Ukweli Usiosemwa: Hali Halisi ya Matukio Muhimbili November 2016 Kuhusu Janeth Magufuli

Ukweli Usiosemwa: Hali Halisi ya Matukio Muhimbili November 2016 Kuhusu Janeth Magufuli

Kabendera ana maumivu na magufuli
But Kwa upande mwingine hata waliochapisha hiko kitabu nao wanamakosa coz sidhani kama ni Sawa Sawa kupublish taarifa ambazo hazina uhakika wa 100%
Assumption ni kwamba Kabendera ni mwongo.

Tatizo, hoja zote zinazompinga huyu kabendera zipo uchi kuliko habari ya Kabendera. Yaani ni kama mtu mzima anayemkemea mtoto asitembee na nguo ya ndani pekee huku yeye hajavaa chochote.

Natamani atokee mtu mwenye kujua uhalisia ndo ampinge Kabendera kwa hoja zenye ushahidi badala ya hiki kinachoendelea.
 
Samia ana cha kujifunza kuhusu haya yanayoaemwa kuhusu magufuli,

Mashtaka kuhusu vifo vya watu sio ya kukaliwa kimya na kiongozi wa nchi Au kusema kifo ni kifo tuu.

Yatakuja kunghalimu familia yake akiwa mstaafu Au hayati.
 
Kwanini mpk aandike madhaifu yake,ukumbuke tayari huyu mtu ni marehemu,nini kiko nyuma yake,kuna kiongozi ambaye amepita hakuwa na mapungufu?tulisikia ya Nyerere,Mwinyi,Mkapa na hata Kikwete,sasa kwanini ya Magufuli ayavalie njuga mpaka aandike kitabu,kwahiyo na huyu tulie naye pia akipita ataandika kitabu.Hakuna binadamu asiye na mapungufu,mazuri yapo na mabaya yapo,atuache tujenge nchi asituletee chuki ili kutuharibia amani ya nchi yetu...
Kabisa aise! Kuna watu wanaboa sana
 
Nimeshindwa niweke wapi hii comment, JF mnaweza unganisha na uzi wowote.

Tukio la Janeth Magufuli kulazwa Muhimbili Novemba 2016 linapaswa kufafanuliwa kwa muktadha wa ukweli na uwazi. Huwa inahuzunisha sana kuona watu wanaweza wakawa wanaongelea tukio la kusimuliwa, wakalifanya ukweli wakati halina ukweli. Magufuli pamoja na madhaifu mengi aliyokuwa nayo, alisingiziwa mengi sana, na wengi hayo waliyoyasikia wameyafanya kuwa ndio maisha ya Magufuli wakati wa Uhai wake. Na mmoja wa waliodanganywa, lakini anadhani ana habari ya kweli ni Erick Kabendera. Lakini unaelewa kwa namna Erick alivyopita katika tanuru la moto, anaweza asiyafikirie vyema hata yale aliyosimuliwa.

Wakati Mama Janeth Magufuli analazwa Muhimbili Novemba 2016, huyu Mama hakupata kipigo chochote, lakini ndio ilikuwa habari ya mjini. Ni muhimu kwa wale waliohusika kwa namna moja au nyingine na matibabu yake bila kusimuliwa kuweka wazi kwamba hali yake ya kiafya kipindi kile haikuwa na uhusiano wowote na kipigo au ukatili wa aina yoyote. Badala yake, lilikuwa jambo la kiafya ambalo lilihitaji matibabu ya kitaalamu na uangalizi wa karibu. Kama kila mtu siri zake za matibabu zingetolewa nje, basi labda tungekuwa na mtazamo tofauti kuhusu mambo mengi sana kuhusu watu na vitu. Mfano kwa waliofariki unaweza ukaondoa imani za kurogwa, kupigwa n.k, na kwa wale wanaoishi unaweza gundua kwamba wengine labda wamebakiza siku chache, na hata ukisikia wamefariki, hutoshtuka.

Kwa wale waliokuwa karibu na mazingira hayo ya hospitali wakati Janeth amelazwa, dalili na hali iliyoshughulikiwa hospitalini kipindi hicho haikuonyesha ishara yoyote ya majeraha yanayoweza kuhusishwa na ukatili wa kimwili. Uchunguzi uliofanywa ulionyesha sababu za kiafya zinazohusiana na matatizo ya kawaida yanayoweza kumpata mtu yeyote na hakika yanawapata watu wengi tu kila siku. Shida ukiwa mke wa Rais, watu wanadhani haupaswi kulazwa.

