Ukweli usiosemwa juu ya dini za Kiafrika

Ameolewa na miaka 6, swali langu unamuoaje mtoto ambaye ajabalehe ? kwanini hakumsubir abalehe ndio amuoe ? kwanini mumuingize kwenye ndoa mtoto asiejitambua ? wewe ruka ruka lakini hapa ukimbii ahahahahahaha
 
Mababu zetu hawakuhitaji kujua chanzo , maisha wanayo ishi kila siku na mazingira yake ndio jambo la muhimu kwao, wanafanya mambo yao miungu yao wanawabariki vizuri kabisa maisha yanaenda , hakuna sadaka ya pesa ni damu ya mnyama tu kitu kinajipa, sio Mohammed kawawekea nguzo ya kwenda kutalii kuwaingizia Pesa ndugu zake ili wakawaue waasi wa HOUTHI kule Yemen ahahahahahaa mkatalii Maka msamehewe dhambi kwa kweli inasikitisha sana utalii wa kiimani huu ahahahahaa
 
 
1. Ni sera tu ya nchi kudai utume kadai nabii Tito na waumini amepata , unashangaa nini mimi kudai,

2. Wakristo wathibitishe mara ngapi sasa ahahahaahaaha ni mtume na vitabu vyao wameandika, kama wewe unavyodai utume Mohammed kisa Quran imeandika , ebu acha uvivu fatilia

3. Kujua ukweli vip wakati maandiko yameandika mtume Paulo na maandiko yameandika mtume Mohammad, kila mtu kajiandika kuvutia kwake unataka ukweli gani , na nyaraka kibao kaandika mtume Paulo na miujiza kibao kafanya ahahaahahaha

4. Mtume kakufundisha Allah, Wakristo Yehova , Wahindi Brahman na miungu mingine, wachina hakuna Muumbaji , waafrika miungu yakutosha , katika Miungu yote Allah ndio Mungu pekee alieleta machafuko duniani ndio maana kule walipomuamini Allah kuna machafuko na Mauaji kila sehemu , lakini Miungu mengine pametulia , ndio maana china wamewafungia wafuasi wa Mohammed kuwabrush ubongo kuondoa imani za kishenzi walizonazo, toka kwenye Miungu ya laana hiyo
 
Miaka 18 ndio umri wa kuweza kufanya maamuzi mwenyewe na si kubalehe,sasa wewe unayesema unaweza kuoa binti aliyebalehe tu bila kujari kama amefika umri wa kufanya maamuzi mwenyewe una tofauti gani na suala la binti wa miaka 6 kuolewa na kushiriki tendo la ndoa baada ya kubalehe? na ishu ingekuwa sio umri basi usingekuwa unarudia kutaja miaka 6 na muhammad ni babu.
 
Mimi kinachonishangaza wachina wameshika miungu yao mambo saafi, wahindi mambo saafi , wajapan mambo saafi , kwanini nyie muache miungu yenu mmekuwa wapumbavu, mmepata laana kuacha miungu yenu , ikataeni miungu ya majahazi
Hao wote walikuwa na imani walizokuwa wanazifuata huko zamani usifikiri tangu hizo jamii ziwepo hapa duniani zimekuwa na hizo dini zao au hiyo miungu,tambua hilo kwanza.
 
1.Unaambiwa msingi wa imani ya BUDDHISM ni Dukkha, samudaya, Nirodha, Magga halafu unakataa sasa tukusaidie nini ahahaah , msingi wa imani ya babu zetu ni Matendo na miiko unakataa nikusaidie nini !!.unakuja majibu yako wakati hayo ndio majibu ya wenye imani zao , utapata tabu sana ahahahahahahhahhaha

2. Angalia huyu anakimbia unaambiwa mtu kaenda pangoni anadai katokewa na malaika halafu wewe unamuamini , unathibitishaje kuwa uyu kweli malaika ? badala ya kujibu anapiga mboyoyo ahahahahahaaa
 
Kote nilipo taja nimesema katoto ka miaka 6 ambako akajabalehe unaoa nini hapo ? kwanini usimsubir abalehe ndio uoe , hapa hakuna ndoa katoto akajielewi ata mwili wake unakwenda hedhi kila mwezi unakafungisha ndoa huu ni uhuni wa Mohammed
 
Hao wote walikuwa na imani walizokuwa wanazifuata huko zamani usifikiri tangu hizo jamii ziwepo hapa duniani zimekuwa na hizo dini zao au hiyo miungu,tambua hilo kwanza.
HINDUISM unaijua hii ni wahindi tu hawaitaji mtu yeyote , ndio maana wakawafurusha waislamu wa Pakistan , watu wana dini zao za asili wewe , mkenge umeingia wewe na akili yako fupi
 
Kote nilipo taja nimesema katoto ka miaka 6 ambako akajabalehe unaoa nini hapo ? kwanini usimsubir abalehe ndio uoe , hapa hakuna ndoa katoto akajielewi ata mwili wake unakwenda hedhi kila mwezi unakafungisha ndoa huu ni uhuni wa Mohammed
Huna hoja kama unaona ni sahihi kuolewa mtoto asiyefikia umri wa kufanya maamuzi binafsi kisa tu kabalehe kwamba unanaweza kumuingilia basi huna la msingi la kuniambia,maana huyo mtoto wa miaka 6(hajafika umri wa kufanya maamuzi) ameanza kushiriki tendo la ndoa baada ya kubalehe ni sawa na wewe unayesapoti kuolewa binti asiyefikia umri wa kufanya maamuzi maana tofauti yako wewe unamsubiri abalehe ndio umuowe ili uweze kumuingilia hakuna tofauti na kumuoa kabla hajabalehe na kusubiri abalehe ili umuingilie.
 
