Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, nilidhani umeanzisha uzi ili watu wajadili kwa mitazao mbalimbali, mingine kukubaliana, mingine kuweka nyongeza na mngine hata kupingana na maudhui ya mada yako. Lakini naona kama vile unapanic na kujibu kimipasho mipashoHuna hoja za kujadili na watu,umegeuka mganga mpiga ramli.
Asante sana mkuu.Vyanzo vya ufisadi huwa ni miradi mikubwa, iwe ya ujenzi, manunuzi au mikataba ya aina yoyote.
Leo ukiulizwa ndege imenunuliwa kwa sh ngapi hujui, mradi wa Stiglers unajengwa kwa fedha zipi hujui, SGR inajengwa kwa fedha zipi hujui. Mikataba ya madini iliyofanyiwa marekebisho bado yana utata mtupu.
Ufisadi huwa unafichuliwa na Vyombo huru vya habari, Wapinzani walio huru kufanya shughuli zao za kisiasa pamoja na Wanaharakati ambao haki zao zinaheshimiwa na kulindwa. Katika utawala huu hakuna chombo hata kimoja kati ya hivi ambavyo vipo huru kusema. Huwezi sema hakuna ufisadi eti kisa rais wako anasema anapambana na Majizi.
Mfano kwenye suala la e- passports, John Heche alizungumza kuwa kuna ufisadi ulifanyika katika uingiaji wa Zabuni lakini kilichofuata ni yeye kutishiwa maisha badala ya kuambiwa atoe ushahidi na uchunguzi ufanyike.
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa hesabu za Serikali Ndugu Abbas ambaye pasina shaka alionekana kutimiza wajibu wake kwa maadili makubwa aliondolewa kwa sababu za kutengeneza. Unatoa wapi huo udhubutu wa kusema serikali ni safi hii.
Kama umeanzisha mada kwa lengo la kuingiza siku basi najutia muda wangu niliotumia kukujibu, ila kama ulianzisha kulingana na uelewa na upeo wako basi tumia majibu yangu kutafakari maoni yako.
Ni CDM na ACT tu wanaopinga kwa makusudi juu ya jinsi Serikali inavyopambana na ufisadi - Dkt John Pombe Magufuli kwa kweli ni mwambaKuna upambanaji wa ufisadi au kupambana na matumizi ya neno fisadi? Huwezi kupambana na ufisadi huku ukiwa adui wa uhuru wa vyombo vya habari.
Ni CDM na ACT tu wanaopinga kwa makusudi juu ya jinsi Serikali inavyopambana na ufisadi - Dkt John Pombe Magufuli kwa kweli ni mwamba
Ana umwamba gani yeye mwenyewe mwizi tu yule.Ni CDM na ACT tu wanaopinga kwa makusudi juu ya jinsi Serikali inavyopambana na ufisadi - Dkt John Pombe Magufuli kwa kweli ni mwamba
Labda ungejenga hoja hii kwa kutoa mifano - nachojua ni kwamba kipindi cha nyuma ukipita na gari zuri watu waliongea "ufisadi", mikataba mingi ilikuwa ten %, watu walihamisha fedha kinyemela nkHakuna upambanaji wa ufisadi, bali kuna vita dhidi ya matumizi ya neno fisadi.
Labda ungejenga hoja hii kwa kutoa mifano - nachojua ni kwamba kipindi cha nyuma ukipita na gari zuri watu waliongea "ufisadi", mikataba mingi ilikuwa ten %, watu walihamisha fedha kinyemela nk
Utawala huu umedhibiti hali hii na kufuatilia kwa karibu matumizi ya fedha za umma
Fafanua we mbwiga. Una maana gani?Hakuna upambanaji wa ufisadi, bali kuna vita dhidi ya matumizi ya neno fisadi.
Fafanua we mbwiga. Una maana gani?
Neno fisadi limezaa mafisadi wanaopigwa nyundo. Hujapata majibu jinsi mafisadi wanavyobanwa?Inaeleweka hiyo, ila ww huna uwezo wa kuelewa hilo.
Neno fisadi limezaa mafisadi wanaopigwa nyundo. Hujapata majibu jinsi mafisadi wanavyobanwa?
Aliyeshinda tenda ya ujenzi uwanja wa chato alishindanishwa na nani,tenda ilitangazwa lini,uligharimu kiasi gani?Moja kwa moja kwenye mada husika wadau wa Jf.
Huko nyuma ilikiwa ni aibu maana watu walikuwa hawafanyi ufisadi bali ni kujichotea na kujijazia. Fikiria skendo la Escrow watu walichota bil of Tsh kama wanachukua sh mia mbil ya kula karanga.
Alichofichua leo waziri mkuu ni ushahidi tosha kuwa kuna madiliko makubwa, tulizoea kusikia watu wakichota bil 60+,bil 150+ na ilikuwa kama watu wanajichotea karanga kwenye mfuko wa bibi.Vipi kama ingekuwa kama enzi za Kagoda,Epa na Meremeta. Ilikuwa ni aibu sana. Najua kila mtu anakubali kuna mabadiliko makubwa.
Leo hii wanaopiga Mil 900 wanadakwa na kushughulikiwa! Maana yake ni kuwa hata upigaji wa dili kubwa zilizosababisha tukashindwa kujenga hospita za wilaya,vituo vya afya na zahanati umebanwa.
Najua kuna wabongo wenye roho za korosho dhidi ya Ccm na serikali yake watasema hamna mabadiliko.
Nyankurungu@ Buzirayombo on the way to Chato on vacation.
Ufisadi ni nini kwani? Ukijua maana yake utajua uhusiano wa aliyoeleza na "huo unaoita mapambano".Haya uliyaeleza yanahusiana vipi na mapambano dhidi ya ufisadi?
Tuwe wakweli nidhamu imeboreka,wakati huo huo ufisadi na rushwa bado vinafanyika na vingine vinaonekana kawaida.Yafaa tujipangie madaraja kwa vipimo tutakavyo kubaliana mafanikio ni yapi na kushindwa ni kupi hii itatusaidia kama taifa.Nilijua tu mtajitokeza kupinga haya mafanikio. Unataka uhuru gani wa habari ambao unaakisi mapambano ya ufisadi?
NIDA,kitwanga,Lugola,Bandari,x,y,z,,,,,,Moja kwa moja kwenye mada husika wadau wa Jf.
Huko nyuma ilikiwa ni aibu maana watu walikuwa hawafanyi ufisadi bali ni kujichotea na kujijazia. Fikiria skendo la Escrow watu walichota bil of Tsh kama wanachukua sh mia mbil ya kula karanga.
Alichofichua leo waziri mkuu ni ushahidi tosha kuwa kuna madiliko makubwa, tulizoea kusikia watu wakichota bil 60+,bil 150+ na ilikuwa kama watu wanajichotea karanga kwenye mfuko wa bibi.Vipi kama ingekuwa kama enzi za Kagoda,Epa na Meremeta. Ilikuwa ni aibu sana. Najua kila mtu anakubali kuna mabadiliko makubwa.
Leo hii wanaopiga Mil 900 wanadakwa na kushughulikiwa! Maana yake ni kuwa hata upigaji wa dili kubwa zilizosababisha tukashindwa kujenga hospita za wilaya,vituo vya afya na zahanati umebanwa.
Najua kuna wabongo wenye roho za korosho dhidi ya Ccm na serikali yake watasema hamna mabadiliko.
Nyankurungu@ Buzirayombo on the way to Chato on vacation.