hawapo!! Mpaka kuitwa msanii bora kuna mambo mengi sio vocal na kipaji tu! Davido hana hzo vocal ila ukitaja top 3 wa wasanii bora nigeria yupo!! Et Ruby msanii bora wa kike af ukiambiwa utaje hit song zake hata 5 majibu huna😂😂MZIKI SIO KIPAJI UKITAKA KUAMINI MWANGALIE DIAMOND NA NANDY HAWANA VIPAJI VIKUBWA LAKINI HAO NDO BIG FISHES KWA MZIKI WA BONGO!
Kwa kuiskiliz ngoma ya nandy na koffi olomideHivi mnaosema ruby ndo msanii bora wa kike kuwah kutokea tanzania mnatumia vigezo gani?? Au usanii bora unapimwa kupitia vigezo gani??
Hebu tuambie muandishi wa nyimbo za mondi ni nani? Maana umeongea kishabiki na chuki binafsi tu.Hapa umefananisha tofauti, kimuziki, Roma ni kama anafoka wakati Domo anaimba. Roma ni mtunzi wa karibia nyimbo zake zote, Mondi anaandikiwa nyimbo nyingi ambapo sio kosa, Matusi, Roma anaimba matusi pia kama ilivyo kwa Mondi, hana nyimbo bila matusi(achilia mbali zile nyimbo alizoandikiwa kama Nitarejea, Lala salama.
Inawezekana mpenzi wa nyimbo za Eminem asipende nyimbo za Usher au nyimbo za Usher zikawa popular zaidi kulinganisha na Eminem kutokana na kughani kwao.
Yote kwa yote, nikisikia Roma ametoa nyimbo natamani nisikilize nijue kasema nini, ndo msanii pekee wa siku hizi naweza sikia kitu ukiacha wale wakongwe. Mondi ni flow ya melody, sijui hata anasema nini zaidi ya matusi
madhaifu yake yote zuchu kayacover, hvyo zuchu ni bora kuliko Nandy kuanzia kwenye uandishiKwa mimi ambaye huwa naangalia kazi siangalii mtu / nani naweza kusema Nandy ni Baraka tosha kwa vibao alivyotoa..., kwa kusikiliza kazi zake mimi kama mteja siwezi kulaumu...
Issue kwa kizazi hiki ni utunzi / maneno yaliyomo kwenye nyimbo zao, mengi sio necessary hence kufanya kazi zao zisiweze kusikilizwa na watu wa rika zote..., Mfano Acha Jua Lizame (ingawa alifanya featuring) ni nyimbo nzuri, melody na kila kitu ila maneno sasa yanakwenda kule kule ambao vijana wengi wa Bongo Fleva wanakwenda...., mtu mwenye Busara zako katika jamii lazima uone walakini kusikiliza nyimbo kama hii (sidhani kama babu, baba, mtoto na mjukuu wanaweza wakakaa mezani na kuisikiliza)