HINDUISM unaijua hii ni wahindi tu hawaitaji mtu yeyote , ndio maana wakawafurusha waislamu wa Pakistan , watu wana dini zao za asili wewe , mkenge umeingia wewe na akili yako fupi
Nakwambia hao wahindi walikuwa na imani zengine kabla ya hinduism kama ambavyo leo ukristo kuwa imani iliyotawala huko ulaya na kuonekana ni dini ya wazungu kumbe wenyewe waliletewa tu hiyo dini na ndio ikatawala hadi leo basi na hao wahindi hiyo hinduism imetawala hulo India ila walikuwa na imani zengine kabla hinduism kutawala.
 
2. Angalia huyu anakimbia unaambiwa mtu kaenda pangoni anadai katokewa na malaika halafu wewe unamuamini , unathibitishaje kuwa uyu kweli malaika ? badala ya kujibu anapiga mboyoyo ahahahahahaaa

Wewe ndio unakanusha ndio utuambie kwanini usiamini hilo ?

Hoka iko wazi sana,anae kimbia ni wewe na hutoi hoja.
 
1. Ni sera tu ya nchi kudai utume kadai nabii Tito na waumini amepata , unashangaa nini mimi kudai,

Sija shangaa,ninacho taka ni wewe udai sasa kama ni mtume au nabii,si umesema ni jambo rahisi.
 
Ameolewa na miaka 6, swali langu unamuoaje mtoto ambaye ajabalehe ? kwanini hakumsubir abalehe ndio amuoe ?

Hivi kuna ndoa bila kuishi na mume ?

Aliolewa na miaka sita akaja kuishi na mume akiwa na miaka tisa,hapa sasa ndipo kwenye ndoa kwenyewe.

Hapakuwa na ulazima wa kumsubiri sababu la kwanza halina nguvu na uwezekano wa la pili ulikuwepo na ndio bora zaidi.

Unaweza kunipa tofauti kati ya "Kuolewa akiwa na miaka sita na kuja kuishi na mume akiwa na miaka tisa" na "Kuolewa na miaka tisa" ? Naomba unipe tofauti hapo.

Nipo ...
 
Ahahahahahahahahaa hiki ni kituko cha karne , alichofanya mohamadi ni sawa na kumsainisha mtu wakati amechanganyikiwa, akili ikimrudia shughuli inakuwa imeisha , mtoto mdogo wa miaka 6 ambaye katu ajabalehe unamuoza mume masikini aelewi chochote , mpaka akibalehe anakuwa yumo katika ndoa ambayo ata ajui alifungaje fungaje , huu ni ulafi na tamaa za mohamadi na Abubakari, kukatumia katoto ambako katu kalikua akawezi kufanya maamuzi yeyote kukaingiza ndoani ili kulinda nafasi zao kiutawala , inasikitisha sana
 
Sija shangaa,ninacho taka ni wewe udai sasa kama ni mtume au nabii,si umesema ni jambo rahisi.
Washadai wengi ili kukuonyesha sio jambo gumu ni rahisi tu , ata Mwingira ni nabii na mtume , ata Mashimo ni nabii na mtume na wote hao wana wafuasi kibao , hivyo ata mohamadi kupata wafuasi wa kufanya utalii kama wewe ni jambo la kimkakati tu ahahaha
 
Wewe ndio unakanusha ndio utuambie kwanini usiamini hilo ?

Hoka iko wazi sana,anae kimbia ni wewe na hutoi hoja.
Kwenye dini yetu huku malaika na blah blah nyingine hakuna , ndio maana wewe ambaye umeamini kweli Muhammad katokewa na malaika unaweza kuthibitishaje ? kuruka ruka kwa maharage ndio kuiva kwakwe
 
Acha bange basi HINDUISM ni mkusanyiko wa doctrines zote za imani za kihiindi ahahahaaaaa unasikitisha sana , ni sawa na imani zetu makabila yote ya Tanzania tuzikusanye sehemu moja halafu tuzipe jina TWANZA , kama uelewi jambo uwe unauliza wahindi wako toka asili , kuingia kwako mkenge usitafute wenzio
 
Ni ngumu kutetea ndoa hii lazima umwage povu , huyu alieolewa kabla ajabalehe, maana yake ata mwili wake hauko tayari kwa lolote ata akili yake haiko tayari kwa lolote , Swali kwanini akumsubir akue (abalehe ) afanye maamuzi aolewe au asiolewe na babu yule ?kwanini aolewe akiwa ajitambui hapa ndipo kwenye hoja acha kutapa tapa kama kuku mwenye mdondo
 
Sinto ongeza neno.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…