Ukweli Usiosemwa: Hali Halisi ya Matukio Muhimbili November 2016 Kuhusu Janeth Magufuli

Ukweli Usiosemwa: Hali Halisi ya Matukio Muhimbili November 2016 Kuhusu Janeth Magufuli

Serikali hutoa taarfa kwa kile unachopenda kukisikia, wewe elezea mazuri yake unayoyajua na kila mtu atasema anavyomjua. Kuna watu Magufuli ni malaika haipingwi na kuna watu hawataki hata kusikia jina lake. Muelezee wewe unavyomjua ila usikatae akielezewa vibaya na mwingine kisa wewe alikuonesha upande mzuri.
Nimeshindwa niweke wapi hii comment, JF mnaweza unganisha na uzi wowote.

Tukio la Janeth Magufuli kulazwa Muhimbili Novemba 2016 linapaswa kufafanuliwa kwa muktadha wa ukweli na uwazi. Huwa inahuzunisha sana kuona watu wanaweza wakawa wanaongelea tukio la kusimuliwa, wakalifanya ukweli wakati halina ukweli. Magufuli pamoja na madhaifu mengi aliyokuwa nayo, alisingiziwa mengi sana, na wengi hayo waliyoyasikia wameyafanya kuwa ndio maisha ya Magufuli wakati wa Uhai wake. Na mmoja wa waliodanganywa, lakini anadhani ana habari ya kweli ni Erick Kabendera. Lakini unaelewa kwa namna Erick alivyopita katika tanuru la moto, anaweza asiyafikirie vyema hata yale aliyosimuliwa.

Wakati Mama Janeth Magufuli analazwa Muhimbili Novemba 2016, huyu Mama hakupata kipigo chochote, lakini ndio ilikuwa habari ya mjini. Ni muhimu kwa wale waliohusika kwa namna moja au nyingine na matibabu yake bila kusimuliwa kuweka wazi kwamba hali yake ya kiafya kipindi kile haikuwa na uhusiano wowote na kipigo au ukatili wa aina yoyote. Badala yake, lilikuwa jambo la kiafya ambalo lilihitaji matibabu ya kitaalamu na uangalizi wa karibu. Kama kila mtu siri zake za matibabu zingetolewa nje, basi labda tungekuwa na mtazamo tofauti kuhusu mambo mengi sana kuhusu watu na vitu. Mfano kwa waliofariki unaweza ukaondoa imani za kurogwa, kupigwa n.k, na kwa wale wanaoishi unaweza gundua kwamba wengine labda wamebakiza siku chache, na hata ukisikia wamefariki, hutoshtuka.

Kwa wale waliokuwa karibu na mazingira hayo ya hospitali wakati Janeth amelazwa, dalili na hali iliyoshughulikiwa hospitalini kipindi hicho haikuonyesha ishara yoyote ya majeraha yanayoweza kuhusishwa na ukatili wa kimwili. Uchunguzi uliofanywa ulionyesha sababu za kiafya zinazohusiana na matatizo ya kawaida yanayoweza kumpata mtu yeyote na hakika yanawapata watu wengi tu kila siku. Shida ukiwa mke wa Rais, watu wanadhani haupaswi kulazwa.

Katika kipindi hicho, Janeth akiwa amelazwa, Magufuli alionekana kujali sana na alikuwa karibu na mkewe, akihakikisha kuwa anapata huduma bora. Hayati Magufuli, alitumia muda wake mwingi usiku kukaa na mkewe wodini Muhimbili. Hakuna waandishi wa habari wajualo hilo, maana walilishwa matango pori. Taarifa za uvumi zinazohusiana na tukio hili hazina msingi wowote wa kweli, na ni muhimu kutozizingatia ili kuepuka kueneza dhana potofu.

Kutokana na Erick Kabendera kulishwa tango pori hilo (najua anajiamini sana na aliloandika), inaonesha hata habari nyingine kuhusu Magufuli, zitakuwa ni hekaya, zisizokuwa na ukweli.

Ni muhimu sana sisi binadamu kuacha kuongelea habari tusizokuwa na uhakika nazo hasa za kifamilia. Ukiwa na hizo tabia, usishangae watu wakiongelea habari zako, ambazo nawe hata huzijui. Karma is real.
 
Linawezekana pia ila kama una matatizo na mzazi wako na alikuwa bully unaweza kusema
Inawezekana hata ukawaambia marafiki wa karibu
Utotoni tulikuwa tunajua ni baba gani mzuri na yupi ni katili kwa marafiki zetu
Watoto hawafichi na atakuambia aisee baba anatupiga nyumba nzima
uko sahihi, hata watu kijijini tunafahamiana tabia zetu maana tumekua wote, tunajuana fika kwa undani kabisa tabia zetu. Magu wailisema sana kuwa yule kuna nati imelegea kidogo, huwa anavurugika na kutoa impaired judgements
 
uko sahihi, hata watu kijijini tunafahamiana tabia zetu maana tumekua wote, tunajuana fika kwa undani kabisa tabia zetu. Magu wailisema sana kuwa yule kuna nati imelegea kidogo, huwa anavurugika na kutoa impaired judgements
Kwa jinsi mtu anavyo ongea na watu au mtu basi utajua ana shida mahali
 