Katika kipindi hicho, Janeth akiwa amelazwa, Magufuli alionekana kujali sana na alikuwa karibu na mkewe, akihakikisha kuwa anapata huduma bora. Hayati Magufuli, alitumia muda wake mwingi usiku kukaa na mkewe wodini Muhimbili. Hakuna waandishi wa habari wajualo hilo, maana walilishwa matango pori. Taarifa za uvumi zinazohusiana na tukio hili hazina msingi wowote wa kweli, na ni muhimu kutozizingatia ili kuepuka kueneza dhana potofu.

Kutokana na Erick Kabendera kulishwa tango pori hilo (najua anajiamini sana na aliloandika), inaonesha hata habari nyingine kuhusu Magufuli, zitakuwa ni hekaya, zisizokuwa na ukweli.

Ni muhimu sana sisi binadamu kuacha kuongelea habari tusizokuwa na uhakika nazo hasa za kifamilia. Ukiwa na hizo tabia, usishangae watu wakiongelea habari zako, ambazo nawe hata huzijui. Karma is real.
Umeyajuaje wewe ni mtoto wa Magufuli?
 
Nimeshindwa niweke wapi hii comment, JF mnaweza unganisha na uzi wowote.

Tukio la Janeth Magufuli kulazwa Muhimbili Novemba 2016 linapaswa kufafanuliwa kwa muktadha wa ukweli na uwazi. Huwa inahuzunisha sana kuona watu wanaweza wakawa wanaongelea tukio la kusimuliwa, wakalifanya ukweli wakati halina ukweli. Magufuli pamoja na madhaifu mengi aliyokuwa nayo, alisingiziwa mengi sana, na wengi hayo waliyoyasikia wameyafanya kuwa ndio maisha ya Magufuli wakati wa Uhai wake. Na mmoja wa waliodanganywa, lakini anadhani ana habari ya kweli ni Erick Kabendera. Lakini unaelewa kwa namna Erick alivyopita katika tanuru la moto, anaweza asiyafikirie vyema hata yale aliyosimuliwa.

Wakati Mama Janeth Magufuli analazwa Muhimbili Novemba 2016, huyu Mama hakupata kipigo chochote, lakini ndio ilikuwa habari ya mjini. Ni muhimu kwa wale waliohusika kwa namna moja au nyingine na matibabu yake bila kusimuliwa kuweka wazi kwamba hali yake ya kiafya kipindi kile haikuwa na uhusiano wowote na kipigo au ukatili wa aina yoyote. Badala yake, lilikuwa jambo la kiafya ambalo lilihitaji matibabu ya kitaalamu na uangalizi wa karibu. Kama kila mtu siri zake za matibabu zingetolewa nje, basi labda tungekuwa na mtazamo tofauti kuhusu mambo mengi sana kuhusu watu na vitu. Mfano kwa waliofariki unaweza ukaondoa imani za kurogwa, kupigwa n.k, na kwa wale wanaoishi unaweza gundua kwamba wengine labda wamebakiza siku chache, na hata ukisikia wamefariki, hutoshtuka.

Kwa wale waliokuwa karibu na mazingira hayo ya hospitali wakati Janeth amelazwa, dalili na hali iliyoshughulikiwa hospitalini kipindi hicho haikuonyesha ishara yoyote ya majeraha yanayoweza kuhusishwa na ukatili wa kimwili. Uchunguzi uliofanywa ulionyesha sababu za kiafya zinazohusiana na matatizo ya kawaida yanayoweza kumpata mtu yeyote na hakika yanawapata watu wengi tu kila siku. Shida ukiwa mke wa Rais, watu wanadhani haupaswi kulazwa.

Katika kipindi hicho, Janeth akiwa amelazwa, Magufuli alionekana kujali sana na alikuwa karibu na mkewe, akihakikisha kuwa anapata huduma bora. Hayati Magufuli, alitumia muda wake mwingi usiku kukaa na mkewe wodini Muhimbili. Hakuna waandishi wa habari wajualo hilo, maana walilishwa matango pori. Taarifa za uvumi zinazohusiana na tukio hili hazina msingi wowote wa kweli, na ni muhimu kutozizingatia ili kuepuka kueneza dhana potofu.

