Ukweli usio mchungu: Serikali ya awamu ya tano imejitahidi kupambana na ufisadi na ubadhilifu

Ukweli usio mchungu: Serikali ya awamu ya tano imejitahidi kupambana na ufisadi na ubadhilifu

Walivyoshika panga tu wakachungulia kila sehemu wakagundua pako empty wenzao wameshakula nyama, maziwa na asali yote! Yale ya ardhini kizungumkuti, ya mtwara imeshawekwa rehani, wakaona isiwe tabu watakula wapi sasa? Wakaamua kuanzisha “mawayt elefanti” ili wapatamo pakupigia.... stuka ewe mdanganyika!
Unaakili sana Mkuu!
 
Back
Top Bottom