Jiwe alikuwa na roho ngumu sana - roho ile haikuwa ya Kitanzania - yaani kuamuru Lissu atandikwe marisasi hata mnyama wa mwitumi ana afadhali...achilia haya mengine ya kuibuka na bajama kwa makamo na kumpasua Ben 8 ya kichwa - laaah
 
I
mimi sio mwizi na sijawahi kuwa mwizi ndugu yangu- hebu futa hiyi kauli yako. Sijashiriki kwa namna yeyote kwenye hayo mauwaji ya JPM kama ulivyo andika. Kuuliza swali au kutoa suggestion sio kukusimanga, hebu jiongezi kidogo tafadhari. kuhusu" wajinga" acha matusi- comment bila matusi itapendeza sana. Machozi ni wote wanalia, wasitendewa haki na waliompoteza JPM- equlibrium iko wapi? Hisia pembeni, mshika uskani anafaa sana kuwaleta watu pamoja... Wateswa wa JPM sasa wanaongea, huko ndani ndani wanaruka na kukanyagana- acheni nao pia wateme nyongo. kuchapwa wachapwe na kulia pia wazuiwe kulia, hii uliiona wapi?

Nimeshindwa niweke wapi hii comment, JF mnaweza unganisha na uzi wowote.

Tukio la Janeth Magufuli kulazwa Muhimbili Novemba 2016 linapaswa kufafanuliwa kwa muktadha wa ukweli na uwazi. Huwa inahuzunisha sana kuona watu wanaweza wakawa wanaongelea tukio la kusimuliwa, wakalifanya ukweli wakati halina ukweli. Magufuli pamoja na madhaifu mengi aliyokuwa nayo, alisingiziwa mengi sana, na wengi hayo waliyoyasikia wameyafanya kuwa ndio maisha ya Magufuli wakati wa Uhai wake. Na mmoja wa waliodanganywa, lakini anadhani ana habari ya kweli ni Erick Kabendera. Lakini unaelewa kwa namna Erick alivyopita katika tanuru la moto, anaweza asiyafikirie vyema hata yale aliyosimuliwa.

Wakati Mama Janeth Magufuli analazwa Muhimbili Novemba 2016, huyu Mama hakupata kipigo chochote, lakini ndio ilikuwa habari ya mjini. Ni muhimu kwa wale waliohusika kwa namna moja au nyingine na matibabu yake bila kusimuliwa kuweka wazi kwamba hali yake ya kiafya kipindi kile haikuwa na uhusiano wowote na kipigo au ukatili wa aina yoyote. Badala yake, lilikuwa jambo la kiafya ambalo lilihitaji matibabu ya kitaalamu na uangalizi wa karibu. Kama kila mtu siri zake za matibabu zingetolewa nje, basi labda tungekuwa na mtazamo tofauti kuhusu mambo mengi sana kuhusu watu na vitu. Mfano kwa waliofariki unaweza ukaondoa imani za kurogwa, kupigwa n.k, na kwa wale wanaoishi unaweza gundua kwamba wengine labda wamebakiza siku chache, na hata ukisikia wamefariki, hutoshtuka.

Kwa wale waliokuwa karibu na mazingira hayo ya hospitali wakati Janeth amelazwa, dalili na hali iliyoshughulikiwa hospitalini kipindi hicho haikuonyesha ishara yoyote ya majeraha yanayoweza kuhusishwa na ukatili wa kimwili. Uchunguzi uliofanywa ulionyesha sababu za kiafya zinazohusiana na matatizo ya kawaida yanayoweza kumpata mtu yeyote na hakika yanawapata watu wengi tu kila siku. Shida ukiwa mke wa Rais, watu wanadhani haupaswi kulazwa.

Katika kipindi hicho, Janeth akiwa amelazwa, Magufuli alionekana kujali sana na alikuwa karibu na mkewe, akihakikisha kuwa anapata huduma bora. Hayati Magufuli, alitumia muda wake mwingi usiku kukaa na mkewe wodini Muhimbili. Hakuna waandishi wa habari wajualo hilo, maana walilishwa matango pori. Taarifa za uvumi zinazohusiana na tukio hili hazina msingi wowote wa kweli, na ni muhimu kutozizingatia ili kuepuka kueneza dhana potofu.

Kutokana na Erick Kabendera kulishwa tango pori hilo (najua anajiamini sana na aliloandika), inaonesha hata habari nyingine kuhusu Magufuli, zitakuwa ni hekaya, zisizokuwa na ukweli.

Ni muhimu sana sisi binadamu kuacha kuongelea habari tusizokuwa na uhakika nazo hasa za kifamilia. Ukiwa na hizo tabia, usishangae watu wakiongelea habari zako, ambazo nawe hata huzijui. Karma is real.
Mtamtetea sana ila ukweli unabaki kuwa yule mzee alikuwa dhalimu na mkatili sana.

Tuliokulia Ada Estate na Kinondoni Shamba tunajua madhira aliyokuwa anapitia yule mama na watoto wake.

Mama zetu walikuwa kila siku kazi yao kumfariji Mama Magufuli.

Kama vipigo na mates yule mama amekula sana. Ndo mana saivi amenawiri sana!
 
Duh! Kweli dozi ilipenya kisawasawa hahaha!
Sio rahisi kumsahau uncle jpm Ni alama kwenye mioyo yao milele yaani likitajwa jina tu watu wanahamaki! Manina!
 
Back
Top Bottom