Kutokana na Erick Kabendera kulishwa tango pori hilo (najua anajiamini sana na aliloandika), inaonesha hata habari nyingine kuhusu Magufuli, zitakuwa ni hekaya, zisizokuwa na ukweli.

Ni muhimu sana sisi binadamu kuacha kuongelea habari tusizokuwa na uhakika nazo hasa za kifamilia. Ukiwa na hizo tabia, usishangae watu wakiongelea habari zako, ambazo nawe hata huzijui. Karma is real.
Bila ushaidi hata hii pia ni hekaya ya abunuasi
 
Hakuna jiwe litasalia juu ya jiwe, kwa Mama Janeth mwenyewe anasemaje kulazwa kwake kunahusiana na nini hasa
 
Iruhusiwe timu Dkt Magufuli na timu yenu ya wezi tufanye mijadala tuone nani ataibuka mshindi. Nyie ni ka kikundi ka wajinga wajinga yaani mlimuua Dkt Magufuli na bado mnaendelea kutusimanga, inauma sana tena sana. Ila Mungu wetu yupo hai anatuona machozi yetu
Hata kama wao wana makosa lakini bado hayafuti makosa ya mwendazake.
 
Nimeshindwa niweke wapi hii comment, JF mnaweza unganisha na uzi wowote.

Tukio la Janeth Magufuli kulazwa Muhimbili Novemba 2016 linapaswa kufafanuliwa kwa muktadha wa ukweli na uwazi. Huwa inahuzunisha sana kuona watu wanaweza wakawa wanaongelea tukio la kusimuliwa, wakalifanya ukweli wakati halina ukweli. Magufuli pamoja na madhaifu mengi aliyokuwa nayo, alisingiziwa mengi sana, na wengi hayo waliyoyasikia wameyafanya kuwa ndio maisha ya Magufuli wakati wa Uhai wake. Na mmoja wa waliodanganywa, lakini anadhani ana habari ya kweli ni Erick Kabendera. Lakini unaelewa kwa namna Erick alivyopita katika tanuru la moto, anaweza asiyafikirie vyema hata yale aliyosimuliwa.

Wakati Mama Janeth Magufuli analazwa Muhimbili Novemba 2016, huyu Mama hakupata kipigo chochote, lakini ndio ilikuwa habari ya mjini. Ni muhimu kwa wale waliohusika kwa namna moja au nyingine na matibabu yake bila kusimuliwa kuweka wazi kwamba hali yake ya kiafya kipindi kile haikuwa na uhusiano wowote na kipigo au ukatili wa aina yoyote. Badala yake, lilikuwa jambo la kiafya ambalo lilihitaji matibabu ya kitaalamu na uangalizi wa karibu. Kama kila mtu siri zake za matibabu zingetolewa nje, basi labda tungekuwa na mtazamo tofauti kuhusu mambo mengi sana kuhusu watu na vitu. Mfano kwa waliofariki unaweza ukaondoa imani za kurogwa, kupigwa n.k, na kwa wale wanaoishi unaweza gundua kwamba wengine labda wamebakiza siku chache, na hata ukisikia wamefariki, hutoshtuka.

Kwa wale waliokuwa karibu na mazingira hayo ya hospitali wakati Janeth amelazwa, dalili na hali iliyoshughulikiwa hospitalini kipindi hicho haikuonyesha ishara yoyote ya majeraha yanayoweza kuhusishwa na ukatili wa kimwili. Uchunguzi uliofanywa ulionyesha sababu za kiafya zinazohusiana na matatizo ya kawaida yanayoweza kumpata mtu yeyote na hakika yanawapata watu wengi tu kila siku. Shida ukiwa mke wa Rais, watu wanadhani haupaswi kulazwa.

Katika kipindi hicho, Janeth akiwa amelazwa, Magufuli alionekana kujali sana na alikuwa karibu na mkewe, akihakikisha kuwa anapata huduma bora. Hayati Magufuli, alitumia muda wake mwingi usiku kukaa na mkewe wodini Muhimbili. Hakuna waandishi wa habari wajualo hilo, maana walilishwa matango pori. Taarifa za uvumi zinazohusiana na tukio hili hazina msingi wowote wa kweli, na ni muhimu kutozizingatia ili kuepuka kueneza dhana potofu.

Kutokana na Erick Kabendera kulishwa tango pori hilo (najua anajiamini sana na aliloandika), inaonesha hata habari nyingine kuhusu Magufuli, zitakuwa ni hekaya, zisizokuwa na ukweli.

