wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Mtafika mbinguni mmechoka saaana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mfumoko wa bei huoni?Weka ushahidi
Vitu vinapanda kiholela wewe huoni?Sikiliza bro,usiongee bila kuweka mifano ili kulinganisha,unaposema kitu hiki kule ni nafuu kuliko kwetu,weka hizo bei na pia wrka thamani za sarafu za hiyo nchi kwa kulinganisha na tanzania,vinginevyo utakuwa unaongea porojo tu
Nayasikia sana, ila ndo huyo mliyemfurahia awaongoze mlimponda yule mwingine na chuki juu wakati maisha yalikuwa afadhali kidogo.Maumivu ya mfumuko wa bei huyasikii?
Mbona hujatolea mfano Nairobi hapa Kenya [emoji1139]Unaposimama katika nafasi ya mwananchi wa kawaida ndio utaelewa ninachomaanisha.
Ni majuzi tu nilisafiri kwenda mozambique...
Yule hakuwa na kitu kinaitwa humanity hata kidogo hicho tu mengine alijitahidi kidogo, angalia viongozi wabovu kipindi chake kama Makonda, Mnyeti, Mrisho Gambo, Ally Hapy, RC wa Mbeya, Sabaya, Jery Muro n.kNayasikia sana, ila ndo huyo mliyemfurahia awaongoze mlimponda yule mwingine na chuki juu wakati maisha yalikuwa afadhali kidogo.
Na bado tutakoma.
Huyu ana humanity lkn ndo hivyo uchumi wa wananchi unadorora.Yule hakuwa na kitu kinaitwa humanity hata kidogo hicho tu mengine alijitahidi kidogo, angalia viongozi wabovu kipindi chake kama Makonda, Mnyeti, Mrisho Gambo, Ally Hapy, RC wa Mbeya, Sabaya, Jery Muro n.k
[emoji2][emoji2][emoji2]sisi inatuhusu!!!msumbiji umekuta vitu rahisi sababu wao vita vya urusi na ukraine haviwahusu
Ht bila kutoa mifano hv kweli kinachoendelea hapa nchini kuhusu mfumuko wa bei huuoni?Sikiliza bro,usiongee bila kuweka mifano ili kulinganisha,unaposema kitu hiki kule ni nafuu kuliko kwetu,weka hizo bei na pia wrka thamani za sarafu za hiyo nchi kwa kulinganisha na tanzania,vinginevyo utakuwa unaongea porojo tu
Mkuu ulikuwa unafurahia watu wanavyoteswa magerezani sijui uhujumu uchumi, sekta binafsi aliua kabisa mpaka watu wakaanza kuficha pesa majumbani, hapa dawa ni katiba mpya tuachane na huu mfumo wa kutegemea mtu mmojaHuyu ana humanity lkn ndo hivyo uchumi wa wananchi unadorora. Haya tuvumilie tuache kulalamika
Ooohoooooo!Tena?Usiwakatishe tamaa akina...!😂😂😂😂Sie tuliishapewa majukumu yetu na Mwenyezi Mungu Baba tokea zamani.
Haya ya nyongeza ona yanavyotupiga.
Huyo ni mdada ameuolewa maumivu anayapata mzee wakeHt bila kutoa mifano hv kweli kinachoendelea hapa nchini kuhusu mfumuko wa bei huuoni? Ndani ya miezi bidhaa inapanda bei mara mbili?
Na ukiendelea kulalamika hivi,watakuambia kama mkate bei juu kula maandazi.😂😂😂😂Kuna tangazo pale bakery kupanda kwa mkate kuanzia tar 1 April
Kwani mbowe aliswekwa gerezani na magufuli?Mkuu ulikuwa unafurahia watu wanavyoteswa magerezani sijui uhujumu uchumi, sekta binafsi aliua kabisa mpaka watu wakaanza kuficha pesa majumbani, hapa dawa ni katiba mpya tuachane na huu mfumo wa kutegemea mtu mmoja
Afadhali..sasa tuzoee kula magimbi na mihogo 😄😄😄Kuna tangazo pale bakery kupanda kwa mkate kuanzia tar 1 April
Walinzi wake walikamatwa wakati gani?Kwani mbowe aliswekwa gerezani na magufuli? Kama katiba mpya itashusha bei ya mafuta basi sawa
Hata ukimuwekea kimaandishi atakuambia uyalete hayo mafuta ayaguse ili ahakikishe.Ni namna ya usumbufu usio na tija.Vitu vinapanda kiholela wewe huoni?
Ni kweli hajalalamika badoHuyo ni mdada ameuolewa maumivu anayapata mzee wake