Ni muhimu sana sisi binadamu kuacha kuongelea habari tusizokuwa na uhakika nazo hasa za kifamilia. Ukiwa na hizo tabia, usishangae watu wakiongelea habari zako, ambazo nawe hata huzijui. Karma is real.
What is your point?
 
Samia ana cha kujifunza kuhusu haya yanayoaemwa kuhusu magufuli,

Mashtaka kuhusu vifo vya watu sio ya kukaliwa kimya na kiongozi wa nchi Au kusema kifo ni kifo tuu.

Yatakuja kunghalimu familia yake akiwa mstaafu Au hayati.
Tanzania ni nchi yenye wapuuzi wa kila aina, huyo Kabendera kashindwa kuwa muwazi halafu eti anaonekana hayo anayoyasema yana ukweli kwa asilimia mia moja!.

Hao wanaosema rais kauwa mtu fulani hawana ushahidi zaidi wanapita humo kwenye umbea wa kusikika katika maongezi ya mitaani.

Hatuoni taabu kufungua midomo yetu na kuongea vitu ambavyo hatuna ushahidi navyo kwa kutegemea vyanzo feki vya habari.

Ni nchi ya kipumbavu sana, na upumbavu wetu unatokana na uvivu wa kutafuta habari za kweli pamoja na uvivu wa kutafuta maarifa unaozaa ujinga mwingi vichwani.
 
Kwa hili hapana aisee. Pengine mshua ashawahi kumpiga lakini asingeweza kumpeleka public hospital . Hii ilikua public stunt ya kua mke wa mkuu anatibiwa hospitali ya uma
 
Nimeshindwa niweke wapi hii comment, JF mnaweza unganisha na uzi wowote.

Tukio la Janeth Magufuli kulazwa Muhimbili Novemba 2016 linapaswa kufafanuliwa kwa muktadha wa ukweli na uwazi. Huwa inahuzunisha sana kuona watu wanaweza wakawa wanaongelea tukio la kusimuliwa, wakalifanya ukweli wakati halina ukweli. Magufuli pamoja na madhaifu mengi aliyokuwa nayo, alisingiziwa mengi sana, na wengi hayo waliyoyasikia wameyafanya kuwa ndio maisha ya Magufuli wakati wa Uhai wake. Na mmoja wa waliodanganywa, lakini anadhani ana habari ya kweli ni Erick Kabendera. Lakini unaelewa kwa namna Erick alivyopita katika tanuru la moto, anaweza asiyafikirie vyema hata yale aliyosimuliwa.

Wakati Mama Janeth Magufuli analazwa Muhimbili Novemba 2016, huyu Mama hakupata kipigo chochote, lakini ndio ilikuwa habari ya mjini. Ni muhimu kwa wale waliohusika kwa namna moja au nyingine na matibabu yake bila kusimuliwa kuweka wazi kwamba hali yake ya kiafya kipindi kile haikuwa na uhusiano wowote na kipigo au ukatili wa aina yoyote. Badala yake, lilikuwa jambo la kiafya ambalo lilihitaji matibabu ya kitaalamu na uangalizi wa karibu. Kama kila mtu siri zake za matibabu zingetolewa nje, basi labda tungekuwa na mtazamo tofauti kuhusu mambo mengi sana kuhusu watu na vitu. Mfano kwa waliofariki unaweza ukaondoa imani za kurogwa, kupigwa n.k, na kwa wale wanaoishi unaweza gundua kwamba wengine labda wamebakiza siku chache, na hata ukisikia wamefariki, hutoshtuka.

Kwa wale waliokuwa karibu na mazingira hayo ya hospitali wakati Janeth amelazwa, dalili na hali iliyoshughulikiwa hospitalini kipindi hicho haikuonyesha ishara yoyote ya majeraha yanayoweza kuhusishwa na ukatili wa kimwili. Uchunguzi uliofanywa ulionyesha sababu za kiafya zinazohusiana na matatizo ya kawaida yanayoweza kumpata mtu yeyote na hakika yanawapata watu wengi tu kila siku. Shida ukiwa mke wa Rais, watu wanadhani haupaswi kulazwa.

Katika kipindi hicho, Janeth akiwa amelazwa, Magufuli alionekana kujali sana na alikuwa karibu na mkewe, akihakikisha kuwa anapata huduma bora. Hayati Magufuli, alitumia muda wake mwingi usiku kukaa na mkewe wodini Muhimbili. Hakuna waandishi wa habari wajualo hilo, maana walilishwa matango pori. Taarifa za uvumi zinazohusiana na tukio hili hazina msingi wowote wa kweli, na ni muhimu kutozizingatia ili kuepuka kueneza dhana potofu.

Kutokana na Erick Kabendera kulishwa tango pori hilo (najua anajiamini sana na aliloandika), inaonesha hata habari nyingine kuhusu Magufuli, zitakuwa ni hekaya, zisizokuwa na ukweli.

Ni muhimu sana sisi binadamu kuacha kuongelea habari tusizokuwa na uhakika nazo hasa za kifamilia. Ukiwa na hizo tabia, usishangae watu wakiongelea habari zako, ambazo nawe hata huzijui. Karma is real.
Toa ushuda wa hiki unachoandika,kama Kabendera muongo, wewe unapata wapi ukweli wa kukanusha?? Support your post by using evidence!!!!
 
Kwanini mpk aandike madhaifu yake,ukumbuke tayari huyu mtu ni marehemu,nini kiko nyuma yake,kuna kiongozi ambaye amepita hakuwa na mapungufu?tulisikia ya Nyerere,Mwinyi,Mkapa na hata Kikwete,sasa kwanini ya Magufuli ayavalie njuga mpaka aandike kitabu,kwahiyo na huyu tulie naye pia akipita ataandika kitabu.Hakuna binadamu asiye na mapungufu,mazuri yapo na mabaya yapo,atuache tujenge nchi asituletee chuki ili kutuharibia amani ya nchi yetu...
Hukusoma kitabu cha Ludovick Mwijage kumhusu Nyerere?...Hata huyu wa sasa kurasa zinaendelea kuandikwa, akitoka tuu watu wanaingiza kitabu sokoni. Yaliyomkuta Sativa na wengine yako well documented.
 
Kwanini mpk aandike madhaifu yake,ukumbuke tayari huyu mtu ni marehemu,nini kiko nyuma yake,kuna kiongozi ambaye amepita hakuwa na mapungufu?tulisikia ya Nyerere,Mwinyi,Mkapa na hata Kikwete,sasa kwanini ya Magufuli ayavalie njuga mpaka aandike kitabu,kwahiyo na huyu tulie naye pia akipita ataandika kitabu.Hakuna binadamu asiye na mapungufu,mazuri yapo na mabaya yapo,atuache tujenge nchi asituletee chuki ili kutuharibia amani ya nchi yetu...
Wewe andika mojawapo kati ya Nyerere, Mwinyi, Mkapa au Kikwete. Yeye kaamua kuandika ya Mgufuri, shida iko wapi?
 
Kabendera ana hasira na magufuli sababu alimbinya sana,alichukua pesa zake ambazo alipewa na wafadhili kipindi hicho akiwa anafanya harakati zake za kumchafua magufuli ila zaidi Kabendera ana hasira na magufuli sababu kipindi akiwa jela mama yake mzazi Kabendera aliumwa na kumuulizia na kuomba mara kadhaa akamuone kabla umauti haujamkuta then kilichotokea ni mamlaka kumkazia na hakuruhusuwa dhamana na hakumuona mama yake hadi siku anapewa taarifa ya msiba wa mama yake.

Katika mazingira ya hivyo usitegemee huyu mtu atamuelewa Magufuli hata kidogo. Atamchukia na kumuongelea mabaya yote.

So jamaa tayari anakosa uhalali wa kuandika kitabu chenye maudhui ya ukweli kumhusu magufuli sababu tayari ni mtu anae mchukia with passion.
 
KWANI MTOTO WA MAGUFULI HAWEZI KUDANGANYA? KUFICHA UKWELI?
Linawezekana pia ila kama una matatizo na mzazi wako na alikuwa bully unaweza kusema
Inawezekana hata ukawaambia marafiki wa karibu
Utotoni tulikuwa tunajua ni baba gani mzuri na yupi ni katili kwa marafiki zetu
Watoto hawafichi na atakuambia aisee baba anatupiga nyumba nzima
 
Assumption ni kwamba Kabendera ni mwongo.

Tatizo, hoja zote zinazompinga huyu kabendera zipo uchi kuliko habari ya Kabendera. Yaani ni kama mtu mzima anayemkemea mtoto asitembee na nguo ya ndani pekee huku yeye hajavaa chochote.

Natamani atokee mtu mwenye kujua uhalisia ndo ampinge Kabendera kwa hoja zenye ushahidi badala ya hiki kinachoendelea.

Kumbuka anaesemwa alikuwa Rais wa Inchi

Means kama hayo yote yalitokea kama kabendera anavyosema basi kuna shida kubwa kwenye taasisi ya Urais

Na ndio hapo ninapoona haya mambo ni kama yamepikwa Tu

Hayana ushahidi wa moja Kwa moja
 
Nimeshindwa niweke wapi hii comment, JF mnaweza unganisha na uzi wowote.

Tukio la Janeth Magufuli kulazwa Muhimbili Novemba 2016 linapaswa kufafanuliwa kwa muktadha wa ukweli na uwazi. Huwa inahuzunisha sana kuona watu wanaweza wakawa wanaongelea tukio la kusimuliwa, wakalifanya ukweli wakati halina ukweli. Magufuli pamoja na madhaifu mengi aliyokuwa nayo, alisingiziwa mengi sana, na wengi hayo waliyoyasikia wameyafanya kuwa ndio maisha ya Magufuli wakati wa Uhai wake. Na mmoja wa waliodanganywa, lakini anadhani ana habari ya kweli ni Erick Kabendera. Lakini unaelewa kwa namna Erick alivyopita katika tanuru la moto, anaweza asiyafikirie vyema hata yale aliyosimuliwa.

Wakati Mama Janeth Magufuli analazwa Muhimbili Novemba 2016, huyu Mama hakupata kipigo chochote, lakini ndio ilikuwa habari ya mjini. Ni muhimu kwa wale waliohusika kwa namna moja au nyingine na matibabu yake bila kusimuliwa kuweka wazi kwamba hali yake ya kiafya kipindi kile haikuwa na uhusiano wowote na kipigo au ukatili wa aina yoyote. Badala yake, lilikuwa jambo la kiafya ambalo lilihitaji matibabu ya kitaalamu na uangalizi wa karibu. Kama kila mtu siri zake za matibabu zingetolewa nje, basi labda tungekuwa na mtazamo tofauti kuhusu mambo mengi sana kuhusu watu na vitu. Mfano kwa waliofariki unaweza ukaondoa imani za kurogwa, kupigwa n.k, na kwa wale wanaoishi unaweza gundua kwamba wengine labda wamebakiza siku chache, na hata ukisikia wamefariki, hutoshtuka.

Kwa wale waliokuwa karibu na mazingira hayo ya hospitali wakati Janeth amelazwa, dalili na hali iliyoshughulikiwa hospitalini kipindi hicho haikuonyesha ishara yoyote ya majeraha yanayoweza kuhusishwa na ukatili wa kimwili. Uchunguzi uliofanywa ulionyesha sababu za kiafya zinazohusiana na matatizo ya kawaida yanayoweza kumpata mtu yeyote na hakika yanawapata watu wengi tu kila siku. Shida ukiwa mke wa Rais, watu wanadhani haupaswi kulazwa.

Katika kipindi hicho, Janeth akiwa amelazwa, Magufuli alionekana kujali sana na alikuwa karibu na mkewe, akihakikisha kuwa anapata huduma bora. Hayati Magufuli, alitumia muda wake mwingi usiku kukaa na mkewe wodini Muhimbili. Hakuna waandishi wa habari wajualo hilo, maana walilishwa matango pori. Taarifa za uvumi zinazohusiana na tukio hili hazina msingi wowote wa kweli, na ni muhimu kutozizingatia ili kuepuka kueneza dhana potofu.

Kutokana na Erick Kabendera kulishwa tango pori hilo (najua anajiamini sana na aliloandika), inaonesha hata habari nyingine kuhusu Magufuli, zitakuwa ni hekaya, zisizokuwa na ukweli.

Ni muhimu sana sisi binadamu kuacha kuongelea habari tusizokuwa na uhakika nazo hasa za kifamilia. Ukiwa na hizo tabia, usishangae watu wakiongelea habari zako, ambazo nawe hata huzijui. Karma is real.
Nani alikwambia kuwa ulipigwa lazima upate mchubuko au majeraha ya nje.

Nilishawahi mpiga Mke wangu akalazwa kumbe pressure ilipanda...binafsi ndiyo Mimi Nilikuwa naye hospital Muda wote..na nilihakisha hasemi kilichotokea...
 
Back
Top Bottom